Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 99
    1. #1
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,749
      Rep Power : 4197
      Likes Received
      1012
      Likes Given
      416

      Default Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Watanganyika tuwe na misimamo mingine ambayo ni ya kizalendo kama hoja hii ya Tundu Lissu Bungeni.
      Nmeipenda hoja ya Tanganyika.
      Kama Wazanzibari wameweza kujitoa katika muungano na wakawa na sera moja juu ya muungano(iwe CCM au CUF).

      Gazeti la Nipashe leo 5 Julai 2012, (uk. wa 4)lina kichwa cha habari:

      "Lissu ataka Serikali ya Tanganyika irudi

      Na Muhibu Said, Dodoma
      Kambi ya upinzani Bungeni imesema muungano wa Tanganyika na Zanzibar unakabiliwa na hatari kubwa ya kuvunjika kutokana na kitendo cha Zanzibar kujitangazia uhuru, na kwa hiyo ni wakati mwafaka sasa wa kuanzishwa tena kwa Seikali ya Tanganyika."

      Mh Lissu ametoa argument yenye mantiki ya kutosha Bungeni kutetea hoja hii.
      Kama walivyokubaliana kule Zanzibar(CCM na CUF) , kambi ya CCM Bungeni tunawaomba waone mantiki ya hoja ya Mh Lisuu katika hili suala la Muungano na hatma yake.
      Tanganyika inabidi irudishwe kutokana na yaliyotokea Zanzibar , na kuelekea kukubalika na viongozi wote.
      Wabunge wa CCM tafadhali walione hili bila woga.
      Nawasilisha
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      mwelimishaji's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th October 2010
      Posts : 48
      Rep Power : 447
      Likes Received
      8
      Likes Given
      15

      Default Re: HongeraTundu Lissu:Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Watanganyika wapewe uhuru wao. Kwa Muda mrefu Tanganyika imejulikana kama Tanzania bara wakati huo huo Zanzibar imeendelea kuitwa Zanzibar. Ni rahisi kusikia Tanzania Zanzibar lakini kamwe hutosikia Tanzania Tanganyika. Tujiulize hivi tanganyika tuna shida na watu wasiotuhitaji? Hivi sisi hatupendi kutambuliwa na kuthaminiwa kama wazawa wa Tanganyika? Sioni faida ya muungano huu ila naona hasara nyingi sana.
      Sipendi kujikomba kuomba urafiki na mtu asiokupenda na haswa anayedai kuwa unamnyanyasa. ZANZIBAR IBAKI KAMA JIRANI KAMA ZILIVYO NCHI ZINGINE TUNAZOPAKANA NAZO.

    4. #3
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,255
      Rep Power : 1543
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default Re: HongeraTundu Lissu:Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Magamba hawawezi kukubali kwani wanapata wabunge wa bure toka Zenj over 50. Na wanajua wabaya wao hawawezi. Ukweli ni kwamba Zenj ikitoka 2015 huku Tanganyika lazima wamwagwe
      Desteo likes this.

    5. #4
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 12,014
      Rep Power : 24158
      Likes Received
      4735
      Likes Given
      2652

      Default Re: HongeraTundu Lissu:Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Ati tunaitwa TANZANIA BARA.......bara vipi wakati tuna beach kibao

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    6. #5
      manuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2009
      Posts : 711
      Rep Power : 656
      Likes Received
      263
      Likes Given
      185

      Default Re: HongeraTundu Lissu:Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Na kama ni muungano kuvunjika na iwe hivyo kabla ya 2015 sababu CHADEMA itakaposhinda Bara na CCM kushinda Zenji sipati picha kama huo mseto wa muungano utakuwa vp?
      Desteo likes this.
      TO BE HURT ITS YOUR OWN WILLING

    7. Miaka 50

    8. #6
      S.Liondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Posts : 344
      Rep Power : 478
      Likes Received
      55
      Likes Given
      6

      Default Re: HongeraTundu Lissu:Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Ningependa sana endapo muungano huu ungevunjikia mikononi mwa CCM. Tunahitaji Tanganyika yetu. Tumefanywa nchi ya kufikirika kwa miaka mingi wakati wazanzibari bado ni taifa huru lenye sifa zote za kuwa taifa huru. Wacha tubaki kama majirani wema lakini kila nchi iwe taifa kamili.

