Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dk. Ulimboka aombewa ulinzi "The Amnesty International", Ubalozi wa TZ Afrika Kusini wahaha

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 63
    1. #1
      palalisote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2010
      Location : WA HAPAHAPA
      Posts : 2,078
      Rep Power : 2042
      Likes Received
      940
      Likes Given
      3857

      Default Dk. Ulimboka aombewa ulinzi "The Amnesty International", Ubalozi wa TZ Afrika Kusini wahaha

      MWENYEKITI wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania Dk. Steven Ulimboka ameombewa ulinzi kwenye Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za Binadamu la Amnesty International.Vyanzo vya habari vya kuaminika kutoka ndani ya jopo la wataalam na jumuia hiyo kwa nyakati tofauti vimeliambia Tanzania Daima Jumatano kwamba wamelazimika kuomba ulinzi wa kimataifa ili kukabiliana na watu wabaya wanaotaka kumdhuru.Vyanzo hivyo vilisema watu waliomdhuru wanataka kummaliza kabisa ili kuficha ukweli kwani kabla ya kuondoka Dk. Ulimboka alieleza ukweli wa tukio hilo hivyo wabaya wake hao wanatumia baadhi ya watumishi wa ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini kuhakikisha wanampata.

      “Hii ya kuomba ulinzi ni ‘latest’; Amnesty International ni wabishi lakini katika hili wameombwa naamini watakubali kumlinda… maombi yamepelekwa jana.“Kabla ya kupelekwa Afrika Kusini Dk. Ulimboka alieleza ukweli wa tukio zima kuanzia walivyomkamata na mateso waliyompa hadi walipotaka kumzika akiwa hai.“Wameshajulikana sasa wanatumia ubalozi wetu kutaka kupenya kwenda kumwona hospitalini ndiyo maana haisemwi yuko hospitali gani… ukweli ni kwamba usalama wa Dk. Ulimboka uko hatarini,” kilisema chanzo hicho cha kuaminika.Bila kujua kwamba hizo ni habari chanzo hicho kiliendelea kueleza kwamba akiwa njiani kuelekea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dk. Ulimboka aliwataka viongozi na madaktari wengine ndani ya jumuia kupigania haki zao.Kwa mujibu wa chanzo hicho mwenyekiti huyo wa jumuia aliwasihi waliobaki wasikubali damu yake imwagike bure, wahakikishe maslahi ya madaktari yanaboreshwa.

      “Msikubali damu yangu imwagike bure; endeleeni kupigania haki zenu…,” chanzo hicho kilimnukuu Dk. Ulimboka.Hata hivyo ilielezwa kwamba jumuia hiyo ilishirikiana na Kituo cha Sheria na Haki za Binaadam (LHRC) kuomba ulinzi huo kutoka Amnesty International.

      Chanzo: Tanzania Daima


      WAKATI HUO HUO

      “Taarifa tulizozipata kutoka Afrika Kusini zinasema kwamba, hali ya Dk Ulimboka imezidi kuimarika tofauti na alivyokwenda, figo zimeanza kufanya kazi ingawa kwa polepole na amefanyiwa vipimo vingine,” alisema Dk Kabangila na kuongeza:

      “Pia ameanza kuzungumza, anawatambua watu vizuri na zaidi amewaomba Watanzania wamuombee apone haraka.”
      Awali, chanzo kimoja cha habari kilidokeza kwamba hali ya Dk Ulimboka imeimarika kutokana na kupatiwa huduma za matibabu kwa haraka kwa kufanyiwa pamoja na vipimo vingine, kile cha usafishaji damu na figo (Dalysis), mara kwa mara. Kabla ya kuondoka nchini, Dk Ulimboka alifanyiwa usafishaji huo mara mbili.

      Madaktari walisema kuwa, kipimo hicho kililenga kupunguza kiwango cha sumu iliyoonekana kwenye damu, ambayo haikutambulika mara moja kama ilitengenezwa ndani ya mwili au vinginevyo kwa kuwa hakuna kipimo cha kubaini tatizo hilo nchini.


