Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: LHRC wakana kuandaa maandamano kesho

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 45
    1. #1
      Ally Kanah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Posts : 780
      Rep Power : 559
      Likes Received
      37
      Likes Given
      35

      Default LHRC wakana kuandaa maandamano kesho

      Ule unafiki wa CHADEMA kutumia migongo ya Taasisi mbalimbali kujinufaisha kisiasa umebainika l

      Unafiki huo umebainika baada ya wakurugenzi wa vituo vya haki za binaadam kukanusha kupanga maandamano ya kesho

      Wakiongea na kipindi cha JAHAZI cha Radio Clouds wamekanusha kupanga maandamano hayo na kusema kunawalioyanga kwa faida zao kisiasa ni bora wakawa wazi kuliko kuvihusisha vituo hivyo

      My take: kama mmepanga kuandamana si muweke hadharani ya kuwa ni nyie wenyewe kuliko kuwahusisha watu ambao hawajapanga kama mlivyompiga Dk Ulimboka na kujaribu ku hide sasa mmeanza kumwaga
      chama likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. FJM
      #2
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,170
      Rep Power : 2568
      Likes Received
      5320
      Likes Given
      4585

      Default re: LHRC wakana kuandaa maandamano kesho

      UVCC Mwanza waliandamana jana, nao walichochewa na CHADEMA?
      genekai likes this.

    4. #3
      tindikalikali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,080
      Rep Power : 1214
      Likes Received
      392
      Likes Given
      89

      Default

      Mch Kimaro

      mbona unafuka mama?

    5. #4
      mshikachuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 2,346
      Rep Power : 898
      Likes Received
      429
      Likes Given
      2283

      Default re: LHRC wakana kuandaa maandamano kesho

      Yaani amlali,amli,amnywi bila kuitaja CDM!....kweli Chadema ndiyo inaongoza nchi
      Signature yangu nimeihifadhi kwa mda...usiitumie


    6. #5
      Imany John's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Posts : 1,970
      Rep Power : 2977
      Likes Received
      471
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By FJM
      UVCC Mwanza waliandamana jana, nao walichochewa na CHADEMA?
      Mercyless likes this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Songoro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2009
      Posts : 2,220
      Rep Power : 0
      Likes Received
      487
      Likes Given
      21

      Default re: LHRC wakana kuandaa maandamano kesho

      Mtu mzima hatishiwi Nyau,kwan Mama Kijo kisimba na Nkya si walijarib wakati wa mgomo wa kwanza wa Madaktari pale Palm beach Dsm wakakuta waandamanaji hawajai hata kwenye Pick up,Meya Arusha keshatoka kwa maandamano?

    9. #7
      Ally Kanah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Posts : 780
      Rep Power : 559
      Likes Received
      37
      Likes Given
      35

      Default

      Quote By mshikachuma
      Yaani amlali,amli,amnywi bila kuitaja CDM!....kweli Chadema ndiyo inaongoza nchi
      Ndugu yangu katika bwana ni habari iliyokuwa kwenye radio au nimefanya mbaya kuwaletea jamvini ili muweze kuwajua wanaoivuruga hii nchi yetu?

    10. #8
      Ally Kanah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Posts : 780
      Rep Power : 559
      Likes Received
      37
      Likes Given
      35

      Default

      Quote By mshikachuma
      Yaani amlali,amli,amnywi bila kuitaja CDM!....kweli Chadema ndiyo inaongoza nchi
      Yule aliyetemwa Ubunge kule kaskazini ndio kumbe aliongoza watekaji wa Dk Uli dah dah sasa watu wamestuka

      Na hili la maandamano kumbe mlizunguka chocho mkamwagwa ama kweli maji ya shingo

    11. #9
      mayenga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th September 2009
      Posts : 1,567
      Rep Power : 807
      Likes Received
      307
      Likes Given
      438

      Default Re: LHRC wakana kuandaa maandamano kesho

      Sasa unafiki uko wapi?That story is one sided,Chadema umewauliza?Nikisema we ndo mnafiki ntakuwa nimekosea?

