Re: Mhe.. Pinda ameonya mfumuko wa bei za vyakula msimu huu wa ramadhani...!

By
sir.JAPHET
Mhe, wazir mkuu kayanza pita pinda ameonya wafanyabiashara wanaojipindishia bei za vyakula hovyo punde tu tukaribiapo msimu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani.. Na ametoa tamko la serikali kuwa si vyema wafanyabiashara kufanya hivyo..! Source gazeti tanzania daima, Mhe..Pinda heko na unastahili pongezi.. Kaza mwendo.. Utafika tu .. Pole pole ndo mwendo.. Kamanda pinda..!
Hata Sukari alionya wafanya biashara wasiuze zaidi ya 1700 lakini leo tunainunu kwa zaidi ya 2200 kwa kilo....Pinda hakuna analo weza kulisimamia.
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X
Follow Us Here