Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: David Mathayo David......CV yako ndio hii, yanini kuwadanganya Watanzania????

    Report Post
    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast
    Results 61 to 80 of 89
    1. #1
      Blood Hurricane's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st June 2012
      Posts : 242
      Rep Power : 396
      Likes Received
      75
      Likes Given
      2

      Default David Mathayo David......CV yako ndio hii, yanini kuwadanganya Watanzania????

      Jina
      Jina la kwanza ni Mathayo David Msuya. Ila baada ya kuingia anga za siasa, aliamua kulibadili jina lake kuwa Mathayo David Mathayo na kuondoa jina la ukoo "Msuya" ambalo ni jina la baba yake halisi David Msuye aliyewahi kuwa waziri mkuu.

      Masomo
      Matayo David Msuya alisoma Tosamaganga Iringa, alifanya CBG (1989-91) aliishi bweni la Mwenge. Uwezo wake wa kimasomo haukuwa mkubwa ila alishangaza wenzanke na waalimu alipopata daraja la kwanza kwa pointi 7. Alipata msaada sana kutoka kwa kaka yake aliyekuwa akifundisha chuo cha ualimu Mkwawa, Iringa.

      Matayo ulikwenda JKT itende, Mbeya. Baada ya hapo, alichanguliwa kwenda kusoma Makerere Uganda kwa kupitia mfuko wa mwalimu Nyerere. Mathayo alinufaika kwa fedha hizo ila hakwenda Uganda, akaamua kusoma SUA ya tiba ya mifugo (Bachelor of Veterinary Medicine) mwaka 1993-1997. Huko SUA Matayo alikuwa ni mwanafunzi pekee aliyekuwa na radio yenye double deck, (system) na TV set.

      Uwezo wa kifedha ulisaidia kumpa Mathayo maisha ya kifahari chuoni SUA ambapo alikuwa na wasichana kadhaa ikiwa ni pamoja na Mugros na Betty Manase

      Mwanzo wa siasa
      Siasa alizianza rasmi mwaka 1995 alitumia TV yake kwenda kuonyesha vijijini madhara ya vyama vingi, alitumia mapigano ya Rwanda na Burundi kama kutishia wananchi wasikubali upinzani na kipindi kile wananchi walikuwa wepesi kuelewa kumbuka TV hazikuwa nyingi Tanzania kipindi kile. Alijijengea umaarufu sana ndani ya chama mkoani Morogoro na kitaifa.

      Aligombea ujumbe wa NEC mkoa wa Morogoro kundi la vijana alishinda. Mathayo alimaliza SUA 1997 na kupata kazi ya kufundisha chuo kimoja huko Serowe Botswana. Kwa kuwa mjumbe wa NEC alikuwa karibu na akina Lowasa, JK na vingunge wengine aliweza kuwa anaonana na akina Makamba na akawa ni mwanamtandao. Wakati huo Matayo alikuwa akirudi Tanzania kufanya shughuli zake za kisiasa wakati bado ni mwajiriwa wa serikali ya Botswana.

      Kwa mfano wakati mmoja alirudi Tanzania na kuwahamasisha wanafunzi wa SUA (kama 200 hivi) na kuwapeleka Dodoma kupokea kadi za CCM chini ya mwenyekiti wa CCM Mkapa. Wanafunzi walahidiwa wangepatiwa ajira kwa kufanya hivyo. Hii ilimjenga sana Matayo ambaye aliisha kuwa maarufu kwenye ofisi za chama Dodoma, kama mjumbe wa NEC na mkutano mkuu.

