Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Sakata la TBS na Ekelege

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 26
    1. #1
      Wanitakiani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2008
      Posts : 632
      Rep Power : 698
      Likes Received
      129
      Likes Given
      20

      Default Sakata la TBS na Ekelege

      Wadau leo maeneo ya Mwenge nimekutana na Bw. Charles Mgeta Ekelege, aliyekuwa kibosile wa TBS akiwa kwenye gari ya Shirika la Umma lenye Na. SU 36739. Nikajiuliza maswali mengi, hivi si ndiye aliyesimamishwa kazi TBS?! Ikabidi nitumie muda wangu Wa ziada kufanya utafiti mdogo na kupata dondoo zifuatazo:

      1. Bw. Ekelege bado anapata mshahara wake kamili na si nusu mshahara Kama ilivyo kwa Watumishi wa Serikali/umma wanaposimamishwa kazi

      2. Bw. Ekelege bado anapata marupurupu yote Kama vile kutumia gari, dereva na malipo ya simu

      3. Bw. Ekelege bado anapelekewa nyumbani documents za ofisi ikiwa ni pamoja na mafaili ya ofisi. Jambo linalotekelezwa kwa ufanisi na aliyekuwa Sekretary wake kwa maelekezo ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu Bw. Leandri Kinabo na Bibi Kezia Mbwambo, Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora

      4. Kaimu Mkurugenzi Mkuu Bw. Kinabo aliteuliwa na Bw. Ekelege kushika nafasi hiyo baada ya kusimamishwa kwake. Jambo ambalo si utaratibu kwani aliyepaswa kuteua mtu wa kukaimu ni Bodi ya TBS. Ekelege alimteua Kinabo kinyume na utaratibu kwa kuwa ni mtu wake, ambaye tangu akiwa TBS ndiye aliyekuwa akimkaimisha wakati wote ilhali wapo wakurugenzi ambao ni senior kuliko Kinabo.

      5. Bibi Kezia Mbwambo ambaye ana mahusiano ya karibu na Bibi Joyce Mapunjo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara anahusishwa ktk tuhuma na hujuma mbalimbali pamoja na Ekelege na mama huyo alitajwa ktk ripoti ya CAG. cha ajabu mama huyo hadi leo bado anadunda TBS na Bodi inapaswa kumsimamisha lkn anakingiwa kifua na bibi Joyce Mapunjo.

      6. Kuna safari inayoandaliwa ya kwenda Santiago, Chile mwezi Septemba mwaka huu ambapo ktk tiketi zinazoandaliwa yumo Mwenyekiti wa Bodi ya TBS, Charles Mgeta Ekelege na Thomas Mgeta Mnunguli. Kwanini ktk safari hiyo lipo jina la Ekelege ambaye amesimamishwa kazi? Anajumuishwaje ktk safari hiyo?

      7. Bw. Thomas Mgeta Mnunguli ni ndugu yake wa damu na Bw. Ekelege ambaye amepewa vyeo vya International Liason Officer na ndiye Head of Electrical Standard Section.

      Nimejiuliza maswali mengi, kama Ekelege alisimamishwa kazi na pengine kupisha uchunguzi kazi hiyo itafanyikaje kwa uhuru wakati Ekelege bado ana influence kubwa TBS? Kuna wafanyakazi TBS ambao ni mapandikizi ya Ekelege kama PS wake, Kaimu Mkurugenzi Mkuu na nduguye Bw. Thomas Mgeta Mnunguli ambao bado wanampa taarifa zote za kiofisi na hivyo kupoteza ushabidi?

      Kwanini mama Kezia Mbwambo hadi leo hajachukuliwa hatua licha ya yeye na Ekelege kutajwa kwenye ripoti ya CAG? Kwanini Ekelege alimteua Bw. Kinabo kuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu Wa TBS wakati alikwishasimamishwa kazi na huku akijua si utaratibu? Kwanini Bodi imekaa kimya? Bodi/Waziri mhusika anayajua madudu haya ya TBS? Kwanini watu wanafuja mali ya umma na kuua Watz wasio na hatia kwa kuwalisha vyakula visivyo na ubora wala viwango na wakulima kuuziwa mbolea isiyo na viwango ili kuwapa Watz umasikini?

