Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Muhimbili madaktari watimuliwa

    Report Post
    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast
    Results 61 to 80 of 99
    1. #1
      Return Of Undertaker's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2012
      Posts : 697
      Rep Power : 553
      Likes Received
      483
      Likes Given
      0

      Default Muhimbili madaktari watimuliwa

      Kwa taarifa nilizozipata muda huu uongozi wa hospital ya taifa ya muhimbili wamewatimua madaktari Interns wote katika hospital hiyo

      Barua iko hivi;

      Bodi ya Wadhamini ya Hospitali ya Taifa Muhimbili ilikutana tarehe 28 Juni 2012 kujadili na kutathmini hali ya utendaji na utoaji wa huduma hivi sasa katika Hospitali. Imebainika kwamba utoaji huduma umeathirika kutokana na mgomo wa baadhi ya madaktari unaondelea kwa takriban wiki moja sasa tangu ulipoanza Jumamosi yatarehe 23 Juni 2012. Baada ya tathmini hiyo,

      Bodi ya Wadhamini imeagiza yafuatayo:

      (i) Madaktari waliopo kazini waendelee na kazi kama kawaida;
      (ii) Madaktari waliogoma warejee kazini kutii amri ya Mahakama Kuu Kitengo cha kazi, kwa mujibu wa Kifungu Na. 76 (1) na (2) cha Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini ya mwaka 2004.
      (iii) Madaktari waliopo likizo warejee kazini mara moja. Utaratibu wa kufidia likizo na nauli zao umeandaliwa.
      (iv) Uongozi wa Hospitali uwachukulie hatua za kinidhamu wafanyakazi wote watakaoendelea kutokuhudhuria kazini na kufanya kazi bila sababu za msingi kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na taratibu za kazi;
      (v) Uongozi wa Hospitali ufute mara moja ‘rotations’ za Madaktari waliopo kwenye mafunzo kwa vitendo (interns); na
      (vi) Uongozi wa Hospitali uwapange (re-deploy) Madaktari na Madaktari Bingwa waliopo kwenye maeneo yaliyoathirika wakati huu wa mgomo.

      Aidha, Bodi ya Wadhamini inawashukuru sana madaktari na wafanyakazi wote ambao wameendelea kuwahudumia wagonjwa wetu na wananchi kwa ujumla.
      Vilevile, Bodi ya Wadhamini inawasihi madaktari na wafanyakazi wote wawe na subira na waheshimu sheria, kanuni na taratibu zilizopo pamoja na maadili ya taaluma zao.

      Dkt. Gabriel Upunda
      KAIMU MWENYEKITI BODI YA WADHAMINI
      Last edited by Return Of Undertaker; 2nd July 2012 at 15:01.
      chama, zululima and zindouna like this.


    2. #61
      Zanta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th April 2011
      Posts : 1,329
      Rep Power : 757
      Likes Received
      434
      Likes Given
      369

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Quote By alberaps View Post
      Una uhakika gani mimi sio Dr! Baada ya wao kupelekwa mabwepande na kungolewa kucha na meno and u still think they are the same? Kukiwa hakuna mgomo wanawafanyia wagonjwa kutu vile vile itakuwa baada ya kungolewa meno na kucha!
      kama wewe unaweza ni one in hundred. sikusema wote ni perfect. We ukipigwa na mwingine ukashindwa kumrudishia alie kupiga ukaja kunipiga mimi basi ni mnyama.
      Better to have a Good Dictatorship than Bad Democracy !!!!

    3. #62
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,789
      Rep Power : 799
      Likes Received
      442
      Likes Given
      437

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Quote By Return Of Undertaker View Post
      Kwa taarifa nilizozipata muda huu uongozi wa hospital ya taifa ya muhimbili wamewatimua madaktari Interns wote katika hospital hiyo
      watawarudisha tu!
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    4. #63
      jigoku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 1,505
      Rep Power : 1018
      Likes Received
      377
      Likes Given
      537

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Quote By Lukolo View Post
      Ndugu yangu, wewe unaishi Tanzania kweli? Mshahara wa mfanyakazi wa serikali unaweza kukaa kwa muda gani mfukoni? Kabla hata mwisho wa mwezi haujafika mshahara ulishakwisha siku nyingi. Hawa walizoea kamshahara hako na marupurupu ya hapa na pale wakienda kukaa nyumbani mwezi mmoja tu watakuwa wanarudi serikalini kuomba msamaha.