      Mwaka 2000 aligombea Ubunge Same Magharibi na kushinda na kuteuliwa kuwa waziri mdogo. Wakti huu aliisha tamka kwamba amesomea Afrika Kusini digrii ya falsafa (PhD). Prof Msolla wakati aliyekuwa waziri wa elimu ya juu na sayansi ambaye aliwahi kufundisha SUA alimjua sana Matayo na alimwita Matayo na kumuuliza kuwa PhD alifanya lini na wapi na pia aletee PhD thesis yake. Prof Msolla alisema "Matayo aliogopa sana na alikili mbele yangu, kuwa Prof mimi nimetumia hii title kisiasa zaidi, sina MSc wala PhD”1.

      Kashfa ya vyeti bandia

      Dr Mathayo ni mmoja wa wabunge vijana waliochaguliwa na Raisi Kikwete kuwakilisha ngwe yake ya "Nguvu mpya" kama naibu waziri. Katika awamu hii Kikwete alionekana amechagua vijana wenye vipaji na elimu. Vyeti vya Mathayo's zimeleta kizaazaa tangu alipochaguliwa kwenye uwaziri mwaka 2005. Matayo alihitimu chuo kikuu cha Kilimo (SUA) mwaka 1997 kama daktari wa mifugo. Baada ya hapo alitoka nje ya nchi kwenda kutafuta ajira Botswana ambako aliajiriwa na serikali ya Botswana kama mwalimu kweny chuo cha kilimo huko Serowe.

      Mathayo anadai kwa mwaka huo huo alianza digrii ya MSc 1998-2001, halafu PgDip (2000-2001), na PhD (2001-2003). Watu wengi wanaomfahamu ikiwa ni pamoja na waalimu wake wa SUA wanashangaa Mathayo aliwezaje kusomea vyeti vyote hivyo kwa muda wa miaka mitano huku akifanya kazi kama mtumishi wa serikali Botswana? Pia kashfa kwamba alikuwa akipokea mishahara miwili ya uwaziri na utumishi wa serikali ya Botswana haijajibiwa hadi leo.

      Source: Waliosoma nae.

    2. Miaka 50

    3. #61
      Bishop Hiluka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,494
      Rep Power : 5983
      Likes Received
      492
      Likes Given
      154

      Default Re: David Mathayo David......CV yako ndio hii, yanini kuwadanganya Watanzania????

      Quote By Nakapanya
      acha uongo,kama huna uhakika sio lazima uchangie.
      Wewe unadandia treni kwa mbele, niambie John Komba kwao wapi?
      Niambie Joseph Mbilinyi kwao wapi? Usitake kuanziasha malumbano,
      ambayo wala hayatakusaidia...
      It's better to be hated for who you are,
      than to be loved for someone you are not...

    4. #62
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,694
      Rep Power : 903
      Likes Received
      432
      Likes Given
      440

      Default Re: David Mathayo David......CV yako ndio hii, yanini kuwadanganya Watanzania????

      amaa kweli magamba ni sooo!nimewachoka

    5. #63
      oyaoya's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th March 2012
      Posts : 194
      Rep Power : 402
      Likes Received
      32
      Likes Given
      15

      Default

      Quote By Ndakilawe
      sasa kama ni mtoto wa Cleopa Msuya, kwa nn akaenda kugombe ubunge Same, na sio Mwanga nyumbani kwake?
      Ukabila in action!
      Acha hizo, TZ ni huru kwa mTZ yeyote popote!

    6. #64
      Mr. Zero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2007
      Posts : 4,069
      Rep Power : 1433
      Likes Received
      479
      Likes Given
      72

      Default Re: David Mathayo David......CV yako ndio hii, yanini kuwadanganya Watanzania????

      Quote By kweleakwelea
      though free state is also not an accredited university!
      Nafikiri mwenzetu hujui Free State University tunayoizungumzia. Kwa taarifa yako ni among the top ten Universities in South Africa.

