Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ushauri wangu kwa Waheshimiwa Wabunge, hasa wa Upinzani

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 21
    1. #1
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3261
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Ushauri wangu kwa Waheshimiwa Wabunge, hasa wa Upinzani

      Tumekuwa tukisikia mara kadhaa, Mh. Mbunge, hasa kutoka kambi ya upinzani, akitoa shutuma juu ya suala ambalo hata kama ni la kweli, lakini wamekuwa wakinyamazishwa kwa kutakiwa watoe uthibitisho wa kile wanachodai.

      Sasa ikiwa mbunge amepeleka bungeni shutuma hizo kwa suala la kweli lakini hakujitayarisha na ushahidi kamili, hii ni kuwapa kichwa CCM na kuwafanya wapinzani waonekane hawako makini. Pia ni kuwapa nafasi washukiwa kutoka mbio hapo na kwenda "kufukia mashimo yao".

      Ili kuepusha hayo, ninawashauri waheshimiwa wetu watayarishe makombora yao kisawa sawa, ili linapokuja suala la "lete ushahidi", ushahidi huo uwepo na wa ziada. Msigeuke kama CCM wa kukimbilia "tupeni muda". Ni bora kulifuatilia suala hata kama litachukua muda gani, lakini siku likitinga bungeni liwe ni kombora la kweli. Hii itawaongezea kuaminika zaidi kwa wananchi na kuwakosesha raha CCM na kimbilio lao la sasa la "Lete ushahidi".
      OIL CHAFU likes this.
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"


    2. #2
      Polisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Posts : 1,580
      Rep Power : 751
      Likes Received
      383
      Likes Given
      238

      Default Re: Ushauri wangu kwa Waheshimiwa Wabunge, hasa wa Upinzani

      After all, bungeni hususani kipindi hiki cha bajeti ni wakati wa kuchambua bajeti zinazowasilishwa badala ya kuibua hoja ambazo hazipo mezani. Sasa bajeti ya utumishi na ufisadi wa mchemba vina uhusiano gani? Manchali jana ndo kachangia bajeti maana ananukuu na ukurasa wa kitabu cha bajeti husika. Hawa wengine naona hamna lolote kazi kusemana tu, mara oh fulani yuko hivi mara kafanya hivi. Watu wazima na akili zenu manadiscuss watu bungeni badala ya issues!. Especially mnyika, usemi wa ngoma ikilia sana hupasuka waweza kutimia. Take care

    3. #3
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,854
      Rep Power : 1343
      Likes Received
      758
      Likes Given
      153

      Default Re: Ushauri wangu kwa Waheshimiwa Wabunge, hasa wa Upinzani

      Quote By Polisi View Post
      After all, bungeni hususani kipindi hiki cha bajeti ni wakati wa kuchambua bajeti zinazowasilishwa badala ya kuibua hoja ambazo hazipo mezani. Sasa bajeti ya utumishi na ufisadi wa mchemba vina uhusiano gani? Manchali jana ndo kachangia bajeti maana ananukuu na ukurasa wa kitabu cha bajeti husika. Hawa wengine naona hamna lolote kazi kusemana tu, mara oh fulani yuko hivi mara kafanya hivi. Watu wazima na akili zenu manadiscuss watu bungeni badala ya issues!. Especially mnyika, usemi wa ngoma ikilia sana hupasuka waweza kutimia. Take care
      Unataka Muchemba na Manyanya wakitoa allegations zisizo za ukweli zinazoingia kwenye Hansard wasikanushe ,kweli wewe unaubongo wa bung'o

    4. #4
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3261
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: Ushauri wangu kwa Waheshimiwa Wabunge, hasa wa Upinzani

      Quote By Polisi View Post
      After all, bungeni hususani kipindi hiki cha bajeti ni wakati wa kuchambua bajeti zinazowasilishwa badala ya kuibua hoja ambazo hazipo mezani. Sasa bajeti ya utumishi na ufisadi wa mchemba vina uhusiano gani? Manchali jana ndo kachangia bajeti maana ananukuu na ukurasa wa kitabu cha bajeti husika. Hawa wengine naona hamna lolote kazi kusemana tu, mara oh fulani yuko hivi mara kafanya hivi. Watu wazima na akili zenu manadiscuss watu bungeni badala ya issues!. Especially mnyika, usemi wa ngoma ikilia sana hupasuka waweza kutimia. Take care
      Ushauri huu ni kwa Waheshimiwa Wabunge wote lakini hasa kwa wapinzani kwa sababu wao ndio wanaosakamwa zaidi. Kwa Mhe. Mbunge wa CCM akisema lolote hakuna tatizo. Unakumbuka jana yule Bi. Engineer (Esther Manyanya) aliyesema CDM inahusika na upigwaji wa Ulimboka, alitakiwa kutoa ushahidi?
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    5. #5
      Third Eye's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th January 2012
      Posts : 217
      Rep Power : 475
      Likes Received
      42
      Likes Given
      16