    12. #10
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,478
      Rep Power : 6168
      Likes Received
      3052
      Likes Given
      1017

      Default Re: LHRC wakana kuandaa maandamano kesho

      Mkuu Mch Kimaro nani kayasema hayo?
      Uwezo Tunao likes this.

    13. #11
      Mtoboasiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th August 2009
      Location : Am at Large!
      Posts : 3,607
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1155
      Likes Given
      747

      Default

      Quote By Mch Kimaro
      Ule unafiki wa CHADEMA kutumia migongo ya Taasisi mbalimbali kujinufaisha kisiasa umebainika l

      Unafiki huo umebainika baada ya wakurugenzi wa vituo vya haki za binaadam kukanusha kupanga maandamano ya kesho

      Wakiongea na kipindi cha JAHAZI cha Radio Clouds wamekanusha kupanga maandamano hayo na kusema kunawalioyanga kwa faida zao kisiasa ni bora wakawa wazi kuliko kuvihusisha vituo hivyo

      My take: kama mmepanga kuandamana si muweke hadharani ya kuwa ni nyie wenyewe kuliko kuwahusisha watu ambao hawajapanga kama mlivyompiga Dk Ulimboka na kujaribu ku hide sasa mmeanza kumwaga
      Kwa taarifa yenu nyinyi mnaotumwa:
      Watanzania tulio wengi tumeamua kuwaamini CHADEMA kwa sasa hata kama mnasema ni Chama cha kidini, kikanda au kikabila. Hadi hapo kitakapothibisha kuwa kimeshindwa kutimiza haja za Watanzania!

    14. #12
      Muke Ya Muzungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2009
      Posts : 1,903
      Rep Power : 3856
      Likes Received
      175
      Likes Given
      31

      Default Re: LHRC wakana kuandaa maandamano kesho

      punguza povu. nyinyi ndo mlouwa chama chetu kwa chuki zenu za kidini

    15. #13
      HOPECOMFORT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2012
      Posts : 279
      Rep Power : 420
      Likes Received
      49
      Likes Given
      11

      Default

      Quote By Mch Kimaro
      Ndugu yangu katika bwana ni habari iliyokuwa kwenye radio au nimefanya mbaya kuwaletea jamvini ili muweze kuwajua wanaoivuruga hii nchi yetu?
      Na kwenye redio walisema kama ulivyo sema ww kwa kutumia neno unafiki!!

    16. #14
      Ally Kanah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Posts : 780
      Rep Power : 559
      Likes Received
      37
      Likes Given
      35

      Default

      [QUOTE=Kimbunga;4185380]Mkuu Mch Kimaro nani kayasema hayo?[/

      Ndugu yangu ktk bwana aliyeyasema hayo ni mmoja wa Wakurugenzi wa hivyo vituo kwa niaba ya wenzake

    17. #15
      Ally Kanah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Posts : 780
      Rep Power : 559
      Likes Received
      37
      Likes Given
      35

      Default

      Quote By CCM-MAMA
      punguza povu. nyinyi ndo mlouwa chama chetu kwa chuki zenu za kidini
      Ubarikiwe sana na bwana atakusamehe kwa kuwa hujui ulitendalo

    18. #16
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,873
      Rep Power : 2289
      Likes Received
      1140
      Likes Given
      1479

      Default Re: LHRC wakana kuandaa maandamano kesho

      Dahh Mufti Kimarihooo,

      Hadi hapo umewapatia kweli CHADEMA kwa unafiki wao wa kutumia taasisi mbalimbali kujinufaisha kama vile:


      1. Hutumia Taasisi ya Mahakama - KUNG'OA MAHASIMU KWENYE VITI VYA UBUNGE,

      2. Taasisi ya TAKUKURU - Kukamata vidaga na MAFISADI PAPA WAKISEMEKANA HAWAGUSIKI;

      3. Taasisi za benki - Kuwapa mikopo wale tu wanaokubaliana nacho.

      4. Taasisi ya Bunge - Kama muhuri wa kupitishia madhila.

      5. Taasisi ya Jeshi la Polisi - Kupeleka watu kutalii Mabwepande.


      .... Banae, umepatia kweli kweli madai yako hayo hapo chini. Hebu kaza nyusi kidogo zaidi mkuu - huenda mambo yakawa murua kwani you never know!!!



