Re: CV Livingstone Lusinde

By
mzee wa njaa
Huyu jamaa Darasa la 7.
Ukiona hivyo ujue na wakazi wengi wa mtera jimbo lake ni darasa la 7.
Msomi jimbo la Mtera ni mzee Malecela na wanawe tu. Ilikuwaje msiniulize, ulizeni William Malecela! ha ha ha ha ha
wakati Cuf wanataka kuchukua nchi mwaka 2000 CCM walikuja na single ya kusema Cuf ni waislamu na kwa sasa wanadai sisi Chadema ni chama cha wakristo sasa CCM nacho ni cha watu gani? Watu wakajibu mashetaaaaaniiiiii.!---Wana Kigoma.
....Pamoja na kansa ya uongozi wa CCM watu wataendelea kukichagua,au watu wanaweza wakachoka na kusema potelea mbali wakachagua chama KINGINE....Julius. Kambarage. NYERERE"
Follow Us Here