Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Njama za Polisi: Daktari MOI anatakiwa kutolewa kafara na serikali

    Report Post
    Page 8 of 9 FirstFirst ... 6789 LastLast
    Results 141 to 160 of 168
    1. #1
      Litvinienko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 313
      Rep Power : 552
      Likes Received
      105
      Likes Given
      88

      Default Njama za Polisi: Daktari MOI anatakiwa kutolewa kafara na serikali

      Ni kuhusu mtu wa usalama aliyepigwa na madokta siku alipoletwa Dr Ulimboka MOI baada ya kutekwa na kupigwa sana.

      Zimefichuka baada ya Mlinzi (Chui Security wanaolinda MOI) kuitwa na kwenye kituo cha polisi Salenda BRidge na Askari anayeitwa Suzzie.

      Alipofika aliwekwa kwenye chumba ambapo baada ya kusubiri kwa muda walikuja watu watatu wasio na gwanda na kujitambulisha kuwa wanausalama.

      Walimuambia kuwa awape jina la daktari yeyote wa MOI ambaye hapatani nae halafu waandae document inayoonyesha kuwa huyo alimuona huyo dokta akiokota redio call/bastola na ataisaini hiyo document kama shahidi.

      Aliahidiwa kuwa akifanya ivo atapata kazi usalama wa taifa, sambamba na donge nono la pesa.

      Askari huyo (jina kapuni) alikataa kufanya ivo kwa sababu siku ya tukio hakuwa kazini.

      Alifukuzwa kama mbwa baada ya kukataliwa njama yao.

      My Take:
      Serikali bado ina nia mbaya na huenda tukio lingine likatokea kwa dokta mwingine.
      Ibambasi, Gurudumu, Elli and 11 others like this.

    2. Study Abroad

    3. #141
      Nsabhi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd February 2011
      Posts : 624
      Rep Power : 541
      Likes Received
      68
      Likes Given
      119

      Default Re: Njama za Polisi: Daktari MOI anatakiwa kutolewa kafara na serikali

      Nchi imefikia pabaya
      Quote By Tutafika
      kama hii habari ni kweli basi huyu mlinzi lazima apate msuko suko kama si kupotezwa kabisa!,

      walishasema ''...kama mbaya ..mbaya!''

    4. #142
      Ibrah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2007
      Location : TZ
      Posts : 2,883
      Rep Power : 1198
      Likes Received
      402
      Likes Given
      46

      Default

      Quote By majebere
      Hivi Dr.Uli alilawitiwa kweli au ndio stori za mtaani tu. Na kama ni kweli kwanini wamlawiti wakati nia yao ilikua kumua, au hawa jamaa ni wapenda hayo mambo?
      I once admired your posts but now I start to question your integrity and how you take serious issues.
      Am very sorry that I will no longer take your contributions in the same weight I used to. Umejiaibisha na kujishushia hadhi Mkuu.

    5. #143
      Sigma's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th February 2011
      Location : The 2nd House on the Left
      Posts : 4,258
      Rep Power : 0
      Likes Received
      914
      Likes Given
      613

      Default Re: Njama za Polisi: Daktari MOI anatakiwa kutolewa kafara na serikali

      Quote By Majala Kimolo
      Source please, hii labda Chui Police station, sio ya sirkali. Jipange na uongo mwingine
      Quote By Ndumbayeye
      hujatupa source ya uhakika ukitilia maanani avatar yako
      Quote By KISUKALI
      Uhuru wa Kalamu unawasumbua Watu wengi sana hasa washabiki wa cdm!
      Uthibitisho gani mliotegemea.
      Kuna post iliwashauri mkitaka picha nendeni jukwaa la wakubwa.

    6. #144
      Litvinienko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 313
      Rep Power : 552
      Likes Received
      105
      Likes Given
      88

      Default Re: Njama za Polisi: Daktari MOI anatakiwa kutolewa kafara na serikali

      Quote By webondo
      Jipangeni kudanganya watu.... kazi za usalama zinagawiwa kama njugu!!?
      Zisingegawiwa kama njugu usingekuwa na kazi sasa.

    7. #145
      Litvinienko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 313
      Rep Power : 552
      Likes Received
      105
      Likes Given
      88

      Default Re: Njama za Polisi: Daktari MOI anatakiwa kutolewa kafara na serikali

      Quote By Majala Kimolo
      Source please, hii labda Chui Police station, sio ya sirkali. Jipange na uongo mwingine
      Cha kufanya waambie wenzako kuwa kishasanuka

    8. Miaka 50

    9. #146
      Mnama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Posts : 737
      Rep Power : 1162
      Likes Received
      174
      Likes Given
      108

      Default Re: Njama za Polisi: Daktari MOI anatakiwa kutolewa kafara na serikali

      Dhaifu in another silly season !

