Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Uongozi wa hospitali ya rufaa Mbeya waomba msaada

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 35 of 35
    1. #1
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,873
      Rep Power : 1690
      Likes Received
      1348
      Likes Given
      277

      Default Uongozi wa hospitali ya rufaa Mbeya waomba msaada

      UONGOZI wa Hospitali ya Rufaa Mbeya, imeomba serikali kuwapatia haraka iwezekanavyo madaktari wengine kuja kuziba nafasi zilizoachwa na madaktari 72 waliotimuliwa hivi karibuni.

      Mkurugenzi wa hospitali hiyo, Dk. Eliuter Samky alitoa ombi hilo kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro aliyefika hospitalini hapo kuangalia hali ya utoaji huduma kwa wagonjwa.

      Dk. Samky alisema kuondoka kwa madaktari hao kumesababisha huduma katika kitengo cha upasuaji kubakiwa na madaktari bingwa wanne akiwemo na yeye wakati kitengo cha macho hakina daktari kabisa.

      “Kwa kweli hali ya utoaji huduma imekuwa ngumu sana kwani tuna madaktari 39 tu hospitali nzima na Hospitali ya Wazazi ya Meta ina madaktari wawili tu waliobaki. Kwa kweli tunahitaji nguvu ya madaktari wengine kuja kutusaidia,” alisema Dk. Samky.

      Akijibu maombi hayo Kandoro alisema kuwa wanafanya utararibu wa kupata madaktari wa upasuaji kutoka katika hospitali za wilaya za Kyela, Mbozi na Rungwe ili kuwapeleka Rufaa kusaidia kukidhi mahitaji ya wagonjwa.

      Pia aliwaomba wakazi wa Mkoa wa Mbeya kufuata utaratibu wa kitabibu wa rufani ili kupungunza msongamano mkubwa unaoweza kujitokeza katika hospitali za Rufaa na Mkoa kwa kutibiwa katika Vituo vya Afya badala ya kukimbilia hospitali kubwa.-


      Tanzania Daima


      Baro likes this.
      You may succeed in silencing me but that silence comes at a price-Alex litvinenko

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Rogie's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Location : Darul Islamia
      Posts : 1,914
      Rep Power : 1145
      Likes Received
      480
      Likes Given
      334

      Default re: Uongozi wa hospitali ya rufaa Mbeya waomba msaada

      Nadhani wakati wanawatimua walitumia masaburi kufikiria.
      "You have your people,and I have mine"
      [email protected]

    4. #22
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 900
      Rep Power : 530
      Likes Received
      274
      Likes Given
      212

      Default re: Uongozi wa hospitali ya rufaa Mbeya waomba msaada

      Propaganda inthe move, Serikali itatoa wapi madaktari?
      "KINYESI HAKIFUMBATWI"

    5. #23
      Mzee Msemakweli's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Posts : 129
      Rep Power : 461
      Likes Received
      29
      Likes Given
      30

      Default re: Uongozi wa hospitali ya rufaa Mbeya waomba msaada

      Quote By Jackbauer
      UONGOZI wa Hospitali ya Rufaa Mbeya, imeomba serikali kuwapatia haraka iwezekanavyo madaktari wengine kuja kuziba nafasi zilizoachwa na madaktari 72 waliotimuliwa hivi karibuni.

      Mkurugenzi wa hospitali hiyo, Dk. Eliuter Samky alitoa ombi hilo kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro aliyefika hospitalini hapo kuangalia hali ya utoaji huduma kwa wagonjwa.

      Dk. Samky alisema kuondoka kwa madaktari hao kumesababisha huduma katika kitengo cha upasuaji kubakiwa na madaktari bingwa wanne akiwemo na yeye wakati kitengo cha macho hakina daktari kabisa.

