Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lugalo sasa ni Hospitali ya Rufaa!

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 70
    1. #1
      Bornvilla's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2011
      Posts : 634
      Rep Power : 0
      Likes Received
      141
      Likes Given
      0

      Default Lugalo sasa ni Hospitali ya Rufaa!

      Hospital ya jeshi ya Lugalo imepandishwa hadhi na kuwa ya rufaa.
      Source:TBC1

    2. Miaka 50

    3. #41
      Manyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 1,747
      Rep Power : 726
      Likes Received
      292
      Likes Given
      267

      Default

      Quote By bob68
      Labda upeo wangu unaweza kuwa mdogo,lakini nikiwa nimezaliwa na kuwa kwenye maeneo ya kijeshi ninavyojua ni kwamba hizo hospital zimejengwa kwenye kambi za jeshi ili kuhudumia wanajeshi na familia zao kwasababu zipo ndani ya vikosi vya jeshi ambapo kuna siri kubwa kwa raia wa kawaida haruhusiwi kuingia anavyotaka,Sasa kuiweka hiyo hospitali ya lugalo kuwa ya Rufaa inamaanisha nini kuwa Raia wote dwataruhusiwa kwenda hapo je siri na unyeti wa jeshi upo wapi?au hiyo Rufaa ni kwa jeshi tu?tunaangamiza ulinzi na usalama wa nchi hiyo ni taasii nyeti sana ila siasa zitatumaliza,hiyo sio njia ya kutatua tatizo!!!
      Nakubaliana na wewe isipokuwa kitu kimoja tu; Hospitali za jeshi zinahudumia wanajeshi, familia zaio, viongozi wa serikali na Raia wanazunguka jeshi maeneo hayo. Binafsi nimetibiwa sana hospitali ya Lugalo nikitokea Kawe!

    4. #42
      MAKAH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2010
      Posts : 958
      Rep Power : 630
      Likes Received
      116
      Likes Given
      680

      Default re: Lugalo sasa ni Hospitali ya Rufaa!

      Quote By watu8
      Hayo ni mawazo yako au kuna mahali unayasoma?...hii ni nchi huru na tawala zake ni za kidemokrasia na si kijeshi.
      sawa mkuu - collaterally maana yangu ni serikali ianze kuwekeza kwa makusudi na kwa nguvu zote katika hospitali za jeshi (JWTZ na Polisi) na wanaotaka migomo bado watakuwa na nafasi ya kupata kazi hospitali binafsi na zile za nje ya nchi ambako kunalipa na wana nafasi kubwa ya ku compete na kufanikiwa kwa kiasi kikubwa.

    5. #43
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,626
      Rep Power : 5628
      Likes Received
      6218
      Likes Given
      2319

      Default Re: Lugalo sasa ni Hospitali ya Rufaa!

      hahahahah nimeipenda hii...

      "kigumu chama cha mapinduzi"....



      Quote By Filipo
      Kigumu.....!
      "Behind every great fortune there is a crime."
      - Honore de Balzac (1799-1850)

    6. #44
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,626
      Rep Power : 5628
      Likes Received
      6218
      Likes Given
      2319

      Default Re: Lugalo sasa ni Hospitali ya Rufaa!

      zidumuuuuu


      Quote By sweetlady
      Zidumu na fikra dhaifu za mwenyekiti wa chama cha mapinduzi
      "Behind every great fortune there is a crime."
      - Honore de Balzac (1799-1850)

    7. #45
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,626
      Rep Power : 5628
      Likes Received
      6218
      Likes Given
      2319

      Default Re: Lugalo sasa ni Hospitali ya Rufaa!

      hahahahhaha viongozi wa bongo........ hapo ndo uwezo wao wa kufikiri ulipoishia?




      Quote By barak obama
      breaking news;

      lugalo yawa hospitali ya rufaa.

      Sasa kupokea wagonjwa toka sehemu zote hapa nchini.

      Mungu ibariki lugalo
      mungu ibariki tanzania..

