Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wanaharakati Wazidi kuibana Serikali-SIKIKA Yatoa Tamko

    Report Post
    Results 1 to 15 of 15
    1. #1
      Mlosi K. Mtulutumbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2010
      Posts : 610
      Rep Power : 617
      Likes Received
      189
      Likes Given
      198

      Default Wanaharakati Wazidi kuibana Serikali-SIKIKA Yatoa Tamko

      SIKIKA ni shirika lisilo la kiserikali linalotekeleza shughuli mbali mbali zenye lengo la kuchochea upatikanaji wa huduma za afya zenye uwiano, viwango na ubora unaokubalika, gharama nafuu na zilizo endelevu. SIKIKA imekuwa mstari wa mbele kufanya tafiti katika sekta ya afya na kuhimiza utekelezaji wa sera, uwajibikaji na upatikanaji wa huduma bora nchini Tanzania.

      Kama neno ‘afya’ lilivyo tafsiriwa na Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) Mwaka 1948, sera ya afya ya Taifa (Tanzania Health Policy) ya mwaka 2007, nayo pia inatambua ‘afya’ kama hali ya ukamilifu wa binadamu kiakili, kimwili, kijamii na siyo tu kutokuwepo kwa maradhi.

      Afya bora ni mhimili wa maendeleo ya mtu binafsi, familia na taifa zima kwa ujumla hasa katika harakati za kuondoa umasikini uliokithiri katika taifa letu.

      Katika nchi yetu, mfumo wa utoaji huduma katika sekta ya afya umegawanyika katika ngazi tatu yaani ngazi ya afya ya msingi kama vile zahanati na vituo vya afya, ngazi ya pili kama vile hospitali za wilaya au mikoa na ngazi ya hospitali za rufaa kama vile hospitali ya Muhimbili, Mbeya, Bugando, KCMC na hospitali maalumu kama taasisi ya magonjwa ya kansa ya Ocean Road au hospitali ya magonjwa ya akili ya Milembe.

      Hospitali hizi za rufaa hushughulika na magonjwa ambayo ama yameshindikana katika hospitali za ngazi za chini au wataalamu waliopo katika ngazi hizo na vifaa vilivyopo haviwezi kutoa huduma stahili kwa magonjwa hayo.

      Hivyo basi, iwapo kutakuwa na matatizo yanayoathiri utendaji wao wa kazi wa kila siku na kwa kuwa wagonjwa walioletwa katika hospitali hizi za rufaa hawawezi kurudishwa kule walikotoka (ngazi za chini), wagonjwa hawa wasio na hatia ndiyo waumiao kutokana na matatizo hayo.

      Bofya Link hii kwa taarifa kamili: http://www.sikika.or.tz/sw/publicati...ad.php?uid=235


      Huu ni Mfululizo wa Wanaharakati kutoa matamko yao ya kuibana Serikali itatue Mgogoro na Madaktari kwa amani. Tamko hili la 10 pages, limetoa takwimu za kuridhisha na kuonyesha udhaifu mkubwa wa Serikali.
      Kufanya Jambo Baya ni Dhambi, twafahamu hilo, Ukiwa na nia ya Kutenda au kuamua jema badala yake ukatenda jambo baya kwa Kuogopa kukaripiwa na wafanya Mabaya ni Unafiki na Ufukara wa Fikra!


    2. #2
      WISDOM SEEDS's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2011
      Location : Sweden
      Posts : 609
      Rep Power : 529
      Likes Received
      113
      Likes Given
      66

      Default Re: Wanaharakati Wazidi kuibana Serikali-SIKIKA Yatoa Tamko

      Hivi mnadhani JK anasoma mambo haya? Amwachie nani safari za kimataifa?
      "Tumefika hapa kwa sababu ya udhaifu wa Rais Kikwete, kwa uzembe wa Bunge, na kwa sababu ya upuuzi wa CCM" John Mnyika

    3. #3
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,196
      Rep Power : 12768
      Likes Received
      6432
      Likes Given
      991

      Default Re: Wanaharakati Wazidi kuibana Serikali-SIKIKA Yatoa Tamko

      Wanaharakati wanaibana serikali kivipi?

