Hospital ya jeshi ya Lugalo imepandishwa hadhi na kuwa ya rufaa.
Source:TBC1
Hospital ya jeshi ya Lugalo imepandishwa hadhi na kuwa ya rufaa.
Source:TBC1
sawa mkuu - collaterally maana yangu ni serikali ianze kuwekeza kwa makusudi na kwa nguvu zote katika hospitali za jeshi (JWTZ na Polisi) na wanaotaka migomo bado watakuwa na nafasi ya kupata kazi hospitali binafsi na zile za nje ya nchi ambako kunalipa na wana nafasi kubwa ya ku compete na kufanikiwa kwa kiasi kikubwa.
Khaaaaaaaa Lugalo Ile wanayotibu clinical officers iwe rufaa? tell me its a joke! Unajua nchi hii kuna utani sana, kimsingi Hospitali ambazo kidogo unaweza kusema ni za rufaa ni Muhimbili, KCMC na BUGANDO tu
''Mipango na Mikakati imekamilika na sasa tuko kwenye mchakato wa mazungumzo na wafadhili"- M Pinda
Sasa hizi hospitali za rufaa bila vifaa zitatusaidia nini?...
It's better to be hated for who you are,
than to be loved for someone you are not...
Safi sana, maanake MNH inashuka kiwango na madaktari wake wameshaingia katika politike na kuacha science mkiwaachia peke yao wataendelea kuua watu mapema. Wao wakipasua mtu kichwa badala ya goti ni bahati mbaya! Wajeda hawanaga makuzi ni kuwajengea uwezo tu.
You can't fight ignorance with knowledge!
ndani ya ccm hilo mbona linawezekana. wakuu mmesahau dhaifu aliposema kuwa hospitali zote za mikoa zitakuwa za rufaa, sasa mnashangaa hili. serikali ya ccm ni sikivu.
mbona kawaida tuu,huko muhimbili kwenyewe hakuna Tscan lakini ni hospital ya rufaa.
Hoja yako ingekua serikali kwa ushirikiano na JWTZ wawekeze zaidi ktk hospitali za Jeshi kwa vifaa na wataalamu ili watawala watibiwe hapa nchini badala ya kutumia pesa nyingi kuwapeleka nje ningekuelewa. Lakini eti kama mkakati wa kupambana na wafanyakazi wa sekta ya afya ambao wanadai mazingira bora ya kufanyia kazi,vifaa na maslahi stahiki inaonyesha umasiking wa akili ulionao kichwani kwako!
mbona kawaida tuu,huko muhimbili kwenyewe hakuna Tscan lakini ni hospital ya rufaa.
Huu ni udhaifu mwingine wa serikali ya ccm,another silly hospital
Matumizi ya sasa ya hospitali Lugalo ni sawa tu na watu kutumia ile basi nadhifu la Scandinavia aina ya 'Andre Paradiso' kupakia mchanga kutwa kucha kule Mbweni.
Ukimya wa majeshi yetu na familia zao kubanana na wa-uraiani kwenye kutafuta tiba ilioelemewa zaidi ya mara 200 kidogo ... !!!!
Follow Us Here