    9. #7
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,726
      Rep Power : 2267
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default Re: HongeraTundu Lissu:Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Quote By Nyakageni
      Magamba hawawezi kukubali kwani wanapata wabunge wa bure toka Zenj over 50. Na wanajua wabaya wao hawawezi. Ukweli ni kwamba Zenj ikitoka 2015 huku Tanganyika lazima wamwagwe
      Watakubali tu, upepo wa kisulisuli inaivizia CCM.
      Simple life is healthier than egoism.

    10. #8
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,726
      Rep Power : 2267
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default Re: HongeraTundu Lissu:Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Quote By manuu
      Na kama ni muungano kuvunjika na iwe hivyo kabla ya 2015 sababu CHADEMA itakaposhinda Bara na CCM kushinda Zenji sipati picha kama huo mseto wa muungano utakuwa vp?
      Itakuwa poa sana, lakini mwisho chumbe.
      Simple life is healthier than egoism.

    11. mob
      #9
      mob's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th December 2009
      Posts : 594
      Rep Power : 600
      Likes Received
      103
      Likes Given
      38

      Default Re: HongeraTundu Lissu:Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      tanganyika freedom is coming soon

    12. #10
      Mr. Teacher's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th January 2011
      Posts : 47
      Rep Power : 432
      Likes Received
      9
      Likes Given
      32

      Default Serikali na muungano

      Nilisikitishwa sana jana na kauli za Vuai Nahoha na Fredrick Werema wakati wakijibu hoja za Mh. Lissu kuhusu hotuba yake abt muungao. Jambo la kwanza nlilojifunza ni kuwa serikali ilipanic sana kutokana na hotuba ya Lissu, hadi ikabidi wajipange watu wengi kumjibu!!!la pili ni ujinga kujibu hoja bila kufikiri, eti Nahodha anasema si vizuri kusema ukweli kila wakati, kha, hii ina maana govt huwa inatudanganya kwenye mambo mengi tuu!!!!!!

      Lakini cha zaidi huyo Nahodha anatetea kitu asichikiamini, yeye ni mmojawapo wa watu watata abt Muungano, ila b'se ni minister anajifanya kutetea mambo ambayo anajua ukweli ambao hawezi kuusema hadharani!!!! werema nae na mashaka na taaluma yake ya sheria, ni ujinga kupinga points amabzo ziko wazi kabisa from Lissu!!!

      Na Chiligati nae anatetea ujinga, eti Z'bar ina jeshi gani, hivyo vikosi vina uwezo gani kivita!!! anasahau kuwa hata M'buyu ulianza kama mchicha!!!!!lakini cha zidi jamani, Z'bar wanapokuwa now wana makamu wa rais wawili kiitifaki inakuwaje? Wanakuja bara na kupewa heshima zote kama viongozi wa kitaifa wakati katiba ya muungano haiwatambui, remember katiba ya sasa muungano inamtambua waziri kiongozi; halafu hapo unasema katiba ya muungano haijavunjwa? kha!!! hapa ni kuangalia facts ni sio kuangalia vyama, ktk hili siko pamoja na wana CCM wenzangu!
      Kaa la Moto likes this.

    13. #11
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,749
      Rep Power : 4197
      Likes Received
      1012
      Likes Given
      416

      Default Re: HongeraTundu Lissu:Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Pamoja na kumpinga Tundu Lissu bila sababu ya msingi, Mwanasheria Mkuu, Jaji Werema amekiri kuwa HATA YEYE hajaliona tamko hilo la maadishi ya kuridhia muungano.
      Mbaya zaidi sidhani kama anazo hadidu za rejea kwa yaliyo kubaliwa kati ya CCM-Zanzibar na CUF-Zanzibar.
      Na hapo ndio nasema CCM-Tanganyika imewekwa rehani katika muungano, ni wakati muafaka sasa kuirudisha ili tusiendelee kududumia Zanzibar kwa kodi zetu.
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    14. #12
      brazilian's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 609
      Rep Power : 1359
      Likes Received
      101
      Likes Given
      5

      Default Re: Serikali na muungano

      Huyu Chiligati si ni kama mzee wa Manzese anayebishana mambo ya Simba na Yanga. Yupo yupo tu Hana umuhimu wowowte kwenye nchi hii

    15. #13
      integralboy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 11
      Rep Power : 349
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default

      Nampa hongera sana mheshimiwa tundu lisu

    16. #14
      maswitule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 420
      Rep Power : 518
      Likes Received
      119
      Likes Given
      47

      Default re: Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Hakika hata mimi pale waziri wa Muungano aliposema Zanzibar ni nchi, nilishindwa kumulewa maana alisema kama kuna Muungano wa nchi mbili basi Zanzibar ni nchi nikajiuliza na nchi ya Pili ni ipi bila Shaka ni Tanganyika, na nikajiuliza sasa Tanzania ni nini basi? Shirikisho Kama East Africa community?