      Kwa mtu aliyezoea kuishi kwa mshahara itakuwa ni vigumu sana kuendeleza jeuri akiwa nje ya kazi. By the way, mkishakuwa mmefukuzwa kazini, hata mkutane kokote na kufanya mikutano yenu, hamna tena impact kwa serikali, maana tayari imeshachukua risk. sanasana mtamaliza hela za nauli za kukutana huko, na baadaye hiyo mikutano itakufa natural death.

      hivi wewe huna uzoefu wa migomo ya wanafunzi. Umoja wao na ujanja wao unaishia pale chuoni, wakishafukuzwa tu hawana tena kinga, maana wakileta fujo mtaani huko watakamatwa na kushughulikiwa kama wahalifu wa kawaida tu na si wapigania haki, ukizingatia na ajira watakuwa tayari washafukuzwa! Ujue serikali yetu ni kind sana, lakini kama kweli serikali ikiamua kufanya maamuzi yake kulingana na vile inavyotaka mambo yaende, nadhani baada ya negotiation kushindikana, yangeshafanyika mambo makbwa sana.

      Maana serikali inaweza kuwafukuza kazi, halafu ikabadilisha sera ya ulipaji mikopo, mkajikuta within the same week baada ya kufukuzwa, mnakamatwa mlipe mikopo mliyokopa bodi ya mikopo. Ukizingatia walipewa 100% udhamini wa serikali. Mie nafikiri wakati mwingine tuwe tunamshukuru tu Kikwete kwamba ni mtu mwenye huruma sana, hapendi kufanya maamuzi ya kumuumiza mtu. Though ameharibu kwa kila alichomfanyia Ulimboka.
      Pole mkuu wewe nadhani ndo haupo TZ na kama upo basi huna unachokijua na kama unakitu unachokijua basi wewe ni sehemu ya matatizo ya watanzania wa kawaida na kama vile haitoshi wewe utakuwa ni mfuasi wa Nape na unyinyiemu wenu.kwanza kama hujui mimi ni mmoja wa watu nilekataa kujipendekeza,kunyanyaswa,kuwa mnafiki kwa serikali,na wala sikuwa na ujinga wa kuamini kuwa nje ya serikali hakuna maisha.lakini ktk yale niliyoyapigania leo yamesaidia watanzania japo bado kuna machache huko nilikokuwa hayajarekebishika.ila kwa hali iliyokuwepo siku moja hali ingechafuka kama wakubwa wasingesikiliza madai tuliyoya-table kwao kwa vinywa vyetu.
      Na unadhani JK ni imara basi kwenye hotuba yake angetamka direct kuwa madaktari amewafukuza kazi,huyo ni dhaifu na ndio maana anafanya kwa kupima upepo huku akitumia wakuu wa idara kuweka mashinikizo ya kuwagawa madaktari.yeye angelikuwa anawaza kama wewe unavyowaza basi angetamka tu kuwa wote wamefutwa kazi sio kuwaambia wajiondoe,tamkeni mmewafukuza kazi single sentence inayojitosheleza.zaidi kinachotafutwa sasa ni kupandikiza utengano ili wavunje umoja wao washindwe kutetea maslahi yao na ya wananchi.
      usidhani ni rahisi kihivo kufukuza madaktari,leo unaweza kufukuza waalimu wa shule ya msingi na sekondari wote na kesho hata wewe ukaenda kufundisha moja ya shule huko kijijini kwenu lakini to be honest kwa fani ya udaktari huwezi ukaokoteza na ukajaza.think twice we gamba

    5. #64
      fikirikwanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 717
      Rep Power : 517
      Likes Received
      156
      Likes Given
      18

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Madaktari anawafukuza, yeye nani amfukuze??? Kwani yeye ametutendea haki watz kwa urais wake huu??? Wananchi tuungane kutetea maslahi bora kwa kila mtanzania sio walio serikalini na mafsadi tu.