      Who is Ekelege????
      Last edited by Wanitakiani; 5th July 2012 at 23:44.
      Sikonge, makoye2009 and politiki like this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      mgeni wenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd January 2012
      Posts : 1,157
      Rep Power : 890
      Likes Received
      578
      Likes Given
      0

      Default Re: Sakata la TBS na Ekelege

      Serikali legelege

    4. #3
      andreakalima's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 115
      Rep Power : 374
      Likes Received
      49
      Likes Given
      1

      Default Re: Sakata la TBS na Ekelege

      Wewe hujui ile ni danganya toto? mzee yule mbali na kuwa ni mtu wa "Sistimu" ni mtu wa ndumba hatari. Kigoda ataona cheche tu na niamini mimi soon atarudishwa kazini kwa madai hakuna ushahidi wa "moja kwa moja" kumtia hatiani. So aendelee na kazi. Wewe huoni Dokta Chamiiii alivyonywea kwake?NDUMBA KWANZA, UBORA BAADAE
      politiki likes this.

    5. obm
      #4
      obm's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th August 2011
      Posts : 42
      Rep Power : 402
      Likes Received
      9
      Likes Given
      2

      Default Re: Sakata la TBS na Ekelege

      mHH HUU KWELI USAANII NA NDUMBA KAMA ZIPO KAZI IPO A MMEONA MTU TOFAUTI KWA MHESHIMIWA WAZIRI NA KWAO SI NDUBA ZIPO? KWELI SRIKALI DHAIRI NI KAMA MOTO WA KIFUU

    6. #5
      Wanitakiani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2008
      Posts : 632
      Rep Power : 698
      Likes Received
      129
      Likes Given
      20

      Default Re: Sakata la TBS na Ekelege

      Kwenye sakata kama hili ndio tungeona ufanisi wa TISS na TAKUKURU, lkn wapi bwana!
      Mawenzi likes this.
      Laughing Faces Do Not Mean That There Is Absence of Sorrow! But it Means That They have The Ability to Deal With It!

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,651
      Rep Power : 715
      Likes Received
      289
      Likes Given
      36

      Default Re: Sakata la TBS na Ekelege

      Ajira za wakurugenzi zinataratibu zake, hata aliesimamishwa kazi anaendelea kupata huduma nyingi zinazotamkwa kwenye mkataba wake,

    9. #7
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 3,007
      Rep Power : 8378
      Likes Received
      831
      Likes Given
      694

      Default Re: Sakata la TBS na Ekelege

      Quote By Wanitakiani
      Kwenye sakata kama hili ndio tungeona ufanisi wa TISS na TAKUKURU, lkn wapi bwana!
      Mkuu TISS hiihii na TAKUKURU hiihii?Au kuna nyingine?Sahau, hii nchi sasa hivi Mungu ndiye anaetulinda

    10. #8
      Wanitakiani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2008
      Posts : 632
      Rep Power : 698
      Likes Received
      129
      Likes Given
      20

      Default Re: Sakata la TBS na Ekelege

      Quote By Bob G
      Ajira za wakurugenzi zinataratibu zake, hata aliesimamishwa kazi anaendelea kupata huduma nyingi zinazotamkwa kwenye mkataba wake,
      Hali ni tofauti kwa Bwana Ekelege, hana mkataba wa namna hiyo aisee!
      Laughing Faces Do Not Mean That There Is Absence of Sorrow! But it Means That They have The Ability to Deal With It!
      "images/misc/unknowstyle="display:none;visibility:hidden;" data-cfsrc="https://www.jamiiforums.com/clear.gif" alt="Reply With Quote" /> Reply With Quote

    11. #9
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 669
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Re: Sakata la TBS na Ekelege

      Magusmashi ya Siasa za Bongo. Tanzania ni zaidi ya wewe unavyoijua.