      Kama kweli MDM alimaliza PhD yake pale lazima thesis yake ingekuwa iko published na kwa utaratibu wa Universities za RSA lazima angekuwa na atleast two publications. Kwa sababu hiyo I also doubt kama kweli ana PhD.
      "The Only Necessary for the Triumph of Evil is for Good Men to do Nothing" Edmund Burke (1729 - 97)

    7. #65
      mtendaji wa kijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd July 2012
      Posts : 382
      Rep Power : 422
      Likes Received
      68
      Likes Given
      18

      Default Re: David Mathayo David......CV yako ndio hii, yanini kuwadanganya Watanzania????

      Huyu kahaba hafai hata uongozi wa kaya? Nashangaa kapewa uwazir

    8. FemaTV & Radio

    9. #66
      Ulimakafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Itabanya Balasi
      Posts : 10,918
      Rep Power : 2597
      Likes Received
      690
      Likes Given
      1614

      Default Re: David Mathayo David......CV yako ndio hii, yanini kuwadanganya Watanzania????

      Mambo yale ya kupeana...........

    10. #67
      kalcha's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 28
      Rep Power : 365
      Likes Received
      1
      Likes Given
      3

      Default Re: David Mathayo David......CV yako ndio hii, yanini kuwadanganya Watanzania????

      eeeheeh
      jamani huyo dogo kwanza kabila la babaake ni wajasirialamali, kuonyesha video, kuwapiga utapeli mabwege n.k ndo sifa zao!!!!!
      kuchapa mugro SUA ni kawaida tuu!! yani ni kama kuvuta bangi tosa au umbwe! hii CV imeingiza mambo mengine ya kawaida sana katika makuzi ya mtu!
      kutumia jina la ukoo mnh! na kuwa mtoto wa nje wa mh. babaake! wapare bana hawana hiyo mila, uzaliwe nje au ndani haina uhusiano, ila nnachojua asingeweza kupata jimbo la mwanga! labda same kwa mamae!
      Kama kasoma PhD au MSc kwa chama cha magamba just unasema tuu! mi nna PhD basi! wengi tuu humo ni vihiyo! hadi hili jina limetokana na jamaa mmoja Kihiyo!
      Ila the good is Mathayo hakuwa mwanasiasa SUA, na kipindi chote cha miaka 6 hajawahi kushiriki hata tuu utetezi wa maslahi ya wanafunzi! Si kwa ajili ya wananchi! hawezi kuwa mwakilishi wao! sidhani kama amewahi kutumika kwa ajili ya jamii!

    11. #68
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: David Mathayo David......CV yako ndio hii, yanini kuwadanganya Watanzania????

      Kuna uwezekano LABDA alijua ni TISS

    12. #69
      Bongolander's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2007
      Location : Tandale
      Posts : 4,032
      Rep Power : 1416
      Likes Received
      609
      Likes Given
      44

      Default Re: David Mathayo David......CV yako ndio hii, yanini kuwadanganya Watanzania????

      Quote By mtendaji wa kijiji
      Huyu kahaba hafai hata uongozi wa kaya? Nashangaa kapewa uwazir
      Kwanza umesema ni uwaziri wa kupewa, na pili si yeye tu mwenye elimu na uwezo usiofikia kigezo cha kuwa na ofisi kama yake. NI wengi tu kuna ma dr hewa wengi tu.
      That is the way of life. Hii ndio Tanzania.

    13. #70
      gbrother's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 318
      Rep Power : 476
      Likes Received
      35
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mwali
      Hao waliosoma nae ni kina nani kaka, si wataje???
      Mbona mi nimetumiwa link ya wikipedia na ni hayo hayo?
      David Mathayo David - Wikipedia, kamusi elezo huru
      Na wikipedia wamesema source yao ni tovuti la Bunge?
      1. http://www.parliament.go.tz/bunge/mpcv.php?vpkey=376
      2. http://www.jambonetwork.com
      You didn't even bother doing a cosmetic change yani!
      Kuweni wakweli sometimes, acknowledge your sources!
      it just a copyng n pastng, nadhani hiyo wanayosema source waliosoma nae ni just ku2adaa, hawajui hapa ni "home of great thinker"

      thank bro kwa ku2weka wazi.
      Mwali likes this.