    6. #65
      HOMOSAPIEN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2011
      Posts : 484
      Rep Power : 512
      Likes Received
      131
      Likes Given
      42

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Waulizie Cuba madaktari wanalipwaje, na wako wangapi,ukiwashusha TZ kwa mshahara waliogomea hawa wetu watafanya kazi 24 hrs bila kuuliza na furaha tele.
      THE FUTURE ALWAYS START TOMORROW AND NOT TODAY


    7. #66
      Ninaweza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2010
      Location : bukonda moyo
      Posts : 2,233
      Rep Power : 887
      Likes Received
      328
      Likes Given
      758

      Default

      Quote By Lukolo View Post
      watakwenda kwenye point of no return wakiwa nyumbani kwao? Ujue mgomo huwa unawezekana mkiwa tu mahali pamoja ambapo mnakutanika kwa pamoja. Sasa mkishakuwa kwenu, mtajiorganize vipi? Maana ujue mkishafukuzwa, hamruhusiwi tena kuonekana mazingira ya kazini kwenu kwa zamani, mtakutana wapi, na mtakuwa mnafanya nini mkikutana.
      ndo mnavodanganyana?

    8. #67
      Morinyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th August 2011
      Posts : 751
      Rep Power : 716
      Likes Received
      165
      Likes Given
      76

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Quote By BHULULU View Post
      Kweli kabisa mkuu,huo ndo mkakati ambao serikali inautumia.Madaktari komaeni msigawanyike

      Ungetoa na njia mbadala baada serikali kuwaachisha kazi.

    9. #68
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,230
      Rep Power : 12775
      Likes Received
      6452
      Likes Given
      999

      Default

      Quote By hippocratessocrates View Post
      hahaha...very funny, TZ ina
      neurosurgeons 4,
      Orthopeadics Surgeon less than 15,
      Physician 30,
      Otorhinolaryngolist 7,
      Anaesthesiologist 25,
      Ophthamologist(sio optician) 20,
      Psychiatrist(not psychologist) 20,
      Pediatrician 35,
      Obstetrician and Gynaecologist 35,
      Surgeons(Urologist,Thoracic,Pe diatrics,Gastro, Plastic, Vascular and Oralmaxillofacial) 40,
      Radiologist 12,


      wote hawa wamegoma, hebu tuone kama serikali yetu ya kutufukuza na pamoja na wadogo wetu(residents, registrar, intern) tuone mtatupatia wapi?!
      besides hata hao AMO wenyewe(madaktari wa fastafasta waliosoma miaka 3) inawahitaji tena kusoma 5years again!!
      you dont know what someone can do until you push him to the edge, ..we have reached ours!
      Mkuu muajiri wako kashindwa kulipa huo mshahara unaotaka hata ukiweka hiyo orodha hawezi kubadili msimamo wake cha msingi nyie kutafuta sehemu ambayo inalipa vizuri hapa Tanzania au nje ya nchi.
      chama likes this.

    10. #69
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,854
      Rep Power : 1343
      Likes Received
      758
      Likes Given
      153

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Daktari laki tisa yaani dola 400 kwa mwezi what a shit serikali ya kijambazi

    11. #70
      mazeea1's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th March 2010
      Posts : 24
      Rep Power : 474
      Likes Received
      5
      Likes Given
      2

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Quote By Maundumula View Post
      Good move kwa serikali.

      Tuone kama Intern nae atapata kazi Botswana...
      wewe ***** kweli! unafikiri Intern hawezi kwenda kufanya internship botswana na akalipwa kama intern wa botswana? kwa taarifa yako hapa tanzania maintern sio wote raia wa tanzania, lakini wote wanalipwa sawa na serikali yetu, ndio utaatibu wa kila sehemu!

