Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

    Report Post
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast
    Results 41 to 60 of 99
    1. #1
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,883
      Rep Power : 4228
      Likes Received
      1049
      Likes Given
      429

      Default Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Watanganyika tuwe na misimamo mingine ambayo ni ya kizalendo kama hoja hii ya Tundu Lissu Bungeni.
      Nmeipenda hoja ya Tanganyika.
      Kama Wazanzibari wameweza kujitoa katika muungano na wakawa na sera moja juu ya muungano(iwe CCM au CUF).

      Gazeti la Nipashe leo 5 Julai 2012, (uk. wa 4)lina kichwa cha habari:

      "Lissu ataka Serikali ya Tanganyika irudi

      Na Muhibu Said, Dodoma
      Kambi ya upinzani Bungeni imesema muungano wa Tanganyika na Zanzibar unakabiliwa na hatari kubwa ya kuvunjika kutokana na kitendo cha Zanzibar kujitangazia uhuru, na kwa hiyo ni wakati mwafaka sasa wa kuanzishwa tena kwa Seikali ya Tanganyika."

      Mh Lissu ametoa argument yenye mantiki ya kutosha Bungeni kutetea hoja hii.
      Kama walivyokubaliana kule Zanzibar(CCM na CUF) , kambi ya CCM Bungeni tunawaomba waone mantiki ya hoja ya Mh Lisuu katika hili suala la Muungano na hatma yake.
      Tanganyika inabidi irudishwe kutokana na yaliyotokea Zanzibar , na kuelekea kukubalika na viongozi wote.
      Wabunge wa CCM tafadhali walione hili bila woga.
      Nawasilisha
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”


    2. #41
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,921
      Rep Power : 1171
      Likes Received
      1058
      Likes Given
      804

      Default Re: Lisu amwaga tindikali bungeni

      Tukiweka ushambenga na ushabiki kando Lissu ana hoja nzito sana kuhusu mustakabali wa taifa na muungano wetu! hizo ndio hoja ambazo mwanasheria mkuu AG Alitakiwa kuzi adress na ku clarify wakati anachangia sio kumrukia prof. Shivji na kuanza kumkashifu lissu! Kuna mgongano mkubwa sana wa kisheria kati ya katiba ya zanzibar ya sasa na katiba ya JMT! Haya mambo yakiendelea kufumbiwa macho yafumuka yenyewe na madhara yake ni makubwa sana kuliko ambavo yangejadiliwa sasa!!
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    3. #42
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,988
      Rep Power : 2594
      Likes Received
      641
      Likes Given
      777

      Default Re: Serikali na muungano

      We shall overcome, righteousness shall always prevail.

    4. #43
      Che Guevara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd May 2009
      Posts : 669
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      70
      Likes Given
      21

      Default Re: Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Bila kujali itikadi zetu za kisiasa, Watanganyika tupiganie haki ya kuwa na nchi yetu tena kama wanavyofanya Wazanzibari mara zote.
      Hongera Lissu kwa kupasua jipu.
      TANGANYIKA INAKUJA.
      "You must be the change you want to see in the world" - Mahatma Gandhi (1869-1948)

    5. #44
      pula's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd January 2011
      Posts : 32
      Rep Power : 432
      Likes Received
      1
      Likes Given
      5

      Default Re: Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      yah..imefika wakati watanganyika tuseme ukweli,,kwa muda mferu tumekuwa kimya kama silaha ya kuulinda muungano..udhaifu huu umewajenga upande wa pili kujiona kana kwamba sisi tunanufaika na huu muungano..wamekuwa wakisema maneno makali hata tukiwa makazi..tumeonyesha moyo wa unyonge kuepusha marumbani..but now is a time....tunaitaka tanganyika..tumechoka na huu mzigo..tunawabeba kwa kila kitu..hivi tunachowang'ang'ania nini hawa....tumewachoka...lets them gooooo

    6. #45
      daby mouser's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Posts : 129
      Rep Power : 396
      Likes Received
      20
      Likes Given
      15

      Default Re: Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      hivi ZITTO yupo mjengoni(bungeni) kweli? bado sijaupata moto wake wa siku zote,zitto tupe raha bhana!


    7. #46
      KANYIMBI's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Tanganyika
      Posts : 182
      Rep Power : 421
      Likes Received
      23
      Likes Given
      64

      Default Re: Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Haya sasa jaji Warioba, chukua haya maoni na uyafanyie kazi.

