Kama ilivyo ada, Rais za Zanzibar leo tena amekataa kuhudhuria kikao cha baraza la Mawaziri kama mjumbe, kinyume na anavyotakiwa na Ibara ya 54 ya Katiba ya Tanzania.
Tatizo, alikerwa alivyoitwa waziri. Ukiangalia kiti cha Rais wa Zanzibar kilivyopangwa (tupu) ni kama vile kiprotokali yeye yuko juu ya Waziri Mkuu manake anakalishwa karibu na Rais kuliko Waziri Mkuu. Lakini Ibara ya 54 inaanisha kwamba Rais wa Zanzibar hayumo katika mtiririko wa uongozi wa kikao cha Cabinet, Waziri Mkuu yumo, hivyo Rais wa Zanzibar anaona hapo anazugwa tu. Another "kiini macho cha Muungano," kwa kutumia maneno ya Tundu Lissu.
Wakati umefika sasa kila upande uwe na cabinet yake wenyewe, Zanzibar na Tanganyika tukutane East African Community, ambapo kila nchi ni "dola huru yenye mamlaka yake kamili."
Kaka naona muungano unakutesa sana na ndio sababu ya wewe kuleta hii stor...mbona jamaa kuna taarfa kuwa yupo UK. Kwani lazma kila kikao audhurie mbona ww vkao huudhuriagi vyote..naona mnatafta option b baada ya ile ya kwanza kushndwa.. upangaji wa viti hauna mantic kikubwa ni protocal je ameingia kama nani pale...ni kama rais wa zanzbar na yule mzee ana busara si mpapatikaji hawezi kufanya kitu kama icho...pia nikueleze tu kuwa kwenye muungano nyie wazanzbar ndio mnaotunyonya wabara kwenye nafasi na ata maslahi..pga hesabu ya popltn yenu na oportunity eg. poltcal post mnazopata kwa kgezo cha muungano, eg uwazri,ubalozi,bot,hazna etttttttttcccccccc mm kwanza mkijitenga naona mtatuongezea opportunity wabara wasiwasi wangu ni security cz wale jamaa wa asia wanaweza hamia kwenu
hivi akihudhuria cheo chake kinashuka? mbona Dr Gharib bilala anahudhria? na mtoto wa mkulima? kwani akiapa kulinda katiba ya jmt atapungukiwa na nini akiwa yeye ni miongoni mwa raia wa jmt? kwa mtu aliye soma kama yeye sitegemei kafanya hili kwa makusudi?
Kikao kilikuwa kinajadili namna ya serikali kujipanga kuhusu mgomo wa madaktari sasa Zanzibar wao inawahusu nini, yeye atakuja kama mnazungumza kuimeza Zanzibar tu, vinginevyo yuko busy ana shughuli za kufanya, UAMSHO , Polisi, Katiba, meli za Irani n.k.
Kikao kilikuwa kinajadili namna ya serikali kujipanga kuhusu mgomo wa madaktari sasa Zanzibar wao inawahusu nini, yeye atakuja kama mnazungumza kuimeza Zanzibar tu, vinginevyo yuko busy ana shughuli za kufanya, UAMSHO , Polisi, Katiba, meli za Irani n.k.
Kama kikao kinazungumzia kuhusu madaktari, mbona Waziri wa Afya ni N'khojani mwenzie? Kwa hiyo alipaswa kuwepo. Na kama leo ndo wanajadili mambo ya madokta, zile kauli za Dhaifu alizotoa tarehe moja alizitoa wapi?
Maandishi yenye pink si ya kweli. Rais wa Zanzibar aliapishwa na Kikwete kuwa mjumbe wa baraza la mawaziri la JMT na aliapa kwa kutumia viapo vya mawaziri na hivyo kukubali kuilinda katiba ya JMT.
Asante kwa taarifa but it is even worse! Ikitokea kukinzana kwa Katiba hizo mbili kama ilivyo leo hii Mh. Shein atatunza, kutetea, na kuihifadhi Katiba ipi? Ni ajabu kwa Rais wa nchi kuapa kwa Katiba zaidi ya moja na hili lipo Tanzania pekee. Vyovyote magamba watakavyotetea kinafiki lakini Muungano wa JMT una utata usioelezeka.
Asante kwa taarifa but it is even worse! Ikitokea kukinzana kwa Katiba hizo mbili kama ilivyo leo hii Mh. Shein atatunza, kutetea, na kuihifadhi Katiba ipi? Ni ajabu kwa Rais wa nchi kuapa kwa Katiba zaidi ya moja na hili lipo Tanzania pekee. Vyovyote magamba watakavyotetea kinafiki lakini Muungano wa JMT una utata usioelezeka.
Huo ni ukweli usiopingika, hili ni tatizo kubwa kwa nchi hii. Binafsi sioni sababu ya kwanini tunaendelea kujifariji na huu muungano ambao practically haupo.
Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala
Huo ni ukweli usiopingika, hili ni tatizo kubwa kwa nchi hii. Binafsi sioni sababu ya kwanini tunaendelea kujifariji na huu muungano ambao practically haupo.
Mkuu wanaojifariji na huu Muungano ni CCM na Mh. Lissu aliliweka vizuri sana kwenye hotuba yake. In short, CCM wanautetea Muungano kinafiki kwanza kwa sababu kisiasa wana maslahi nao; pili kwa kuiogopa au "kuionea aibu" au kuibembeleza Zanzibar.
CCM wanajua fika huu Muungano ukivunjika wataathirika mno kisiasa kuliko chama au taasisi nyingine yoyote. Lakini bahati mbaya ndio hivyo tena, siku zikifika zimefika hakuna jinsi ya kuizuia "roho" isitoke.
Si mkojani huyo, ni mzaramo ndio maana amekuwa waziri wa afya, vikao hivyo havitusaidi kwanza tuna hasira hatujapata cheji ya rada, na tulikuwa tushapanga jinsi ya kuzitumia, kuboresha katiba yetu zaidi iwe ngangari kabla ya katiba mpya ya TZ
Seems x is unknown but xxx is well known you will see our true colour this time
Yule ni sawa na Katibu tarafa kwenye tarafa moja huko Shinyanga.........!!!
Hawezi kuwa hata mkuu wa Mkoa!
Labda ukichanganya na samaki.
Ningepewa nafasi ya kuwa MOD. Ningekulamba BAN ya maisha huku JF
Wenzio wanakwambia Zanzibar ni nchi huru na ina amiri jeshi wake, wewe unaiita tarafa????????????????
Mkuu wanaojifariji na huu Muungano ni CCM na Mh. Lissu aliliweka vizuri sana kwenye hotuba yake. In short, CCM wanautetea Muungano kinafiki kwanza kwa sababu kisiasa wana maslahi nao; pili kwa kuiogopa au "kuionea aibu" au kuibembeleza Zanzibar.
CCM wanajua fika huu Muungano ukivunjika wataathirika mno kisiasa kuliko chama au taasisi nyingine yoyote. Lakini bahati mbaya ndio hivyo tena, siku zikifika zimefika hakuna jinsi ya kuizuia "roho" isitoke.
Iwe iwavyo Muungano hauvunjiki mpaka kieleweke kwanza kuhusu mgawanyo wa faida za Muungano (madeni yote ya Tanganyika) ndio waliokopa sio Zanzibar, lakini tjuwe chetu BoT, TCRA, TRA, TTCL, ATC, Mradi wa Vitambulisho vya Taifa na kadhalika na kdhalika
Seems x is unknown but xxx is well known you will see our true colour this time
Shein keshamuona Kikwete na baraza lake ni bogus, genge la majangili.
Kwa nini awe sehemu yake?
...------------------------------------------------.---------------------------------------------------------------------..Rather Kill a FRIEND than Risk Missing an ENEMY
hivi akihudhuria cheo chake kinashuka? mbona Dr Gharib bilala anahudhria? na mtoto wa mkulima? kwani akiapa kulinda katiba ya jmt atapungukiwa na nini akiwa yeye ni miongoni mwa raia wa jmt? kwa mtu aliye soma kama yeye sitegemei kafanya hili kwa makusudi?
Well, Pinda na Billal wametajwa kwenye Katiba kati ya watu watatu wanaoweza kuongoza kikao cha Cabinet. Sasa Shein anajiuliza, mimi naitwa Rais, halafu kikao hiki hata Rais akiugua, Makamu wa Rais yuko safarini, Waziri Mkuu nae hayupo, mimi nipo, kikao hakifanyiki! Why? To hell with it. Shein alisikitika sana, kiasi cha kuitisha press conference kujieleza, siku ile alivyotendewa kitendo cha kuapishwa na Rais wa Tanzania. Rais ataapishwaje na Rais mwenzie? Hilo linamkera mpaka kesho kiasi cha kususia vikao vya Cabinet.
By Mtumbatu
kwanza tuna hasira hatujapata cheji ya rada
Mwanasheria Mkuu, ambae anaupenda sana Muungano, ametangaza Bungeni juzi kwamba chenji ya Radar Zanzibar hamuwezi kupata kwa sababu nyinyi hamkutoa kitu kwenye manunuzi. Of all the people Werema amesema hivyo, which is a rarity in Dodoma for Werema to be coherent in any ideas he declaims in parliament, mpaka Werema? Mnaona mlivyozoea kubebwa? Mtapewaje kitu ambacho hamkuchangia?
By dudus
CCM wanajua fika huu Muungano ukivunjika wataathirika mno kisiasa kuliko chama au taasisi nyingine yoyote.
Hebu nisaidie hapo ndugu yangu, CCM itaathirika vipi Muungano ukivunjika? Manake nusu, kama sio overwhelming majority, ya Wazanzibari ni CUF anyway, sasa CCM inaathirika vipi Muungano ukivunjwa?
Follow Us Here