    4. #4
      samora10's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2010
      Location : Kwa-Gude
      Posts : 3,271
      Rep Power : 1111
      Likes Received
      732
      Likes Given
      1170

      Default Re: Wanaharakati Wazidi kuibana Serikali-SIKIKA Yatoa Tamko

      Nchi hii haiihitaji uanaharakati wala uanahabari... Inahitaji wananchi wote wajitambue na kusema sasa basi na kuingia barabarani kuidai nchi yao... tatizo tuna viazi vingi sana nchi hii
      ''Mipango na Mikakati imekamilika na sasa tuko kwenye mchakato wa mazungumzo na wafadhili"- M Pinda

    5. mob is offline
      mob
      #5
      mob's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th December 2009
      Posts : 639
      Rep Power : 612
      Likes Received
      109
      Likes Given
      41

      Default Re: Wanaharakati Wazidi kuibana Serikali-SIKIKA Yatoa Tamko

      Quote By WISDOM SEEDS View Post
      Hivi mnadhani JK anasoma mambo haya? Amwachie nani safari za kimataifa?
      kimsingi kwa safari yake aliyoifanya hivi karibuni kwenda burundi na rwanda unadhani hizo fedha zingelitumika vizuri si vingeliweza kununua hata CT scan moja iwekwe pale Muhimbili?
      tatizo sisi hatuna vipaumbele kabisa


    6. #6
      WISDOM SEEDS's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2011
      Location : Sweden
      Posts : 609
      Rep Power : 529
      Likes Received
      113
      Likes Given
      66

      Default Re: Wanaharakati Wazidi kuibana Serikali-SIKIKA Yatoa Tamko

      Quote By mob View Post
      ...tatizo sisi hatuna vipaumbele kabisa
      Nimekupata mkuu, ndiyo maana rais aliahirisha safari ya kikazi ili akasaini kitabu
      cha maombolezo na kuuza sura kwenye msiba wa Kanumba. Pia viongozi wote wakuu
      wa serikali kwenda kujazana msibani na kuuza sura ili warudishe umaarufu wao
      ulioanza kupotea! Ni kweli hatuna vipaumbele!
      "Tumefika hapa kwa sababu ya udhaifu wa Rais Kikwete, kwa uzembe wa Bunge, na kwa sababu ya upuuzi wa CCM" John Mnyika

    7. #7
      Mlosi K. Mtulutumbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2010
      Posts : 610
      Rep Power : 617
      Likes Received
      189
      Likes Given
      198

      Default Re: Wanaharakati Wazidi kuibana Serikali-SIKIKA Yatoa Tamko

      Quote By Ritz View Post
      Wanaharakati wanaibana serikali kivipi?
      Acha Uzembe mkuu soma chapisho kwanza!
      Kufanya Jambo Baya ni Dhambi, twafahamu hilo, Ukiwa na nia ya Kutenda au kuamua jema badala yake ukatenda jambo baya kwa Kuogopa kukaripiwa na wafanya Mabaya ni Unafiki na Ufukara wa Fikra!

    8. #8
      Azimio Jipya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Location : Universal Space Station
      Posts : 3,284
      Rep Power : 5419
      Likes Received
      1009
      Likes Given
      1731

      Default Re: Wanaharakati Wazidi kuibana Serikali-SIKIKA Yatoa Tamko

      Serekali inahusika kwenye UNYAMA aliofanyiwa DR Uli?Tuiachie Vyombo husika kushughulikia.

      "LAKINI TUJIULIZE"

      Serekali imefaidi kutokana na UNYAMA aliofanyiwa DR Uli? UNYAMA aliofanyiwa DR Uli, Umebadilisha kabisa Upepo wa Mgomo wa Ma Dr kwa faida ya serekali? Ni rahisi kumpata Mrithi wa DR Uli baada ya UNYAMA aliofanyiwa? Watu na Asasi mbalimbali zitajenga utiifu kwa serekali kama jibu la UNYAMA kwa DR Uli? UNYAMA kwa Dr Uli, umewapa baadhi ya viongozi wa serekali na Wabunge kujiamini na kuwa sasa IMEWEZEKANA? UNYAMA kwa Dr Uli umekuwa namna Mpya ya UTATUZI WA MATATIZO YA JAMII YA WATANZANIA?


      SEREKALI, BUNGE, MAHAKAMA NA WATU WOTE WENYE UTU TIMAMU. LAZIMA WAKEMEE, "UNYAMA" KAMA MSINGI WA UTATUZI WA MATATIZO KATIKA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. ISISITIZWE KUWA KAMWE UNYAMA HAUWEZI KUPINDUA UTU NA NCHI IKABAKI MAHALI SAHIHI PA KUISHI KWANI ITAKUWA SAWA NA KUJENGA KINACHOTOKEA SYRIA NDANI YA TANZANIA.
      Never Get Angry; Never Make Threat; Reason With People;
      "Napenda the logic of the words because in some ways it says about individual-not to use emotions-when scrutinizing something, whether it involves you or not" ...-by AshaDiii @ Jamiiforums 26th July 2011.


