Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

    Report Post
    Page 6 of 11 FirstFirst ... 45678 ... LastLast
    Results 101 to 120 of 213
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,390
      Rep Power : 10868
      Likes Received
      3772
      Likes Given
      426

      Default Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Kiongozi wa upinzani nchini na Katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbrod Slaa amelaani vikali kushambuliwa na kuteswa kiongozi wa madaktari nchini Dr Ulimboka Stephen.

      Kiongozi huyo amesema hakuna njia zaidi ya kuunda tume huru kuchunguza tukio zima la utekaji kwani Mtuhumiwa namba moja ni serikali na kamwe haiwezi kujichunguza yenyewe. Dr. Slaa amesema vinginevyo matokeo ya tume hiyo ya serikali ambayo si huru hayatatambuliwa wala kukubaliwa na wananchi.

      Dr Slaa amesema anashangaa kusikia serikali haina fedha za kuwaongezea madaktari huku katika bajeti ya mwaka huu ikitenga shilingi bilioni 15 kwa ajili ya chai tu.


      Source: Mwanahalisi

    2. Study Abroad

    3. #101
      mwinukai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2011
      Posts : 656
      Rep Power : 538
      Likes Received
      134
      Likes Given
      51

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Quote By KISUKALI
      Mtu mwenye maoni hayo anaweza kuongoza nchi kweli? Anajua nn kazi za serekali Maskini cdm!!
      Mabumba generation

    4. #102
      Ally Kanah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Posts : 777
      Rep Power : 557
      Likes Received
      37
      Likes Given
      35

      Default

      Quote By Precise pangolin
      Vipi ile mahakama ya kadhi na yenyewe gharama za uendeshaji mtazipata al-queda au al-Shabab?
      Vp Paroko katoka kuvuta za Ujerumani mbona kaja nazo kimya kimya au ndio anataka kuoleaa

    5. #103
      chama's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th August 2010
      Posts : 4,837
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1155
      Likes Given
      908

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Mnafiki mkubwa mziki umekwisha yeye ndio anaanza kuucheza; alikuwa wapi siku zote wakati kina mama na watoto wanateseka?

      Chama
      Gongo la mboto DSM
      Ndumbayeye likes this.

    6. #104
      Kiby's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2009
      Posts : 3,499
      Rep Power : 1187
      Likes Received
      599
      Likes Given
      33

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      mmh hiyo chai ya bil15 sukari yake ni dawa ya kurefusha maisha au?
      .

    7. #105
      Shardcole's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,393
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1032
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Abdulhalim
      hiyo tume huru kwa lipi hasa na kwa gharama za nani? imo serikali iendelee na taratibu zake za kawaida kulishughulikia suala hili, ambaye hataridhika aende huko anakoona kunapatikana haki. we have important burning problems kuliko individuals na some isolated events.
      jina lako tu linadhihirisha ukilaza ulio nao na hii yote ni athari ya kunywa kahawa na kucheza bao kutwa nzima. POLE YAKO.

    8. Miaka 50

    9. #106
      Nsabhi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd February 2011
      Posts : 624
      Rep Power : 541
      Likes Received
      68
      Likes Given
      119

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      mimi naona hakuna haja hata ya kuwa na tume maana mtesaji wa Dr. Ulimboka anajulikana. Hii ni sawa na kuunda tume kuchunguza kama binadamu anakichwa au hana.
      Quote By Abdulhalim
      hiyo tume huru kwa lipi hasa na kwa gharama za nani? imo serikali iendelee na taratibu zake za kawaida kulishughulikia suala hili, ambaye hataridhika aende huko anakoona kunapatikana haki. we have important burning problems kuliko individuals na some isolated events.
      Unstoppable likes this.

    10. #107
      Ndinani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Posts : 2,947
      Rep Power : 1530
      Likes Received
      745
      Likes Given
      237

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Quote By ruttashobolwa
      Jk kwa chai na safari utamtaka!
      Hizo hizo wanazosema za chai, ndio zinajenga Msoga!!!!

    11. #108
      tubadilike-sasa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 480
      Rep Power : 464
      Likes Received
      98
      Likes Given
      278

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Quote By majebere
      Unajua hapa JF utamjua tu mwana CDM, lazima urushe tusi
      Ina maana Job Lusinde amehamia CHADEMA kutowa somo la matusi?

    12. #109
      Emma.'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 823
      Rep Power : 511
      Likes Received
      101
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      President mtarajiwa 2015 tunakusubiri tukuingize pale ikulu bila ubishi pongezi sana kamanda

    13. #110
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3770
      Likes Received
      1200
      Likes Given
      559

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Quote By Nsabhi
      mimi naona hakuna haja hata ya kuwa na tume maana mtesaji wa Dr. Ulimboka anajulikana. Hii ni sawa na kuunda tume kuchunguza kama binadamu anakichwa au hana.
      approved..kama mlipa kodi huu ni uamuzi sahihi..whether wanawajua wahusika or not.
      Last edited by Abdulhalim; 4th July 2012 at 17:18.
      Moola's the motive

    14. #111
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3770
      Likes Received
      1200
      Likes Given
      559

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Quote By BUBE
      Mkuu Abdulhalim, cant you see there MUST be a connection and links from one event to another? Nyerere amesema kuhusu dhambi ya ubaguzi....ni sawa na kula nyama ya mtu.....! Like wise this could start with Uli....and spread to something else, lets find its root and uproot it whenever possible otherwise tutalea saratani mbaya
      i agree kwamba waliotenda hicho kitendo wanapaswa kusakwa na kufikishwa mbele ya sheria..hakuna mjadala kwene hili. Lakini at the same time i'm perturbed kwamba jamii ya wadanganyika sasa imekuwa too excited na conspiracy theories za uli na madr wakisahau kuwa kuna matatizo mengi na mazito zaidi yanatukabili kama taifa. hii excitement haina tija yeyote maana wanasiasa uchwara ndio fursa yao ya kuzidi kutuvuruga kwa manufaa yao binafsi.
      Ndumbayeye likes this.
      Moola's the motive