      "Behind every great fortune there is a crime."
      - Honore de Balzac (1799-1850)


    8. #46
      KABAZI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2010
      Posts : 288
      Rep Power : 519
      Likes Received
      7
      Likes Given
      7

      Default Re: Lugalo sasa ni Hospitali ya Rufaa!

      Quote By Bornvilla
      Hospital ya jeshi ya Lugalo imepandishwa hadhi na kuwa ya rufaa.
      Source:TBC1
      kwa huu mgogolo wa madaktari tutasikia mengi sana hata yasiyofaa kama hilo!!!

    9. #47
      samora10's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2010
      Location : Kwa-Gude
      Posts : 3,252
      Rep Power : 1103
      Likes Received
      729
      Likes Given
      1163

      Default Re: Lugalo sasa ni Hospitali ya Rufaa!

      Khaaaaaaaa Lugalo Ile wanayotibu clinical officers iwe rufaa? tell me its a joke! Unajua nchi hii kuna utani sana, kimsingi Hospitali ambazo kidogo unaweza kusema ni za rufaa ni Muhimbili, KCMC na BUGANDO tu
      ''Mipango na Mikakati imekamilika na sasa tuko kwenye mchakato wa mazungumzo na wafadhili"- M Pinda

    10. #48
      Bishop Hiluka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,497
      Rep Power : 5985
      Likes Received
      492
      Likes Given
      154

      Default Re: Lugalo sasa ni Hospitali ya Rufaa!

      Sasa hizi hospitali za rufaa bila vifaa zitatusaidia nini?...
      It's better to be hated for who you are,
      than to be loved for someone you are not...

    11. #49
      Songambele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2007
      Posts : 751
      Rep Power : 742
      Likes Received
      76
      Likes Given
      192

      Default Re: Lugalo sasa ni Hospitali ya Rufaa!

      Safi sana, maanake MNH inashuka kiwango na madaktari wake wameshaingia katika politike na kuacha science mkiwaachia peke yao wataendelea kuua watu mapema. Wao wakipasua mtu kichwa badala ya goti ni bahati mbaya! Wajeda hawanaga makuzi ni kuwajengea uwezo tu.
      You can't fight ignorance with knowledge!

    12. #50
      Songambele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2007
      Posts : 751
      Rep Power : 742
      Likes Received
      76
      Likes Given
      192

      Default Re: Lugalo sasa ni Hospitali ya Rufaa!

      Those are traditionals rufaa, mambo yanakwenda mbele sasa we need more on-board

      Quote By samora10
      Khaaaaaaaa Lugalo Ile wanayotibu clinical officers iwe rufaa? tell me its a joke! Unajua nchi hii kuna utani sana, kimsingi Hospitali ambazo kidogo unaweza kusema ni za rufaa ni Muhimbili, KCMC na BUGANDO tu
      You can't fight ignorance with knowledge!

    13. #51
      Nsabhi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd February 2011
      Posts : 630
      Rep Power : 544
      Likes Received
      69
      Likes Given
      124

      Default Re: Lugalo sasa ni Hospitali ya Rufaa!

      Lugalo hawezi kuwa na viwango vy kuwa hospitali ya Rufaa. Wamekurupuka kama kawaida yao.
      Quote By Bornvilla
      Hospital ya jeshi ya Lugalo imepandishwa hadhi na kuwa ya rufaa.
      Source:TBC1

    14. #52
      Ikwanja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2011
      Posts : 553
      Rep Power : 508
      Likes Received
      106
      Likes Given
      48

      Default Re: Lugalo sasa ni Hospitali ya Rufaa!

      ndani ya ccm hilo mbona linawezekana. wakuu mmesahau dhaifu aliposema kuwa hospitali zote za mikoa zitakuwa za rufaa, sasa mnashangaa hili. serikali ya ccm ni sikivu.

    15. #53
      kitero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : Kaskazini
      Posts : 516
      Rep Power : 469
      Likes Received
      98
      Likes Given
      48

      Default Re: Lugalo sasa ni Hospitali ya Rufaa!

      mbona kawaida tuu,huko muhimbili kwenyewe hakuna Tscan lakini ni hospital ya rufaa.