    10. #147
      BASIASI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2010
      Posts : 1,400
      Rep Power : 780
      Likes Received
      201
      Likes Given
      172

      Default Re: Njama za Polisi: Daktari MOI anatakiwa kutolewa kafara na serikali

      Napita tu kuelekea jermany

    11. #148
      Litvinienko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 313
      Rep Power : 552
      Likes Received
      105
      Likes Given
      88

      Default Re: Njama za Polisi: Daktari MOI anatakiwa kutolewa kafara na serikali

      Quote By KISUKALI
      Uhuru wa Kalamu unawasumbua Watu wengi sana hasa washabiki wa cdm!
      Kivuli cha CHADEMA kinawasumbua sana.
      Kila mkifanya blunder mnatafuta CDM mchawi.
      2015 mnakimbizwa magogoni.
      Mtajengewa hifadhi yenu maana Segerea na Ukonga mtafurika

    12. #149
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 11,880
      Rep Power : 24131
      Likes Received
      4611
      Likes Given
      2624

      Default Re: Njama za Polisi: Daktari MOI anatakiwa kutolewa kafara na serikali

      Ndio maana Waingereza walianzisha hii kitu:

      Independent Police Complaints Commission

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    13. #150
      Litvinienko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 313
      Rep Power : 552
      Likes Received
      105
      Likes Given
      88

      Default Re: Njama za Polisi: Daktari MOI anatakiwa kutolewa kafara na serikali

      Quote By BASIASI
      Napita tu kuelekea jermany
      Umefika wapi?

    14. #151
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 588
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Njama za Polisi: Daktari MOI anatakiwa kutolewa kafara na serikali

      Quote By Litvinienko
      Zisingegawiwa kama njugu usingekuwa na kazi sasa.
      Labda kama wewe nawe ulipewa kama karanga!

    15. #152
      Litvinienko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 313
      Rep Power : 552
      Likes Received
      105
      Likes Given
      88

      Default Re: Njama za Polisi: Daktari MOI anatakiwa kutolewa kafara na serikali

      Quote By Ndumbayeye
      hujatupa source ya uhakika ukitilia maanani avatar yako
      Akili dhaifu hupoteza muda kwa mambo yasiyo muhimu.
      Ukiiogopa pole.

    16. #153
      Litvinienko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 313
      Rep Power : 552
      Likes Received
      105
      Likes Given
      88

      Default Re: Njama za Polisi: Daktari MOI anatakiwa kutolewa kafara na serikali

      Quote By webondo
      Labda kama wewe nawe ulipewa kama karanga!
      Unaona akili zenu!
      Unathibitisha ulemavu wa akili zenu ndo mana safari hii mazoea yamewagharimu.

    17. #154
      Litvinienko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 313
      Rep Power : 552
      Likes Received
      105
      Likes Given
      88

      Default Re: NJAMA ZA POLISI: DAKTARI MOI ANATAKIWA KUTOLEWA KAFARA na SERIKALI

      Quote By MAMMAMIA
      Kudos Litvinienko Mkuu. Sasa washindwe wao tu.
      Bado wanauliza "source?"
      Denial stage.

    18. #155
      majorbanks's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 148
      Rep Power : 397
      Likes Received
      37
      Likes Given
      3

      Default Re: Njama za Polisi: Daktari MOI anatakiwa kutolewa kafara na serikali


    19. #156
      Litvinienko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 313
      Rep Power : 552
      Likes Received
      105
      Likes Given
      88

      Default Re: Njama za Polisi: Daktari MOI anatakiwa kutolewa kafara na serikali

      Quote By BornTown
      Sio hayo tu bado wanataka kusema kuwa Dr. Ulimboka alipigwa sababu ya kufaniwa na mke wa mtu wanaandaa hayo mazingira ndani ya siku sio nyingi mtayasikia.

      Source ni mtu wa ndani kabisa Ikulu

      Na mara zote ikulu ndo inafanya.
      Na mara zote inatoa taarifa kwa mlango mwingine

    20. #157
      AK-47's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2009
      Location : Abbottabad
      Posts : 1,363
      Rep Power : 756
      Likes Received
      149
      Likes Given
      80

      Default Re: Njama za Polisi: Daktari MOI anatakiwa kutolewa kafara na serikali

      Kwa CCM iliyotuhumiwa kuhusika na kifo cha Baba wa Taifa......inahitaji akili za mwendawazimu kuitetea iwapo haiusiki na ugaidi waliomfanyia Dk. Ulimboka.
      An Eye for an Eye Makes the whole World Blind

    21. #158
      denyol's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th March 2012
      Posts : 16
      Rep Power : 364
      Likes Received
      2
      Likes Given
      9

      Default Re: NJAMA ZA POLISI: DAKTARI MOI ANATAKIWA KUTOLEWA KAFARA na SERIKALI

      Quote By Pombekali
      Being in this land,!!!!? what a curse!!!? Shame on me!
      wala haujaja hapa kwa bahati mbaya, fanya unaloweza kubadirisha hali hii, usiiache hivi hivi. pa1

    22. #159
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Njama za Polisi: Daktari MOI anatakiwa kutolewa kafara na serikali

      Hakuna ukweli katika haya.

      Serikali ina watu kibao hapo Muhimbili wakiwemo Madaktari pia. Kama ulikuwa huelewi, sasa utaelewa.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    23. #160
      mariavictima's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th July 2010
      Posts : 180
      Rep Power : 486
      Likes Received
      38
      Likes Given
      15

      Default Re: Njama za Polisi: Daktari MOI anatakiwa kutolewa kafara na serikali

      Quote By BornTown
      Sio hayo tu bado wanataka kusema kuwa Dr. Ulimboka alipigwa sababu ya kufaniwa na mke wa mtu wanaandaa hayo mazingira ndani ya siku sio nyingi mtayasikia.

      Source ni mtu wa ndani kabisa Ikulu

      Duh! Hii hata mimi nimeisikia kwa mtu wa karibu sana na Ikulu.

    24. FemaTV & Radio
    Page 8 of 9 FirstFirst ... 6789 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...