    15. #112
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3770
      Likes Received
      1200
      Likes Given
      559

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Quote By Shardcole
      jina lako tu linadhihirisha ukilaza ulio nao na hii yote ni athari ya kunywa kahawa na kucheza bao kutwa nzima. POLE YAKO.
      mabreka haya..
      Moola's the motive

    16. #113
      Ben Saanane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2007
      Posts : 6,689
      Rep Power : 32778
      Likes Received
      4969
      Likes Given
      6451

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Quote By majebere
      Haya ni mawazo yako au ya chama? Halafu huwezagi kuandika maneno machache, we kila ukitokeza lazima uandike gazeti.
      Ni mawazo yangu......
      Wametuonyesha Jeuri ya ukaburu,tuwaonyeshe jeuri ya Umkhontho we sizwe kupitia Red Brigade.Tukiwaonyesha woga wetu, itakua silaha imara zaidi kwao kutumaliza-Ben Saanane

    17. #114
      Straight corner's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th November 2010
      Posts : 177
      Rep Power : 466
      Likes Received
      18
      Likes Given
      23

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Aghrrrrr! Kama ni hivyo waandae eneola kunywea hiyo chai kila wilaya wananchi wooote wawe wanaenda kunywa chai hiyo.

    18. #115
      Whisper's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2009
      Posts : 411
      Rep Power : 589
      Likes Received
      161
      Likes Given
      59

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Prof. Slaa, tamko lako ni tamko la wanachi wote wenye uchungu na nchi hii, kasoro yule mama anayejipendekeza kwa JK; matomatoes. Amesahau kwamba anakaa tangayika (masaburini mwa nchi) na kwamba usafiri wake mkubwa ni barabara na siku likimkuta la kumkuta walah atakimbilia kwa sangoma.

    19. #116
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,837
      Rep Power : 3543
      Likes Received
      536
      Likes Given
      5136

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Quote By fmpiganaji
      Kiongozi wa upinzani nchini na Katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbrod Slaa amelaani vikali kushambuliwa na kuteswa kiongozi wa madaktari nchini Dr Ulimboka Stephen.

      Kiongozi huyo amesema hakuna njia zaidi ya kuunda tume huru kuchunguza tukio zima la utekaji kwani Mtuhumiwa namba moja ni serikali na kamwe haiwezi kujichunguza yenyewe. Dr. Slaa amesema vinginevyo matokeo ya tume hiyo ya serikali ambayo si huru hayatatambuliwa wala kukubaliwa na wananchi.

      Dr Slaa amesema anashangaa kusikia serikali haina fedha za kuwaongezea madaktari huku katika bajeti ya mwaka huu ikitenga shilingi bilioni 15 kwa ajili ya chai tu.


      Source: Mwanahalisi
      Mkuu kumbe chai maofisini ni Tshs15,000,000,000/= ( fifteen billion) Mhe Raisi washauli wake wanamwambia hakuna fedha, heeee hii sasa kazi!!!!


    20. #117
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,837
      Rep Power : 3543
      Likes Received
      536
      Likes Given
      5136

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Quote By Ritz
      Hivi Slaa, ni mwanaharakati au mwanasiasa? Sasa wewe kazi yako kulalamika tu na kukosoa sema basi Chadema wakichukuwa nchi Madaktari watalipwa milioni 10 kwa mwezi na nyumba pamoja na gari ya kutembelea, Walimu kima cha chini watalipwa Sh800,000 kwa mwezi.

      Kumbe Chadema walikuwa nyuma ya huu mgomo Slaa, sema mtawafanyia nini Madaktari mkichukuwa nchi.
      Wewe mtawala acha story wagonjwa wanakufa lipa madaktari warudi kazini kupunguza vifo, ya Dr Slaa yatakuja baadae 2015!!!!


    21. #118
      Honolulu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 19th January 2012
      Posts : 720
      Rep Power : 0
      Likes Received
      284
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Quote By majebere
      halafu bado mnakataa kuwa Chadema wako nyuma ya huu mgomo.
      Hata kama Chadema watakuwa nyuma ya mgomo huu kuna ubaya gani? Ubaya uko wapi ukimuunga mkono mtu anayedai haki yake?

    22. #119
      Hhangali Qwaray's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      :a s 465:tuache itikadi za vyama vyetu, hapa rais na washauri wake wamechmsha.
      Na hakuna pa kujificha, tuombe mungu na tushukuru tuko hivyo watanzania hatupendi shari vinginevyo hapa patageuka kuwa "tunisia"...!:a s 465:

    23. #120
      Son of Africa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 233
      Rep Power : 468
      Likes Received
      21
      Likes Given
      7

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Kwa kweli matukio ya ajabu nchini yamezidi, Nikikumbuka kifo cha Mbunge wangu Chacha Wangwe naona kama mazingaombwe tu. Na nilivyokuwa nimejipanga siku ya mazishi ningemuona mbwa mwitu aliyeutoa uhai wake siku ile, ungekuwa msiba kwa wanachama wa aliyekasirika kuhojiwa na Hayati Chacha Wangwe kuhusu mapato na Matumizi. Bora ulimboka atapona lakini tumuombee uzima badala ya kujikita katika story. Ni vyema tumuombee apone kwanza

    24. FemaTV & Radio
    Page 6 of 11 FirstFirst ... 45678 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...