Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Muhimbili madaktari watimuliwa

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 99
    1. #1
      Return Of Undertaker's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2012
      Posts : 696
      Rep Power : 553
      Likes Received
      483
      Likes Given
      0

      Default Muhimbili madaktari watimuliwa

      Kwa taarifa nilizozipata muda huu uongozi wa hospital ya taifa ya muhimbili wamewatimua madaktari Interns wote katika hospital hiyo

      Barua iko hivi;

      Bodi ya Wadhamini ya Hospitali ya Taifa Muhimbili ilikutana tarehe 28 Juni 2012 kujadili na kutathmini hali ya utendaji na utoaji wa huduma hivi sasa katika Hospitali. Imebainika kwamba utoaji huduma umeathirika kutokana na mgomo wa baadhi ya madaktari unaondelea kwa takriban wiki moja sasa tangu ulipoanza Jumamosi yatarehe 23 Juni 2012. Baada ya tathmini hiyo,

      Bodi ya Wadhamini imeagiza yafuatayo:

      (i) Madaktari waliopo kazini waendelee na kazi kama kawaida;
      (ii) Madaktari waliogoma warejee kazini kutii amri ya Mahakama Kuu Kitengo cha kazi, kwa mujibu wa Kifungu Na. 76 (1) na (2) cha Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini ya mwaka 2004.
      (iii) Madaktari waliopo likizo warejee kazini mara moja. Utaratibu wa kufidia likizo na nauli zao umeandaliwa.
      (iv) Uongozi wa Hospitali uwachukulie hatua za kinidhamu wafanyakazi wote watakaoendelea kutokuhudhuria kazini na kufanya kazi bila sababu za msingi kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na taratibu za kazi;
      (v) Uongozi wa Hospitali ufute mara moja ‘rotations’ za Madaktari waliopo kwenye mafunzo kwa vitendo (interns); na
      (vi) Uongozi wa Hospitali uwapange (re-deploy) Madaktari na Madaktari Bingwa waliopo kwenye maeneo yaliyoathirika wakati huu wa mgomo.

      Aidha, Bodi ya Wadhamini inawashukuru sana madaktari na wafanyakazi wote ambao wameendelea kuwahudumia wagonjwa wetu na wananchi kwa ujumla.
      Vilevile, Bodi ya Wadhamini inawasihi madaktari na wafanyakazi wote wawe na subira na waheshimu sheria, kanuni na taratibu zilizopo pamoja na maadili ya taaluma zao.

      Dkt. Gabriel Upunda
      KAIMU MWENYEKITI BODI YA WADHAMINI
      Last edited by Return Of Undertaker; 2nd July 2012 at 15:01.
      chama, zululima and zindouna like this.


    2. #2
      Click_and_go's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2010
      Posts : 450
      Rep Power : 525
      Likes Received
      5
      Likes Given
      7

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      serikali inafanya mchezo wa paka na panya!

    3. PPM is online now
      PPM
      #3
      PPM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 406
      Rep Power : 479
      Likes Received
      65
      Likes Given
      39

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Quote By Return Of Undertaker View Post
      Kwa taarifa nilizozipata muda huu uongozi wa hospital ya taifa ya muhimbili wamewatimua madaktari Interns wote katika hospital hiyo
      Kwa sasa madaktari wanahitaji umoja than ever. Wakigawanyika tu, imekula kwao

    4. #4
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 593
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Nilitegemea hivyo, sishangai.
      zaleo likes this.

    5. #5
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 5,502
      Rep Power : 3215
      Likes Received
      1551
      Likes Given
      6746

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Good move kwa serikali.

      Tuone kama Intern nae atapata kazi Botswana...
      Manyi likes this.


    6. #6
      jigoku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 1,505
      Rep Power : 1018
      Likes Received
      377
      Likes Given
      537

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Solidarity forever,i appeal to you all intern doctors,Registrars and Specialist to go beyond the point of no return.
      Nivea likes this.

    7. #7
      majebere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 2,329
      Rep Power : 0
      Likes Received
      336
      Likes Given
      119

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Machinga complex inawasuburi hao.

    8. #8
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 3,173
      Rep Power : 8415
      Likes Received
      903
      Likes Given
      740

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Quote By PPM View Post
      Kwa sasa madaktari wanahitaji umoja than ever. Wakigawanyika tu, imekula kwao
      Kweli kabisa mkuu,huo ndo mkakati ambao serikali inautumia.Madaktari komaeni msigawanyike
      Mtumishi Wetu likes this.

    9. #9
      KISIMASA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 38
      Rep Power : 379
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      They need really to unite manake ni shida. Ila jamani hospitali zetu zinatia aibu. Sasa hivi 80% ya vipimo na dawa unaambiwa nenda hospitali binafsi. Wananchi wenzangu haya yanatugusa? Au ndo tunakuwa na ule upeo wa aah madaktari wanadai maslahi. Nenda hospitali sasa uandikiwe dawa uone. Ila kwa bahati mbaya sana mheshimiwa hakuthubutu kutaja hayo. Tumempoteza rafiki yetu wa bodaboda kisa kapata ajali kaumia kicwa kwa kuvila damu na nothing was done kwa vite scan ya kichwa haifanyiki. Wadau hali ni mbaya mno!