    8. #47
      Kobello's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2011
      Posts : 3,042
      Rep Power : 1682
      Likes Received
      1180
      Likes Given
      200

      Default Re: Lisu amwaga tindikali bungeni

      Quote By Nyakageni View Post
      we need our country back!
      4sho!.
      Keeping quiet is a war crime.

    9. #48
      GHIBUU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Location : UK
      Posts : 801
      Rep Power : 592
      Likes Received
      97
      Likes Given
      679

      Default Re: Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Nampa hongera sana lissu,ila katika uchambuzi wake inaonekana amekerwa na mabadiliko ya 10 ya katiba ya zanzibar kuitangazia uhuru.
      Wakati huo huo unachambu katiba ya muungano na kukubali kuwa kuna makose yametendeka moja ni kuongeza mambo ya muungano kinyume na sheria.
      Unafahamu kuwa muungano umeundwa na nchi mbili ambazo zilikuwa huru ? Sasa wewe umekerwa nini zanzibar kujitangazia uhuru wake ? Ile sio arusha wala mtwara.
      Hoja ya lissu sio ya kudai tanganyika bali ilikuwa hoja ya kulalamika tu kwa sababu wazanzibari wamejinyakulia madaraka yao kwenye muungano !
      Ikiwa kweli chadema na watanganyika wote munaipenda nchi yenu kwa nini mumeshindwa kuonyesha hisia zenu kama uwamsho walivyo waamsha wazanzibari kudai kura ya maoni huku wakidai uhuru wa zanzibar na mamlaka yake yote ambayo yamo kwenye muungano ?
      Nikiangalia chadema ni sawa G55 ambayo iliyokuwa ikiongozwa na kikwete mmoja,g55 walidai tanganyika ,nyerere akawaita na kuwaweka kitako,aliwaambia kuwa tanganyika ni hii tanzania tunataka kuimeza zanzibar,na nakumbuka ile nguvu ya chadema ya hapo awali haipo tena,kikwete ameshawaeka kitako,mumekaa kimya,kama kweli wanaume na munaipenda tanyanyika ! Pelekeni mswada maalum wa kuirudisha tanganyika,hoja binafsi hiyo .
      Pelekeni bungenii ! Musiwe wanafiki.
      JokaKuu likes this.

    10. #49
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,883
      Rep Power : 4228
      Likes Received
      1049
      Likes Given
      429

      Default Re: Lisu amwaga tindikali bungeni

      Quote By Lyimo View Post
      Hata Mh.Nahodha aliunga mkono na kusema ni kweli tupu, ila si vizuri kuusema. Kwakweli hapo alinichanganya kidogo.
      Wazanzibari wana mkakati ambao inaelekea viongozi wetu aidha wana dharau-at our peril- au wanaogopa.
      Sioni kwa nini WazaNzibari wanatekeleza matakwa yao tena kwa mbwembwe zote hadharani na bila kificho ili kuibuat utaifa wa Zanzibar na sisi huku Tanganyika tuna dily daly.
      Viongozi wote wa Zanzibar wana msimamo mmoja, Zanzibar first, Muungano ni wa kuibeba Zanzibar at the expense of Tanganyika.
      Ni jambo la kusikitisha kuwa si wengi kati ya viongozi wetu toka Tanganyika wanao tambua hilo.
      FREDOMFIGHTER and FJM like this.
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    11. #50
      JokaKuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2006
      Posts : 6,915
      Rep Power : 2990
      Likes Received
      2548
      Likes Given
      3634