      Default Re: Ushauri wangu kwa Waheshimiwa Wabunge, hasa wa Upinzani

      kuna hili kuvunja sheria ukiwa na nyaraka za siri za serikali, sasa mtu anawezaje kutoa ushahidi wakati nyaraka zinahatarisha "usalama wa taifa"


    6. #6
      Polisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Posts : 1,580
      Rep Power : 751
      Likes Received
      383
      Likes Given
      238

      Default

      Quote By MAMMAMIA View Post
      Ushauri huu ni kwa Waheshimiwa Wabunge wote lakini hasa kwa wapinzani kwa sababu wao ndio wanaosakamwa zaidi. Kwa Mhe. Mbunge wa CCM akisema lolote hakuna tatizo. Unakumbuka jana yule Bi. Engineer (Esther Manyanya) aliyesema CDM inahusika na upigwaji wa Ulimboka, alitakiwa kutoa ushahidi?
      sasa wapinzani lazima walijue hilo, kwamba refa yupo upande wa timu mwenyeji. Wapinzani lazima walijue hilo, waepuke kufanya faulo zisizo za lazima au kucheza offside trick wakidhani refa atapuliza filimbi, haipo

    7. #7
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,854
      Rep Power : 1343
      Likes Received
      758
      Likes Given
      153

      Default Re: Ushauri wangu kwa Waheshimiwa Wabunge, hasa wa Upinzani

      Quote By Polisi View Post
      sasa wapinzani lazima walijue hilo, kwamba refa yupo upande wa timu mwenyeji. Wapinzani lazima walijue hilo, waepuke kufanya faulo zisizo za lazima au kucheza offside trick wakidhani refa atapuliza filimbi, haipo
      Why wakati nchi hii ni yetu wote yaani waanze kusuccumb na kuruhusu sheria na kanuni za bunge kupindishwa duh hii ni kali

    8. #8
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3261
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: Ushauri wangu kwa Waheshimiwa Wabunge, hasa wa Upinzani

      Quote By Polisi View Post
      sasa wapinzani lazima walijue hilo, kwamba refa yupo upande wa timu mwenyeji. Wapinzani lazima walijue hilo, waepuke kufanya faulo zisizo za lazima au kucheza offside trick wakidhani refa atapuliza filimbi, haipo
      Hilo ndilo nililokusudia Mkuu wangu Polisi.

      Quote By Froida View Post
      Why wakati nchi hii ni yetu wote yaani waanze kusuccum na kuruhusu sheria na kanuni za bunge kupindishwa duh hii ni kali
      Bungeni popote ulimwenguni ni pahali pa misuguano baina ya chama tawala na upinzani, hivyo, kanuni moja ya mapambano ni kujua udhaifu wa mpinzani wako. Kwa kuwa upinzani wanaelewa udhaifu wa mchezo mchafu wa chama tawala, watumie udhaifu wao huo kupambana nao na sio tu kurushiana makombora yasiyo na mashiko. CCM wamekamata mpini lakini kama upinzani watavaa gloves, hakiwezi kuwakata.
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    9. #9
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,854
      Rep Power : 1343
      Likes Received
      758
      Likes Given
      153

      Default Re: Ushauri wangu kwa Waheshimiwa Wabunge, hasa wa Upinzani

      Quote By MAMMAMIA View Post
      Hilo ndilo nililokusudia Mkuu wangu Polisi.

      Bungeni popote ulimwenguni ni pahali pa misuguano baina ya chama tawala na upinzani, hivyo, kanuni moja ya mapambano ni kujua udhaifu wa mpinzani wako. Kwa kuwa upinzani wanaelewa udhaifu wa mchezo mchafu wa chama tawala, watumie udhaifu wao huo kupambana nao na sio tu kurushiana makombora yasiyo na mashiko. CCM wamekamata mpini lakini kama upinzani watavaa gloves, hakiwezi kuwakata.
      Gloves gani hizo zimekuwa za chuma ,hapana zinaweza kukatwa kwa kuwambia ukweli kwa sababu CCM na wabunge wao wanataka kutumia bunge kudown grade immage ya wapinzani kuwaonyesha kwamba hawana uwezo lazima wapinzani wahakikishe wanaweka mambo sawa

    10. #10
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,798
      Rep Power : 19852
      Likes Received
      4412
      Likes Given
      1744

      Default Re: Ushauri wangu kwa Waheshimiwa Wabunge, hasa wa Upinzani

      Hata akileta ushahidi wala huto usikia.
      umesha jiuliza kuhusu ishu ya lema na uongo wa pinda iliishia wapi?