    14. #71
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,451
      Rep Power : 1109
      Likes Received
      457
      Likes Given
      928

      Default Re: David Mathayo David......CV yako ndio hii, yanini kuwadanganya Watanzania????

      toeni website zilizojitosheleza kwa PhD za science lazima awe amefanya publication si chini ya paper 2 hadi 4 inakuwaje isionekane hata moja? tunaomba tuwe wakweli mimi siwezi ingilia maisha ya mtu binafisi ila hili la elimu naomba sana ajitokeze atupe ufafanuzi

    15. #72
      makelemo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st June 2012
      Posts : 101
      Rep Power : 368
      Likes Received
      19
      Likes Given
      0

      Default Re: David Mathayo David......CV yako ndio hii, yanini kuwadanganya Watanzania????

      Quote By Ndakilawe
      temeke huwezi ifananisha na Same...Temeke ni urban centre (metropolitan), maana kunakuwa na watu wa mataifa yote, ni rahisi kuchaguliwa, tofauti na same magh. kwa Mathayo, ni kijijini, huwezi toka wilaya nyingine, ukachaguliwa hapo! ndio maana nikasema haiwezekani, haitawezekana....
      Mbona Cheyo alichaguliwa Magu, baadala ya Bariadi, hicho si kigezo,, inategemea na ushawishi

    16. #73
      Ndakilawe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2011
      Location : Kumasi
      Posts : 470
      Rep Power : 492
      Likes Received
      53
      Likes Given
      63

      Default Re: David Mathayo David......CV yako ndio hii, yanini kuwadanganya Watanzania????

      Quote By mzee wa njaa
      Mh. Lema alikuwa mbunge wa ARUSHA MJINI wakati kwao ni Kilimanjaro na hilo unasemaje sasa? Sagaf alikuwa Mbunge wa Dodoma Mjini wakati yeye kwao dar kupitia CCM. Bisha nikupe mifano zaidi.
      mkuu nimekuambia tena mjini ni metropolitani, sehemu yenye watu mchanganyiko, haina kubebana kwa undugu au ukabila, sera tu, maana kuna watu mchanganyiko. mimi wala sishangai, but Same magharibi kwa Mathayo, sio mjini, hivyo huwezi toka kwingine ukachaguliwa, lazima uwe mzaliwa wa huko. nadahni umenielewa

    17. #74
      Ndakilawe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2011
      Location : Kumasi
      Posts : 470
      Rep Power : 492
      Likes Received
      53
      Likes Given
      63

      Default Re: David Mathayo David......CV yako ndio hii, yanini kuwadanganya Watanzania????

      Quote By makelemo
      Mbona Cheyo alichaguliwa Magu, baadala ya Bariadi, hicho si kigezo,, inategemea na ushawishi
      Cheyo ni mbunge wa Bariadi mashariki, magharibi ni kwa Chenge..sasa sijui lini Cheyo kaenda Magu

    18. #75
      Zemu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2008
      Posts : 422
      Rep Power : 643
      Likes Received
      45
      Likes Given
      18

      Default Re: David Mathayo David......CV yako ndio hii, yanini kuwadanganya Watanzania????

      Mkitaka kujua utundu na ujinga wa Mathayo muulizeni Prof Batamuzi, alimtimua na sindano yenye anasthesia ya large animals kisa kamuambia ushafeli siku ya pepa, km si kuwa mtoto wa mkubwa ingekuwa chuo hana.

    19. #76
      Ngandema Bwila's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th September 2010
      Posts : 680
      Rep Power : 577
      Likes Received
      115
      Likes Given
      2

      Default Re: David Mathayo David......CV yako ndio hii, yanini kuwadanganya Watanzania????