      Default Re: Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Quote By GHIBUU View Post
      Nampa hongera sana lissu,ila katika uchambuzi wake inaonekana amekerwa na mabadiliko ya 10 ya katiba ya zanzibar kuitangazia uhuru.
      Wakati huo huo unachambu katiba ya muungano na kukubali kuwa kuna makose yametendeka moja ni kuongeza mambo ya muungano kinyume na sheria.
      Unafahamu kuwa muungano umeundwa na nchi mbili ambazo zilikuwa huru ? Sasa wewe umekerwa nini zanzibar kujitangazia uhuru wake ? Ile sio arusha wala mtwara.
      Hoja ya lissu sio ya kudai tanganyika bali ilikuwa hoja ya kulalamika tu kwa sababu wazanzibari wamejinyakulia madaraka yao kwenye muungano !
      Ikiwa kweli chadema na watanganyika wote munaipenda nchi yenu kwa nini mumeshindwa kuonyesha hisia zenu kama uwamsho walivyo waamsha wazanzibari kudai kura ya maoni huku wakidai uhuru wa zanzibar na mamlaka yake yote ambayo yamo kwenye muungano ?
      Nikiangalia chadema ni sawa G55 ambayo iliyokuwa ikiongozwa na kikwete mmoja,g55 walidai tanganyika ,nyerere akawaita na kuwaweka kitako,aliwaambia kuwa tanganyika ni hii tanzania tunataka kuimeza zanzibar,na nakumbuka ile nguvu ya chadema ya hapo awali haipo tena,kikwete ameshawaeka kitako,mumekaa kimya,kama kweli wanaume na munaipenda tanyanyika ! Pelekeni mswada maalum wa kuirudisha tanganyika,hoja binafsi hiyo .
      Pelekeni bungenii ! Musiwe wanafiki.
      GHIBUU,

      ..hoja ya Tundu Lissu iko very clear. Kama wa-Zanzibari wamepewa haki ya kuwa na serikali yao, pamoja na bunge lao, basi wa-Tanganyika na sisi tunastahili haki hiyohiyo.

      ..hakuna mahali ambapo Tundu Lissu amedai kwamba serikali ya Zanzibar ifutwe. Msome vizuri ktk conclusion aliyotoa ambapo ametamka wazi kwamba TANGANYIKA inapaswa kurejeshwa.

      ..Tundu Lissu anapigania USAWA ktk MUUNGANO, badala ya dhuluma na udhalilishaji unaoendelea dhidi ya wa-Tanganyika.

      ..Badala ya kuwabeza na kuwakatisha tamaa, wa-Zanzibari mnapaswa kuziunga mkono juhudi za wa-Tanganyika kama Tundu Lissu na wengine wenye msimamo kama wake.

      ..LET ZANZIBAR GO!!!

      NB:

      ..G-55 came before their time. The same way kama ilivyokuwa kwa Alhaji Aboud Jumbe Mwinyi ambaye aliu-challenge muungano na watu kama Seif Sharrif Hamad wakampinga. Msimamo wa Maalim Seif kuhusu muungano umebadilika sana toka mwaka 84 mpaka leo hii.

      ..Actually sasa hivi Maalim Seif "amelainika" kiasi kwamba badala ya kurejeshwa kwa Zanzibar "huru" kama ili ya mwaka 1963 na kabla ya hapo. Maalim Seif anapendekeza kuwepo kwa "muungano wa kimkataba." Swali la kujiuliza ni kwamba, Nyerere na Karume walisaini kitu gani kama siyo mkataba wa muungano??
      Last edited by JokaKuu; 5th July 2012 at 23:58.
      FJM likes this.

    12. FJM is offline
      FJM
      #51
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,213
      Rep Power : 2580
      Likes Received
      5344
      Likes Given
      4607

      Default Re: Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Quote By GHIBUU View Post
      Nampa hongera sana lissu,ila katika uchambuzi wake inaonekana amekerwa na mabadiliko ya 10 ya katiba ya zanzibar kuitangazia uhuru.
      Wakati huo huo unachambu katiba ya muungano na kukubali kuwa kuna makose yametendeka moja ni kuongeza mambo ya muungano kinyume na sheria.
      Unafahamu kuwa muungano umeundwa na nchi mbili ambazo zilikuwa huru ? Sasa wewe umekerwa nini zanzibar kujitangazia uhuru wake ? Ile sio arusha wala mtwara.
      Hoja ya lissu sio ya kudai tanganyika bali ilikuwa hoja ya kulalamika tu kwa sababu wazanzibari wamejinyakulia madaraka yao kwenye muungano !
      Ikiwa kweli chadema na watanganyika wote munaipenda nchi yenu kwa nini mumeshindwa kuonyesha hisia zenu kama uwamsho walivyo waamsha wazanzibari kudai kura ya maoni huku wakidai uhuru wa zanzibar na mamlaka yake yote ambayo yamo kwenye muungano ?
      Nikiangalia chadema ni sawa G55 ambayo iliyokuwa ikiongozwa na kikwete mmoja,g55 walidai tanganyika ,nyerere akawaita na kuwaweka kitako,aliwaambia kuwa tanganyika ni hii tanzania tunataka kuimeza zanzibar,na nakumbuka ile nguvu ya chadema ya hapo awali haipo tena,kikwete ameshawaeka kitako,mumekaa kimya,kama kweli wanaume na munaipenda tanyanyika ! Pelekeni mswada maalum wa kuirudisha tanganyika,hoja binafsi hiyo .
      Pelekeni bungenii ! Musiwe wanafiki.
      Nadhani umeipitia hoja ya Lissu kwa haraka haraka. Lissu 'hajakerwa' na Zanzibar kujitakia uhuru wake, infact kama umeangalia vizuri ameonesha jinsi mambo yamekuwa yanaongezwa kinyemela beyond yale 11.

