Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mheshimiwa Msechu unastahili pongezi

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 46
    1. #1
      I have a dream's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 69
      Rep Power : 373
      Likes Received
      59
      Likes Given
      36

      Post Mheshimiwa Msechu unastahili pongezi

      Nimekuwa nikitafakari kazi anazofanya mweshimiwa mchechu ni nzuri sana na anastahili pongezi.

      Tangu amekuwa mkurugenzi wa NHC ni mengi amefanya kuanzia na utawala na hatimaye upatikanaji wa makazi bora kwa watanzania. Upatikanaji wa makazi bora unapitia mchakato mrefu sana lakini at the end ameweza kufanikisha to some extent. Ana maamuzi ya busara na ya kutokuogopa( RISK TAKER) na ni smart. Hasiti kumpa mtu nafasi ya kuonyesha ujuzi wake professionally. Hii ndiyo siri ya mafanikio. Mimi mwenyewe nilipata nafasi ya kufanya naye kazi eventhough siko kikazi NHC.

      Pia natoa pongezi kwa viongozi kumwamini na kumchagua

      Wito wangu ni kwa sister organisations kumuunga mkono mia kwa mia mfano tanesco, maji, tanroad, TBA na nyinginezo ili kurahisisha utekelezaji wa project alizoazisha na anazoplan kufanya. Hatimaye na mimi nitaweza kupata nyumba inayomilikiwa na NHC.

      Marafiki zangu mnaofanya kazi NHC Juhudi zisipungue

      Wito wangu kwa JF panapostahili kusifiwa ni vizuri tukasifia: HONGERA SANA MH.MCHECHU KWA KAZI NZURI
      "Don't ask what your country can do for you, but what you can do for your country" John Kennedy


    2. Miaka 50

    3. #2
      piper's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 1,600
      Rep Power : 767
      Likes Received
      244
      Likes Given
      39

      Default Re: Mheshimiwa Mchechu unastahili pongezi

      Ni kweli kabisa mui muue haki yake mpe, huyu bwana ni jembe la maana bali serikali hii ya magamba isivyopenda wachapakazi lazima apigwe zengwe ili aondolewe, rejea lilomkuta Tido TBC

    4. #3
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,370
      Rep Power : 1212
      Likes Received
      1214
      Likes Given
      1591

      Default Re: Mheshimiwa Mchechu unastahili pongezi

      Hivi mnapomsifu huyu Jamaa kila siku amefanya nini hasa? Mbona mi naona project zake zinakidhana sana na mahitaji ya watanzania wa kawaida? nyumba za mchikichini nasikia bei ni zaidi ya Millioni mia moja hamsini, kuna mfanyakazi atanunua apo?
      Hofstede and theROOM like this.

    5. #4
      I have a dream's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 69
      Rep Power : 373
      Likes Received
      59
      Likes Given
      36

      Default Re: Mheshimiwa Mchechu unastahili pongezi

      Quote By Sangarara
      Hivi mnapomsifu huyu Jamaa kila siku amefanya nini hasa? Mbona mi naona project zake zinakidhana sana na mahitaji ya watanzania wa kawaida? nyumba za mchikichini nasikia bei ni zaidi ya Millioni mia moja hamsini, kuna mfanyakazi atanunua apo?

      Unachosema Inaweza kuwa na ukweli lakini ukianza project yoyote inabidi ujitahidi urudishe kwanza madeni then unaanza kujenga nyumba ambazo zinabei nafuu
      "Don't ask what your country can do for you, but what you can do for your country" John Kennedy


    6. #5
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,055
      Rep Power : 0
      Likes Received
      516
      Likes Given
      260

      Default Re: Mheshimiwa Mchechu unastahili pongezi

      Ingawaje hii si hoja lakini kwa mshahara anaovuta kwa mwezi i.e mara 20 ya mshahara wa daktari wa sasa (Tshs 970,000), inabidi achacharike.