    12. #10
      politiki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Posts : 1,362
      Rep Power : 1338
      Likes Received
      714
      Likes Given
      128

      Default Re: Sakata la TBS na Ekelege

      kwanza ningependa kukushukuru ndugu yangu kwa kuweka maslahi ya nchi yako mbele kwa kuakikisha unafualtilia nini kinachoendelea ndani ya system hii kwani asilimia angalau kumi ya watanzania wangefanya kama unavyofanya wewe nchi hii ingekuwa mbali sana ushauri wangu ni kwanini usimtumie hizi info. mnyika au mdee ili amuulize waziri bungeni ?? au unaweza kumpelekea kupitia ukurasa wake wa facebook au blog yake. Once again thank you for your patriotism.
      Bukyanagandi likes this.
      "https://www.jamiiforums.com/clear.gif" alt="Reply With Quote" />style="display:none;visibility:hidden;" data-cfsrc="https://www.jamiiforums.com/clear.gif" alt="Reply With Quote" /> Reply With Quote

    13. #11
      andrews's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 1,683
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      76

      Default Re: Sakata la TBS na Ekelege

      SERENGETI LONDON HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEE KWA BWIMBWI ZENU MMEPATA NINI KWA FITINA ZENU SHULE HAMNA STAAA HAMNA NI MAUNGA TU POLENI SANA

    14. #12
      Njoka Ereguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 503
      Rep Power : 459
      Likes Received
      167
      Likes Given
      30

      Default Re: Sakata la TBS na Ekelege

      Tusubiri matokeo ya uchunguzi.

    15. #13
      Tikerra's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2008
      Location : Morogoro
      Posts : 1,588
      Rep Power : 863
      Likes Received
      100
      Likes Given
      3

      Default

      Akili kichwani.Aonaye haambiwi ona.

    16. #14
      hans79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2011
      Posts : 1,449
      Rep Power : 756
      Likes Received
      141
      Likes Given
      0

      Default Re: Sakata la TBS na Ekelege

      Vp chenge na hela za radar!ni nani wa kumfunga paka kengele wakati wote ni walewale?

    17. #15
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,767
      Rep Power : 30194
      Likes Received
      4629
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By hans79
      Vp chenge na hela za radar!ni nani wa kumfunga paka kengele wakati wote ni walewale?
      Serikali legelege,
      haimuwezi Ekelege,
      watazidi kutufanya mabwege,

    18. #16
      Kiumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 463
      Likes Received
      71
      Likes Given
      0

      Default Re: Sakata la TBS na Ekelege

      Silly government

    19. #17
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Wanitakiani
      Wadau leo maeneo ya Mwenge nimekutana na Bw. Charles Mgeta Ekelege, aliyekuwa kibosile wa TBS akiwa kwenye gari ya Shirika la Umma lenye Na. SU 36739. Nikajiuliza maswali mengi, hivi si ndiye aliyesimamishwa kazi TBS?! Ikabidi nitumie muda wangu Wa ziada kufanya utafiti mdogo na kupata dondoo zifuatazo:

      1. Bw. Ekelege bado anapata mshahara wake kamili na si nusu mshahara Kama ilivyo kwa Watumishi wa Serikali/umma wanaposimamishwa kazi

      2. Bw. Ekelege bado anapata marupurupu yote Kama vile kutumia gari, dereva na malipo ya simu

      3. Bw. Ekelege bado anapelekewa nyumbani documents za ofisi ikiwa ni pamoja na mafaili ya ofisi. Jambo linalotekelezwa kwa ufanisi na aliyekuwa Sekretary wake kwa maelekezo ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu Bw. Leandri Kinabo na Bibi Kezia Mbwambo, Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora

      4. Kaimu Mkurugenzi Mkuu Bw. Kinabo aliteuliwa na Bw. Ekelege kushika nafasi hiyo baada ya kusimamishwa kwake. Jambo ambalo si utaratibu kwani aliyepaswa kuteua mtu wa kukaimu ni Bodi ya TBS. Ekelege alimteua Kinabo kinyume na utaratibu kwa kuwa ni mtu wake, ambaye tangu akiwa TBS ndiye aliyekuwa akimkaimisha wakati wote ilhali wapo wakurugenzi ambao ni senior kuliko Kinabo.