      Chanzo: Mwananchi







      Last edited by palalisote; 4th July 2012 at 03:13.
      MziziMkavu, Gwaje, POMPO and 2 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #41
      MD25's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 27th January 2012
      Location : Mugumu, Serengeti
      Posts : 1,914
      Rep Power : 0
      Likes Received
      540
      Likes Given
      66

      Default Re: Dk. Ulimboka aombewa ulinzi "The Amnesty International", Ubalozi wa TZ Afrika Kusini wahaha

      Quote By Tume ya Katiba
      Ulimboka ni hitler wa tanzania Eng.Stlella
      Ile kozi ya mipasho itakuwa mlifaulu vizuri sana... Lakini imewafanya muwe na akili fupi fupi kama kiongozi wenu...

    4. #42
      Pulpitis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 116
      Rep Power : 371
      Likes Received
      25
      Likes Given
      1

      Default Re: Dk. Ulimboka aombewa ulinzi "The Amnesty International", Ubalozi wa TZ Afrika Kusini wahaha

      Get well soon kamanda.

    5. #43
      Mabulangati's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Posts : 356
      Rep Power : 497
      Likes Received
      37
      Likes Given
      4

      Default Re: Dk. Ulimboka aombewa ulinzi "The Amnesty International", Ubalozi wa TZ Afrika Kusini wahaha

      Mimi nadhani kwenye swala la ulinzi Amnesty International hawana uwezo wa kumlinda ulimboka kama wengi tunavyotaka maana hapa kuna siasa na sayansi. Nadhani kwa upande wa sayansi sawa amnesty watusaidie lakini kuna balozi za umoja wa mataifa zinazoweza kusaidia kisiasa.

    6. #44
      Mkwe21's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 912
      Rep Power : 759
      Likes Received
      212
      Likes Given
      165

      Default Re: Dk. Ulimboka aombewa ulinzi "The Amnesty International", Ubalozi wa TZ Afrika Kusini wahaha

      Quote By LEGE
      mim napata mashaka nae asijetuletea ubwenyenye ,ukumbora na kutupiga changa la macho kama dr mwakyembe aliahidi kuwataja wote walio mtilia sumu pindi tu atakapo pona na kututaka wananchi tuendelee kumuombea ili aweze kupona lakini alipo pona tu na kurejea nchini alitugeuka na kutusaliti kabisa.
      Huyu Bwana Hajabip Kifo Ila Kafa na Kufufuka!! Waliohusika na walaaniwe sana!!

    7. FJM
      #45
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,179
      Rep Power : 2569
      Likes Received
      5331
      Likes Given
      4587

      Default Re: Dk. Ulimboka aombewa ulinzi "The Amnesty International", Ubalozi wa TZ Afrika Kusini wahaha

      “Kabla ya kupelekwa Afrika Kusini Dk. Ulimboka alieleza ukweli wa tukio zima kuanzia walivyomkamata na mateso waliyompa hadi walipotaka kumzika akiwa hai"

      Source: Tanzania Daima


      My take, ni aibu ya kihistoria na inaweza doa lisilofutika kwenye jina la Tanzania kwa raia wake kuomba ulinzi dhidi ya watawala. Hata maafisa wa ubalozi sasa hawaaminiki!

    8. RukaaJuu Final

    9. #46
      iseesa's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 940
      Rep Power : 0
      Likes Received
      204
      Likes Given
      53

      Default Re: Dk. Ulimboka aombewa ulinzi "The Amnesty International", Ubalozi wa TZ Afrika Kusini wahaha

      Quote By MD25
      Unaweza kuta huyo fundi mchundo alikuwa anavuja wakati anaongea huo *****....Hakuna umaskini mbaya, kama umaskini wa mawazo/fikra - J. K. Nyerere....
      Ndugu maneno uliyosema "anavuja" ni kosa kisheria, umetukania uhalisia wa mtu. Wanasheria tusaidieni hapa

    10. #47
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By mwinukai
      Stella Manyanya alisema aliwaona walivaa magwanda kama ya CHADEMA hapa mkuu wa mkoa lazima aumbuke kirahisi
      Huyo CD namchukia sana yaani sana.

