Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Opinio Poll: Je, unaunga mkono mgomo wa madaktari?

    View Poll Results: Je, unaunga mkono mgomo wa madaktari?

    Voters
    174. You may not vote on this poll
    • Ndio

      149 85.63%
    • Hapana

      25 14.37%
    Report Post
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast
    Results 41 to 60 of 91
    1. #1
      ibange's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 1,358
      Rep Power : 1107
      Likes Received
      403
      Likes Given
      23

      Default Opinio Poll: Je, unaunga mkono mgomo wa madaktari?

      Madaktari wamegoma for a 'cause". Je unawaunga mkono? Toa maoni yako tafadhali

    2. Miaka 50

    3. BBC
      #41
      BBC's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st July 2012
      Posts : 31
      Rep Power : 353
      Likes Received
      4
      Likes Given
      8

      Default Re: Opinio Poll: Je, unaunga mkono mgomo wa madaktari?

      baada ya kusema NDIYO kwa kweli wananchi tujue, mgomo ni kwa faida yetu. Nchi imechelewa, madokta wangeamua wasingefanya kazi nchini, wanaelewa, 1. mwalimu hafundish bila chaki,kalamu 2. mhandisi hajengi bila simenti 3. hakimu haamui bila ushahidi 4. mlinzi halindi bila silaha 5. dereva haendeshi bila bima na taa 6. polisi bila dola? 7. mtangazaji bila kuwa on air! 8. duka bila bidhaa, duka gani? 9. utachezaje bila ngoma,mpigaji? 10. mining bila vifaa? 11. mkulima bila mbegu,zana? 12. mchumi bila data 13. mhasibu bila fedha zenyewe 14. mwanamipango bila mipango yenyewe mwisho Watanzania tumechelewa sana.

    4. oba
      #42
      oba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : nchi ya kusadikika
      Posts : 273
      Rep Power : 488
      Likes Received
      51
      Likes Given
      88

      Default Re: Opinio Poll: Je, unaunga mkono mgomo wa madaktari?

      Quote By ibange
      Madaktari wamegoma for a 'cause". Je unawaunga mkono? Toa maoni yako tafadhali
      Naunga mkono, madai yao ni ya msingi......mbali na kuwa na mapato duni kutokana na udaktari mazingira yao ya kazi ni magumu mno, kuna taarifa kuwa hata hiyo huduma ambayo wamekuwa wanatoa inatokana na ku' improvise " vifaa kadhaa ili vitumike hata mahali pasipo pake. kuna zana na vifaa tiba vya msingi ambavyo havipo mahospitalin ambavyo ni lazima kwa kurahisisha kazi zao. Nimesikia kuna wakati huwa wanatoa hata senti zao kidogo zilizopo mifukoni ili kuwasadia wagonjwa kununulia dawa ambazo kwa muda mrefu zimekuwa adimu kwenye hospitali za serikali.
      Naunga mkono hoja!
      "If you don't stand for something you will fall down for anything"- usiposhiriki kuikomboa nchi yako utatawaliwa na mashetani!

    5. #43
      Bams's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Posts : 829
      Rep Power : 600
      Likes Received
      333
      Likes Given
      9

      Default

      Naunga mkono madaktari.

      Wananchi tumekuwa kanunguyeye kwq kutokuibana serikali kutuhakikishia matibabu mazuri huku ikitumia pesa zetu kwa anasa za kipumbavu kama posho za kukaa, posho za kulala, posho za ufunguzi wa disco, washa, semina na utalii, ununuzi wa magari ya anasa, vx, v8, n.k. Wake up Tanzanians, ni nani kawaroga?

    6. #44
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,707
      Rep Power : 4188
      Likes Received
      989
      Likes Given
      410

      Default

      Quote By Sir. Burn
      Kama hii ipo subjective anzisha poll yako!!
      Ever heard of intellectual myopia?
      This is supposed to be a forum of thinkers my broda!
      You dont reflect one!

    7. #45
      Third Eye's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th January 2012
      Posts : 165
      Rep Power : 461
      Likes Received
      26
      Likes Given
      13

      Default Re: Opinio Poll: Je, unaunga mkono mgomo wa madaktari?

      nawaunga mkono, sometimes you need to shout to be heard

    8. FemaTV & Radio

    9. #46
      tubadilike-sasa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 480
      Rep Power : 464
      Likes Received
      98
      Likes Given
      278

      Default Re: Opinio Poll: Je, unaunga mkono mgomo wa madaktari?