      5. Bibi Kezia Mbwambo ambaye ana mahusiano ya karibu na Bibi Joyce Mapunjo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara anahusishwa ktk tuhuma na hujuma mbalimbali pamoja na Ekelege na mama huyo alitajwa ktk ripoti ya CAG. cha ajabu mama huyo hadi leo bado anadunda TBS na Bodi inapaswa kumsimamisha lkn anakingiwa kifua na bibi Joyce Mapunjo.

      6. Kuna safari inayoandaliwa ya kwenda Santiago, Chile mwezi Septemba mwaka huu ambapo ktk tiketi zinazoandaliwa yumo Mwenyekiti wa Bodi ya TBS, Charles Mgeta Ekelege na Thomas Mgeta Mnunguli. Kwanini ktk safari hiyo lipo jina la Ekelege ambaye amesimamishwa kazi? Anajumuishwaje ktk safari hiyo?

      7. Bw. Thomas Mgeta Mnunguli ni ndugu yake wa damu na Bw. Ekelege ambaye amepewa vyeo vya International Liason Officer na ndiye Head of Electrical Standard Section.

      Nimejiuliza maswali mengi, kama Ekelege alisimamishwa kazi na pengine kupisha uchunguzi kazi hiyo itafanyikaje kwa uhuru wakati Ekelege bado ana influence kubwa TBS? Kuna wafanyakazi TBS ambao ni mapandikizi ya Ekelege kama PS wake, Kaimu Mkurugenzi Mkuu na nduguye Bw. Thomas Mgeta Mnunguli ambao bado wanampa taarifa zote za kiofisi na hivyo kupoteza ushabidi?

      Kwanini mama Kezia Mbwambo hadi leo hajachukuliwa hatua licha ya yeye na Ekelege kutajwa kwenye ripoti ya CAG? Kwanini Ekelege alimteua Bw. Kinabo kuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu Wa TBS wakati alikwishasimamishwa kazi na huku akijua si utaratibu? Kwanini Bodi imekaa kimya? Bodi/Waziri mhusika anayajua madudu haya ya TBS? Kwanini watu wanafuja mali ya umma na kuua Watz wasio na hatia kwa kuwalisha vyakula visivyo na ubora wala viwango na wakulima kuuziwa mbolea isiyo na viwango ili kuwapa Watz umasikini?

      Who is Ekelege????
      tumsubir kigoda atayajibu

    20. #18
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Pombekali
      Serikali legelege,
      haimuwezi Ekelege,
      watazidi kutufanya mabwege,
      bss unafaa pombe kali wewe ni mkali
      Pombekali likes this.

    21. #19
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By mjaka
      SERENGETI LONDON HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEE KWA BWIMBWI ZENU MMEPATA NINI KWA FITINA ZENU SHULE HAMNA STAAA HAMNA NI MAUNGA TU POLENI SANA
      nikiangalia na muda uliochangia napata mashaka huenda hukua unakusudia kuchangia uzi huu,,,,,
      Pombekali likes this.

    22. #20
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By BHULULU
      Mkuu TISS hiihii na TAKUKURU hiihii?Au kuna nyingine?Sahau, hii nchi sasa hivi Mungu ndiye anaetulinda
      TISS ya Taliban,ambayo mkuchika anaisifia kuwa imefanya kaz nzuri since 1961,wiki hii mwanzoni ameisifia sana na kuwataka watu wasiishambulie tiss yao maana hawajui walisemalo,then kuhusu TAKUKURU ni hii hii ya tanzania ambayo kwa sasa inaitwa TAASISI YA KUKUZA NA KUENDELEZA RUSHWA,inafanya kazi kwa kujitolea kama NGO fulan tu

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...