Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wabunge wangi wa CCM hawajui kujadili na hawawezi kujenga hoja

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      Magobe T's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2008
      Location : I'm based in Dar es Salaam
      Posts : 2,077
      Rep Power : 1399
      Likes Received
      266
      Likes Given
      410

      Default Wabunge wangi wa CCM hawajui kujadili na hawawezi kujenga hoja

      1. Bajeti ya serikali ikisomwa bungeni, wabunge wanapaswa kusikiliza kwa makini, kuisoma na kuielewa ili waweze kuchangia/kuijadili vizuri.

      2. Kambi Rasmi ya Ushindani bungeni inatoa bajeti mbadala kwa ile ya serikali kwa kukosowa vipengere ambavyo Kambi imeona serikali imeshindwa kuviona na kuonesha namna gani vinaweza kutekelezwa. Kambi Rasmi ya Ushindani inaweza isikosowe au kupendekeza mambo mapya kama yote yanayotakiwa yako kwenye hotuba ya serikali. Labda tu pale inapohitajika kusisitiza zaidi.

      3. Baada ya haya, majadiliano yanaanza. Huu ni muda, ambao wabunge wanatoa mawazo yao kwa kuonesha ni mambo gani muhimu yanapaswa kuzingatiwa kwenye bajeti. Yanaweza yakawa yale yaliyoletwa na serikali na yale ya Kambi Rasmi ya Ushindani.

      4. Kujadili maana yake ni kuchangia hoja (kuonesha mazuri na mabaya ya bajeti) na na siyo kumshambulia mtu kwa yale aliyochangia kwani ni mawazo yake na wewe changia ya kwako. Kumshambulia mtu siyo kutoa hoja bali ni kwenda nje ya hoja.

      5. Kama kuna sababu ya kutoa ufafanuzi kwa baadhi ya maeneo kwenye bajeti, kazi hii inafanywa na mawaziri/manaibu/mwanasheria mkuu wa serikali.

      6. Kwa hiyo, baadhi ya wabunge wa CCM wamekuwa wakikosa mwelekeo kwa kuanza kuwashambulia wabunge wa Kambi Rasmi ya Ushindani kwa mapendekezo yao mbadala. Mbunge anapaswa kuchangia kile tu achoona na kuamini kitajenga taifa letu na kitaondoa kero za wapiga kura wake. Nje ya haya ni kupoteza muda na kutojua nini kichangiwe. Nina hakika wabunge wa CCM wakisoma points hizi na hata wabunge kutoka vyama vingine, itasaidia kuboresha michango ya wabunge. Mbunge siyo msemaji wa serikali – kazi yake ni kuikosoa, kuishauri na kuisimamia serikali iboreshe untendaji na iwajibike vizuri zaidi.
      Last edited by Magobe T; 5th July 2012 at 08:18.


    2. #2
      muchetz's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th August 2010
      Posts : 237
      Rep Power : 496
      Likes Received
      62
      Likes Given
      1261

      Default Re: Wabunge wangi wa CCM hawajui kujadili na hawawezi kujenga hoja

      Quote By Magobe T View Post
      1. Bajeti ya serikali ikisomwa bungeni, wabunge wanapaswa kusikiliza kwa makini, kuisoma na kuielewa ili waweze kuchangia/kuijadili vizuri.2. Kambi Rasmi ya Ushindani bungeni inatoa bajeti mbadala kwa ile ya serikali kwa kukosowa vipengere ambavyo Kambi imeona serikali imeshindwa kuviona na kuonesha namna gani vinaweza kutekelezwa. Kambi Rasmi ya Ushindani inaweza isikosowe au kupendekeza mambo mapya kama yote yanayotakiwa yako kwenye hotuba ya serikali. Labda tu pale inapohitajika kusisitiza zaidi.3. Baada ya haya, majadiliano yanaanza. Huu ni muda, ambao wabunge wanatoa mawazo yao kwa kuonesha ni mambo gani muhimu yanapaswa kuzingatiwa kwenye bajeti. Yanaweza yakawa yale yaliyoletwa na serikali na yale ya Kambi Rasmi ya Ushindani.4. Kujadili maana yake ni kuchangia hoja (kuonesha mazuri na mabaya ya bajeti) na na siyo kumshambulia mtu kwa yale aliyochangia kwani ni mawazo yake na wewe changia ya kwako. Kumshambulia mtu siyo kutoa hoja bali ni kwenda nje ya hoja.5. Kama kuna sababu ya kutoa ufafanuzi kwa baadhi ya maeneo kwenye bajeti, kazi hii inafanywa na mawaziri/manaibu/mwanasheria mkuu wa serikali.6. Kwa hiyo, baadhi ya wabunge wa CCM wamekuwa wakikosa mwelekeo kwa kuanza kuwashambulia wabunge wa Kambi Rasmi ya Ushindani kwa mapendekezo yao mbadala. Mbunge anapaswa kuchangia kile tu achoona na kuamini kitajenga taifa letu na kitaondoa kero za wapiga kura wake. Nje ya haya ni kupoteza muda na kutojua nini kichangiwe. Nina hakika wabunge wa CCM wakisoma points hizi na hata wabunge kutoka vyama vingine, itasaidia kuboresha michango ya wabunge. Mbunge siyo msemaji wa serikali – kazi yake ni kuikosoa, kuishauri na kuisimamia serikali iboreshe untendaji na iwajibike vizuri zaidi.
      Weka paragraphs isomeke kwa urahisi zaidi.
      Last edited by muchetz; 5th July 2012 at 09:13. Reason: Spelling Correction
      Magobe T likes this.