    9. #9
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,779
      Rep Power : 19847
      Likes Received
      4407
      Likes Given
      1715

      Default Re: Wanaharakati Wazidi kuibana Serikali-SIKIKA Yatoa Tamko

      Dhaifu bhana

    10. #10
      movichboy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th November 2011
      Posts : 55
      Rep Power : 393
      Likes Received
      31
      Likes Given
      0

      Default Re: Wanaharakati Wazidi kuibana Serikali-SIKIKA Yatoa Tamko

      Huyo mkurugenzi wa Sikika hana uanaharakati na wala uzalendo wowote, ni mbinafsi na anapenda sana kutumia migongo ya watu kujinufaisha, sana sana ni kutumia tu fursa ya mgogoro wa madaktari kuendelea kutangaza jina la asasi yake ili azidi kujinufaisha kwa pesa za wafadhili. Huyu bwana namfahamu vizuri anaitwa Irenei Kiria kabla ya sikika kuanza alikuwa anafanya kazi za kujitolea pale Amref mwananyamala za uelimishaji wa kupunguza maambukizi ya VVU kwa vijana. Mwaka 1999 alipewa fursa na vijana kwenda kusimamia network ya Kinondoni Cluster kama coordinator ambayo ilikuwa inafadhiliwa na Family Health International FHI wakati huo. Matokeo yake akauwa huo mtandao kwa ubadhilifu ikiwa ni pamoja na kuondoka na pikipiki mpya ya mradi ambayo baadaye alikuja akaiuza na kununua gari yake ya kwanza aina ya Toyota corola.

      Baadaye alirudikufanya kazi pale AMREF mwananyamala kama afisa vijana tena kwa kuwekewa kifua na mzungu mmoja alikuwa pale anaitwa Dr. Vero. Wakati anarudi pale kwenye miaka ya 2000, center ya AMREF ilikuwa very strong kwa kuwa na program nyingi sana za vijana za michezo na program za elimu. Huyu jamaa kwa roho yake mbaya alianzisha mgogoro mkubwa sana na vijana na matokeo yake akauwa shughuli za pale na kuwarubuni vijana wengine watatu kuachana na kazi za Center na kwenda kuanzisha shirika la Sikika wakati huyo lilikuwa linaitwa Youth Action Volunteers (YAV) na katiba na muundo wa asasi hiyo ilitokana na kucopy na kupaste katiba ya Center ya vijana ya mwananyamala.

      Shirika la YAV walianzisha kwa msaada wa mama mmoja alikuwa anaitwa mama Kiwia yeye ni Mkurugenzi wa asasi ya Kimara Peer Educators ambaye alikuwa anafahamiana na mama mmoja anaitwa Eliada Maneno wakati huo alikuwa Country Representative wa shirika la kimataifa la misaada sa Southern Africa AIDS Training ambapo Kiria aliunganishwa kwa mama huyo na kupewa grants ya zaidi ya Milioni 35 wakati huo. Wakati wa kufanyiwa assessment ya kupewa pesa hizo, Kiria alijifanya yeye ni mlezi wa shirika la vijana hao kwani umri wake ulikuwa mkubwa na walibadilisha stoo ya nyumba ya national housing aliyokuwa amepangwa pale kinondoni Kasana street na kuitengeneza ionekane kama ofisi wakati wanacheza sanaa ya kupata pesa hizo.

      Ki msingi wafadhili walilidhia kutoa pesa hiyo kwa msaada mkubwa wa Mama Kiwia na Mama Maneno lakini ilikuwa ni kwa makubaliano ya kutoa cha juu kwa akina mama hao. Kwa mama kiwia ilikuwa ni kwa sharti la shirika kutumia nyumba ya mama huyo iliyopo kijitonyama kwa kupanga kama ofisi na kulipwa bei ya juu kitu ambacho kilifanyika na kwa Mama Maneno sina hakika makubaliano yalikuwaje. Mwaka 2001 pesa hiyo ilitoka lakini Kiria aliwazunguka vijana wale watatu na wengine wawili ambao alipewa na mama Kiwia wakati wa kuanzisha asasi, Kwanza alifungua akaunt kwa kujiweka yeye na mdogo wake wa kike aitwaye Mary Boniface Kiria kama signatories wa akaunti ili afuje pesa vizuri, na pia alimweka mke wake anayeitwa Jaquiline Matoro kuwa board member kinyume na sheria na taratibu.

