Wakuu toka juzi mheshimiwa John Mnyika amlipue mbunge wa Iramba Mashariki Mwigulu Nchemba kuwa ni mtuhumiwa wa wizi wa pesa za EPA,mbunge huyo amekuwa kimya na ameacha kuropoka ropoka ovyo maneno machafu.Ama kweli mbio za sakafuni huishia ukingoni ile miongozo aliyokuwa akiomba Mwigulu Nchemba kila walipokuwa wakichangia wabunge wa CHADEMA imeishia wapi?

Reply With Quote


Follow Us Here