    11. #48
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By Pombekali
      Huyu mama alipata sifa sana kupitia akina Mwakyembe wakati wa Richmond,sa ivi kajichafua na kujivua nguo. atatukuta akiumwa
      Choma sindano ya maji ya battery badala ya qunin.

    12. #49
      ambagae's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2009
      Posts : 553
      Rep Power : 631
      Likes Received
      37
      Likes Given
      74

      Default Re: Dk. Ulimboka aombewa ulinzi "The Amnesty International", Ubalozi wa TZ Afrika Kusini wahaha

      “Pia ameanza kuzungumza, anawatambua watu vizuri na zaidi amewaomba Watanzania wamuombee apone haraka.”
      Wakiwemo watanzania aliowaacha bila tiba kufuatia mgomo wa madr.

    13. #50
      piper's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 1,600
      Rep Power : 767
      Likes Received
      244
      Likes Given
      39

      Default Re: Dk. Ulimboka aombewa ulinzi "The Amnesty International", Ubalozi wa TZ Afrika Kusini wahaha

      Jambo jema wasijemmaliza kabla hajawataja wote walohusika

    14. #51
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,376
      Rep Power : 16493
      Likes Received
      4301
      Likes Given
      5491

      Default Re: Dk. Ulimboka aombewa ulinzi "The Amnesty International", Ubalozi wa TZ Afrika Kusini wahaha

      Quote By ambagae
      “Pia ameanza kuzungumza, anawatambua watu vizuri .
      Alikuwa na shida ya "kutambua watu vizuri"?Alimtambuaje Ahmed Msangi?Ama ilikuwa uzushi?Ama pengine uandishi na manjonjo?

      Get well soon Doc.
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    15. #52
      luhala's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th February 2012
      Posts : 195
      Rep Power : 404
      Likes Received
      74
      Likes Given
      128

      Default

      Quote By Precise pangolin
      Tukae Mkao wa kula ndio hapo Fundi Stella Manyanya atakapothibishiwa watesaji ni wao wenyewe
      I really hate this woman. Mwanamke huyu alihusika kikamilifu kuihujumu Tanesco kwenye mkataba wa IPPTL ambao Kikwete anahusika pia kwani mwaka huo ( 1994) alikuwa Waziri wa nishati. Na sasa anazawadiwa appointments asizokuwa na uwezo nazo. Historia itawahukumu na 2015 nitakipigia chama chochote kitakachotuahidi kuwashughulikia manyang'au walioifilisi nchi kikwelikweli na si kisanii kama inavyofanywa kwa kina Mramba walioua Air Tanzania na kuanzisha ya kwao Precision. Mungu ibariki Tanzania - tupatie kiongozi mwenye ujasiri kama wa Nyerere.
      Precise pangolin likes this.

    16. #53
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,690
      Rep Power : 1357
      Likes Received
      570
      Likes Given
      769

      Default Re: Dk. Ulimboka aombewa ulinzi "The Amnesty International", Ubalozi wa TZ Afrika Kusini wahaha

      Kama wamemwombe Ulinzi, na ameingia Afrika ya Kusini inahitaji ulinzi mzito sana, kule hakueleweki kiusalama, kuna wakora kibao wa kutumiwa (
      General Kayumba Nyamwasa wa Rwanda analijua hilo
      )...Balozi wa Tz kishajua hospitali alipo na watanzania wengine wa huko wanajua hilo kule hivyo si rahisi kusema amefichwa katika hospitali isiyojulikana.. This is very serious matter.
      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.

    17. #54
      MpendaTz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th May 2009
      Posts : 1,073
      Rep Power : 725
      Likes Received
      146
      Likes Given
      537

      Default Re: Dk. Ulimboka aombewa ulinzi "The Amnesty International", Ubalozi wa TZ Afrika Kusini wahaha

      Ukifikiri sana na kujikumbusha mambo yaliyotendwa na hiki chama, vitu watanzania wamefanyiwa, unaweza pata woga wa kuona kinaondoka madarakani. Maana nahisi watu wakianza kujitokeza leo kuelezea machungu yao, familia zikijitokeza kuelezea yaliyotokea kwenye hizo familia nadhani itabidi tuanzishe mahakama maalum za watuhumiwa kuelezea ukweli wote na kusameheana kama zile za A.Kusini na Rwanda. Ninahisi hakuna kitakachotutoa kwenye hiyo hali isipokuwa mpango kama huo!