    16. #54
      timbilimu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Location : DSM
      Posts : 2,672
      Rep Power : 977
      Likes Received
      584
      Likes Given
      10

      Default

      Hoja yako ingekua serikali kwa ushirikiano na JWTZ wawekeze zaidi ktk hospitali za Jeshi kwa vifaa na wataalamu ili watawala watibiwe hapa nchini badala ya kutumia pesa nyingi kuwapeleka nje ningekuelewa. Lakini eti kama mkakati wa kupambana na wafanyakazi wa sekta ya afya ambao wanadai mazingira bora ya kufanyia kazi,vifaa na maslahi stahiki inaonyesha umasiking wa akili ulionao kichwani kwako!
      Quote By MAKAH
      sawa mkuu - collaterally maana yangu ni serikali ianze kuwekeza kwa makusudi na kwa nguvu zote katika hospitali za jeshi (JWTZ na Polisi) na wanaotaka migomo bado watakuwa na nafasi ya kupata kazi hospitali binafsi na zile za nje ya nchi ambako kunalipa na wana nafasi kubwa ya ku compete na kufanikiwa kwa kiasi kikubwa.
      MAKAH likes this.

    17. #55
      Mwanawalwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 336
      Rep Power : 419
      Likes Received
      92
      Likes Given
      53

      Default Re: Lugalo sasa ni Hospitali ya Rufaa!

      Quote By Unstoppable
      Hii itairahisishia serikali kazi ya "kuwashughulikia" wale wanaowapinga wanapokuja kuomba huduma, na sio mpaka wapelekwe Msitu Mabwepande. On a serious note: situmesikia mgomo umeisha? Na je wale madaktari 3000 wanaotoka nje hawajafika bado?
      hivi hao madaktari wanao toka nje ndo wale wa Iran duh mbona kazi ipo

    18. #56
      kitero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : Kaskazini
      Posts : 516
      Rep Power : 469
      Likes Received
      98
      Likes Given
      48

      Default Re: Lugalo sasa ni Hospitali ya Rufaa!

      mbona kawaida tuu,huko muhimbili kwenyewe hakuna Tscan lakini ni hospital ya rufaa.

    19. #57
      MAKAH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2010
      Posts : 958
      Rep Power : 630
      Likes Received
      116
      Likes Given
      680

      Default Re: Lugalo sasa ni Hospitali ya Rufaa!

      Quote By timbilimu
      Hoja yako ingekua serikali kwa ushirikiano na JWTZ wawekeze zaidi ktk hospitali za Jeshi kwa vifaa na wataalamu ili watawala watibiwe hapa nchini badala ya kutumia pesa nyingi kuwapeleka nje ningekuelewa. Lakini eti kama mkakati wa kupambana na wafanyakazi wa sekta ya afya ambao wanadai mazingira bora ya kufanyia kazi,vifaa na maslahi stahiki inaonyesha umasiking wa akili ulionao kichwani kwako!
      safari hii hakuna anewaunga tena mkono wauwaji hawa isipokuwa vichaa

    20. #58
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,662
      Rep Power : 718
      Likes Received
      291
      Likes Given
      36

      Default Re: Lugalo sasa ni Hospitali ya Rufaa!

      Huu ni udhaifu mwingine wa serikali ya ccm,another silly hospital

    21. #59
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,926
      Rep Power : 2300
      Likes Received
      1156
      Likes Given
      1505

      Default Re: Lugalo sasa ni Hospitali ya Rufaa!

      Matumizi ya sasa ya hospitali Lugalo ni sawa tu na watu kutumia ile basi nadhifu la Scandinavia aina ya 'Andre Paradiso' kupakia mchanga kutwa kucha kule Mbweni.

      Ukimya wa majeshi yetu na familia zao kubanana na wa-uraiani kwenye kutafuta tiba ilioelemewa zaidi ya mara 200 kidogo ... !!!!

    22. #60
      Kirode's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2011
      Posts : 1,117
      Rep Power : 637
      Likes Received
      64
      Likes Given
      38

      Default

      Ambae ni wewe,fisi..........
      Quote By MAKAH
      safari hii hakuna anewaunga tena mkono wauwaji hawa isipokuwa vichaa

    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...