    10. #10
      MVUMBUZI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2011
      Posts : 2,732
      Rep Power : 1122
      Likes Received
      727
      Likes Given
      380

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Serikali itakuwa imewapa nafasi zaidi ya kujipanga na kujadili future yao. Who is looser? JK anataka kuwapa kazi Wa Iran na wape sasa

    11. #11
      Zanta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th April 2011
      Posts : 1,329
      Rep Power : 757
      Likes Received
      434
      Likes Given
      369

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Quote By jigoku View Post
      Solidarity forever,i appeal to you all intern doctors,Registrars and Specialist to go beyond the point of no return.
      Watu wanatofautiana kiuchumi nakwambia mwingine anaweza kuendelea kugoma kwa kua ana hospitali yake anapata chochote ila nakwambia kwa hii move ilipofika wote wanarudi kazini. Wameshashikwa pabaya na hawawezi tena kua na nguvu nakwambia
      Manyi likes this.
      Better to have a Good Dictatorship than Bad Democracy !!!!

    12. #12
      Malaria Sugu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th July 2009
      Posts : 2,408
      Rep Power : 0
      Likes Received
      247
      Likes Given
      18

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Quote By return of undertaker View Post
      kwa taarifa nilizozipata muda huu uongozi wa hospital ya taifa ya muhimbili wamewatimua madaktari interns wote katika hospital hiyo
      wakauze magenge au wakatibu wa nyama vijijini
      Maundumula likes this.

    13. #13
      swrc's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2012
      Posts : 442
      Rep Power : 553
      Likes Received
      35
      Likes Given
      18

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      umoja ni nguvu utengano ni udhaifu

    14. #14
      Zanta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th April 2011
      Posts : 1,329
      Rep Power : 757
      Likes Received
      434
      Likes Given
      369

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Quote By KISIMASA View Post
      They need really to unite manake ni shida. Ila jamani hospitali zetu zinatia aibu. Sasa hivi 80% ya vipimo na dawa unaambiwa nenda hospitali binafsi. Wananchi wenzangu haya yanatugusa? Au ndo tunakuwa na ule upeo wa aah madaktari wanadai maslahi. Nenda hospitali sasa uandikiwe dawa uone. Ila kwa bahati mbaya sana mheshimiwa hakuthubutu kutaja hayo. Tumempoteza rafiki yetu wa bodaboda kisa kapata ajali kaumia kicwa kwa kuvila damu na nothing was done kwa vite scan ya kichwa haifanyiki. Wadau hali ni mbaya mno!
      Kwa nini kwenye madai yao hii ya kuboresha mazingira hawakuipa kipaumbele?
      Maundumula likes this.
      Better to have a Good Dictatorship than Bad Democracy !!!!

    15. #15
      Chipukizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Location : Manzese
      Posts : 1,065
      Rep Power : 736
      Likes Received
      265
      Likes Given
      31

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Ni aibu kwa serikali Dhaifu kucheza na fani kama Udaktari ata USA na UK Madaktari awatoshi.inachukua miaka 5 mpaka 7 kumtrain Dokta mmoja.let see miracles

    16. #16
      Zanta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th April 2011
      Posts : 1,329
      Rep Power : 757
      Likes Received
      434
      Likes Given
      369

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Quote By swrc View Post
      umoja ni nguvu utengano ni udhaifu
      kwa ilipofika hapa hawawezi tena kuungana
      Better to have a Good Dictatorship than Bad Democracy !!!!

    17. #17
      majebere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 2,329
      Rep Power : 0
      Likes Received
      336
      Likes Given
      119

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Quote By swrc View Post
      umoja ni nguvu utengano ni udhaifu
      na njaa ni mbaya

    18. #18
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Planet Nibiru
      Posts : 11,570
      Rep Power : 42528
      Likes Received
      5088
      Likes Given
      4370

      Default

      Quote By webondo View Post
      Nilitegemea hivyo, sishangai.
      Liwalo ndo linaendelea kuwa

    19. #19
      mauro's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th November 2011
      Posts : 52
      Rep Power : 392
      Likes Received
      7
      Likes Given
      52

      Exclamation Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Tatizo la nchi kutokua na kiongozi mtoa maamuzi anachojua ni kusoma hotuba.Mbona wasifanye mjadala live pande zote mbili tusikie nani mkweli nani mwoga ?majibu tunayopata ni ONE sided ukisikiliza bunge haliruhusiwi kuzungumza MGOMO huu Madaktari hawana pa kusema zaidi ya vyombo vya habari vichache ambavyo vimeweza kupata hizo taarifa zao.

      Timua timua ni nyepesi kwa viongozi wao wanatibiwa nje ,je sisi tutakaobaki kwenye WODI ZISIZO NA MADAKTARI NA WAHUDUMU WALA HUDUMA HILI JAMBO TUNAWAANGALIA WATU TULIOWAPA DHAMANA YA MAISHA YATU NA NCHI YETU WAKIKURUPUKA ?
      Mahai likes this.

    20. #20
      Zanta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th April 2011
      Posts : 1,329
      Rep Power : 757
      Likes Received
      434
      Likes Given
      369

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Quote By Chipukizi View Post
      Ni aibu kwa serikali Dhaifu kucheza na fani kama Udaktari ata USA na UK Madaktari awatoshi.inachukua miaka 5 mpaka 7 kumtrain Dokta mmoja.let see miracles
      usijali kiongozi ma dr wote wanarudi kazini nakwambia
      Better to have a Good Dictatorship than Bad Democracy !!!!

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...