wakati Cuf wanataka kuchukua nchi mwaka 2000 CCM walikuja na single ya kusema Cuf ni waislamu na kwa sasa wanadai sisi Chadema ni chama cha wakristo sasa CCM nacho ni cha watu gani? Watu wakajibu mashetaaaaaniiiiii.!---Wana Kigoma.
....Pamoja na kansa ya uongozi wa CCM watu wataendelea kukichagua,au watu wanaweza wakachoka na kusema potelea mbali wakachagua chama KINGINE....Julius. Kambarage. NYERERE"
hiyo shule ya msingi mbigili (aina ya miiba midogodogo ambayo husababisha sana pancha za baiskeli)aliyosoma ipo kijiji gani huku dodoma? maana mimi ni mkazi wa jimbo la mtera na sijawahi kuisikia hiyo shule . ipo wapi hiyo jamani kwa yeyote anyejua ! maana mvumi alipokulia haipo, loje haipo, ikombolinga haipo, makang'wa haipo! ndebwe haipo ! asije akawa kachakachuwa?
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '
Siamini kama ni kweli, siamini uliyeweka cv hii kama hujatenda dhambi ya uchakachuaji, ila ukisikiliza kauli zake wanaendana. Mpaka unatoka duniani hutasaidia nchi hii isipokuwa matusi ambayo ni kinyume na matakwa ya Mungu
Mhhhhhhh!Kuna watu ni darasa la saba lakini wanauelewa mzuri sana wa mambo na busara yao unaweza kuwaomba hata ushauri huyu jamaa yangu kwa kukosa elimu, angalau angekuwa hata na busara lakini hata hilo hana.Amebaki kutumiwa kama robot kazi yake kuropoka bila kushughulisha ubongo.Kazi kweli kweli.
Usishangae kwani viongozi kama huyu huwa ndio ccm inawapenda saana kwani linapokuja swala la muswada au bajeti au kupitisha maazimio yoyote watu kama Lusinde hutumiwa kama daraja kwani watatoa wapi ubavu wa kupinga kwa hoja?
Sasa jiulize Lusinde apinge bajeti mbovu ya ccm wakati mwenyewe anajua kuwa anabebwa na chama inawezekana? Naunga mkono hoja kwa asilimia mia tatu (300%) huwa nadhani ni mbwembwe tu kumbe masikini hajui hata kuwa asilimia huwa mwisho ni mia moja tu (100%). Mtera hamkuitendea haki Tanzania kwa kuchagua mwakilishi kama huyu. Ndio wale wale ukimuuliza kwanini nchi yetu ni masikini atakujibu hata mimi sijui.
Usishangae kwani viongozi kama huyu huwa ndio ccm inawapenda saana kwani linapokuja swala la muswada au bajeti au kupitisha maazimio yoyote watu kama Lusinde hutumiwa kama daraja kwani watatoa wapi ubavu wa kupinga kwa hoja?
Sasa jiulize Lusinde apinge bajeti mbovu ya ccm wakati mwenyewe anajua kuwa anabebwa na chama inawezekana? Naunga mkono hoja kwa asilimia mia tatu (300%) huwa nadhani ni mbwembwe tu kumbe masikini hajui hata kuwa asilimia huwa mwisho ni mia moja tu (100%). Mtera hamkuitendea haki Tanzania kwa kuchagua mwakilishi kama huyu. Ndio wale wale ukimuuliza kwanini nchi yetu ni masikini atakujibu hata mimi sijui.
Umenena mkuu, mijitu kama Lusinde iko mle bora liende
Ukiona hivyo ujue na wakazi wengi wa mtera jimbo lake ni darasa la 7.
Msomi jimbo la Mtera ni mzee Malecela na wanawe tu. Ilikuwaje msiniulize, ulizeni William Malecela! ha ha ha ha ha
wakati Cuf wanataka kuchukua nchi mwaka 2000 CCM walikuja na single ya kusema Cuf ni waislamu na kwa sasa wanadai sisi Chadema ni chama cha wakristo sasa CCM nacho ni cha watu gani? Watu wakajibu mashetaaaaaniiiiii.!---Wana Kigoma.
