Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CWT leo tar. 5/7/2012 Masikio ya walimu yako kwenu

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 44
    1. #1
      KIMBURU's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2011
      Posts : 180
      Rep Power : 460
      Likes Received
      67
      Likes Given
      19

      Default CWT leo tar. 5/7/2012 Masikio ya walimu yako kwenu

      Leo ndio tarehe ambayo CWT walituambia kuwa itakuwa ni ya mwisho kwa majadiliano na serikali, tunatarajia kuanzia kesho CWT itoe mlisho nyuma (feedback) juu ya majadiliano yake na serikali. Matarajio ya walio wengi ni kupata tamko la kuanza mgomo na si vinginevyo.

      Hiki na kipindi muhimu kwa bwana Mukoba cha kupima uwezo wake wa kikiendesha chama
      KATIKA MAKUKU MAONGO HAKUNA KAMA JOGOO - LIVINGSTON LUSINDE (MB-CCM)

    2. Miaka 50

    3. #2
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,632
      Rep Power : 1110
      Likes Received
      1001
      Likes Given
      756

      Default Re: CWT leo tar. 5/7/2012 Masikio ya walimu yako kwenu

      Walimu wagome kabisaa?? hebu acha ndoto zako za mchana na chapa kazi kama wewe ni mwalimu! mimi nina uhakika 100% hata mshahara ukipunguzwa kwa 25% bado walimu mtapiga kazi mbona kelele zenu tulishazizoea tu! nyie pokeeni hicho mnachopata then wabunge wanavuta 10,000,000/- hebu fikiria mwanafunzi uliyekuwa unamfundisha tena mbumbumbu leo ni mbunge anakula M 10 wewe laki mbili na nusu!!
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    4. #3
      Mu-sir's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Posts : 1,262
      Rep Power : 689
      Likes Received
      326
      Likes Given
      345

      Default Re: CWT leo tar. 5/7/2012 Masikio ya walimu yako kwenu

      sidhani kama walimu watagoma kwani wana hali ngumu kimaisha na wakigoma wataishije?

    5. #4
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,253
      Rep Power : 1542
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default Re: CWT leo tar. 5/7/2012 Masikio ya walimu yako kwenu

      mbona ashasogeza mbele huko rais wa walimu?

    6. #5
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,695
      Rep Power : 1915
      Likes Received
      1594
      Likes Given
      677

      Default Re: CWT leo tar. 5/7/2012 Masikio ya walimu yako kwenu

      Walimu hawawezi kugoma wengi Wana mivyeti ya kufoji wataumbuliwa

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Pasco_jr_ngumi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 1,548
      Rep Power : 701
      Likes Received
      185
      Likes Given
      42

      Default

      Quote By Precise pangolin
      Walimu hawawezi kugoma wengi Wana mivyeti ya kufoji wataumbuliwa
      Uko sahihi, mimi nimefundisha walimi 99% ni failures.........wamefeli form four au six!!!!

      Hata ukimuona mwenye digriiii, ujuwe alifeli......kama sio class basi hakujuwa anachosomaaaaa

    9. #7
      Pasco_jr_ngumi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 1,548
      Rep Power : 701
      Likes Received
      185
      Likes Given
      42

      Default

      Quote By Precise pangolin
      Walimu hawawezi kugoma wengi Wana mivyeti ya kufoji wataumbuliwa
      Uko sahihi, mimi nimefundisha walimi 99% ni failures.........wamefeli form four au six!!!!

      Hata ukimuona mwenye digriiii, ujuwe alifeli......kama sio class basi hakujuwa anachosomaaaaa

      @PJN at Mtwara Gas City
      Precise pangolin likes this.

    10. #8
      MCHONGANISHI's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Location : Matejooo
      Posts : 135
      Rep Power : 431
      Likes Received
      31
      Likes Given
      15

      Default Re: CWT leo tar. 5/7/2012 Masikio ya walimu yako kwenu

      Quote By Pasco_jr_ngumi
      Uko sahihi, mimi nimefundisha walimi 99% ni failures.........wamefeli form four au six!!!!

      Hata ukimuona mwenye digriiii, ujuwe alifeli......kama sio class basi hakujuwa anachosomaaaaa