    7. #6
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,370
      Rep Power : 1212
      Likes Received
      1214
      Likes Given
      1591

      Default Re: Mheshimiwa Mchechu unastahili pongezi

      Quote By I have a dream
      Unachosema Inaweza kuwa na ukweli lakini ukianza project yoyote inabidi ujitahidi urudishe kwanza madeni then unaanza kujenga nyumba ambazo zinabei nafuu
      Mtu ukianza kula nyama za watu utakula mpaka watoto wako mwenyewe, huyu akimaliza hizo project zake za makazi ya watu ataanza kujenga za maofisi na mahoteli.

      Kitu kimoja watu wanashindwa kukumbuka ni kwamba, Mchechu kapata ukurugenzi NHC sababu ya success yake katika kufinance real estates hapa mjini very profitably akiwa na CBA. anachokijua ni profitability basi na ndio maana unamuona atafuta sifa kwa kutoomba fedha serikalini ili kuwezesha ujengaji wa nyumba nafuu kwa watanzania wakawaida, mtafute akiwa anaongelea haya mambo ndio utamuelewa ni mtu wa namna gani. Hauwezi kukopa pesa Bank alafu ukafanya project za Kisiasa.

      NHC inatakiwa kutumika kisiasa, kwa maana ya kuwasaidia watanzania ambao hawawezi kuhimili uchumi wa soko huria, not less than that. Lakini kwa sababu serikali yetu inaongozwa bira sera wa dira zinazoeleweka ipo siku utasikia yuko board ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu
      Zungu Pule and Mwalimu like this.

    8. #7
      kijereshi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : bubinza
      Posts : 204
      Rep Power : 400
      Likes Received
      53
      Likes Given
      5

      Default Re: Mheshimiwa Mchechu unastahili pongezi

      Nilishawahi kuchangia humu jamvini kuna teknolojia ya matofali hydroform na interlocking blocks ni nafuu sana hasa kwa wananchi wa kawaida na mtu anaweza kumudu kutumia matofali hayo kwa shughuli za ujenzi kama NHC ingeweza kuingiza teknolojia hiyo katika ujenzi wa nyumba zake nauhakika gharama zingekuwa chini na nyumba hizo zingeuzwa kwa bei nafuu sana

    9. #8
      Ericus Kimasha's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th October 2006
      Posts : 248
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      154
      Likes Given
      306

      Default Re: Mheshimiwa Mchechu unastahili pongezi

      I have a dream,

      Tendo la kumsifia ndani ya JF ya 2012 Mtanzania mwenzio kwa mema au mafanikio aliyosotea na kuyapata ni kusaka matusi na kejeli.

      Pamoja na hayo, ukweli unabaki kuwa ukweli; Nehemia anafanya kazi na kutoa matokeo yenye mafanikio ya hali ya juu. Ni rahisi kwa kipofu kushuhudia hili kuliko baadhi ya wana-JF

    10. #9
      +255's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Posts : 1,098
      Rep Power : 592
      Likes Received
      208
      Likes Given
      0

      Default Re: Mheshimiwa Mchechu unastahili pongezi

      Mnamsifia mtu kwa kutimiza majukumu yake...Af hizo nyumba kuna mtu mwenye kipato chawaida alishawahi kununua?

    11. #10
      spiritual-thinker's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th March 2012
      Posts : 45
      Rep Power : 370
      Likes Received
      8
      Likes Given
      4

      Default Re: Mheshimiwa Mchechu unastahili pongezi

      Quote By georgeallen
      Ingawaje hii si hoja lakini kwa mshahara anaovuta kwa mwezi i.e mara 20 ya mshahara wa daktari wa sasa (Tshs 970,000), inabidi achacharike.
      Sio kila mshahara lazima ulinganishwe na wa daktari, Mchechu ni Director General na mshahara unaotaja ni wa daktari anayeanza, hv ni vitu viwili tofauti. Linganisha mshahara Mchechu na CEO wa Vodacom, NMB au at least Dr. Njelekela(Director wa MNH)

    12. #11
      timbilimu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Location : DSM
      Posts : 2,672
      Rep Power : 977
      Likes Received
      584
      Likes Given
      10

      Default

      Waliopo ndani ya NHC wanasema Mchechu amejitengenezea anguko lake kwa kuwagawa wafanyakazi. Wafanyakazi wa zamani kulipwa mishahara kiduchu huku wapya na ambao wengi wanapata ajira za memo wakilipwa mishahara mikubwa. Tatizo jingine linadaiwa ni menejimenti kubwa ambayo inatumia pesa nyingi bila sababu za msingi. Kama atataka kupata mafanikio hanabudi kurekebisha hayo mambo pamoja na kumdhibiti mkurugenzi wake wa branch operations ambaye anadaiwa kuwa ni mchwa hatari kote alikopita!
      Quote By I have a dream
      Nimekuwa nikitafakari kazi anazofanya mweshimiwa mchechu ni nzuri sana na anastahili pongezi.

