Re: Ushauri wangu kwa Waheshimiwa Wabunge, hasa wa Upinzani

By
Polisi
After all, bungeni hususani kipindi hiki cha bajeti ni wakati wa kuchambua bajeti zinazowasilishwa badala ya kuibua hoja ambazo hazipo mezani. Sasa bajeti ya utumishi na ufisadi wa mchemba vina uhusiano gani? Manchali jana ndo kachangia bajeti maana ananukuu na ukurasa wa kitabu cha bajeti husika. Hawa wengine naona hamna lolote kazi kusemana tu, mara oh fulani yuko hivi mara kafanya hivi. Watu wazima na akili zenu manadiscuss watu bungeni badala ya issues!. Especially mnyika, usemi wa ngoma ikilia sana hupasuka waweza kutimia. Take care
Ni sahihi wabunge wajadili hoja iliyopo mezani kwa busara, heshima na unyenyekevu. Wabunge wote bila kujali vyama vyao wanawakilisha wananchi. si busara kudhalilisha wabunge kwa lugha chafu; ni aibu kwa spika au mwenyekiti kumwambia mbunge anawashwa anapoomba mwongozo au anapotoa taarifa.
Nafahamu Mnyika alichangia bajeti kuhusu utawala bora.
"Our party CCM, eventually became complacent, bureaucratic and corrupt. We had to change" Nyerere
Follow Us Here