      Quote By moremoney
      well, the truth is 3.5 ni pesa ambao wanastahili, lakini la msingi zaidi ni hali ya hospital zetu. Ni hatari kama hamna hospital ya serikali nchini saiv ambayo ina machine ya citi scan ( this is very bad shame on the government), bei ya citi scan ni kama vx moja tu!! How stupid is that. Madai ya madaktari kutaka xray machine kila hospital ya wilaya mzee, iyo iko very reasonable. Kuna vitu vingine watanzania inatakiwa tuwe makini navyo, tusibabaike tutafute ukweli kwanza!!
      3,500,000/= sio mshahara halisi,kodi yake ni 30%+ 103,000, nssf 10%+ michango mbalimbali ya kisheria, anachobaki nacho daktari ni kama 1,497,000 hivi. Hizi ni pesa nyingi? Tatatizo ni kuwa urais wa tanzania unahitaji mtu mwenye uwezo wa kuvaa kiatu namba 10,lakini rais kikwete(kwa bahati mbaya sana) uwezo wake ni wa kuvaa kiatu namba 8. Miguu yake inapwaya

    10. #47
      Judgement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : Town
      Posts : 7,009
      Rep Power : 7209
      Likes Received
      2768
      Likes Given
      12

      Default Re: Opinio Poll: Je, unaunga mkono mgomo wa madaktari?

      Siungi mkono fullstop!
      Reasons ninazo kibao!
      Tutakesha hapa.

    11. #48
      Mwananchi Mtanzania's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd July 2012
      Location : Tanzania
      Posts : 92
      Rep Power : 364
      Likes Received
      13
      Likes Given
      2

      Default Re: Opinio Poll: Je, unaunga mkono mgomo wa madaktari?

      Toka mgomo huu ulipoanza, nimekua nikijiuliza maswali mengi kadiri siku ziendavyo. Lazima nikiri kwamba na mimi nilitumbukia katika mtego wa kulaumu upande mmoja wapo kabla ya kujiuliza vizuri... Ama baada ya kutafakari kwa kina, nikagundua kwamba kwa vyovyote vila itakavokua, tunaoathirika ni sisi wananchi, bila kujali tunaunga mkono madaktari au serikali.

      Nilianza kujiuliza hivi: Hawa wanasiasa wanaotupiana mpira, mara CHADEMA, mara CCM, bila kujali vyama vyao, wanatibiwa wapi kwa kawaida? Hawa kwani hawana madaktari maalum ambao wanawalipa binafsi? Hivyo basi, huyu kiongozi anayesema fukuza, hakutani na daktari wake binafsi ambaye huenda anatugomea sisi wananchi? Mimi mwananchi wa kawaida ambaye sijuani na daktari na wala sina pesa, nani atanitibia?

      Je, nikisema serikali ifukuze madaktari wote, nani atanitibia? Nikisema pia wagome, kwani nikienda hospitali wataniuliza kama nawaunga mkono ili wanitibie? Au ndio yale ya "naunga mkono mgomo", lakini kwa sababu mimi sina jamaa daktari, au sio daktari, basi sina wa kunitibia. Lakini wao wanasema wananisaidia, ilihali wananiacha nateseka na wao wakitibia ndugu na marafiki zao!

      Baada ya kuangalia hali yangu na hao viongozi wa siasa, bila kujali vyama vyao, nikajiuliza maswali mengine: Je, miongoni mwa madaktari wanaogoma, hawana wateja wao binafsi ambao ndio hao hao mawaziri wanaowatuhumu kufisidi sekta ya afya? Je, mawaziri hawa wakienda katika clinics zao binafsi wanawagomea? Je, ni kweli kwamba madaktari wote wanaoshiriki mgomo, hakuna hata mmoja ambaye aliwahi kwa njia moja au nyingine kushiriki katika kufisidi sekta ya afya, iwe kwa kuiba panadol au vifaa vya malaki au hata mamilioni? Je, na wao wanahaki ya kusema kwamba wanagoma kwa sababu ya ukosefu wa vifaa?

      Sikuishia hapo tu... nikajiuiza tena: vipi sisi wenyewe, ambao tunashangiia au kushabikia ama serikali kufukuza madaktari, au madaktari kugoma: Hakuna miongoni mwetu walioshiriki kuziibia hospitali zetu? Je, ni haki, kwa mwananchi mwenzetu, ambaye naye ameshiriki kufisidi hospitali, kunyoosha kidole, au kushabikia akisema serikali ifukuze, au madaktari wagome, wakati huyo naye ni sehemu ya tatizo?