      Tangu amekuwa mkurugenzi wa NHC ni mengi amefanya kuanzia na utawala na hatimaye upatikanaji wa makazi bora kwa watanzania. Upatikanaji wa makazi bora unapitia mchakato mrefu sana lakini at the end ameweza kufanikisha to some extent. Ana maamuzi ya busara na ya kutokuogopa( RISK TAKER) na ni smart. Hasiti kumpa mtu nafasi ya kuonyesha ujuzi wake professionally. Hii ndiyo siri ya mafanikio. Mimi mwenyewe nilipata nafasi ya kufanya naye kazi eventhough siko kikazi NHC.

      Pia natoa pongezi kwa viongozi kumwamini na kumchagua

      Wito wangu ni kwa sister organisations kumuunga mkono mia kwa mia mfano tanesco, maji, tanroad, TBA na nyinginezo ili kurahisisha utekelezaji wa project alizoazisha na anazoplan kufanya. Hatimaye na mimi nitaweza kupata nyumba inayomilikiwa na NHC.

      Marafiki zangu mnaofanya kazi NHC Juhudi zisipungue

      Wito wangu kwa JF panapostahili kusifiwa ni vizuri tukasifia: HONGERA SANA MH.MCHECHU KWA KAZI NZURI

    13. #12
      spiritual-thinker's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th March 2012
      Posts : 45
      Rep Power : 370
      Likes Received
      8
      Likes Given
      4

      Default Re: Mheshimiwa Mchechu unastahili pongezi

      Quote By Sangarara
      Mtu ukianza kula nyama za watu utakula mpaka watoto wako mwenyewe, huyu akimaliza hizo project zake za makazi ya watu ataanza kujenga za maofisi na mahoteli.

      Kitu kimoja watu wanashindwa kukumbuka ni kwamba, Mchechu kapata ukurugenzi NHC sababu ya success yake katika kufinance real estates hapa mjini very profitably akiwa na CBA. anachokijua ni profitability basi na ndio maana unamuona atafuta sifa kwa kutoomba fedha serikalini ili kuwezesha ujengaji wa nyumba nafuu kwa watanzania wakawaida, mtafute akiwa anaongelea haya mambo ndio utamuelewa ni mtu wa namna gani. Hauwezi kukopa pesa Bank alafu ukafanya project za Kisiasa.

      NHC inatakiwa kutumika kisiasa, kwa maana ya kuwasaidia watanzania ambao hawawezi kuhimili uchumi wa soko huria, not less than that. Lakini kwa sababu serikali yetu inaongozwa bira sera wa dira zinazoeleweka ipo siku utasikia yuko board ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu
      Watanzania huwa wananishangaza sana, wapo wanao onekana kupenda maendeleo kwa maneno lakini anapotokea mtu anayetekeleza mipango ya maendeleo kwa vitendo wanapiga mayowe. Mchechu ni katika majembe machache sana yaliyo kwenye mashirika ya umma chini ya serikali ya magamba. Hili shirika lilikuwa linakufa kama asingetokea Dr. Magufuli kuliokoa ile mwaka 2006. Hata hivyo halikuwa na kiongozi visionary na chapa kazi kama Mchechu.

      Huna aibu kusema anatafuta sifa kwa kutoomba fedha serikalini???!!! Hivi akianza kutegemea fedha kutoka kwenye serikali hii dhaifu ya magamba kuna mradi hata mmoja utakaofanikiwa!! hawawezi kununua CT scan, watajenga nyumba??? Ndugu yangu use the white matter in your skull.

      Eti, amezoea profitability!!! Unataka aliongoze shirika kwa hasara ili muuziane kama mlivyozoea kufanya kwa kisingizio cha hasara??!!