....Pamoja na kansa ya uongozi wa CCM watu wataendelea kukichagua,au watu wanaweza wakachoka na kusema potelea mbali wakachagua chama KINGINE....Julius. Kambarage. NYERERE"
Mie nadhani vyeti havina umuhimu sana.......na kusoma si lazima uende darasani kwani hata uzoefu wa maisha ni shule tosha kabisa..........kuna watu wengi tu wan ujuzi na maarifa makubwa wakati elimu ni ya chini kabisa lakini hao wenye zao ndio wanachukua ushauri kutoka kwao...................Hata hivyo ubunge ni kazi ya kisiasa haihitaji elimu kubwa sana kwani maamuzi yake mengi ni ya kisiasa...... cha msingi uwape wapigakura wanachopenda hata kama hicho kitu hakina manufaa kwao.........ukienda jimbo la wavuta bangi ukijinadi kwa sera ya kuhalalisha bangi utapata ubunge........ukienda kwa walevi ukawaambia kwamba utahalalisha gongo utapata ubunge...... hivyo naona sifa ya kusoma na kuandika ni tosha kwa mbunge......labda wangeongeza kuwa awe na uwezo wa kupiga majungu, fitna na vijembe kidogo
Kama ni hivyo kazi ya kutunga sheria na kupitia bajeti yetu wasifanye!
Haya yanahitaji wasomi wenye akili. Lakini ukipata wasomi waliokuwa wanakariri darasani kama wakini Mwigulu hapo pia bado ni tatizo kabisa.
Shida nyingine ya ccm ni kwamba wana ugomvi na watu waliosoma na kupata maarifa maana ni threat kwa position zao. Hivyo watu kama Lusinde ni size yao.... biblia inasema kipofu akimuongoza kipofu watatumbukia wote shimoni.
usishangae jinga hili linapewa hata ukuu wa wilaya!!! Hiyo ndio ccm aka sisimauaji bhana!
wakati Cuf wanataka kuchukua nchi mwaka 2000 CCM walikuja na single ya kusema Cuf ni waislamu na kwa sasa wanadai sisi Chadema ni chama cha wakristo sasa CCM nacho ni cha watu gani? Watu wakajibu mashetaaaaaniiiiii.!---Wana Kigoma.
....Pamoja na kansa ya uongozi wa CCM watu wataendelea kukichagua,au watu wanaweza wakachoka na kusema potelea mbali wakachagua chama KINGINE....Julius. Kambarage. NYERERE"
Karaha tupu! Ni lazima tuweke standards kwa ajili ya wanaotakiwa kuwa viongozi nchini. Huu ni upuuzi mkubwa. Ndio maana hatuna maendeleo. Huyu hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi
Kumbe ndo maana akakimbilia CCM kutoka chama makini CDM kwani asingeweza kuendana na kasi ya CDM kielimu na kimawazo, nimeamini CCM vilaza wengi (lakairo, Maji marefu, Lusinde na wengeneo wengi ni STD 7) lo kazi tunayo WaTZ.
Kumbe vilaza tunao. CCM imejaza vilaza katika safu yake. Mitusi yote na tambo St. 7!!!!!! Mijadala bungeni inaenda kisomi sijui anaambua nini!! Ali-graduate Matusi katika CCM College Ihami. Twafa.
kama sijaona vizuri naombeni mnisahihishe... HIVI MUHESHIMIWA NA MBWEMBWE ZOTE ZILE NI DARASA LA SABA LA ZAMANI??
Acha kumpaisha bana...mwaka 1972 ndo kazaliwa..so hiyo zamani unayoiona wewe ni ipi...Huyo ni darasa la saba la kawaida..sio la zamani bana ambalo ni tofauti na la sasa...
Follow Us Here