    12. #71
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,854
      Rep Power : 1343
      Likes Received
      758
      Likes Given
      153

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Quote By hippocratessocrates View Post
      hahaha...very funny, TZ ina
      neurosurgeons 4,
      Orthopeadics Surgeon less than 15,
      Physician 30,
      Otorhinolaryngolist 7,
      Anaesthesiologist 25,
      Ophthamologist(sio optician) 20,
      Psychiatrist(not psychologist) 20,
      Pediatrician 35,
      Obstetrician and Gynaecologist 35,
      Surgeons(Urologist,Thoracic,Pe diatrics,Gastro, Plastic, Vascular and Oralmaxillofacial) 40,
      Radiologist 12,


      wote hawa wamegoma, hebu tuone kama serikali yetu ya kutufukuza na pamoja na wadogo wetu(residents, registrar, intern) tuone mtatupatia wapi?!
      besides hata hao AMO wenyewe(madaktari wa fastafasta waliosoma miaka 3) inawahitaji tena kusoma 5years again!!
      you dont know what someone can do until you push him to the edge, ..we have reached ours!
      Hakuna kurudi nyuma hawa kunguni wanaojijazia wao marupu rupu na kudharau kazi za wenzao eti Daktari ni kitu gani mimi nasema kazeni uzi ule ule fedha wanazo nyingi sana ila hawana mpango thabiti wa kuzigawanya vyema, solidarity for ever

    13. #72
      Jumakidogo's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 16th July 2009
      Location : DOM & DAR
      Posts : 1,868
      Rep Power : 1181
      Likes Received
      390
      Likes Given
      42

      Default

      Quote By PPM View Post
      Kwa sasa madaktari wanahitaji umoja than ever. Wakigawanyika tu, imekula kwao
      Umoja uko wapi na wengine wanafanya kazi kama kawaida?

    14. #73
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,854
      Rep Power : 1343
      Likes Received
      758
      Likes Given
      153

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Quote By mazeea1 View Post
      wewe ***** kweli! unafikiri Intern hawezi kwenda kufanya internship botswana na akalipwa kama intern wa botswana? kwa taarifa yako hapa tanzania maintern sio wote raia wa tanzania, lakini wote wanalipwa sawa na serikali yetu, ndio utaatibu wa kila sehemu!
      Jinsi watanzania wengi walivyombumbu wanadhani Intern doctor ni mwanafunzi ha ha ha mtu alisha pata degree yake halafu unamnyanyasa
      halafu wanapowafukuza ndipo ninapocheka kwa sababu hata ajira zenyewe hawajapewa hawana cha kupoteza watarudi kwa baba zao wakalime nyanya tena kwa kiufundi zaidi

    15. #74
      jigoku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 1,505
      Rep Power : 1018
      Likes Received
      377
      Likes Given
      537

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Quote By hippocratessocrates View Post
      hahaha...very funny, TZ ina
      neurosurgeons 4,
      Orthopeadics Surgeon less than 15,
      Physician 30,
      Otorhinolaryngolist 7,
      Anaesthesiologist 25,
      Ophthamologist(sio optician) 20,
      Psychiatrist(not psychologist) 20,
      Pediatrician 35,
      Obstetrician and Gynaecologist 35,
      Surgeons(Urologist,Thoracic,Pe diatrics,Gastro, Plastic, Vascular and Oralmaxillofacial) 40,
      Radiologist 12,