      Nakubaliana na wewe kwamba muungano ni wa nchi mbili huru, na sasa moja imeshajitangazia uhuru wake. Sasa, Tanganyika nao wanataka haki yao na kuhusu namna ya kudai serikali ya Tanganyika, si lazima kufanya copy & paste style ya UAMSHO.

      Najua so far watoa maoni wengi Zanzibar wanataka serikali mbili lakini kuwe na muungano wa mkataba! But I say, LET ZANZIBAR GO. Mkataba tukafanyie kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki au SADC OR NEVER.

      Kwenye red: sijakuelewa. nguvu ipi, kwenye nini? na umepima vipi?
      JokaKuu likes this.

    13. #52
      SHEMGUNGA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 334
      Rep Power : 441
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      lisu ni kama messi wa barcelona vile!

    14. #53
      GHIBUU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Location : UK
      Posts : 801
      Rep Power : 592
      Likes Received
      97
      Likes Given
      679

      Default Re: Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      JokaKuu
      wazanzibari hata wasiposaidiwa na chadema au chama chochote kila basi kama ni lengo ukombozi basi utatimia inshallah ,hivi hivyo unavyo zani wewe hiyo hoja alie ipeleka tundu lissu wazanzibari hawaijui ? Kwa taarifa yako wazanzibari wauelewa zaidi huu muungano kuliko hata watanganyika,na ndio ukaona tunadai haki zetu za msingi ambozo tumepokonywa kikatiba ya muungano.
      Kwa kumalizia lisu hakupeleka hoja kuwasaidia wazanzibari bali kapeleka hoja kuwa zanzibar imejitangazia uhuru tu,na kama si hivyo basi neno tanganyika hivi sasa lisingelikuwa midomoni mwenu,sisi tunavyofahamu tanganyika ni hii tanzania,imeinyang'anya zanzibar mamlaka yake kwa kuvaa ya koti la muungano.

      Namalizia kusema acheni kuilalamikia zanzibar kama tanganyika munaipenda na munataka tuendee ya muungano ambao utakao kuwa wa haki kwa pande zote mbili. Peleka hoja binafsi bungeni kurudishwa kwa tanganyika,jamuhuri ya tanganyika ! Lissu upo ?
      JokaKuu likes this.

    15. #54
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,732
      Rep Power : 736
      Likes Received
      301
      Likes Given
      36

      Default Re: Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Kuirudisha Tanganyika yetu inawezekana

    16. FJM is offline
      FJM
      #55
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,213
      Rep Power : 2580
      Likes Received
      5344
      Likes Given
      4607

      Default Re: Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Quote By GHIBUU View Post
      JokaKuu
      wazanzibari hata wasiposaidiwa na chadema au chama chochote kila basi kama ni lengo ukombozi basi utatimia inshallah ,hivi hivyo unavyo zani wewe hiyo hoja alie ipeleka tundu lissu wazanzibari hawaijui ? Kwa taarifa yako wazanzibari wauelewa zaidi huu muungano kuliko hata watanganyika,na ndio ukaona tunadai haki zetu za msingi ambozo tumepokonywa kikatiba ya muungano.
      Kwa kumalizia lisu hakupeleka hoja kuwasaidia wazanzibari bali kapeleka hoja kuwa zanzibar imejitangazia uhuru tu,na kama si hivyo basi neno tanganyika hivi sasa lisingelikuwa midomoni mwenu,sisi tunavyofahamu tanganyika ni hii tanzania,imeinyang'anya zanzibar mamlaka yake kwa kuvaa ya koti la muungano.