      Bado nikajiuliza maswali zaidi: Hivi tunaposikia serikali na madaktari wameshindwa kuafikiana, tunayachukua hivyo hivyo tu, au tunauliza kwa kina ni kwa nini wameshindwa? Tunaposikia serikali au madaktari wanasema wako tayari kwa majadiliano, tunawauliza ni hatua gani wanazichukua kwa ajili ya majadiliano, wakati upande mmoja unaendelea kufukuza na mwingine unaendelea kugoma? Tunapozikosoa taarifa zao, ni kwa sababu tumeamua kuchukua upande mmoja, au tunajua madhara ya mgomo huo kwetu sisi?

      Maswali haya mengi yamenileta katika swai moja muhimu... Sisi wananchi, tusio wanasiasa, wala tusio madaktari au walau na ujamaa na daktari - tumekua tunatoa maoni yenye kuleta suluhu, au yenye kuchochea mgogoro? (bila kujali uko upande gani)

      Watanzania wenzangu, katika hili, tunahusika wote. Kwa wale wanaosema madaktari wasigome, wasiishie tu hapo, watafakari sababu za matatizo ya sekta ya afya. Na kwa wale wanaosema wagome, wajiulize swai moja tu: Je, sababu kwamba ukosefu wa huduma bora kwa miaka kadhaa umesha sababisha vifo fingi, ni kisingizio haswa cha mgomo ambao na wenyewe pia unasababisha vifo na mateso?

      Mimi na wewe tunafanya nini ili kurudishiwa huduma ya afya? Tuendelee kupiga siasa? au tutoe maoni ya suluhu?
      "If real development is to take place, the people have to be involved."
      (J.K. Nyerere)

    12. #49
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,707
      Rep Power : 4188
      Likes Received
      989
      Likes Given
      410

      Default Re: Opinio Poll: Je, unaunga mkono mgomo wa madaktari?

      Quote By Mwananchi Mtanzania
      Toka mgomo huu ulipoanza, nimekua nikijiuliza maswali mengi kadiri siku ziendavyo. Lazima nikiri kwamba na mimi nilitumbukia katika mtego wa kulaumu upande mmoja wapo kabla ya kujiuliza vizuri... Ama baada ya kutafakari kwa kina, nikagundua kwamba kwa vyovyote vila itakavokua, tunaoathirika ni sisi wananchi, bila kujali tunaunga mkono madaktari au serikali.

      Nilianza kujiuliza hivi: Hawa wanasiasa wanaotupiana mpira, mara CHADEMA, mara CCM, bila kujali vyama vyao, wanatibiwa wapi kwa kawaida? Hawa kwani hawana madaktari maalum ambao wanawalipa binafsi? Hivyo basi, huyu kiongozi anayesema fukuza, hakutani na daktari wake binafsi ambaye huenda anatugomea sisi wananchi? Mimi mwananchi wa kawaida ambaye sijuani na daktari na wala sina pesa, nani atanitibia?

      Je, nikisema serikali ifukuze madaktari wote, nani atanitibia? Nikisema pia wagome, kwani nikienda hospitali wataniuliza kama nawaunga mkono ili wanitibie? Au ndio yale ya "naunga mkono mgomo", lakini kwa sababu mimi sina jamaa daktari, au sio daktari, basi sina wa kunitibia. Lakini wao wanasema wananisaidia, ilihali wananiacha nateseka na wao wakitibia ndugu na marafiki zao!

      Baada ya kuangalia hali yangu na hao viongozi wa siasa, bila kujali vyama vyao, nikajiuliza maswali mengine: Je, miongoni mwa madaktari wanaogoma, hawana wateja wao binafsi ambao ndio hao hao mawaziri wanaowatuhumu kufisidi sekta ya afya? Je, mawaziri hawa wakienda katika clinics zao binafsi wanawagomea? Je, ni kweli kwamba madaktari wote wanaoshiriki mgomo, hakuna hata mmoja ambaye aliwahi kwa njia moja au nyingine kushiriki katika kufisidi sekta ya afya, iwe kwa kuiba panadol au vifaa vya malaki au hata mamilioni? Je, na wao wanahaki ya kusema kwamba wanagoma kwa sababu ya ukosefu wa vifaa?