      Quote By Kibanga Ampiga MKoloni
      Wacha ubishi umeambiwa ni DAVID MSUYA.
      Hata mimi nimemaliza naye SUA mwaka 1997. sijawahi kumsikia akiitwa Matayo David, Jina lake lilikuwa David Msuya. Nilipo uliza wanasema hizo nisiasa za Uthangi na Uthame. Yaani watu wa same alikogombea ubunge David wasiinge weza mpa kura kama angetumia Jina la Msuya Wa Usangi! so akaamua kujiita David Matayo David.

    20. #77
      Mr. Zero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2007
      Posts : 4,069
      Rep Power : 1433
      Likes Received
      479
      Likes Given
      72

      Default Re: David Mathayo David......CV yako ndio hii, yanini kuwadanganya Watanzania????

      Quote By Ndakilawe
      Cheyo ni mbunge wa Bariadi mashariki, magharibi ni kwa Chenge..sasa sijui lini Cheyo kaenda Magu
      Kweli kitu usichokifahamu ni kama usiku wa giza!! Bora uulize kuliko kubisha............ inaelekea wewe ni mtoto wa juzi juzi. Kwa taarifa tu Cheyo alishawahi kuwa mbunge wa Magu miaka ya 90!!
      Kidogo chetu likes this.
      "The Only Necessary for the Triumph of Evil is for Good Men to do Nothing" Edmund Burke (1729 - 97)

    21. #78
      Newvision's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2010
      Posts : 442
      Rep Power : 520
      Likes Received
      27
      Likes Given
      0

      Default Re: David Mathayo David......CV yako ndio hii, yanini kuwadanganya Watanzania????

      Huyu David office. Huyo ya jamaa kasoma labda mnamwonea kijicho Wana JF nadhani iko haja ya kumheshimu.

    22. #79
      Young Tanzanian's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 10th March 2012
      Posts : 564
      Rep Power : 0
      Likes Received
      45
      Likes Given
      49

      Default Re: David Mathayo David......CV yako ndio hii, yanini kuwadanganya Watanzania????

      Jaman anayemchafua ni jirani yake...wana bifu la kisiasa...tusiingie mkumbo sizan kama kuwa mtoto wa msuya ni tija so what...mzee msuya ni mmoja ya wazee waadilifu nchi hii na amekuwa akikemea ufisadi kwa nguvu...mbona kuna wanasiasa wa form four...logic ya hii stor siioni ni nafasi yake au nini...ingia kwenye list ya vyuo vya south kama hapo juu mdau alivyosema ni pretoria mtaona wenzetu huwa hawana longolongo...ila ohhh mara msola kamuita..sijui ikawaje..sasa mm nmesoma udsm nikamaliza 2yrs ago mkuu wangu wa chuo anajua niliko sasa wa udsm....tujadili hoja za msingi...vijijini amna maji wala umeme plus zaanati

    23. #80
      JokaKuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2006
      Posts : 6,819
      Rep Power : 2965
      Likes Received
      2421
      Likes Given
      3495

      Default Re: David Mathayo David......CV yako ndio hii, yanini kuwadanganya Watanzania????

      ..mimi nadhani kama mnataka kumpinga Matayo basi mfanye hivyo kwasababu ameshindwa ktk majukumu yake ya ubunge na uwaziri. zaidi mnaweza kuhoji kama kweli ana PhD au hana.

      ..kuhusu jina la Msuya, kwa uelewa wangu wapo wengi wanaotumia jina hilo lakini hawana mahusiano na Cleopa David Msuya. Kuna mfano wa watu kama Maj.General Ben Msuya, Prof.Philemon Msuya[r.i.p], wote hao hawana mahusiano na Cleopa Msuya.

      NB:

      ..kama kweli Matayo ana damu ya Cleopa Msuya basi tuna kila sababu ya kumlaumu huyu mzee kwa kumtelekeza mwanae akasota ktk shule za vijijini wakati yeye akitanua mjini kwa maisha ya anasa.

    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...