      Namalizia kusema acheni kuilalamikia zanzibar kama tanganyika munaipenda na munataka tuendee ya muungano ambao utakao kuwa wa haki kwa pande zote mbili. Peleka hoja binafsi bungeni kurudishwa kwa tanganyika,jamuhuri ya tanganyika ! Lissu upo ?
      GHIBUU, kama unavyosema kwa sasa Zanzibar "imerudisha haki zetu za msingi ambozo iliipokonywa kikatiba na muungano"
      Naomba unisaidie, kwanini huu uhuru mlijitangazia usiwe 100% kwamba hakuna cha mkataba waka baba yake na mkataba? Kwanini bado kama kuna kunin'ginia kwenye mti huu wa muungano
      JokaKuu likes this.

    17. #56
      mfianchi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Location : Likulufusi
      Posts : 3,653
      Rep Power : 1242
      Likes Received
      612
      Likes Given
      1266

      Default Re: Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Namuomba Mungu azidi kunipa pumzi ili niwe mmojawapo wa watakao sherehekea kurudi kwa Tanganyika yetu,hawa masharobaro tuwaachie Makunduchi yao
      FREDOMFIGHTER likes this.
      MFUNGWA HACHAGUI GEREZA

    18. #57
      JokaKuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2006
      Posts : 6,915
      Rep Power : 2990
      Likes Received
      2548
      Likes Given
      3634

      Default Re: Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Quote By GHIBUU View Post
      JokaKuu
      wazanzibari hata wasiposaidiwa na chadema au chama chochote kila basi kama ni lengo ukombozi basi utatimia inshallah ,hivi hivyo unavyo zani wewe hiyo hoja alie ipeleka tundu lissu wazanzibari hawaijui ? Kwa taarifa yako wazanzibari wauelewa zaidi huu muungano kuliko hata watanganyika,na ndio ukaona tunadai haki zetu za msingi ambozo tumepokonywa kikatiba ya muungano.
      Kwa kumalizia lisu hakupeleka hoja kuwasaidia wazanzibari bali kapeleka hoja kuwa zanzibar imejitangazia uhuru tu,na kama si hivyo basi neno tanganyika hivi sasa lisingelikuwa midomoni mwenu,sisi tunavyofahamu tanganyika ni hii tanzania,imeinyang'anya zanzibar mamlaka yake kwa kuvaa ya koti la muungano.

      Namalizia kusema acheni kuilalamikia zanzibar kama tanganyika munaipenda na munataka tuendee ya muungano ambao utakao kuwa wa haki kwa pande zote mbili. Peleka hoja binafsi bungeni kurudishwa kwa tanganyika,jamuhuri ya tanganyika ! Lissu upo ?
      GHIBUU,

      ..nakubaliana na wewe by 90%.

      ..nisichokubaliana na wewe ni pale unapodhani kwamba Tundu Lissu anapinga jitihada za Zanzibar kujitambulisha kama taifa huru.

      ..anachodai Tundu Lissu ni kuundwa kwa serikali ya Tanganyika, na ikiwa muungano utadumu basi serikali hiyo itakuwa ni mbia sawa na serikali ya Zanzibar ktk masuala ya muungano.

      ..hakuna ulazima wa kupeleka bungeni hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika wakati tayari kuna tume inazunguka nchi nzima kukusanya maoni ya wananchi kuhusu suala la katiba mpya.

      ..Ghibuu, hakuna haja ya kugombea fito wakati nyumba tunayojenga ni moja. wewe unaitaka Zanzibar yako, na sisi tunaitaka Tanganyika yetu.

      ..sana sana tunachowaomba wa-Zanzibari ni kwamba muachane na jitihada za kuleta muungano wa "mkataba", na badala yake Tanganyika na Zanzibar tushirikiane kupitia Jumuiya ya Afrika Mashariki.

      ..LET ZANZIBAR GO!!

    19. #58
      GHIBUU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Location : UK
      Posts : 801
      Rep Power : 592
      Likes Received
      97
      Likes Given
      679

      Default

      Quote By JokaKuu View Post
      GHIBUU,

      ..nakubaliana na wewe by 90%.

      ..nisichokubaliana na wewe ni pale unapodhani kwamba Tundu Lissu anapinga jitihada za Zanzibar kujitambulisha kama taifa huru.

      ..anachodai Tundu Lissu ni kuundwa kwa serikali ya Tanganyika, na ikiwa muungano utadumu basi serikali hiyo itakuwa ni mbia sawa na serikali ya Zanzibar ktk masuala ya muungano.

