Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mzee wetu aboud jumbe tunaomba utuwekee kitabu cha matatizo ya muungano

    Report Post
    Results 1 to 6 of 6
    1. #1
      sammosses's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2011
      Location : Shinyanga
      Posts : 907
      Rep Power : 603
      Likes Received
      167
      Likes Given
      238

      Lightbulb Mzee wetu aboud jumbe tunaomba utuwekee kitabu cha matatizo ya muungano

      Ni muda mrefu sasa mzee wetu umenyamaza kimya hatukusikii wala serikali ya chama chako haisemi chochote na wamesahau mchango wako kwa kulitumikia taifa hili.Naomba nichukue fursa hii kukuomba utuwekee kile kitabu chako tukisome kwani uliainisha matatizo makubwa yaliyopo kwenye Muungano kitu ambacho mpaka leo hakijapata tiba.Pia jitokeze kutoa mchango wako ambao utatusaidia sisi vijana kujua ni aina gani ya Muungano tunaotakiwa kuwa nao na ni kwanini Muungano huu unakuwa ni fumbo la imani.
      MUSSOLIN likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Mnyamahodzo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd May 2008
      Posts : 1,418
      Rep Power : 966
      Likes Received
      319
      Likes Given
      217

      Default RADIO WAPO na Madaktari Feki. Mnaudhi mno!

      Yafahamu haya kwanza:-
      1. Aboud Jumbe hawezi kuona kutokana na na maradhi uoni wake.
      2. Ni mtu wa kukaa ndani kwenye kadamnasi hajitokezi hata msikitini haendi.
      3. Watoto wake ndiyo hivyo tena, kwamba wanatembelea JF, mmh!! Sijui labda yule mmasai akiambiwa atamwambia mzee.
      4. Akiambiwa sidhani kama utapata matokeo chanya. Nina mashaka mno na uwezo wake wa kukumbuka. Usijeshangaa namna atakavyokuchanyia habari.

      Wasalimie ukienda, enhee!!

    4. #3
      SubiriJibu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2009
      Posts : 270
      Rep Power : 768
      Likes Received
      192
      Likes Given
      163

      Default Re: Mzee wetu aboud jumbe tunaomba utuwekee kitabu cha matatizo ya muungano

      Quote By Mnyamahodzo
      Yafahamu haya kwanza:-
      1. Aboud Jumbe hawezi kuona kutokana na maradhi uoni wake.
      2. Ni mtu wa kukaa ndani kwenye kadamnasi hajitokezi hata msikitini haendi.
      3. Watoto wake ndiyo hivyo tena, kwamba wanatembelea JF, mmh!! Sijui labda yule mmasai akiambiwa atamwambia mzee.
      4. Akiambiwa sidhani kama utapata matokeo chanya. Nina mashaka mno na uwezo wake wa kukumbuka. Usijeshangaa namna atakavyokuchanyia habari.

      Wasalimie ukienda, enhee!!
      Nusu ya marais wastaafu wa Zanzibar walio hai wana matatizo ya macho, hawaoni.
      ...Kanisa halijawahi kumtuhumu Dr. Slaa kwa wizi wa hela za ujio wa Papa...{Jude Thaddaues O.F.M. Cap, Archbishop of Mwanza and President of Tanzania Episcopal Conference (TEC), March 20, 2012}

    5. #4
      sammosses's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2011
      Location : Shinyanga
      Posts : 907
      Rep Power : 603
      Likes Received
      167
      Likes Given
      238

      Default Re: Mzee wetu aboud jumbe tunaomba utuwekee kitabu cha matatizo ya muungano

      Ok nakubaliana nanyi,kama kuna mwana JF ana nakala za kitabu hicho atuwekee kwani kilieleza uhalisia na ubaya wa Muungano huo wa watu wawili kitu kilichopelekea kulazimisha kuachia ngazi enzi zile za zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa CCM

    6. #5
      SubiriJibu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2009
      Posts : 270
      Rep Power : 768
      Likes Received
      192
      Likes Given
      163

      Default Re: Mzee wetu aboud jumbe tunaomba utuwekee kitabu cha matatizo ya muungano

      Quote By sammosses
      Ni muda mrefu sasa mzee wetu umenyamaza kimya hatukusikii wala serikali ya chama chako haisemi chochote na wamesahau mchango wako kwa kulitumikia taifa hili.Naomba nichukue fursa hii kukuomba utuwekee kile kitabu chako tukisome kwani uliainisha matatizo makubwa yaliyopo kwenye Muungano kitu ambacho mpaka leo hakijapata tiba.Pia jitokeze kutoa mchango wako ambao utatusaidia sisi vijana kujua ni aina gani ya Muungano tunaotakiwa kuwa nao na ni kwanini Muungano huu unakuwa ni fumbo la imani.
      Mimi nilikisoma chote hasa cha Kiswahili.

      Lakini kama unafuatilia matatizo yote ya muungano hata humu JF basi ni sawa na kuwa umesoma kitabu kile, utakosa tu picha ambazo zimo ukurasa wa 20 na 78.

      Lakini kama ni copy ya Mkataba wa Muungano yaani Arcticles of Union ambao uko page 156 hadi 158 nao nilishauweka humu JF THE PLACE WE DARE TALK OPENLY {Bonyeza thread hii}.

      Actually niliu-copy toka humu kitabuni.
      ...Kanisa halijawahi kumtuhumu Dr. Slaa kwa wizi wa hela za ujio wa Papa...{Jude Thaddaues O.F.M. Cap, Archbishop of Mwanza and President of Tanzania Episcopal Conference (TEC), March 20, 2012}

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      sammosses's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2011
      Location : Shinyanga
      Posts : 907
      Rep Power : 603
      Likes Received
      167
      Likes Given
      238

      Default Re: Mzee wetu aboud jumbe tunaomba utuwekee kitabu cha matatizo ya muungano

      Ok,nimekuelewa tunaomba kama kuna mtu anacho kitabu kizima atuwekee

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...