      All in All Mchechu is a rare gem. Jembe lingine la kwenye shirika la umma ni new CEO wa Posta Bank Mr. Moshingi, ndani ya mwaka wake mmoja ofisini, profit growth 300 perc. Bravo!! this is what we want.
      Majimoto likes this.

    14. #13
      Bhbm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2009
      Posts : 650
      Rep Power : 617
      Likes Received
      151
      Likes Given
      0

      Default Re: Mheshimiwa Mchechu unastahili pongezi

      Sawa ila nataka tu kujua kuwa ni lini huyu bwana amepata status ya kisiasa kuitwa mheshimiwa?

    15. #14
      Mwalimu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 1,171
      Rep Power : 783
      Likes Received
      249
      Likes Given
      669

      Default Re: Mheshimiwa Mchechu unastahili pongezi

      Quote By I have a dream
      Nimekuwa nikitafakari kazi anazofanya mweshimiwa mchechu ni nzuri sana na anastahili pongezi.
      Kumbe na yeye ni Mheshimwa??
      I'm teaching fools some basic rules...

    16. #15
      Mfamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2007
      Posts : 2,884
      Rep Power : 1161
      Likes Received
      286
      Likes Given
      158

      Default Re: Mheshimiwa Mchechu unastahili pongezi

      Disgusting. Orodhesha hayo mafanikio unayosema kwa Watanzania. NHC inapaswa kujenga low cost housing nyiiingi ziwanufaishe Watz wengi. Sasa mill 150 si za matajiri na process ya kuziuza ni rushwa tupu? Hamna issue. Atimize malengo ya NHC kwa walengwa sio kubabaisha kwenye TV na yule jamaa wa Clouds as if kuna chochote tunachofaidi kwenye hivyo vipindi.
      Topical likes this.
      ''The most pathetic person in the world is someone who has sight, but has no vision''

    17. #16
      timbilimu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Location : DSM
      Posts : 2,672
      Rep Power : 977
      Likes Received
      584
      Likes Given
      10

      Default

      Tatizo la walamba viatu na kujipendekeza. Anayeonyesha mapungufu ama udhaifu ndiye anamsaidia Mchechu kurekebisha makosa ili afanikiwe zaidi. Binadamu wote tuna udhaifu wa aina mbalimbali,rafiki mwema ni yule anayekutahadharisha siyo anayekusifu sifa za kinafiki!
      Quote By spiritual-thinker
      Watanzania huwa wananishangaza sana, wapo wanao onekana kupenda maendeleo kwa maneno lakini anapotokea mtu anayetekeleza mipango ya maendeleo kwa vitendo wanapiga mayowe. Mchechu ni katika majembe machache sana yaliyo kwenye mashirika ya umma chini ya serikali ya magamba. Hili shirika lilikuwa linakufa kama asingetokea Dr. Magufuli kuliokoa ile mwaka 2006. Hata hivyo halikuwa na kiongozi visionary na chapa kazi kama Mchechu.

      Huna aibu kusema anatafuta sifa kwa kutoomba fedha serikalini???!!! Hivi akianza kutegemea fedha kutoka kwenye serikali hii dhaifu ya magamba kuna mradi hata mmoja utakaofanikiwa!! hawawezi kununua CT scan, watajenga nyumba??? Ndugu yangu use the white matter in your skull.

      Eti, amezoea profitability!!! Unataka aliongoze shirika kwa hasara ili muuziane kama mlivyozoea kufanya kwa kisingizio cha hasara??!!

      All in All Mchechu is a rare gem. Jembe lingine la kwenye shirika la umma ni new CEO wa Posta Bank Mr. Moshingi, ndani ya mwaka wake mmoja ofisini, profit growth 300 perc. Bravo!! this is what we want.

    18. #17
      Topical's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      853
      Likes Given
      707

      Default Re: Mheshimiwa Mchechu unastahili pongezi

      Kwa kukusaidia ili kupima perfomance ya mkuregenzi wa NHC unaangalia yafuatayo

      a. Nyumba ngapi zimejengwa na kukodishwa au kuuzwa kwa wananchi wa kawaida???

      b. Nyumba ngapi zimekarabatiwa vema na kuondoa nepotism/upendeleo katika upatikanaje wake..hadi leo wenye kupewa nyumba za NHC ni wahindi na waafrika wachache kwanini (operation morandi ni ileile) ambayo mtu wa kawaida kupata nyumba ni haiwezekani

      c. Wafanyakazi wake wanalipwa vema, wameacha kula rushwa, utaratibu wa ajira uko wazi kwa watanzania wote au ni kwa wale wanajumuia wenzake tu??