      Sikuishia hapo tu... nikajiuiza tena: vipi sisi wenyewe, ambao tunashangiia au kushabikia ama serikali kufukuza madaktari, au madaktari kugoma: Hakuna miongoni mwetu walioshiriki kuziibia hospitali zetu? Je, ni haki, kwa mwananchi mwenzetu, ambaye naye ameshiriki kufisidi hospitali, kunyoosha kidole, au kushabikia akisema serikali ifukuze, au madaktari wagome, wakati huyo naye ni sehemu ya tatizo?

      Bado nikajiuliza maswali zaidi: Hivi tunaposikia serikali na madaktari wameshindwa kuafikiana, tunayachukua hivyo hivyo tu, au tunauliza kwa kina ni kwa nini wameshindwa? Tunaposikia serikali au madaktari wanasema wako tayari kwa majadiliano, tunawauliza ni hatua gani wanazichukua kwa ajili ya majadiliano, wakati upande mmoja unaendelea kufukuza na mwingine unaendelea kugoma? Tunapozikosoa taarifa zao, ni kwa sababu tumeamua kuchukua upande mmoja, au tunajua madhara ya mgomo huo kwetu sisi?

      Maswali haya mengi yamenileta katika swai moja muhimu... Sisi wananchi, tusio wanasiasa, wala tusio madaktari au walau na ujamaa na daktari - tumekua tunatoa maoni yenye kuleta suluhu, au yenye kuchochea mgogoro? (bila kujali uko upande gani)

      Watanzania wenzangu, katika hili, tunahusika wote. Kwa wale wanaosema madaktari wasigome, wasiishie tu hapo, watafakari sababu za matatizo ya sekta ya afya. Na kwa wale wanaosema wagome, wajiulize swai moja tu: Je, sababu kwamba ukosefu wa huduma bora kwa miaka kadhaa umesha sababisha vifo fingi, ni kisingizio haswa cha mgomo ambao na wenyewe pia unasababisha vifo na mateso?

      Mimi na wewe tunafanya nini ili kurudishiwa huduma ya afya? Tuendelee kupiga siasa? au tutoe maoni ya suluhu?
      Asante mkuu.
      You can always tell a true Tanzanian at heart from paid politicl parrots.
      Wewe una uchungu na nchi hii na watu wake!
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    13. #50
      Green gecko's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 6
      Rep Power : 361
      Likes Received
      0
      Likes Given
      15

      Default Re: Opinio Poll: Je, unaunga mkono mgomo wa madaktari?

      Quote By masopakyindi
      That is subjective.
      Ungeuliza , Je unaunga mkono mgonjwa kukosa huduma kwa vile madaktari wako kwenye mgomo?
      Na utapata jibu tofauti kabisa.

      Hili siyo swali la kipima joto

    14. #51
      mwaJ's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2007
      Location : Nowhere
      Posts : 3,442
      Rep Power : 14606
      Likes Received
      2277
      Likes Given
      1497

      Default Re: Opinio Poll: Je, unaunga mkono mgomo wa madaktari?

      Quote By Polisi
      Siungi mkono
      1. Mahakama ilizuia, walipaswa kuheshimu au wakate rufaa
      2. Kuboresha mazingira ya kazi ni jukumu la mwajiri, siyo mwajiriwa
      3. Mshahara wa 3.5m kama kima cha chini kitaleta pengo kubwa kati ya madaktari na watumishi wengine.
      Mengine nitaongeza baadaye
      Polisi inaonesha ulisoma darasa moja na Dr. Photogenic a.k.a baba nanihii! Hamna tofauti namna mnavyochukulia mambo na hata reasoning yenu inafanana!
      “Anyone who has never made a mistake has never tried anything new” -
      Albert Einstein

    15. #52
      Blandes's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th September 2011
      Posts : 109
      Rep Power : 409
      Likes Received
      12
      Likes Given
      4

      Default Re: Opinio Poll: Je, unaunga mkono mgomo wa madaktari?

      Naunga mkono,make sijaona kazi inayomfanya mbunge kupewa ela yote ile kuliko mtu mwenye taaluma

    16. #53
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 2,998
      Rep Power : 8376
      Likes Received
      830
      Likes Given
      692

      Default Re: Opinio Poll: Je, unaunga mkono mgomo wa madaktari?

