Mbunge Stella amesema wazi CHADEMA wanahusika na migomo ya madaktari, pia amesema Mungu amemuepusha Uulimboka kwa kupata kipigo maana ni kama Hiltler wa tanzania kwa kuendesha migomo yenye kuumiza wananchi.
Pia amesisitiza waliompiga Ulimboka walikuwa na jezi "magwanda" kama ya CHADEMA.
Tumshukuru huyu mama kwa kubainisha.

Reply With Quote




Follow Us Here