      “Kwa kweli hali ya utoaji huduma imekuwa ngumu sana kwani tuna madaktari 39 tu hospitali nzima na Hospitali ya Wazazi ya Meta ina madaktari wawili tu waliobaki. Kwa kweli tunahitaji nguvu ya madaktari wengine kuja kutusaidia,” alisema Dk. Samky.

      Akijibu maombi hayo Kandoro alisema kuwa wanafanya utararibu wa kupata madaktari wa upasuaji kutoka katika hospitali za wilaya za Kyela, Mbozi na Rungwe ili kuwapeleka Rufaa kusaidia kukidhi mahitaji ya wagonjwa.

      Pia aliwaomba wakazi wa Mkoa wa Mbeya kufuata utaratibu wa kitabibu wa rufani ili kupungunza msongamano mkubwa unaoweza kujitokeza katika hospitali za Rufaa na Mkoa kwa kutibiwa katika Vituo vya Afya badala ya kukimbilia hospitali kubwa.-


      Tanzania Daima

      Abbas Kandoro sijakuelewa vizuri. Unamaanisha hao Madaktari utakaowaleta kutoka Wilaya za Mbozi, Rungwe na Ileje watalijaza pengo la hao Madaktari 72 waliofukuzwa? Na huko walikotoka wagonjwa watatibiwa na akina nani? Au wao hawahitaji kutibiwa na madaktari bingwa? Sijaelewa hawa viongozi wetu wanataka kutupeleka wapi mwaka huu.
      "Freedom is Comming Tomorrow"

    6. #24
      Ally Kanah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Posts : 780
      Rep Power : 558
      Likes Received
      37
      Likes Given
      35

      Default

      Quote By Mandingo
      Hawa 39 walio baki ni wasaliti wakubwa pumbavu zao wana lialia nini sasa wao si wamejifanya nio marobot wanapiga kazi!
      Wapige kazi sasa wasaliti wakubwa nyie kwani madaktari
      walio fukuzwa si walikua wana dai maslahi ya wote sasa iweje nyie mnajifanya hayawahusu???
      Nyambav!!!!!!!
      Dah inasikitisha sana nawewe ni Mtanzania? Au nyie ndio wale mnaruka India kwa hii kitu haiwaathiri? Si ndio wewe GAMBAGWANDA mkubwa weee aghhhhhhh

    7. #25
      brazilian's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 609
      Rep Power : 1358
      Likes Received
      101
      Likes Given
      5

      Default Re: Uongozi wa hospitali ya rufaa Mbeya waomba msaada

      Asubiri madoc toka Irani wanakuja. Pia wastaafu wanankuja. Huyo ni the Great JK anasuluhusha mgogoro wa madoc Tz

    8. Miaka 50

    9. #26
      Baro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2012
      Posts : 316
      Rep Power : 423
      Likes Received
      61
      Likes Given
      114

      Default Re: Uongozi wa hospitali ya rufaa Mbeya waomba msaada

      hii ndo nchi iliyobalikiwa kuwa na rasiliimali nchi waniita nchi ya maziwa na asali na sio shida na machungu,yaap kweli tuna uongozi uliokamilika rais DHAIFU,waziri mkuu LIWALO NA LIWE hapo patamu yetu macho sisi tuliobebeshwa gunia la misumari halafu wanatuita wapenda aman

    10. #27
      Kimweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2011
      Posts : 378
      Rep Power : 460
      Likes Received
      65
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By sulphadoxine
      Huo ndio ujinga serikali ilivyotimua ilitegemea nini?Hapa liwalo na liwe tu.
      Kandolo ni mjinga hasitaili kabisa kuwa kiongozi. Sasa anapowatoa huko Kyela na Tukuyu it means hakuna wangonja? Huyu kila sehemu anaharibu, shame on you Kandolo

    11. #28
      Katufu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th May 2012
      Posts : 187
      Rep Power : 391
      Likes Received
      77
      Likes Given
      7

