Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

    Report Post
    Page 3 of 11 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 213
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3962
      Likes Given
      426

      Default Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Kiongozi wa upinzani nchini na Katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbrod Slaa amelaani vikali kushambuliwa na kuteswa kiongozi wa madaktari nchini Dr Ulimboka Stephen.

      Kiongozi huyo amesema hakuna njia zaidi ya kuunda tume huru kuchunguza tukio zima la utekaji kwani Mtuhumiwa namba moja ni serikali na kamwe haiwezi kujichunguza yenyewe. Dr. Slaa amesema vinginevyo matokeo ya tume hiyo ya serikali ambayo si huru hayatatambuliwa wala kukubaliwa na wananchi.

      Dr Slaa amesema anashangaa kusikia serikali haina fedha za kuwaongezea madaktari huku katika bajeti ya mwaka huu ikitenga shilingi bilioni 15 kwa ajili ya chai tu.


      Source: Mwanahalisi


    2. #41
      gnsulwa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Posts : 94
      Rep Power : 377
      Likes Received
      3
      Likes Given
      7

      Default

      Hivi Slaa ni kiongozi wa upinzani kweli ? Rekebisha kiswahili

    3. #42
      omben's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 350
      Rep Power : 426
      Likes Received
      92
      Likes Given
      365

      Default

      Quote By Janja PORI View Post
      du yani kwa siku chai Milion 4 hahhaha
      take 15 Billion / 360
      insane
      siyo 4m ni40m kwa siku

    4. #43
      majebere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 2,329
      Rep Power : 0
      Likes Received
      336
      Likes Given
      119

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Quote By Dumela Mbegu View Post

      Huyu mzee siku haaminiki na hakubaliki, mie nilitegemea aseme hizo Tshs 15 bn ziko wapi na ziko kwenye bajeti zipi? haya mambo yakutoa figures tu bila analysis tumekuchoka nayo kwani yaonyesha ndio style yake yakujitafutia umaarufu muda mrefu tu.

      Si amesha wajua jamaa zake humu JF, wao ni kusifia kila analosema Slaa bila hata kutumia akili.

    5. #44
      Kapo Jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 374
      Rep Power : 499
      Likes Received
      37
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Mshahara wa mbunge more than 10ml,kwa kazi ipi?watu wanaokesha 24hrs wanashindwa kuwalipa vizuri wanataka wote wawe wanasiasa?

    6. #45
      Azimio Jipya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Location : Universal Space Station
      Posts : 3,284
      Rep Power : 5419
      Likes Received
      1009
      Likes Given
      1731

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Quote By majebere View Post
      Sasa povu la nini kijana? halafu kwanini mbongo akikasirika lazima abonge kizungu?
      Indeed you hav maintained your emotions!!.. Good try!!
      Never Get Angry; Never Make Threat; Reason With People;
      "Napenda the logic of the words because in some ways it says about individual-not to use emotions-when scrutinizing something, whether it involves you or not" ...-by AshaDiii @ Jamiiforums 26th July 2011.



    7. #46
      simplemind's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2009
      Posts : 2,951
      Rep Power : 1180
      Likes Received
      531
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Mfano idadi ya madaktari nchini 1400,kila mmoja apate nyongeza 3 milioni. Jumla ni bilioni 4.2. "chai ya ikulu" mara tatu kiwango cha nyongeza daktari wanadai!

    8. #47
      SHIMBONONI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th September 2011
      Posts : 91
      Rep Power : 410
      Likes Received
      24
      Likes Given
      35

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Mkuu majebere!

      Nakuheshim sana sabb unatumia jana la Mtemi wa Mwagala vinginevyo....!

    9. #48
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3962
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By gnsulwa View Post
      Hivi Slaa ni kiongozi wa upinzani kweli ? Rekebisha kiswahili
      Ni kiongozi wa Serikali?

    10. #49
      Memo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 2,128
      Rep Power : 852
      Likes Received
      664
      Likes Given
      937

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Quote By majebere View Post
      halafu bado mnakataa kuwa Chadema wako nyuma ya huu mgomo.
      Dr Slaa amesema anashangaa kusikia serikali haina fedha za kuwaongezea madaktari huku katika bajeti ya mwaka huu ikitenga shilingi bilioni 15 kwa ajili ya chai tu.
      STUKA!!

    11. #50
      Memo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 2,128
      Rep Power : 852
      Likes Received
      664
      Likes Given
      937

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Quote By Tume ya Katiba View Post
      Hana jipya, aendelee na mradi wake wa kuzunguka mitaani kupiga kelele maana bila hivyo mkono hauendi kinywani.

      Kwenye kuchochea migomo amechemka, kwanza aseme BILION 1 kila mwezi zinazopelekwa CCBRT zinaishia wapi
      Nani anazipeleka?
      Kama ni serikali ya Mkwerre...........kamuulize huyohuyo anayezipeleka!

      Usiwe kama yai lililochemshwa.....Unajua linavyoliwa....??
      STUKA!!