      @PJN at Mtwara Gas City
      pasco jr acha dharau bhana! Wengine tumesoma ualimu simply because tupate mkopo ASILIMIA Kuanzia 80 sababu ya umaskini wetu na wengine walienda Diploma sababu hawawezi kujilipia private, wangapi wana div 3 a level ila sababu wazazi wao wana uwezo wako vyuo vikuuu? Wengi tumeenda ualimu sababu ya umaskini wetu na msitusimange! Wanaoangusha walimu katika harakati hizi ni CWT kwa MASLAHI Yao we angalia jinsi gani Leo wataleta sarakasi ndio maana wengine tulisema tusiingie kwanza kwenye mgomo bila kuifumua CWT na kutoa viongozi woote mkatuona magamba ila tatizo Kubwa ni CWT kuliko hata serikali..... Hivi tukiwa uliza zile 2% za kila mwalimu zinafanya nini watatujibu, washafungua mashauri mangapi katika mahakama ya kazi? Kodi za majengo ya mwalimu house kila Mkoa zinafanya nini? Kwa nini hadi Leo hatuna bank yetu wakati capital ya bilioni 3 ishafika, kwa nini hatuna BODI ya WAALIMU.... CWT. ni tatizo Kubwa na ndio Hilo linawafanya walimu tuonekane legelege kwa nini wanachochea chuki Kati ya walimu wa sekondari na msingi ili wao wabaki madarakani CWT ni big problem
      "Religion is like opium to the poor" Karl Marx

    11. #9
      dedam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2011
      Posts : 598
      Rep Power : 604
      Likes Received
      102
      Likes Given
      35

      Default

      Quote By Pasco_jr_ngumi
      Uko sahihi, mimi nimefundisha walimi 99% ni failures.........wamefeli form four au six!!!!

      Hata ukimuona mwenye digriiii, ujuwe alifeli......kama sio class basi hakujuwa anachosomaaaaa
      kuna mwalimu anasomea stashahada ya ualimu pale korogwe tc mwaka wa kwanza amekuja kufundisha tusheni drs la 7 kipindi hiki cha likizo. da aibu tupu anafundisha hisabati kila siku ni hesabu za desimali anaanza kujulimsha upande wa kushoto badala ya kulia. watoto wameshtukia wakimpa hesabu za mafumbo au maumbo anakuwa mkali.

    12. #10
      KABAVAKO's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th April 2011
      Posts : 173
      Rep Power : 446
      Likes Received
      22
      Likes Given
      50

      Default Re: CWT leo tar. 5/7/2012 Masikio ya walimu yako kwenu

      ndugu acha tabia ya kuchochea vurugu na migomo. sijui unafanya hivyo kwa manufaa ya nani?

    13. #11
      Duble Chris's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Posts : 2,340
      Rep Power : 872
      Likes Received
      382
      Likes Given
      309

      Default Re: CWT leo tar. 5/7/2012 Masikio ya walimu yako kwenu

      wako serious soma hii messege iliyo ingia kwenye simu yangu

      " JE UNATAMBUA KUWASIKU YA KUDAI HAKI YAKO IMEKARIBIA ? NIKUKUTA SHULENI NITAKUSHANGAASANA MAANA UTAKUWA SAWA NA MTU ALIYE IBA VYETI
      "
      frustration is given by expectationdivide by
      outcome
      ie
      frustration = expectation/outcome


    14. #12
      Mr.Busta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2011
      Posts : 572
      Rep Power : 528
      Likes Received
      86
      Likes Given
      1

      Default Re: CWT leo tar. 5/7/2012 Masikio ya walimu yako kwenu

      one day yes!

    15. #13
      Morinyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th August 2011
      Posts : 700
      Rep Power : 703
      Likes Received
      149
      Likes Given
      75

      Default Re: CWT leo tar. 5/7/2012 Masikio ya walimu yako kwenu

      Quote By dedam
      kuna mwalimu anasomea stashahada ya ualimu pale korogwe tc mwaka wa kwanza amekuja kufundisha tusheni drs la 7 kipindi hiki cha likizo. da aibu tupu anafundisha hisabati kila siku ni hesabu za desimali anaanza kujulimsha upande wa kushoto badala ya kulia. watoto wameshtukia wakimpa hesabu za mafumbo au maumbo anakuwa mkali.

      Hapo kazi ipo.

    16. #14
      MALI YA BABA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Posts : 130
      Rep Power : 412
      Likes Received
      19
      Likes Given
      9

      Default Re: CWT leo tar. 5/7/2012 Masikio ya walimu yako kwenu

      Walimu hawawezi kugoma maisha ya walimu ni magumu sana,hata wakigoma serikali itachukua hata maaskari wakafundishe tu yani hi nchi ni bora liende tu!

    17. #15
      KIMBURU's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2011
      Posts : 180
      Rep Power : 460
      Likes Received
      67
      Likes Given
      19

      Default Re: CWT leo tar. 5/7/2012 Masikio ya walimu yako kwenu

      Quote By OSOKONI
      Walimu wagome kabisaa?? hebu acha ndoto zako za mchana na chapa kazi kama wewe ni mwalimu! mimi nina uhakika 100% hata mshahara ukipunguzwa kwa 25% bado walimu mtapiga kazi mbona kelele zenu tulishazizoea tu! nyie pokeeni hicho mnachopata then wabunge wanavuta 10,000,000/- hebu fikiria mwanafunzi uliyekuwa unamfundisha tena mbumbumbu leo ni mbunge anakula M 10 wewe laki mbili na nusu!!
      Hapo kwenye blue inauma sana!
      anders batta likes this.
      KATIKA MAKUKU MAONGO HAKUNA KAMA JOGOO - LIVINGSTON LUSINDE (MB-CCM)

    18. #16
      Welu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 260
      Rep Power : 451
      Likes Received
      54
      Likes Given
      1

      Default Re: CWT leo tar. 5/7/2012 Masikio ya walimu yako kwenu

      Achaneni na CWT. Jiungeni na chama kipya cha ukombozi wa walimu kiitwacho UMET. Kwa wanaotaka mawasiliano mpigie katibu wa chama hiki 0756204568. Karuhusu mwenyewe no. kuwekwa hewani.