    3. #3
      kingfish's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2011
      Posts : 420
      Rep Power : 498
      Likes Received
      97
      Likes Given
      73

      Default Re: Wabunge wangi wa CCM hawajui kujadili na hawawezi kujenga hoja

      Quote By magobe t View Post
      1. bajeti ya serikali ikisomwa bungeni, wabunge wanapaswa kusikiliza kwa makini, kuisoma na kuielewa ili waweze kuchangia/kuijadili vizuri.

      2. kambi rasmi ya ushindani bungeni inatoa bajeti mbadala kwa ile ya serikali kwa kukosowa vipengere ambavyo kambi imeona serikali imeshindwa kuviona na kuonesha namna gani vinaweza kutekelezwa. Kambi rasmi ya ushindani inaweza isikosowe au kupendekeza mambo mapya kama yote yanayotakiwa yako kwenye hotuba ya serikali. Labda tu pale inapohitajika kusisitiza zaidi.

      3. baada ya haya, majadiliano yanaanza. Huu ni muda, ambao wabunge wanatoa mawazo yao kwa kuonesha ni mambo gani muhimu yanapaswa kuzingatiwa kwenye bajeti. Yanaweza yakawa yale yaliyoletwa na serikali na yale ya kambi rasmi ya ushindani.

      4. kujadili maana yake ni kuchangia hoja (kuonesha mazuri na mabaya ya bajeti) na na siyo kumshambulia mtu kwa yale aliyochangia kwani ni mawazo yake na wewe changia ya kwako. Kumshambulia mtu siyo kutoa hoja bali ni kwenda nje ya hoja.

      5. kama kuna sababu ya kutoa ufafanuzi kwa baadhi ya maeneo kwenye bajeti, kazi hii inafanywa na mawaziri/manaibu/mwanasheria mkuu wa serikali.

      6. kwa hiyo, baadhi ya wabunge wa ccm wamekuwa wakikosa mwelekeo kwa kuanza kuwashambulia wabunge wa kambi rasmi ya ushindani kwa mapendekezo yao mbadala. Mbunge anapaswa kuchangia kile tu achoona na kuamini kitajenga taifa letu na kitaondoa kero za wapiga kura wake. Nje ya haya ni kupoteza muda na kutojua nini kichangiwe. Nina hakika wabunge wa ccm wakisoma points hizi na hata wabunge kutoka vyama vingine, itasaidia kuboresha michango ya wabunge. Mbunge siyo msemaji wa serikali – kazi yake ni kuikosoa, kuishauri na kuisimamia serikali iboreshe untendaji na iwajibike vizuri zaidi.
      ni kweli kabisa.nimeshuhudia katika maeneo kadhaa hapa mjini iringa mfano katika kumbi za vyuo na katika baa mahali ambapo tv huwekwa,anapochangia hoja mbunge wa upinzani watu huwa makini kumsikiliza lakini akichangia mbunge wa ccm hakuna anayemzingatia.

    4. #4
      fikirikwanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 711
      Rep Power : 516
      Likes Received
      155
      Likes Given
      18

      Default Re: Wabunge wangi wa CCM hawajui kujadili na hawawezi kujenga hoja

      Mwizi hawezi kujenga hoja ndo maana anaamua kuiba

    5. #5
      Kasimba G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th January 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 918
      Rep Power : 610
      Likes Received
      277
      Likes Given
      265

      Default Re: Wabunge wangi wa CCM hawajui kujadili na hawawezi kujenga hoja

      Area ya specialization yao ni kuzomea na kutwanga meza kwa nguvu zoote!
      Magobe T likes this.


    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...