    12. #51
      Gagnija's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2006
      Posts : 2,097
      Rep Power : 1092
      Likes Received
      697
      Likes Given
      480

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Quote By Sangarara View Post
      Jamani, hivi ni kitu gani kinasababisha serikali kuwa mtuhumiwa number moja? nani anaweza akajustify hii kitu pls?
      Umekwishaambiwa kuwa kabla ya kutekwa, Dr Uli alikuwa na ofisa usalama wa Ikulu, na mtekaji ni RCO wa kanda maalum ya kipolisi Dar. Serikali inatuhumiwa kwa kuwa baada ya utekaji huyo ofisa wa Ikulu hakufanya juhudi zozote kujua hatma ya Dr Uli, na huyo mtekaji ndiye kinara wa tume inayochunguza tukio hilo. Unataka uthibitisho gani wa serikali kuhusika zaidi ya huo? Think and behave like a JF member.
      Unstoppable likes this.
      If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. Tutu



    13. #52
      Kuntakint's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 325
      Rep Power : 456
      Likes Received
      87
      Likes Given
      10

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Quote By majebere View Post
      halafu bado mnakataa kuwa Chadema wako nyuma ya huu mgomo.
      Sawa chadema wako nyuma wa mgomo kuwatetea wanyonge wa nchi hii wanaodhulumiwa haki zao na serikali hii dhalimu chini ya ccMafisi

    14. #53
      NYAKATALE's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 29th January 2012
      Posts : 4
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By majebere View Post
      Nyie mnajua huyo Slaa alipiga vikombe vingapi alipoenda ikulu? Na akaomba na biskuti ya kuchovea.
      you are the most stupid guy in Tanzania.We cant blame you because you have a retarded mind..You better go and start standard 1 class.

    15. #54
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,520
      Rep Power : 1128
      Likes Received
      480
      Likes Given
      1065

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Dr. amenena jana nilishamnaga sana kwa majibu ya waziri kombani na inaonekana serikali haitaki lizungumuziwe publicly

    16. #55
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 5,190
      Rep Power : 2419
      Likes Received
      998
      Likes Given
      173

      Default

      Quote By Janja PORI View Post
      du yani kwa siku chai Milion 4 hahhaha
      take 15 Billion / 360
      insane
      Mhhhh....

    17. #56
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,674
      Rep Power : 1275
      Likes Received
      1314
      Likes Given
      1709

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Quote By Gagnija View Post
      Umekwishaambiwa kuwa kabla ya kutekwa, Dr Uli alikuwa na ofisa usalama wa Ikulu, na mtekaji ni RCO wa kanda maalum ya kipolisi Dar. Serikali inatuhumiwa kwa kuwa baada ya utekaji huyo ofisa wa Ikulu hakufanya juhudi zozote kujua hatma ya Dr Uli, na huyo mtekaji ndiye kinara wa tume inayochunguza tukio hilo. Unataka uthibitisho gani wa serikali kuhusika zaidi ya huo? Think and behave like a JF member.
      Kuthink sio lazima kuwe kwa namna moja. kwa maelezo yako, kama kuwapo kwa huyo ofisa usalama wa Ikulu ni sababu ya kuifanya serikali kuwa Mtuhumiwa number moja basi na chama cha madaktari kinatakiwa kuwa mtuhumiwa pia sababu DR Uli alikuwa na DR mwenzake ambaye na yeye hakuchukua hatua zozote zile baada ya DR kutekwa, sawa sawa?

    18. #57
      Precise pangolin's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,761
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1609
      Likes Given
      684

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      Quote By Tume ya Katiba View Post
      we mkuu acha kutuchonganisha watanzania, hili suala lipo mahakamani tuiwache mahakama ifanye kazi yake.
      Vipi ile mahakama ya kadhi na yenyewe gharama za uendeshaji mtazipata al-queda au al-Shabab?

    19. #58
      chelsea fc's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th November 2011
      Posts : 412
      Rep Power : 466
      Likes Received
      59
      Likes Given
      7

      Default

      Quote By majebere View Post
      halafu bado mnakataa kuwa Chadema wako nyuma ya huu mgomo.
      liwale na liwe,dhaifu

    20. #59
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,866
      Rep Power : 3799
      Likes Received
      1229
      Likes Given
      593

      Default Re: Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

      it is funny how mdanganyika mind's work..one minute <based on ushabiki, of coz> anashadadia mtu mmoja anaposhauri iundwe tume kuchunguza some isolated event < tume ni pesa ya ziada maana kuna taratibu za kiserikali ambazo tayari zinaendeleza regarding the same, kisheria >, next minute analalama kuhusu 40 mil/ day ya chai.
      Ndumbayeye likes this.
      Moola's the motive

    21. #60
      KirilOriginal's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th February 2012
      Posts : 697
      Rep Power : 598
      Likes Received
      188
      Likes Given
      103

      Default

      halafu bado mnakataa kuwa Chadema wako nyuma ya huu mgomo.

      Kwa hivyo si ruxa cdm kutoa maoni kwa chochote kinachotokea hapa nchini

    Page 3 of 11 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...