      Hizo tatu zote kama hujaona chochote usituletee ujinga wako kwasababu amekupa kazi, au amekununulia pombe ..
      "Mbowe for Presidency 2015""

    19. #18
      Mpitagwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 927
      Rep Power : 553
      Likes Received
      321
      Likes Given
      204

      Default Re: Mheshimiwa Mchechu unastahili pongezi

      Jamani kuleta mabaadiliko serikalini si kitu rahisi kwani utaratibu wa serikali ni business as usual so unapoona hata dalili za mabadiliko ujue mtu kafanya kazi. Nehemia amejitahidi sana kwenye shirika hili na kigingi moja wapo ni kuwa serikali na hasa wajeda aka wanajeshi wanagoma kulipa kodi za pango japo budget wanatengewa. Nehemia awafanyaje JWTZ? Wakilipa wadaiwa sugu wote hapo atakuwa na fungu la kujenga na hizo nyumba za akina sisi. meanwhile lazima aoparate on business basis otherwise ataanguka puuu. Hongera Nehemia unajitahidi.

    20. #19
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,370
      Rep Power : 1212
      Likes Received
      1214
      Likes Given
      1591

      Default Re: Mheshimiwa Mchechu unastahili pongezi

      Quote By spiritual-thinker
      Watanzania huwa wananishangaza sana, wapo wanao onekana kupenda maendeleo kwa maneno lakini anapotokea mtu anayetekeleza mipango ya maendeleo kwa vitendo wanapiga mayowe. Mchechu ni katika majembe machache sana yaliyo kwenye mashirika ya umma chini ya serikali ya magamba. Hili shirika lilikuwa linakufa kama asingetokea Dr. Magufuli kuliokoa ile mwaka 2006. Hata hivyo halikuwa na kiongozi visionary na chapa kazi kama Mchechu.

      Huna aibu kusema anatafuta sifa kwa kutoomba fedha serikalini???!!! Hivi akianza kutegemea fedha kutoka kwenye serikali hii dhaifu ya magamba kuna mradi hata mmoja utakaofanikiwa!! hawawezi kununua CT scan, watajenga nyumba??? Ndugu yangu use the white matter in your skull.

      Eti, amezoea profitability!!! Unataka aliongoze shirika kwa hasara ili muuziane kama mlivyozoea kufanya kwa kisingizio cha hasara??!!

      All in All Mchechu is a rare gem. Jembe lingine la kwenye shirika la umma ni new CEO wa Posta Bank Mr. Moshingi, ndani ya mwaka wake mmoja ofisini, profit growth 300 perc. Bravo!! this is what we want.
      ni bahati mbaya sana namna nilivyoandika ni rahisi kuonekana namshambulia mchechu, hata mimi namkubari lakini umenielewa niliposema NHC inatakiwa kuendeshwa kisiasa?

    21. #20
      Zungu Pule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2008
      Posts : 406
      Rep Power : 799
      Likes Received
      32
      Likes Given
      36

      Default Re: Mheshimiwa Mchechu unastahili pongezi

      Quote By spiritual-thinker
      Watanzania huwa wananishangaza sana, wapo wanao onekana kupenda maendeleo kwa maneno lakini anapotokea mtu anayetekeleza mipango ya maendeleo kwa vitendo wanapiga mayowe. Mchechu ni katika majembe machache sana yaliyo kwenye mashirika ya umma chini ya serikali ya magamba. Hili shirika lilikuwa linakufa kama asingetokea Dr. Magufuli kuliokoa ile mwaka 2006. Hata hivyo halikuwa na kiongozi visionary na chapa kazi kama Mchechu.