    19. #17
      Pasco_jr_ngumi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 1,548
      Rep Power : 701
      Likes Received
      185
      Likes Given
      42

      Default

      Quote By Welu
      Achaneni na CWT. Jiungeni na chama kipya cha ukombozi wa walimu kiitwacho UMET. Kwa wanaotaka mawasiliano mpigie katibu wa chama hiki 0756204568. Karuhusu mwenyewe no. kuwekwa hewani.
      Naomba kufungua ofisi huku Mtwara

      @PJN at Mtwara Gas City

    20. #18
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,632
      Rep Power : 1110
      Likes Received
      1001
      Likes Given
      756

      Default Re: CWT leo tar. 5/7/2012 Masikio ya walimu yako kwenu

      Quote By MCHONGANISHI
      pasco jr acha dharau bhana! Wengine tumesoma ualimu simply because tupate mkopo ASILIMIA Kuanzia 80 sababu ya umaskini wetu na wengine walienda Diploma sababu hawawezi kujilipia private, wangapi wana div 3 a level ila sababu wazazi wao wana uwezo wako vyuo vikuuu? Wengi tumeenda ualimu sababu ya umaskini wetu na msitusimange! Wanaoangusha walimu katika harakati hizi ni CWT kwa MASLAHI Yao we angalia jinsi gani Leo wataleta sarakasi ndio maana wengine tulisema tusiingie kwanza kwenye mgomo bila kuifumua CWT na kutoa viongozi woote mkatuona magamba ila tatizo Kubwa ni CWT kuliko hata serikali..... Hivi tukiwa uliza zile 2% za kila mwalimu zinafanya nini watatujibu, washafungua mashauri mangapi katika mahakama ya kazi? Kodi za majengo ya mwalimu house kila Mkoa zinafanya nini? Kwa nini hadi Leo hatuna bank yetu wakati capital ya bilioni 3 ishafika, kwa nini hatuna BODI ya WAALIMU.... CWT. ni tatizo Kubwa na ndio Hilo linawafanya walimu tuonekane legelege kwa nini wanachochea chuki Kati ya walimu wa sekondari na msingi ili wao wabaki madarakani CWT ni big problem
      Upo sahihi sana lakini kwa wakati huu ila miaka ya nyuma kidogo kada ya ualimu ilikuwa inabeba watu waliofanya vibaya katika mitihani kumbuka kitu kinaitwa "UPE" hivo hao waliofeli na bado wakapewa ualimu wanaona kama ni fadhila (na kweli ni fadhila maana hawakupasi) na sio haki yao!!Na hao ndio walimu wengi wenye uzoefu wamejengeka katika msingi huo wa woga kutokana na background yao ya elimu. Ila kwa wakati huu kuna walimu wengi vijana waliopass vizuri wenye mawazo chanya na wanazijua haki zao na kujali na kuheshimu taaluma yao ya ualimu hao sasa ndio wanatakiwa waanze mabadiliko ya CWT unapokuja uchaguzi wagombee wengi! Walimu hawa waliopewa ualimu kama fadhila ndio hao hao wanatumika kuchakachua wakati wa chaguzi ndio maana serikali inakimbilia sana kuwachukia walimu kusimamia chaguzi! kwa nn isichukue na wafanyakazi wa kada zingine mfano wakufunzi wa vyuo na kada zingine??
      Electron likes this.
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    21. #19
      Petram's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th June 2011
      Posts : 114
      Rep Power : 424
      Likes Received
      19
      Likes Given
      2

      Default Re: CWT leo tar. 5/7/2012 Masikio ya walimu yako kwenu

      Basi wanafunzi wagome.

    22. #20
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,800
      Rep Power : 1527
      Likes Received
      796
      Likes Given
      451

      Default Re: CWT leo tar. 5/7/2012 Masikio ya walimu yako kwenu

      Mimi ninachofahamu ni kuwa, walimu wapo kwenye mgomo siku nyiiingi. Ninahakika serikali inalifahamu hili, tatizo ni sisi wananchi ambao tunajua mgomo ni mpaka pale mtu asiende kazini. Je, umejaribu kufuatilia matokeo ya miaka miwili hii na trend yake??
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...