Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: ITV Malumbano ya hoja: Miaka 20 ya demokrasia ya vyama vingi, Je, kuna mafanikio?

    Report Post
    Results 1 to 10 of 10
    1. #1
      sir.JAPHET's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Posts : 608
      Rep Power : 474
      Likes Received
      90
      Likes Given
      43

      Default ITV Malumbano ya hoja: Miaka 20 ya demokrasia ya vyama vingi, Je, kuna mafanikio?

      wanazuoni wamekusanyika kuzungumzia mafanikio na mitazamo yao kuhusu demokrasia ya vyama vingi baada ya miaka 20,, namuona mhe, john tendwa na mhe, nape nauye,,

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      sir.JAPHET's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Posts : 608
      Rep Power : 474
      Likes Received
      90
      Likes Given
      43

      Default re: ITV Malumbano ya hoja: Miaka 20 ya demokrasia ya vyama vingi, Je, kuna mafanikio?

      nape ansema bunge la siku hizi limejaa malumbano ya vyama zaidi kuliko wabunge kubeba hoja za maana zenye kuleta maendeleo kwa jamii,, na siasa zimehamia bungeni,, na anasema ufisadi haujainuliwa bungeni na wapinzani ,, vyama pinzani,, na kwamba ulikuwepo toka zamani,, na ufisadi ulikuwa ukiitwaa uhujum uchumi na mafisadi waliitwa wahujumu uchumi,, na vyama vimekosa ujasiri wa kusema kuwa sis ni wajamaa au ni mabepari,,

    4. #3
      sir.JAPHET's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Posts : 608
      Rep Power : 474
      Likes Received
      90
      Likes Given
      43

      Default re: ITV Malumbano ya hoja: Miaka 20 ya demokrasia ya vyama vingi, Je, kuna mafanikio?

      anasema vyama pinzani vimejaa mchanga havija komaa

    5. #4
      Jotojiwe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th March 2012
      Location : Tanzania
      Posts : 140
      Rep Power : 389
      Likes Received
      30
      Likes Given
      8

      Default Miaka 20 ya demokrasia ya vyama vingi, je kuna mafanikio?

      Nimeona hii topic ktk tv itv nimeona ije hapa kwa great thinkers, naomba tuzungumzie hili katika vielelezo zaidi, tena vilivyo hai na vyenye mantiki zaidi.
      Last edited by Jotojiwe; 5th July 2012 at 22:17.

    6. FJM
      #5
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,170
      Rep Power : 2568
      Likes Received
      5320
      Likes Given
      4585

      Default re: ITV Malumbano ya hoja: Miaka 20 ya demokrasia ya vyama vingi, Je, kuna mafanikio?

      Quote By sir.JAPHET
      anasema vyama pinzani vimejaa mchanga havija komaa

      Havijakomaa kwa lipi? wizi, au utekaji watu nyara na kuwatupa mabwepande?

    7. Miaka 50

    8. #6
      Kiumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 463
      Likes Received
      71
      Likes Given
      0

      Default re: ITV Malumbano ya hoja: Miaka 20 ya demokrasia ya vyama vingi, Je, kuna mafanikio?

      Nape amechangia vizuri mwanzoni ila kamalizia kama mnchemba ni kawaida ya magamba washapumbazwa na kejeli na matusi. Mama wa nccr mageuzi ameonge kiutanzania zaidi.

    9. #7
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,700
      Rep Power : 22524
      Likes Received
      6351
      Likes Given
      2841

      Default re: ITV Malumbano ya hoja: Miaka 20 ya demokrasia ya vyama vingi, Je, kuna mafanikio?

      Ishu hapo si kuponda chama fulani specifically, bali ilikuwa ni kutoa tathmini ya mfumo huu tangu ulipoanza, matatizo yatokanayo, mafanikio, cha ngamoto za uendeshaji, mtazamo na dira au hatima au majaliwa ya mfumo huu.
      Si wakati wa kujisifia nani mwenye hati miliki ya agenda au hoja fulani...at least not now.

    10. #8
      Mtoto Wa Mbale's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th May 2011
      Posts : 420
      Rep Power : 494
      Likes Received
      143
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By sir.JAPHET
      nape ansema bunge la siku hizi limejaa malumbano ya vyama zaidi kuliko wabunge kubeba hoja za maana zenye kuleta maendeleo kwa jamii,, na siasa zimehamia bungeni,, na anasema ufisadi haujainuliwa bungeni na wapinzani ,, vyama pinzani,, na kwamba ulikuwepo toka zamani,, na ufisadi ulikuwa ukiitwaa uhujum uchumi na mafisadi waliitwa wahujumu uchumi,, na vyama vimekosa ujasiri wa kusema kuwa sis ni wajamaa au ni mabepari,,
      Ujamaa wa ccm uko kwenye karatasi. Huwezi kuwa mjamaa huku unajilimbikizia mali na kufilisi rasilimali za nchi huku wakiwaacha watanzania katika umasikini.

      Kuhusu bungeni, amenichefua sana. Anajifanya haoni kwamba chanzo cha mivutano bungeni ni wabunge wa ccm na spika (kiti cha spika) kuzidiwa hoja na kutoa lugha za matusi dhidi ya Chadema. Amesahau kuwa mbunge wa sikonge amewatukana watanzania kwa kuwaambia 'Kama wana uchungu waende wakazae, na Naibu spika kufurahia jambo hilo?

      Nape ni mnafiki, anataka watanzania waendelee kuwa wanafiki. Waunge mkono hoja mia kwa mia halafu wapinge kila kitu wakati wanatoa michango yao. Zama hizo zimepita, bora muanze kuzpea mikiki mikiki ya bunge la watu wanaofikiri vizuri.

    11. #9
      sir.JAPHET's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Posts : 608
      Rep Power : 474
      Likes Received
      90
      Likes Given
      43

      Default Re: ITV Malumbano ya hoja: Miaka 20 ya demokrasia ya vyama vingi, Je, kuna mafanikio?

      kweli ujamaa wa ccm r.i.p

    12. #10
      sir.JAPHET's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Posts : 608
      Rep Power : 474
      Likes Received
      90
      Likes Given
      43

      Default Re: ITV Malumbano ya hoja: Miaka 20 ya demokrasia ya vyama vingi, Je, kuna mafanikio?

      mafanikio yapo tumeunda na kusajili vyama kibao ccj chauma tlp nccr chadema udp undp n.k ambavyo ukisha pita uchaguzi wameisha jilia hela za wahsani na kuvimbiwa wanajisahau kabisaaa

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...