    18. #55
      Sorrow to Joy's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd January 2012
      Posts : 101
      Rep Power : 390
      Likes Received
      12
      Likes Given
      26

      Default Re: Dk. Ulimboka aombewa ulinzi "The Amnesty International", Ubalozi wa TZ Afrika Kusini wahaha

      Unawaamini sana hao wanzungu????? Yule aliyepeleleza moto wa shauritanmga alitoa ripoti??? Kuwa kama mimi kwamba wewe upo kufa kwa ajili ya pumzi za wakubwa wajukuu zako ndo watafaidi hii tz

    19. #56
      Kigogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,195
      Rep Power : 2095
      Likes Received
      1233
      Likes Given
      313

      Default Re: Dk. Ulimboka aombewa ulinzi "The Amnesty International", Ubalozi wa TZ Afrika Kusini wahaha

      Quote By Nyani Ngabu
      Ningekuwa karibu ningejitolea kumlinda mimi mwenyewe na labda hiyo ingenipa fursa ya kuua walau CCM mmoja. Licha ya hivyo, lazima tu nitaua mCCM kabla sijafa. I hate them with a passion.

      daaah kweli umekasirika mkuu..ni nadra sana wewe unaongea maneno yenye hisia kali kiasi hiki...pole kiongozi wangu ....
      Nyani Ngabu likes this.
      ______________________________ _
      Niko tayari kufa huku nimesimama kuliko kuishi huku nimepiga magoti....

    20. #57
      Dickson Ng'hily's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 22nd October 2010
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 323
      Rep Power : 500
      Likes Received
      187
      Likes Given
      182

      Default Re: Dk. Ulimboka aombewa ulinzi "The Amnesty International", Ubalozi wa TZ Afrika Kusini wahaha

      Nimefurahi kusikia unaendelea vizuri kamanda Daktari Ulimboka..Familia yabgu pamoja na mimi tunaendelea kukuombea na muda sio mrefu tunatarajia kukupokea ukiwa unarudi nyumbani kuendeleza mapambano....Mungu awe nawe...
      'Ppooooz.......Pawaaaaa
      Hakuna Kulala.......Mpaka Kieleweke'
      0716/0765/0788-030030

    21. #58
      Macos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2008
      Posts : 777
      Rep Power : 718
      Likes Received
      167
      Likes Given
      13

      Default Re: Dk. Ulimboka aombewa ulinzi "The Amnesty International", Ubalozi wa TZ Afrika Kusini wahaha

      Quote By palalisote
      MWENYEKITI wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania Dk. Steven Ulimboka ameombewa ulinzi kwenye Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za Binadamu la Amnesty International.Vyanzo vya habari vya kuaminika kutoka ndani ya jopo la wataalam na jumuia hiyo kwa nyakati tofauti vimeliambia Tanzania Daima Jumatano kwamba wamelazimika kuomba ulinzi wa kimataifa ili kukabiliana na watu wabaya wanaotaka kumdhuru.Vyanzo hivyo vilisema watu waliomdhuru wanataka kummaliza kabisa ili kuficha ukweli kwani kabla ya kuondoka Dk. Ulimboka alieleza ukweli wa tukio hilo hivyo wabaya wake hao wanatumia baadhi ya watumishi wa ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini kuhakikisha wanampata.