      Baada ya shirika kukua kwa msaada mkubwa wa wenzake, alikorofishana na Mama Kiwia na kuamisha ofisi kutoka kwa mama huyo kisha kuamia makumbusho karibu na chaga bite. Akatumia pesa za asasi kwenda kujisomesha degree ya sociaology pale UDSM na alipomaliza na kurudi ofisini alikuta wenzie wameendelea kujiestablish vizuri akaona watakuwa na nguvu ya umiliki akaatengeneza mpango mzito sana wa KUWAFUKUZA wenzie ili aweze kumiliki vizuri asasi kama mali yake na baada ya kufaninikiwa alihamishia ofisi pale kinondoni ada estate. Baadaye alifanya lobbying kwa msaada wa akina Jonh Ulanga, Rakesh na wengine na kupata funds ya strategic plan ambayo zinampa kiburi mpaka leo.

      Jamaa ni mnyanyasaji mkubwa, staff turn over kwenye organization yake ipo juu sana tangu ameanzisha na anapenda sana kuwatumia wenzie kupanda juu. Aliwahi kupata kashfa mbaya sana ya lutembea na shemeji yake wakati mkewe ameenda masomoni ikiwa ni pamoja na kumpa uja uzito.

      Huyu bwana hana sifa ya kuwatetea madaktari wakati yeye mwenyewe ana matatizo.

    11. #11
      Mwanajamii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Posts : 7,085
      Rep Power : 1814
      Likes Received
      24
      Likes Given
      13

      Default Re: Wanaharakati Wazidi kuibana Serikali-SIKIKA Yatoa Tamko

      Quote By WISDOM SEEDS View Post
      Hivi mnadhani JK anasoma mambo haya? Amwachie nani safari za kimataifa?
      Jk ni mtu wa kazi syo mtu wa majungu kama ambavyo hizi NGOs zinavyotumiwa na wanasiasa kulitumbukiza taifa katika vurugu zisizo na maana.

    12. #12
      Mmwaminifu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Posts : 891
      Rep Power : 725
      Likes Received
      134
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By samora10 View Post
      Nchi hii haiihitaji uanaharakati wala uanahabari... Inahitaji wananchi wote wajitambue na kusema sasa basi na kuingia barabarani kuidai nchi yao... tatizo tuna viazi vingi sana nchi hii
      Naunga mkono hoja.
      samora10 likes this.

    13. #13
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,542
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      29

      Default Re: Wanaharakati Wazidi kuibana Serikali-SIKIKA Yatoa Tamko

      wabunge wameshindwa kuibana serikali ndio iwe wanaharakati
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    14. #14
      Mlosi K. Mtulutumbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2010
      Posts : 610
      Rep Power : 617
      Likes Received
      189
      Likes Given
      198

      Default Re: Wanaharakati Wazidi kuibana Serikali-SIKIKA Yatoa Tamko

      Mkuu hii ni more personal au mna ugomvi naye? Maana Statement ni ya Sikika siyo ya Irenei!But umemake point zako!

      Quote By movichboy View Post
      Huyo mkurugenzi wa Sikika hana uanaharakati na wala uzalendo wowote, ni mbinafsi na anapenda sana kutumia migongo ya watu kujinufaisha, sana sana ni kutumia tu fursa ya mgogoro wa madaktari kuendelea kutangaza jina la asasi yake ili azidi kujinufaisha kwa pesa za wafadhili. Huyu bwana namfahamu vizuri anaitwa Irenei Kiria kabla ya sikika kuanza alikuwa anafanya kazi za kujitolea pale Amref mwananyamala za uelimishaji wa kupunguza maambukizi ya VVU kwa vijana. Mwaka 1999 alipewa fursa na vijana kwenda kusimamia network ya Kinondoni Cluster kama coordinator ambayo ilikuwa inafadhiliwa na Family Health International FHI wakati huo. Matokeo yake akauwa huo mtandao kwa ubadhilifu ikiwa ni pamoja na kuondoka na pikipiki mpya ya mradi ambayo baadaye alikuja akaiuza na kununua gari yake ya kwanza aina ya Toyota corola.

      Baadaye alirudikufanya kazi pale AMREF mwananyamala kama afisa vijana tena kwa kuwekewa kifua na mzungu mmoja alikuwa pale anaitwa Dr. Vero. Wakati anarudi pale kwenye miaka ya 2000, center ya AMREF ilikuwa very strong kwa kuwa na program nyingi sana za vijana za michezo na program za elimu. Huyu jamaa kwa roho yake mbaya alianzisha mgogoro mkubwa sana na vijana na matokeo yake akauwa shughuli za pale na kuwarubuni vijana wengine watatu kuachana na kazi za Center na kwenda kuanzisha shirika la Sikika wakati huyo lilikuwa linaitwa Youth Action Volunteers (YAV) na katiba na muundo wa asasi hiyo ilitokana na kucopy na kupaste katiba ya Center ya vijana ya mwananyamala.