      Utasikia huo ushahidi upitiwe na offisi ya spika ndio uletwe bungeni.
      FJM likes this.

    11. #11
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3261
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: Ushauri wangu kwa Waheshimiwa Wabunge, hasa wa Upinzani

      Quote By Froida View Post
      Gloves gani hizo zimekuwa za chuma ,hapana zinaweza kukatwa kwa kuwambia ukweli kwa sababu CCM na wabunge wao wanataka kutumia bunge kudown grade immage ya wapinzani kuwaonyesha kwamba hawana uwezo lazima wapinzani wahakikishe wanaweka mambo sawa
      FLORIDA Mkuu, huo ukweli ndio gloves zenyewe, lakini ukweli uwe na evidences sio ukweli unaoamini wewe tu kuwa ni ukweli.
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    12. #12
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3261
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: Ushauri wangu kwa Waheshimiwa Wabunge, hasa wa Upinzani

      Quote By ruttashobolwa View Post
      Hata akileta ushahidi wala huto usikia.
      umesha jiuliza kuhusu ishu ya lema na uongo wa pinda iliishia wapi?

      Utasikia huo ushahidi upitiwe na offisi ya spika ndio uletwe bungeni.
      Toka wakati Mh. Lema yuko bungeni, alilirejelea tena lilena kulikumbushia mara kwa mara? Baada ya kuondoka, walioko nyuma yake wamelisemea tena? Mapambano kamili yanakuwa endelevu, papo kwa papo kamba hukata jiwe.
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    13. #13
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,854
      Rep Power : 1343
      Likes Received
      758
      Likes Given
      153

      Default Re: Ushauri wangu kwa Waheshimiwa Wabunge, hasa wa Upinzani

      Quote By MAMMAMIA View Post
      FLORIDA Mkuu, huo ukweli ndio gloves zenyewe, lakini ukweli uwe na evidences sio ukweli unaoamini wewe tu kuwa ni ukweli.
      Nadhani sisi wananchi tunauwezo wa kupembua mimi siwezi tuu kuamini nina uwezo wa kutafakari na kuamini pia ninachosema ni kuwa wabunge wa CCM wanapaswa kuisaidia serikali yao ili kuboresha mapungufu badala ya kuwatukana wapinzani ambao hawana serikali wala hawakusanyi kodi kung'aninia kukosoa spelling na kutoa tafsiri potofu kwakutaka credit za kisiasa kunawaangusha zaidi wabunge wa CCM kuliko wa Chadema

    14. #14
      thereitis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Location : Arusha
      Posts : 237
      Rep Power : 484
      Likes Received
      24
      Likes Given
      60

      Default Re: Ushauri wangu kwa Waheshimiwa Wabunge, hasa wa Upinzani

      Quote By Polisi View Post
      After all, bungeni hususani kipindi hiki cha bajeti ni wakati wa kuchambua bajeti zinazowasilishwa badala ya kuibua hoja ambazo hazipo mezani. Sasa bajeti ya utumishi na ufisadi wa mchemba vina uhusiano gani? Manchali jana ndo kachangia bajeti maana ananukuu na ukurasa wa kitabu cha bajeti husika. Hawa wengine naona hamna lolote kazi kusemana tu, mara oh fulani yuko hivi mara kafanya hivi. Watu wazima na akili zenu manadiscuss watu bungeni badala ya issues!. Especially mnyika, usemi wa ngoma ikilia sana hupasuka waweza kutimia. Take care
      Ni sahihi wabunge wajadili hoja iliyopo mezani kwa busara, heshima na unyenyekevu. Wabunge wote bila kujali vyama vyao wanawakilisha wananchi. si busara kudhalilisha wabunge kwa lugha chafu; ni aibu kwa spika au mwenyekiti kumwambia mbunge anawashwa anapoomba mwongozo au anapotoa taarifa.

      Nafahamu Mnyika alichangia bajeti kuhusu utawala bora.
      "Our party CCM, eventually became complacent, bureaucratic and corrupt. We had to change" Nyerere

    15. #15
      Ibrah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2007
      Location : TZ
      Posts : 2,883
      Rep Power : 1202
      Likes Received
      402
      Likes Given
      47

      Default Re: Ushauri wangu kwa Waheshimiwa Wabunge, hasa wa Upinzani

      Mamamia, umesema ukweli na ushauri wako ni wa kufaa.
      Wabunge wa CCM ni kama klabu za Arabuni kwenye home ground.