      “Hii ya kuomba ulinzi ni ‘latest’; Amnesty International ni wabishi lakini katika hili wameombwa naamini watakubali kumlinda… maombi yamepelekwa jana.“Kabla ya kupelekwa Afrika Kusini Dk. Ulimboka alieleza ukweli wa tukio zima kuanzia walivyomkamata na mateso waliyompa hadi walipotaka kumzika akiwa hai.“Wameshajulikana sasa wanatumia ubalozi wetu kutaka kupenya kwenda kumwona hospitalini ndiyo maana haisemwi yuko hospitali gani… ukweli ni kwamba usalama wa Dk. Ulimboka uko hatarini,” kilisema chanzo hicho cha kuaminika.Bila kujua kwamba hizo ni habari chanzo hicho kiliendelea kueleza kwamba akiwa njiani kuelekea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dk. Ulimboka aliwataka viongozi na madaktari wengine ndani ya jumuia kupigania haki zao.Kwa mujibu wa chanzo hicho mwenyekiti huyo wa jumuia aliwasihi waliobaki wasikubali damu yake imwagike bure, wahakikishe maslahi ya madaktari yanaboreshwa.

      “Msikubali damu yangu imwagike bure; endeleeni kupigania haki zenu…,” chanzo hicho kilimnukuu Dk. Ulimboka.Hata hivyo ilielezwa kwamba jumuia hiyo ilishirikiana na Kituo cha Sheria na Haki za Binaadam (LHRC) kuomba ulinzi huo kutoka Amnesty International.

      Chanzo: Tanzania Daima


      WAKATI HUO HUO

      “Taarifa tulizozipata kutoka Afrika Kusini zinasema kwamba, hali ya Dk Ulimboka imezidi kuimarika tofauti na alivyokwenda, figo zimeanza kufanya kazi ingawa kwa polepole na amefanyiwa vipimo vingine,” alisema Dk Kabangila na kuongeza:

      “Pia ameanza kuzungumza, anawatambua watu vizuri na zaidi amewaomba Watanzania wamuombee apone haraka.”
      Awali, chanzo kimoja cha habari kilidokeza kwamba hali ya Dk Ulimboka imeimarika kutokana na kupatiwa huduma za matibabu kwa haraka kwa kufanyiwa pamoja na vipimo vingine, kile cha usafishaji damu na figo (Dalysis), mara kwa mara. Kabla ya kuondoka nchini, Dk Ulimboka alifanyiwa usafishaji huo mara mbili.

      Madaktari walisema kuwa, kipimo hicho kililenga kupunguza kiwango cha sumu iliyoonekana kwenye damu, ambayo haikutambulika mara moja kama ilitengenezwa ndani ya mwili au vinginevyo kwa kuwa hakuna kipimo cha kubaini tatizo hilo nchini.


      Chanzo: Mwananchi







      kuna tetesi wliomkimbiza Ulimboka nje ni wahusika wakuu wa tukio zima hivyo wame mtorosha kujaribu kuficha ukweli.

      kuna watu wanajifanya kutaka kumsaidia lakini wana mweka mbali ili kupotosha ukweli
      wana jaribu kumwekea maneno ya kusema

      inasemekana matatizo yake kutokana na kipigo alichopata mabingwa wetu wanaweza kabisa kumtibu ila ilibidi atoroshwe kuficha ukweli usijulikane.bila ya yeye kufahamu mbaya wake hasa ni nani

    22. #59
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,752
      Rep Power : 1319
      Likes Received
      726
      Likes Given
      147

      Default Re: Dk. Ulimboka aombewa ulinzi "The Amnesty International", Ubalozi wa TZ Afrika Kusini wahaha

      Quote By Macos
      kuna tetesi wliomkimbiza Ulimboka nje ni wahusika wakuu wa tukio zima hivyo wame mtorosha kujaribu kuficha ukweli.

      kuna watu wanajifanya kutaka kumsaidia lakini wana mweka mbali ili kupotosha ukweli
      wana jaribu kumwekea maneno ya kusema

      inasemekana matatizo yake kutokana na kipigo alichopata mabingwa wetu wanaweza kabisa kumtibu ila ilibidi atoroshwe kuficha ukweli usijulikane.bila ya yeye kufahamu mbaya wake hasa ni nani
      Muuaji anajulikana ni Raisi Kikwete hana ujanja raisi wetu katika hili nfiye aliyetoa amri