      Shirika la YAV walianzisha kwa msaada wa mama mmoja alikuwa anaitwa mama Kiwia yeye ni Mkurugenzi wa asasi ya Kimara Peer Educators ambaye alikuwa anafahamiana na mama mmoja anaitwa Eliada Maneno wakati huo alikuwa Country Representative wa shirika la kimataifa la misaada sa Southern Africa AIDS Training ambapo Kiria aliunganishwa kwa mama huyo na kupewa grants ya zaidi ya Milioni 35 wakati huo. Wakati wa kufanyiwa assessment ya kupewa pesa hizo, Kiria alijifanya yeye ni mlezi wa shirika la vijana hao kwani umri wake ulikuwa mkubwa na walibadilisha stoo ya nyumba ya national housing aliyokuwa amepangwa pale kinondoni Kasana street na kuitengeneza ionekane kama ofisi wakati wanacheza sanaa ya kupata pesa hizo.

      Ki msingi wafadhili walilidhia kutoa pesa hiyo kwa msaada mkubwa wa Mama Kiwia na Mama Maneno lakini ilikuwa ni kwa makubaliano ya kutoa cha juu kwa akina mama hao. Kwa mama kiwia ilikuwa ni kwa sharti la shirika kutumia nyumba ya mama huyo iliyopo kijitonyama kwa kupanga kama ofisi na kulipwa bei ya juu kitu ambacho kilifanyika na kwa Mama Maneno sina hakika makubaliano yalikuwaje. Mwaka 2001 pesa hiyo ilitoka lakini Kiria aliwazunguka vijana wale watatu na wengine wawili ambao alipewa na mama Kiwia wakati wa kuanzisha asasi, Kwanza alifungua akaunt kwa kujiweka yeye na mdogo wake wa kike aitwaye Mary Boniface Kiria kama signatories wa akaunti ili afuje pesa vizuri, na pia alimweka mke wake anayeitwa Jaquiline Matoro kuwa board member kinyume na sheria na taratibu.

      Baada ya shirika kukua kwa msaada mkubwa wa wenzake, alikorofishana na Mama Kiwia na kuamisha ofisi kutoka kwa mama huyo kisha kuamia makumbusho karibu na chaga bite. Akatumia pesa za asasi kwenda kujisomesha degree ya sociaology pale UDSM na alipomaliza na kurudi ofisini alikuta wenzie wameendelea kujiestablish vizuri akaona watakuwa na nguvu ya umiliki akaatengeneza mpango mzito sana wa KUWAFUKUZA wenzie ili aweze kumiliki vizuri asasi kama mali yake na baada ya kufaninikiwa alihamishia ofisi pale kinondoni ada estate. Baadaye alifanya lobbying kwa msaada wa akina Jonh Ulanga, Rakesh na wengine na kupata funds ya strategic plan ambayo zinampa kiburi mpaka leo.

      Jamaa ni mnyanyasaji mkubwa, staff turn over kwenye organization yake ipo juu sana tangu ameanzisha na anapenda sana kuwatumia wenzie kupanda juu. Aliwahi kupata kashfa mbaya sana ya lutembea na shemeji yake wakati mkewe ameenda masomoni ikiwa ni pamoja na kumpa uja uzito.

      Huyu bwana hana sifa ya kuwatetea madaktari wakati yeye mwenyewe ana matatizo.
      Kufanya Jambo Baya ni Dhambi, twafahamu hilo, Ukiwa na nia ya Kutenda au kuamua jema badala yake ukatenda jambo baya kwa Kuogopa kukaripiwa na wafanya Mabaya ni Unafiki na Ufukara wa Fikra!

    15. #15
      theROOM's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 100
      Rep Power : 457
      Likes Received
      35
      Likes Given
      54

      Default Re: Wanaharakati Wazidi kuibana Serikali-SIKIKA Yatoa Tamko

      Quote By Mlosi K. Mtulutumbi View Post
      Acha Uzembe mkuu soma chapisho kwanza!
      Hawa ndivyo walivyo, wana majibu mepesi kwa maswali magumu...hawasomagi hata kidogo...Lakini yana mwisho haya yote...
      If you can't explain it simply, you don't understand it well enough. Albert Einstein

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...