Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka
Kiongozi wa upinzani nchini na Katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbrod Slaa amelaani vikali kushambuliwa na kuteswa kiongozi wa madaktari nchini Dr Ulimboka Stephen.
Kiongozi huyo amesema hakuna njia zaidi ya kuunda tume huru kuchunguza tukio zima la utekaji kwani Mtuhumiwa namba moja ni serikali na kamwe haiwezi kujichunguza yenyewe. Dr. Slaa amesema vinginevyo matokeo ya tume hiyo ya serikali ambayo si huru hayatatambuliwa wala kukubaliwa na wananchi.
Dr Slaa amesema anashangaa kusikia serikali haina fedha za kuwaongezea madaktari huku katika bajeti ya mwaka huu ikitenga shilingi bilioni 15 kwa ajili ya chai tu.
sawa padri slaa, lakini hiyo dini yako inaruhusu kumuwacha binaadamu mwenzio afe kwa sababu tu yakutaka pesa??. huoni hii kuwa ni sawa na matendo ya kijambazi? hata wakipata hicho wanachokitaka lakini je wataweza kurudisha roho za watu zilizotoka!!! naamini wewe ni mfuasi wa yesu, je yesu anaweza kuwa na msimamo kama wako kwa jambo hili?
Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka
Hivi Slaa, ni mwanaharakati au mwanasiasa? Sasa wewe kazi yako kulalamika tu na kukosoa sema basi Chadema wakichukuwa nchi Madaktari watalipwa milioni 10 kwa mwezi na nyumba pamoja na gari ya kutembelea, Walimu kima cha chini watalipwa Sh800,000 kwa mwezi.
Kumbe Chadema walikuwa nyuma ya huu mgomo Slaa, sema mtawafanyia nini Madaktari mkichukuwa nchi.
Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka
Hata kama kuna 15 Bil za chai sio mtu mzima kupayuka ovyo. Pesa inayotakiwa na maDr ni za kudumu sio kama bonus ya mwaka. Kwayo iwapo hatujui mahesabu sio kudanganyana kutaka kukuza jina.
Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka
The foes of our own household are surely prevailing against us, there should be in our people an inner life which finds its outer expression in a morality like unto that preached by the seers and the prophets of God. CCM have made themselves creators of our own life and have gone far from their role of being vendeators
There are those who believe that a new modernity demands a new morality. What you fail to consider is the harsh reality that there is no such a thing as a new morality. All else is immorality.
Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka
By Abdulhalim
hiyo tume huru kwa lipi hasa na kwa gharama za nani? imo serikali iendelee na taratibu zake za kawaida kulishughulikia suala hili, ambaye hataridhika aende huko anakoona kunapatikana haki. we have important burning problems kuliko individuals na some isolated events.
Nadhani uwezo wako wa kufikiri umefikia mwisho, na una ubinafsi uliokithiri. Kwa taarifa yako mambo aliyofanyiw Dr. Uli yanaweza kukukuta wewe, kama hayajamkuta ndugu au mpenzi wako. Ni vyema uchunguzi huru ufanyike na wahusika halisi wachukuliwe hatua kwa lengo la kuhakikisha kuwa unyama huu haujirudii tena kwa watu wengine.
Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka
By Makyomwango
Nadhani uwezo wako wa kufikiri umefikia mwisho, na una ubinafsi uliokithiri. Kwa taarifa yako mambo aliyofanyiw Dr. Uli yanaweza kukukuta wewe, kama hayajamkuta ndugu au mpenzi wako. Ni vyema uchunguzi huru ufanyike na wahusika halisi wachukuliwe hatua kwa lengo la kuhakikisha kuwa unyama huu haujirudii tena kwa watu wengine.
mabreka haya, naona hata uvivu kuyajibu.. typical mdanganyika na fikra zake fupifupi zisizo uhalisia.
Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka
Tunapenda kufanya mambo kwa kuiga.Serikali ilivyo ya ajabu itataka kuwatimua kama walivyofanya NIGERIA na KENYA.Tunaiga mambo ya kipuuzi tu hatuwezi kuiga mambo mazuri.Matumizi mabaya ya fedha za umma yanalenga sasa kudhoofisha hata harakati za mageuzi baada ya uchaguzi mkuu 2015.Hadi tufike 2015 nchi hii itakuwa haina tofauti na nchi iliyotoka vitani inayohitaji reconstruction.Ni lazima tudhibiti upuuzi huu wa serikali.
Leo tuna serikali ambayo katika kusoma vitabu vyote kuhusu governance sijaona model inayofuatwa na serikali hii ya ajabu.Kila siku kuna policies,kila siku kuna kugeuza priorities upside-down.
There is inconsistency in policies and due process is not given pre-eminence in everything we do in this country. Today, it is one policy. Next year it is another policy. For democracy to yield what you call dividends, there must be transparency, and there must be accountability by everybody. None of these is in place in this country.
Pia naona hili tukio limewaongezea ujasiri wa kufanya unyama siku nyingine.Tumekaa kimya mnio na kumsikitikia bila kufanya jambo ambalo litafanya haki iheshimiwe siku moja
Wametuonyesha Jeuri ya ukaburu,tuwaonyeshe jeuri ya Umkhontho we sizwe kupitia Red Brigade.Tukiwaonyesha woga wetu, itakua silaha imara zaidi kwao kutumaliza-Ben Saanane
Follow Us Here