Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wabunge wa CCM wajadili bajeti ya upinzani

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      The Listener's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 468
      Rep Power : 461
      Likes Received
      93
      Likes Given
      18

      Default Wabunge wa CCM wajadili bajeti ya upinzani

      Natazama Bunge live lakini cha ajabu naona kama wabunge wa CCM wanaijadili tena kwa kina bajeti ya upinzani. Kimsingi nadhani walitakiwa kuiboresha bajeti ya serikali yao huku wakiuchukua ushauri (hasa ule wanaouona kwao unafaa) toka katika bajeti ya upinzani.

    2. Study Abroad

    3. FJM
      #2
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,168
      Rep Power : 2566
      Likes Received
      5318
      Likes Given
      4585

      Default Re: Wabunge wa CCM wajadili bajeti ya upinzani

      Quote By The Listener
      Natazama Bunge live lakini cha ajabu naona kama wabunge wa CCM wanaijadili tena kwa kina bajeti ya upinzani. Kimsingi nadhani walitakiwa kuiboresha bajeti ya serikali yao huku wakiuchukua ushauri (hasa ule wanaouona kwao unafaa) toka katika bajeti ya upinzani.

      Wapinzani wanatoa maoni, lakini hoja bajeti ya serikali. Wabunge wote wanatakiwa wajadili hiyo hoja yaani bajeti ya serikali, sasa kama wanajadili maoni ya upinzani hili ni janga lingine la kitaifa. Kwa bahati mbaya anayeongoza kikao cha bunge ama kwa makusudi au kutojua ameamua kuacha kuacha watu wajadili maoni na sio 'hoja'.

      Na kwa msingi huo hakuna haja ya serikali kupeleka hoja bungeni maana wabunge hawachangii/hawachambui hoja. Waachwe wapinzani wapeleke maoni since wabunge wa CCM wako bungeni kujadili maoni ya wapinzani!
      genekai and cooper like this.

    4. #3
      cooper's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Posts : 134
      Rep Power : 404
      Likes Received
      26
      Likes Given
      85

      Default Re: Wabunge wa CCM wajadili bajeti ya upinzani

      Siyo bajeti tu hata sera na ilani yao hawaizingatii tena wanasubiri waone CDM wanafanya nini au wanasema nini, halafu wao wafuate au wajadili. CCM ni chama tawal kinadharia ila CDM ni chama tawala in action maana ilani yao, bajeti na hotuba zao ndo zinaongoza kujadiliwa na CCM na vyama vingine badala zile za CCM, sasa nani anatawala hapo??

    5. #4
      Kilembwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2009
      Posts : 955
      Rep Power : 687
      Likes Received
      114
      Likes Given
      144

      Default Re: Wabunge wa CCM wajadili bajeti ya upinzani

      Hili ndio tatizo la kuweka maslahi ya chama mbele, CCM ni janga la kitaifa na wabunge wake ni virus wanaitafuta Tanzania, mimi nimeacha hata kutazama bunge maana linaendeshwa kitoto sana na wenyeviti na spika dahifu toka chama cha kipuuzi kinachoongozwa na mwenyekiti dhaifu!

    6. #5
      mzamifu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2010
      Location : IN SPACE
      Posts : 922
      Rep Power : 651
      Likes Received
      205
      Likes Given
      173

      Default Re: Wabunge wa CCM wajadili bajeti ya upinzani

      Quote By The Listener
      Natazama Bunge live lakini cha ajabu naona kama wabunge wa CCM wanaijadili tena kwa kina bajeti ya upinzani. Kimsingi nadhani walitakiwa kuiboresha bajeti ya serikali yao huku wakiuchukua ushauri (hasa ule wanaouona kwao unafaa) toka katika bajeti ya upinzani.
      typical defensive mechanism which is wrong

    7. FemaTV & Radio

      Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...