Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

    Report Post
    Page 1 of 11 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 213
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,400
      Rep Power : 10870
      Likes Received
      3775
      Likes Given
      426

      Default Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Kiongozi wa upinzani nchini na Katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbrod Slaa amelaani vikali kushambuliwa na kuteswa kiongozi wa madaktari nchini Dr Ulimboka Stephen.

      Kiongozi huyo amesema hakuna njia zaidi ya kuunda tume huru kuchunguza tukio zima la utekaji kwani Mtuhumiwa namba moja ni serikali na kamwe haiwezi kujichunguza yenyewe. Dr. Slaa amesema vinginevyo matokeo ya tume hiyo ya serikali ambayo si huru hayatatambuliwa wala kukubaliwa na wananchi.

      Dr Slaa amesema anashangaa kusikia serikali haina fedha za kuwaongezea madaktari huku katika bajeti ya mwaka huu ikitenga shilingi bilioni 15 kwa ajili ya chai tu.


      Source: Mwanahalisi

    2. Study Abroad

    3. #2
      Jakubumba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2011
      Location : United states
      Posts : 1,146
      Rep Power : 713
      Likes Received
      298
      Likes Given
      123

      Default

      Karibu rais wangu nilikuwa nasubilia kauli yako

    4. #3
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,400
      Rep Power : 10870
      Likes Received
      3775
      Likes Given
      426

      Default re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Hakika haya maneno mazito sana.Tuyatafakari
      Mopalmo likes this.

    5. #4
      POMPO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 2,955
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      625

      Default re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Chai ya Ikulu Billion15?

    6. #5
      Ndumbayeye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2009
      Posts : 1,062
      Rep Power : 737
      Likes Received
      97
      Likes Given
      805

      Default re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      serikali si ya kuchunguzwachunguzwa - by s. malechela ex pm
      Mopalmo and Communist like this.
      I HAVE SPOKEN

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Madela Wa- Madilu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2007
      Location : NORTH WEST USA
      Posts : 2,524
      Rep Power : 2441
      Likes Received
      277
      Likes Given
      286

      Default re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Sijui wanatumia siagi ya Dhahabu?

      We acha yaani.

      Quote By POMPO
      Chai ya Ikulu Billion15?
      Mopalmo likes this.
      MYPEOPLE PERISH FOR LACK OF KNOWLEDGE. HOSEA 4:6

    9. #7
      majebere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 2,201
      Rep Power : 0
      Likes Received
      322
      Likes Given
      111

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      halafu bado mnakataa kuwa Chadema wako nyuma ya huu mgomo.
      Ndumbayeye likes this.

    10. #8
      Nivea's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,680
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3140
      Likes Given
      4053

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Hebu tutamke vizuri biliooooooooooooooooooni 15?du wakati raia mlo mmja shida duama kweli aliyejuu msubirie chini

    11. #9
      tocolyitics's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 65
      Rep Power : 381
      Likes Received
      33
      Likes Given
      21

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Bora wananchi wafe kuliko kupunguza au kukosa chai. LIWALO NA LIWE.
      Mopalmo likes this.

    12. #10
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 2,998
      Rep Power : 8376
      Likes Received
      830
      Likes Given
      692

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Quote By majebere
      halafu bado mnakataa kuwa Chadema wako nyuma ya huu mgomo.
      Ndiyo tunakataa maana ukweli uko wazi

    13. #11
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,445
      Rep Power : 19777
      Likes Received
      4284
      Likes Given
      1187

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Jk kwa chai!

    14. #12
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,445
      Rep Power : 19777
      Likes Received
      4284
      Likes Given
      1187

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Jk kwa chai na safari utamtaka!

    15. #13
      EMMANUEL NSAMBI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th October 2011
      Posts : 357
      Rep Power : 453
      Likes Received
      78
      Likes Given
      17

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Chai bilion 15?Hapo ndipo panapoongeza hasira kwa madaktari.Wao wanahangaika
      kuponya watu wengine wanakaa ofisin wakinywa chai.Kama ni lazima wanywe chai
      wachukue toka majumbani kwao.
      Mopalmo likes this.

    16. #14
      Amiliki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2011
      Posts : 1,458
      Rep Power : 761
      Likes Received
      715
      Likes Given
      33

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      "Chai ya Ikulu bil. 15! Mwacheni RiziOne ajenge Ma-Mansion na kununua Hotel nyingine Tanga.
      Mopalmo likes this.
      Huku Magamba wakiendelea kusambaratishwa; Chadema Rahaaa!!!!! Si Rahaa!!!! WOTE: RAHAAAA!!!!!!!!!!

    17. #15
      majebere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 2,201
      Rep Power : 0
      Likes Received
      322
      Likes Given
      111

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Nyie mnajua huyo Slaa alipiga vikombe vingapi alipoenda ikulu? Na akaomba na biskuti ya kuchovea.
      Ndumbayeye and waziri/saidi like this.

    18. #16
      Janja PORI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2011
      Posts : 661
      Rep Power : 653
      Likes Received
      86
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      du yani kwa siku chai Milion 4 hahhaha
      take 15 Billion / 360
      insane

    19. #17
      Shinto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2010
      Posts : 1,783
      Rep Power : 677
      Likes Received
      75
      Likes Given
      10

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Stupidity is repeating same thing over and again, but expecting different results! We have already heard this 'hot air'!

    20. #18
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,693
      Rep Power : 903
      Likes Received
      431
      Likes Given
      440

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      ccm ni janga

    21. #19
      olele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 260
      Rep Power : 481
      Likes Received
      57
      Likes Given
      22

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      imeshindwa kuchunguza ya mwakyembe ambye ni MBUNGE, mwanachama wa CCM na sasa WAZIRI, haijatoa majibu mpaka leo nini kilichotokea, mnatarajia serikali iwape majibu kuhusu dk ulimboka. give me a break!
      it does not matter how many books u have but how many are words of God

    22. #20
      controler's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd July 2012
      Posts : 365
      Rep Power : 419
      Likes Received
      80
      Likes Given
      73

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Quote By majebere
      halafu bado mnakataa kuwa Chadema wako nyuma ya huu mgomo.
      Kwa hiyo kwa kuwa una ushahidi kuwa Chadema wako nyuma ya Mgomo ni kwa nini Mkaenda Kumpiga DR Ulimboka na Kumngoa Kucha Na meno?
      Unstoppable likes this.

    23. Miaka 50
    Page 1 of 11 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...