      Huna aibu kusema anatafuta sifa kwa kutoomba fedha serikalini???!!! Hivi akianza kutegemea fedha kutoka kwenye serikali hii dhaifu ya magamba kuna mradi hata mmoja utakaofanikiwa!! hawawezi kununua CT scan, watajenga nyumba??? Ndugu yangu use the white matter in your skull.

      Eti, amezoea profitability!!! Unataka aliongoze shirika kwa hasara ili muuziane kama mlivyozoea kufanya kwa kisingizio cha hasara??!!

      All in All Mchechu is a rare gem. Jembe lingine la kwenye shirika la umma ni new CEO wa Posta Bank Mr. Moshingi, ndani ya mwaka wake mmoja ofisini, profit growth 300 perc. Bravo!! this is what we want.
      You may be right but missing some points. Shirika la Nyumba la Taifa si sawa na benki binafsi eg. CBA. For one thing, NHC ni shirika la umma. Lengo lake si kuingizia serikali mapato. Bali ni kutoa huduma kwa watanzania. Yes. Linapaswa kujiendesha kwa faida lakini lengo kuu si profit maximization. Unapoendesha shirika hili, ambalo waasisi wake walilenga watu wenye kipato cha kawaida, kama benki ya biashara unakuwa unaongozwa na malengo ya kutengeneza faida kubwa ili usifiwe (Kama unavyomsifia Bosi wa Posta) na kuwasahau walengwa ambao ni Watanzania wa kipato cha kawaida. Huyu Bwana amelichukua Shirika likiwa halina uwezo wa kifedha (so they say). Hivyo, akaamua kuja na style ya kujenga nyumba kwenye "prime plots" za shirika hili na kuziuza ili kujenga uwezo wa kifedha (ninaambiwa hata mtumishi wa NHC ni shughuli kupata nafasi ya kuuziwa nyumba hizo, if you know what I mean). Fine. Uwezo wa kifedha utaongezeka (if it works) lakini asset za shirika zitapungua. Kupungua kwa assets za shirika kunapelekea kufa kwa shirika, regardless of how much money you have at hand. Na kumbuka kutengeneza faida kubwa si lengo la shirika.

      Lengo la shirika ni kuwapatia Watanzania makazi bora kwa gharama nafuu. Kabla ya huyu bosi kuongoza Shirika na inavyofanyika nchi nyingine, Shirika hili linapaswa kujenga makazi bora ya gharama nafuu na kuendesha renting business. Watanzania walio wengi watamudu kulipa gharama ya pango kila mwezi lakini hawawezi kumudu kulipa Shilingi 100 million kwa mkupuo. Hawakopesheki. Hii itaondoa matatizo mengi sana. Itapunguza rushwa. Itaongeza ufanisi wa kazi. Badala ya mfanyakazi kufikiria namna ya kuiba ili aweze kujenga nyumba au kununua nyumba ya NHC, atatulia na kufanya kazi. Kwa sababu uhakika wa makazi anao. Na usipolipa pango kwa mwezi, unatolewa anapewa mtu mwingine. This is how it should work. NHC isishindane na mabenki kutengeneza faida kubwa. Hili ni shirika la umma. Lilenge kutoa huduma zaidi. And yes. Linastahili ruzuku ya serikali at some point (economists hate subsidy arguing it's an inefficient way to allocate resources. But who doesn't do it?).

      Na NHC ikifanya kazi yake vizuri, gharama ya pango inayotozwa sokoni kwa sasa itaji-regulate vizuri sana. Kwa sasa wenye nyumba wanatoza bei yeyote wanayotaka. Hakuna wa kumuuliza. Na kwa kuwa kuna shida ya makazi, watu wanaishia kuiba ili kumudu gharama za pango. Mishahara haiendani na gharama za pango sokoni. Watu wanamudu vipi kulipa kama si kwa kuiba?

      Bw. Mchechu, NHC ni mkombozi wa Watanzania linapokuja swala la makazi.Jitahidi kuhudumia Watanzania wenye mahitaji na si matajiri wanaotafuta kujilimbikizia mali. Kwa kuuza maeneo mazuri ya NHC, huna tofauti na wale waliojiuzia nyumba za Serikali. We are counting on you!
      Korosho, Mnama and Topical like this.
      "Every decent man is ashamed of the government he lives under" H.L. Mencken [1880 - 1956]

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...