    23. #60
      Magobe T's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2008
      Location : I'm based in Dar es Salaam
      Posts : 2,055
      Rep Power : 1391
      Likes Received
      262
      Likes Given
      403

      Default Re: Dk. Ulimboka aombewa ulinzi "The Amnesty International", Ubalozi wa TZ Afrika Kusini wahaha

      Quote By palalisote
      MWENYEKITI wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania Dk. Steven Ulimboka ameombewa ulinzi kwenye Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za Binadamu la Amnesty International.Vyanzo vya habari vya kuaminika kutoka ndani ya jopo la wataalam na jumuia hiyo kwa nyakati tofauti vimeliambia Tanzania Daima Jumatano kwamba wamelazimika kuomba ulinzi wa kimataifa ili kukabiliana na watu wabaya wanaotaka kumdhuru.Vyanzo hivyo vilisema watu waliomdhuru wanataka kummaliza kabisa ili kuficha ukweli kwani kabla ya kuondoka Dk. Ulimboka alieleza ukweli wa tukio hilo hivyo wabaya wake hao wanatumia baadhi ya watumishi wa ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini kuhakikisha wanampata.

      “Hii ya kuomba ulinzi ni ‘latest’; Amnesty International ni wabishi lakini katika hili wameombwa naamini watakubali kumlinda… maombi yamepelekwa jana.“Kabla ya kupelekwa Afrika Kusini Dk. Ulimboka alieleza ukweli wa tukio zima kuanzia walivyomkamata na mateso waliyompa hadi walipotaka kumzika akiwa hai.“Wameshajulikana sasa wanatumia ubalozi wetu kutaka kupenya kwenda kumwona hospitalini ndiyo maana haisemwi yuko hospitali gani… ukweli ni kwamba usalama wa Dk. Ulimboka uko hatarini,” kilisema chanzo hicho cha kuaminika.Bila kujua kwamba hizo ni habari chanzo hicho kiliendelea kueleza kwamba akiwa njiani kuelekea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dk. Ulimboka aliwataka viongozi na madaktari wengine ndani ya jumuia kupigania haki zao.Kwa mujibu wa chanzo hicho mwenyekiti huyo wa jumuia aliwasihi waliobaki wasikubali damu yake imwagike bure, wahakikishe maslahi ya madaktari yanaboreshwa.

      “Msikubali damu yangu imwagike bure; endeleeni kupigania haki zenu…,” chanzo hicho kilimnukuu Dk. Ulimboka.Hata hivyo ilielezwa kwamba jumuia hiyo ilishirikiana na Kituo cha Sheria na Haki za Binaadam (LHRC) kuomba ulinzi huo kutoka Amnesty International.

      Chanzo: Tanzania Daima


      WAKATI HUO HUO

      “Taarifa tulizozipata kutoka Afrika Kusini zinasema kwamba, hali ya Dk Ulimboka imezidi kuimarika tofauti na alivyokwenda, figo zimeanza kufanya kazi ingawa kwa polepole na amefanyiwa vipimo vingine,” alisema Dk Kabangila na kuongeza:

      “Pia ameanza kuzungumza, anawatambua watu vizuri na zaidi amewaomba Watanzania wamuombee apone haraka.”
      Awali, chanzo kimoja cha habari kilidokeza kwamba hali ya Dk Ulimboka imeimarika kutokana na kupatiwa huduma za matibabu kwa haraka kwa kufanyiwa pamoja na vipimo vingine, kile cha usafishaji damu na figo (Dalysis), mara kwa mara. Kabla ya kuondoka nchini, Dk Ulimboka alifanyiwa usafishaji huo mara mbili.

      Madaktari walisema kuwa, kipimo hicho kililenga kupunguza kiwango cha sumu iliyoonekana kwenye damu, ambayo haikutambulika mara moja kama ilitengenezwa ndani ya mwili au vinginevyo kwa kuwa hakuna kipimo cha kubaini tatizo hilo nchini.


      Chanzo: Mwananchi







      Inatisha! Lakini wabaya hawawezi kuwashinda wema au ubaya kushinda haki. Haiwezekani!

    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...