      Nadhani wanatupotosha wengi tunachojua Zanzibar na Tanganyika Zilikuwa nchi zikaungana na kuwa Tanzania. Hivyo nchi ni Tanzania na si Zanzibar au Tanganyika?

      Wataalamu wa siasa watusaidie kwenye hili maana hata Pinda aliwahi kusema Zanzibar si nchi na ikaonekana hakukosea sasa iweje leo tena waziri wake aseme ni nchi

    17. #15
      Madela Wa- Madilu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2007
      Location : NORTH WEST USA
      Posts : 2,524
      Rep Power : 2441
      Likes Received
      278
      Likes Given
      286

      Default Re: Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Ukishindwa kujibu hoja una kimbilia kudai msemaji hana elimu ya kutosha.

      Hiyo kitu Wazungu wanaiita Character Assanination

      Badala ya kushambulia hoja unashambulia mtu.


      Janja ya CCM kwisa jua.
      Lyceum likes this.
      MYPEOPLE PERISH FOR LACK OF KNOWLEDGE. HOSEA 4:6

    18. #16
      Kigogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,195
      Rep Power : 2095
      Likes Received
      1233
      Likes Given
      313

      Default Re: HongeraTundu Lissu:Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Quote By manuu
      Na kama ni muungano kuvunjika na iwe hivyo kabla ya 2015 sababu CHADEMA itakaposhinda Bara na CCM kushinda Zenji sipati picha kama huo mseto wa muungano utakuwa vp?
      CCm haijawahi kushinda zanzibar hata siku moja...
      ______________________________ _
      Niko tayari kufa huku nimesimama kuliko kuishi huku nimepiga magoti....

    19. #17
      IAN ULOMI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th October 2011
      Posts : 17
      Rep Power : 386
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Kabisa tunataka tanganyika yetu.

    20. #18
      yutong's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2011
      Posts : 1,356
      Rep Power : 686
      Likes Received
      240
      Likes Given
      97

      Default Re: Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Hii hoja ya Utanganyika inakubalika na M4C wakijikita nayo Gamba lazima nao wataigeukia kama ilivyokuwa ya mabadiliko ya katiba yahani sasa hivi jipu limebata mkunaji we ni kuswitch utaona watu wanavyoropoka
      Sign of Victory - R. Kelly

    21. #19
      Mzenji73's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th January 2009
      Posts : 204
      Rep Power : 823
      Likes Received
      33
      Likes Given
      53

      Default Re: Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      am JUST loving this!! heko Mh Lissu .... msaada wenu wahitajika kufikia matakwa ya walio wengi wetu

    22. lum
      #20
      lum's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 101
      Rep Power : 379
      Likes Received
      22
      Likes Given
      11

      Default Re: Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      sisi wazanzibari ngoma yetu ya kibati tushaicheza toka 2010,na ndio imewafanya watanganyika kuja na mzimu wa katiba mpya,mabadiliko ya 10 yamewafanya sasa waamshe ngoma yao ya kimasai,sasa wacha tuangalie wanavyocheza huku wakikosana mikuki ha ha ha ha ha.

      kilichokuwa kikifanyika na Uamsho wenyewe wenye lugha wanakiita ‘negotiating from a strong position’ Mara hii lazima muone joto ya jiwe watu wa upande wa pili\(watanganyika); mambo ndio kwanza yanaanza mushaanza kupatwa na baridi. HATA BADO MWISHO MTATAFUNANA WENYEWE..
      Sisi tunawaambia…
      Zanzibar kwanza

      niliwaambia siku za nyuma humu UAMSHO ni chombo tu cha usafiriiiii imepewa kazi ya kufunga chapter ya mwanzo ya zanzibar mpya na kufungua ya pili na katika kutekeleza majukumu yake kuna steps za kupitia na hakuna wa kuwazuiya znz.WAZANZIBAR NI WATAALAMU WA FANI YA SIASA njonii mjifunze nyinyi watu..
      sasa tumewatia tanganyika kwenywe micrometer gauge''TUNAWATAZAMA KWA MAKINI'' tunawasaidia kutunga katiba ya tanganyika tukimaliza mtakwenda wenyewe NEW YORK kushusha lile tambara la muungano,

      CHEZEA WAZANZIBAR NYIEEEE

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...