      Default Re: Uongozi wa hospitali ya rufaa Mbeya waomba msaada

      Quote By barak obama
      mgomo wa madaktari hauna tija kwa taifa hasa kwa wananchi maskini.
      Ni kweli kabisa hata mimi sikupenda uwepo kabisa tangu mwanza, lakini suluhisho hapa tulipo ni nini? Je ni kufukuza waliogoma? Nadhani kuna suluhisho bora zaidi kuliko hili, hapa kila upane serikali na madaktari unapaswa kushuka ili kukutana katikati kumnusuru mwananchi anayeumia

    12. #29
      Sabung'ori's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th July 2011
      Posts : 822
      Rep Power : 560
      Likes Received
      233
      Likes Given
      16

      Default Re: Uongozi wa hospitali ya rufaa Mbeya waomba msaada

      ...duh!...hapo sasa ndo kisu kimegonga mfupa...wakati wanawatimua hao ma-dr 72 huko Mbeya walitutangazia kwa mbwembwe kuwa watawaita ma-dr wastahafu watano kuziba hilo pengo la ma-dr 72,sasa imekuaje tena?!,hesabu zimegoma ku-balansi?!,mimi nilikuwa nangoja kwa hamu sana kuona jinsi watu watano wanavyoziba pengo la watu 72...

    13. #30
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,982
      Rep Power : 2589
      Likes Received
      637
      Likes Given
      776

      Default Re: Uongozi wa hospitali ya rufaa Mbeya waomba msaada

      Je, hospitali za wilaya za Kyela, Mbozi na Rungwe zina ziada ya madaktari?
      We shall overcome, righteousness shall always prevail.

    14. #31
      jingalao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2011
      Location : kikonga
      Posts : 728
      Rep Power : 529
      Likes Received
      127
      Likes Given
      27

      Default Re: Uongozi wa hospitali ya rufaa Mbeya waomba msaada

      kandoro anatoa matumaini hewa,AMO sio madaktari tusijidanganye.hivi kuna kiongozi yoyote anayependa kutibiwa na AMO?

      KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

    15. #32
      kamili's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th February 2011
      Posts : 239
      Rep Power : 466
      Likes Received
      58
      Likes Given
      181

      Default Re: Uongozi wa hospitali ya rufaa Mbeya waomba msaada

      Hivi kyela na rungwe hakuna wagonjwa mpaka madaktari watoke hukoo?? Na kama huko hakuna wagonjwa kwanini madaktari hao waliajiriwa huko?

    16. #33
      mpiganaji jm's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th February 2011
      Posts : 76
      Rep Power : 434
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Uongozi wa hospitali ya rufaa Mbeya waomba msaada

      aliwatoa huko wilayani nani atafanya kazi pande hizo............. kweli wameishiwa hata uwezo wa kufikiri

    17. #34
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,811
      Rep Power : 30203
      Likes Received
      4648
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By barak obama
      nawashangaa sana watanzania wanaoshabikia mgomo.
      Kama mimi ninavyoishangaa serikali inavyochukua hatua dhaifu kukabiliana na tatizo

    18. #35
      Mama Mdogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2007
      Posts : 1,351
      Rep Power : 857
      Likes Received
      671
      Likes Given
      72

      Default Re: Uongozi wa hospitali ya rufaa Mbeya waomba msaada

      Quote By Jackbauer
      sijui kandoro anamdanganya nani.sasa huko wilayani itakuaje?
      Huko Kyela, Mbozi na Rungwe ni watajaza, wahamie katika jiji la Mbeya. Hii ndiyo hali inayoitwa Management by Crisis!!!

      Management by Crisis: describes the common problem of allowing unexpected events, interruptions, problems, or emergencies to dictate your priorities and actions. Managing by crisis is not all good. The idea of management by crisis is best if the organizations have time and resources to complete a crisis management plan before they experience another crisis.
      Anyone who has never made a mistake has never tried anything new - Albert Einstein
      No problem can be solved from the same level of consciousness that created it
      - Albert Einstein


    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...