      Quote By Mch Kimaro
      Ule unafiki wa CHADEMA kutumia migongo ya Taasisi mbalimbali kujinufaisha kisiasa umebainika l

      Unafiki huo umebainika baada ya wakurugenzi wa vituo vya haki za binaadam kukanusha kupanga maandamano ya kesho

      Wakiongea na kipindi cha JAHAZI cha Radio Clouds wamekanusha kupanga maandamano hayo na kusema kunawalioyanga kwa faida zao kisiasa ni bora wakawa wazi kuliko kuvihusisha vituo hivyo

      My take: kama mmepanga kuandamana si muweke hadharani ya kuwa ni nyie wenyewe kuliko kuwahusisha watu ambao hawajapanga kama mlivyompiga Dk Ulimboka na kujaribu ku hide sasa mmeanza kumwaga

    19. #17
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,478
      Rep Power : 6168
      Likes Received
      3052
      Likes Given
      1017

      Default Re: LHRC wakana kuandaa maandamano kesho

      naona spika kampiga kijembe Mnyika kama hamtaki haya.
      Uwezo Tunao likes this.

    20. #18
      Ally Kanah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Posts : 780
      Rep Power : 559
      Likes Received
      37
      Likes Given
      35

      Default

      Quote By HOPECOMFORT
      Na kwenye redio walisema kama ulivyo sema ww kwa kutumia neno unafiki!!
      Ndugu katika Bwana kwa kuwa wale tuliokuwa tunajua ndio wameeanda kumbe si hao basi hawa(Chadema) ndio wanafiki kwa maana wameyatangaza sana hayo maandamano ya kesho
      Watu wanamna hiyo ndani ya jamii huitwa wanafiki

    21. #19
      Ally Kanah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Posts : 780
      Rep Power : 559
      Likes Received
      37
      Likes Given
      35

      Default

      Quote By Uwezo Tunao
      Dahh Mufti Kimarihooo,

      Hadi hapo umewapatia kweli CHADEMA kwa unafiki wao wa kutumia taasisi mbalimbali kujinufaisha kama vile:


      1. Hutumia Taasisi ya Mahakama - KUNG'OA MAHASIMU KWENYE VITI VYA UBUNGE,

      2. Taasisi ya TAKUKURU - Kukamata vidaga na MAFISADI PAPA WAKISEMEKANA HAWAGUSIKI;

      3. Taasisi za benki - Kuwapa mikopo wale tu wanaokubaliana nacho.

      4. Taasisi ya Bunge - Kama muhuri wa kupitishia madhila.

      5. Taasisi ya Jeshi la Polisi - Kupeleka watu kutalii Mabwepande.


      .... Banae, umepatia kweli kweli madai yako hayo hapo chini. Hebu kaza nyusi kidogo zaidi mkuu - huenda mambo yakawa murua kwani you never know!!!
      Kweli itabaki kuwa kweli ndugu yangu

    22. #20
      Ally Kanah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Posts : 780
      Rep Power : 559
      Likes Received
      37
      Likes Given
      35

      Default

      Quote By Uwezo Tunao
      Dahh Mufti Kimarihooo,

      Hadi hapo umewapatia kweli CHADEMA kwa unafiki wao wa kutumia taasisi mbalimbali kujinufaisha kama vile:


      1. Hutumia Taasisi ya Mahakama - KUNG'OA MAHASIMU KWENYE VITI VYA UBUNGE,

      2. Taasisi ya TAKUKURU - Kukamata vidaga na MAFISADI PAPA WAKISEMEKANA HAWAGUSIKI;

      3. Taasisi za benki - Kuwapa mikopo wale tu wanaokubaliana nacho.

      4. Taasisi ya Bunge - Kama muhuri wa kupitishia madhila.

      5. Taasisi ya Jeshi la Polisi - Kupeleka watu kutalii Mabwepande.


      .... Banae, umepatia kweli kweli madai yako hayo hapo chini. Hebu kaza nyusi kidogo zaidi mkuu - huenda mambo yakawa murua kwani you never know!!!
      Hahaha ama kweli kumbe ulidhani kila aliye katika imani yako ni wa chama chako ama kweli mmeshikwa pabaya

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...