    16. #16
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 5,506
      Rep Power : 3216
      Likes Received
      1552
      Likes Given
      6746

      Default Re: Ushauri wangu kwa Waheshimiwa Wabunge, hasa wa Upinzani

      Quote By MAMMAMIA View Post
      Tumekuwa tukisikia mara kadhaa, Mh. Mbunge, hasa kutoka kambi ya upinzani, akitoa shutuma juu ya suala ambalo hata kama ni la kweli, lakini wamekuwa wakinyamazishwa kwa kutakiwa watoe uthibitisho wa kile wanachodai.

      Sasa ikiwa mbunge amepeleka bungeni shutuma hizo kwa suala la kweli lakini hakujitayarisha na ushahidi kamili, hii ni kuwapa kichwa CCM na kuwafanya wapinzani waonekane hawako makini. Pia ni kuwapa nafasi washukiwa kutoka mbio hapo na kwenda "kufukia mashimo yao".

      Ili kuepusha hayo, ninawashauri waheshimiwa wetu watayarishe makombora yao kisawa sawa, ili linapokuja suala la "lete ushahidi", ushahidi huo uwepo na wa ziada. Msigeuke kama CCM wa kukimbilia "tupeni muda". Ni bora kulifuatilia suala hata kama litachukua muda gani, lakini siku likitinga bungeni liwe ni kombora la kweli. Hii itawaongezea kuaminika zaidi kwa wananchi na kuwakosesha raha CCM na kimbilio lao la sasa la "Lete ushahidi".
      Wanakurupuka wakisikia issue juu juu wanakimbilia bungeni wanaona kama kuna mwenzake ataisikia halafu atamuwahi kuipeleka bungeni. Nilitegemea wawe wanakaa kama chama kujadili kujipanga kwanza maana unakuta Zitto anatoa hoja Mbowe anashangaa.

    17. #17
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3261
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: Ushauri wangu kwa Waheshimiwa Wabunge, hasa wa Upinzani

      Quote By Third Eye View Post
      kuna hili kuvunja sheria ukiwa na nyaraka za siri za serikali, sasa mtu anawezaje kutoa ushahidi wakati nyaraka zinahatarisha "usalama wa taifa"
      "Nyaraka za Siri", "Kuhatarisha Usalama wa Taifa"... hivi ni vitisho na vikwazo vinavyotumiwa na serikali kuwa "isiguswe panapouma", lakini kwa mbunge makini anajua ni kipi cha siri na kipi sio siri - There is always way out in Laws.

      Quote By Maundumula View Post
      Wanakurupuka wakisikia issue juu juu wanakimbilia bungeni wanaona kama kuna mwenzake ataisikia halafu atamuwahi kuipeleka bungeni. Nilitegemea wawe wanakaa kama chama kujadili kujipanga kwanza maana unakuta Zitto anatoa hoja Mbowe anashangaa.
      Ninakubaliana na wewe Mkuu, tafauti yetu ni kuwa mimi ninaangalia pande zote. Nadhani umekuwa ukiona pia "kauli gongana" miongoni mwa viongozi wetu. Mmoja anasema hili mwengine anasema jengine kwa suala hilo hilo moja; mmoja anatoa kauli, mwengine anasema kauli hiyo ilikuwa yake binafsi sio ya chama n.k. We're all rotten!
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    18. #18
      thereitis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Location : Arusha
      Posts : 237
      Rep Power : 484
      Likes Received
      24
      Likes Given
      60

      Default Re: Ushauri wangu kwa Waheshimiwa Wabunge, hasa wa Upinzani

      Quote By MAMMAMIA View Post
      Ushauri huu ni kwa Waheshimiwa Wabunge wote lakini hasa kwa wapinzani kwa sababu wao ndio wanaosakamwa zaidi. Kwa Mhe. Mbunge wa CCM akisema lolote hakuna tatizo. Unakumbuka jana yule Bi. Engineer (Esther Manyanya) aliyesema CDM inahusika na upigwaji wa Ulimboka, alitakiwa kutoa ushahidi?
      Na mwenyekiti dhaifu hakuliona hilo
      "Our party CCM, eventually became complacent, bureaucratic and corrupt. We had to change" Nyerere

    19. #19
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3261
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: Ushauri wangu kwa Waheshimiwa Wabunge, hasa wa Upinzani

      Quote By thereitis View Post
      Na mwenyekiti dhaifu hakuliona hilo
      Bora kuwa kipofu wa macho kuliko kipofu wa moyo. Udhaifu ni upofu wa moyo.
      thereitis likes this.
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    20. #20
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,542
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      29

      Default Re: Ushauri wangu kwa Waheshimiwa Wabunge, hasa wa Upinzani

      yule mkuu wa mkoa alivyosema cdm inahusika na mgomo wa madaktari hivi alipewa siku 7 alete ushahidi au?
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...