      Naunga mgomo wa madaktari

    17. #54
      Gwankaja Gwakilingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th January 2012
      Location : Masoko Busisya
      Posts : 1,199
      Rep Power : 608
      Likes Received
      326
      Likes Given
      32

      Default Re: Opinio Poll: Je, unaunga mkono mgomo wa madaktari?

      naunga mkono na kuwashauri na jamaa wa vyumba vya kuhifadhia maiti nao waungane na madaktari katika harakati hizi mpaka watskspo wataja wanaomiliki mapesa kule uswis na wakimtaja kagoda ni nani?
      kwa pamoja ni lazima twende mbali zaidi ya maneno yetu...........039.mac

    18. #55
      ibange's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 1,358
      Rep Power : 1107
      Likes Received
      403
      Likes Given
      23

      Default Re: Opinio Poll: Je, unaunga mkono mgomo wa madaktari?

      Maoni ya watanzania walio wengi wanaunga mkono mgomo, huo ndio ukweli

    19. #56
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,531
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default Re: Opinio Poll: Je, unaunga mkono mgomo wa madaktari?

      mimi naunga mkono hoja zao za kutaka huduma ziboreshwe lakini siungi mkono mgomo kwa sababu innocent lives zinapotea bila sababu. Sasa hivi tu hawa madaktari na wasaidizi wao wana viburi wanatukana na kujibu vibaya wagonjwa sasa wakianza kulipwa million tatu si watakua wanatemea mate hao wagonjwa?
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    20. #57
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,472
      Rep Power : 6167
      Likes Received
      3039
      Likes Given
      1015

      Default Re: Opinio Poll: Je, unaunga mkono mgomo wa madaktari?

      Kwanza kabisa siungi mkono hata kidogo:

      Kuunga mkono ni kubariki watanzania wanyonge kufa bila sababu ya msingi hata kidogo. Hawa watanzania wanyonge wanakamuliwa kodi zao madaktari wanalipwa lakini leo wanakataa kuwahudumia wagonjwa wa kichocho (maji machafu), malaria (mbu kibao), minyoo, safura, kuhara na kuhara damu! Hawa siyo wale walioshiba yaani watoa maamuzi ambao wakaiugua ttu wanaenda Muhimbili kupata kibali cha kwenda ng'ambo kutibiwa! Leo badala ya kushughulika na hawa Madaktari wetu wanaamua kuwakomoa watu ambao wanakufa kwa kuhara tu!

      Madaktari kataeni kuwapa hao watoa maamuzi vibali vya kwenda kutibiwa nje kwa pesa za kigeni. Msiwaumize wanyonge wasiokuwa na kitu.
      CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.

    21. #58
      kausha's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 55
      Rep Power : 611
      Likes Received
      2
      Likes Given
      5

      Default Re: Opinio Poll: Je, unaunga mkono mgomo wa madaktari?

      Quote By Sir. Burn
      Kama hii ipo subjective anzisha poll yako!!
      Kwa sababu una unachokitaka kiwe utaitaje wauaji madaktari

    22. #59
      Ntemi Kazwile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2010
      Location : Bongo salidalam
      Posts : 1,872
      Rep Power : 832
      Likes Received
      135
      Likes Given
      442

      Default Re: Opinio Poll: Je, unaunga mkono mgomo wa madaktari?

      Naunga mkono mgomo wa Madaktari ili taifa liweze kufanya marekebisho makubwa kwenye mfumo wa huduma za afya ili kuepuka aibu kwenye hospitali zetu na vituo vya afya kukosa vipimo muhimu na vya msingi katika karne hii kama vile X-Ray, Ultra Sound, CT Scan, ECG machines. Ili vifaa tiba vibovu ambavyo havitengenezwi kwa zaidi ya mwaka viweze kutengenezwa haraka vinapoharibika
      “If people are not laughing at your dreams at least once a week, you are aiming too low.” Robin Sharma.

    23. #60
      kiraia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2007
      Location : Kowamrasa
      Posts : 647
      Rep Power : 716
      Likes Received
      83
      Likes Given
      476

      Default Re: Opinio Poll: Je, unaunga mkono mgomo wa madaktari?

      Quote By chakachuaz
      siwezi kuunga mkono...kwani nchi hii sio madaktari pekeee!!!!!!!!!!
      Umeongea vyema ila kabla hujaendelea tunaomba level yako ya elimu na course uliyosoma ikiwezekana na chuo kabisa na ni intake ya mwaka gani? then i will tell you something.
      The most dangareous position in which to sleep is with your feet on your office desk.

    24. Study Abroad
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...