ni muhimu kwa sasa serikali kutaifisha shule hizi binafsi ambazo zimejaa na kuota kama uyoga,Shule hizi ndizo zinazo sababisha matatizo kwa shule zingine za serikali, wewe unaonaje ??
ni muhimu kwa sasa serikali kutaifisha shule hizi binafsi ambazo zimejaa na kuota kama uyoga,Shule hizi ndizo zinazo sababisha matatizo kwa shule zingine za serikali, wewe unaonaje ??
Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.
mbona husomeki? weka mambo wazi tuelewe unamaanisha nini? naona bado una mawengemawenge ya usingizi mkuu
Duh! Kazi ipo!
Hii nu habari au uchochezi
Vipi zile za kata, ubora wake ukoje? Au ndio kutapatapa kwa serikali yetu bila kujitambua? Labda wafanye exchange kwa kuchukua za binafsi alafu binafsi wachukue za kata wawasaidie kuboresha?
Unawashwawashwa
Uwepo wa shule za binafsi zinaleta changamoto sana kwenye upande wa perfomance kwa wanafunzi, hivyo zinaleta ushindani mzuri sana, mi nadani serikali iziache tu ziendelee kutoa huduma.
hapo kwenye red, hebu tuambie shule binafsi zinasababishaje matatizo kwa shule za serikali na matatizo yepi?
mwisho kabisa tatizo halisuluhishwi kwa kukimbia tatizo......
kwa nchi yenye utajiri na maliasili kama tanzania wanafunzi hawapaswi kusoma chini ya mti, au shule kukosa hata maabara.........
"Behind every great fortune there is a crime."- Honore de Balzac (1799-1850)
ungeshauri serikali iboreshe shule zake ungeeleweka vizuri zaidi
frustration is given by expectationdivide by
outcome
ie frustration = expectation/outcome
Akili ndogo kuongoza akili kubwa.
For the Holy Quran says in Sura 42, verse 41: 'All those who fight when oppressed incur no guilt, but Allah shall punish the oppressor, Come the day.
Unataka Tuwe sawa na Uamsho jengeni zenu ili angalau mtukalibie
yaani mijitu imejikalia tu bila kufanya kazi inasubiri madodo yadondoke chini , kweli hii ni laana..
Serikali yenyewe imeshindwa kuziendesha shule zake na sasa wamezifanya kuwa viwanda vya kuzalisha wajinga. Wakichukua za binafsi ndiyo wataweza kuziendesha? Labda kama lengo ni kuleta usawa wa ujinga kwa watanzania wote!
TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA
Huu nao ni uzi!
LIWALO NA LIWE - PINDA.
Wazo ni zuri kabisa na hii itatusaidia sana kushuka kwa ghalama za kusomesha watoto zetu. Isue iko kwenye utekelezaji wa hilo suala kwani hao hao viongozi wa serikalini nao wanamiliki hizo shule na ndio hupandisha sana ada kwa visingizio eti ni english media, matokeo yake mtoto anamaliza shule na anachoambulia ni kuzungumza kingereza tu.
Mods please do the nid full
Better to have a Good Dictatorship than Bad Democracy !!!!
Follow Us Here