      ..hakuna ulazima wa kupeleka bungeni hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika wakati tayari kuna tume inazunguka nchi nzima kukusanya maoni ya wananchi kuhusu suala la katiba mpya.

      ..Ghibuu, hakuna haja ya kugombea fito wakati nyumba tunayojenga ni moja. wewe unaitaka Zanzibar yako, na sisi tunaitaka Tanganyika yetu.

      ..sana sana tunachowaomba wa-Zanzibari ni kwamba muachane na jitihada za kuleta muungano wa "mkataba", na badala yake Tanganyika na Zanzibar tushirikiane kupitia Jumuiya ya Afrika Mashariki.

      ..LET ZANZIBAR GO!!
      Nafikiri wewe hujaelewa kwa nini watu wanadai muungano wa mkataba,ukiangalia kijografia tanganyika ndio inayo muhitaji zanzibar ukiangalia moja ni bahari kuu ya zanzibar. Hiyo ni moja tu ya mambo ambayo ita wacost . Sisi upande wetu tunataka uhuru hasa hata muungano hatuutaki kwa vile black coloni limetuganda ndio tunapapatua at least tupumulie hapo wa mkataba. But if there's possible to be independent defenetly we gonna be happy 4reva
      JokaKuu likes this.

    20. #59
      Barubaru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2009
      Location : Doha, Qatar
      Posts : 5,826
      Rep Power : 1940
      Likes Received
      1231
      Likes Given
      1193

      Default Re: Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

      Nampongeza sana Lissu hakika huyu ndio mtu pekee miongoni mwa waTanganyika mwenye uthubutu wa kuzungumza ukweli na bayana tena mchana kweupeeeeeeee bila kuogopa. HAKUNA MTANGANYIKA HATA MMOJA MWENYE UTHUBUTU WA KUZUNGUMZIA TANGANYIKA HADHARAni kama pale Bungeni.

      Hongere sana Mwana Ilboru.
      JokaKuu likes this.
      Ukiwa mchoyo, usiwe mroho.

      Man Sharaf naf'sahu, fahuwa rasul

    21. #60
      Barubaru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2009
      Location : Doha, Qatar
      Posts : 5,826
      Rep Power : 1940
      Likes Received
      1231
      Likes Given
      1193

      Default Re: Lisu amwaga tindikali bungeni

      Quote By OSOKONI View Post
      Tukiweka ushambenga na ushabiki kando Lissu ana hoja nzito sana kuhusu mustakabali wa taifa na muungano wetu! hizo ndio hoja ambazo mwanasheria mkuu AG Alitakiwa kuzi adress na ku clarify wakati anachangia sio kumrukia prof. Shivji na kuanza kumkashifu lissu! Kuna mgongano mkubwa sana wa kisheria kati ya katiba ya zanzibar ya sasa na katiba ya JMT! Haya mambo yakiendelea kufumbiwa macho yafumuka yenyewe na madhara yake ni makubwa sana kuliko ambavo yangejadiliwa sasa!!
      Ujasiri wa Lissu ni kuwa yupo katika kufuata katiba yenu ya Muungano na siku zote anasimamia hapa
      sharia hiyo ya Muungano inayobainisha Mamlaka ya JMTz No 15 Ibara ya 9 ya mwaka 1984. Kifungu cha 34. inayonena hivi


      34.-(1) Kutakuwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano
      ambayo itakuwa na mamlaka juu ya mambo yote ya Muungano

      katika Jamhuri ya Muungano, na pia juu ya mambo mengine yote

      yahusuyo Tanzania Bara.

      (2) Mamlaka ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano yatahusu

      utekelezaji na hifadhi ya Katiba hii na pia mambo mengineyo yote

      ambayo Bunge lina mamlaka ya kuyatungia sheria.

      Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania



      (3) Mamlaka yote ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano juu ya

      mambo yote ya Muungano katika Jamhuri ya Muungano, na pia

      juu ya mambo mengineyo yote yahusuyo Tanzania Bara,

      yatakuwa mikononi mwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

      (4) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Katiba hii,

      madaraka ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano yatatekelezwa

      ama na Rais mwenyewe moja kwa moja au kwa kukasimu

      madaraka hayo kwa watu wengine wenye madaraka katika

      utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano.


      Ukiwa mchoyo, usiwe mroho.

      Man Sharaf naf'sahu, fahuwa rasul

    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...