      wote hawa wamegoma, hebu tuone kama serikali yetu ya kutufukuza na pamoja na wadogo wetu(residents, registrar, intern) tuone mtatupatia wapi?!
      besides hata hao AMO wenyewe(madaktari wa fastafasta waliosoma miaka 3) inawahitaji tena kusoma 5years again!!
      you dont know what someone can do until you push him to the edge, ..we have reached ours!
      Mkuu waelezeni hawa,sio wanapewa posho na Nape ili waikingie kifua serikali iliyoshindwa kuwahudumia wananchi wake,na ku-step down hataki,hivi wapi serikali ilikofanikiwa?Elimu hoi wanajiandaa kugoma ukiwauliza tukae meza ya majadiliano,kila sikumajadilano gani hayo yasiyo na suluhu?walimu hawana nyumba,mishahara yao ni ya bia siku mbili tu ukitulia na castle lager vizuri kamshahara kwisha,haya vyumba vya madarasa havitoshi,maabara hazitoshi,vitabu hakuna,madawati hakuna,vyoo mashuleni hakuna,lakini ukidai leo utaambiwa tunashughulikia,ukigoma njoo tuzungumze,hii mpaka lini?haya Uliza maji safi na salama kama utayapata,DAR yenyewe wanakunywa maji safi lakini si salama,maana vyanzo vya maji hayo ni hatarishi,serikali imeshindwa kusambaza maji jiji la Dar tangu uhuru hadi leo hii hakuna,tukiandama tunaambiwa wananchi tulieni tuko kwenye upembuzi yakinifu,Usalama wa raia na mali zao nako hakuna kitu,kilimo nacho sifuri,sasa leo tukizungumzia sector ya afya inalenga masiha ya watu moja kwa moja mnaona tunashabikia kumbe tuna-refer mambo mengi ambayo yamekuwa yakiendeshwa kwa propaganda,vitendo ziro.
      Afadhali mkuu umewawekea takwimu kidogo ya madaktari.na wnegi wanaamini AMO ni dr hawajui wanapaswa wakasome tena ili wawe ma dr ukweli sio ki-jk jk.

    16. #75
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,798
      Rep Power : 19852
      Likes Received
      4414
      Likes Given
      1744

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Hao wa iran hawajafika tu?

      Sasa mr dhaifu atawatibu, simuoni muhimbili.

    17. #76
      yatima's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2011
      Location : small room
      Posts : 354
      Rep Power : 491
      Likes Received
      107
      Likes Given
      121

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Quote By Zanta View Post
      Watu wanatofautiana kiuchumi nakwambia mwingine anaweza kuendelea kugoma kwa kua ana hospitali yake anapata chochote ila nakwambia kwa hii move ilipofika wote wanarudi kazini. Wameshashikwa pabaya na hawawezi tena kua na nguvu nakwambia

      wanaweza kurudi kazini - ila udaktari ni zaidi ya ajira - kuna kujitolea kwingi - kuna counselling kwa wagonjwa etc.

      ina maana kama wanarudi wakiwa na stress hata kutibu kutasua sua. Jamani hii issue ni kubwa sana. Sijui hata iatakuwaje - MASKINI MADKITARI WETU ................

      DONT BE A WEAPON TO INFLICT PAIN IN OTHER PEOPLE HEARTS

    18. #77
      Zanta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th April 2011
      Posts : 1,329
      Rep Power : 757
      Likes Received
      434
      Likes Given
      369

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Quote By Froida View Post
      Jinsi watanzania wengi walivyombumbu wanadhani Intern doctor ni mwanafunzi ha ha ha mtu alisha pata degree yake halafu unamnyanyasa
      halafu wanapowafukuza ndipo ninapocheka kwa sababu hata ajira zenyewe hawajapewa hawana cha kupoteza watarudi kwa baba zao wakalime nyanya tena kwa kiufundi zaidi
      kwa hiyo unataka kuniambia kua hii ishu ya kua intern haina maana ni upotevu wa pesa sio?
      Better to have a Good Dictatorship than Bad Democracy !!!!

    19. #78
      Zanta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th April 2011
      Posts : 1,329
      Rep Power : 757
      Likes Received
      434
      Likes Given
      369

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Quote By yatima View Post
      wanaweza kurudi kazini - ila udaktari ni zaidi ya ajira - kuna kujitolea kwingi - kuna counselling kwa wagonjwa etc.

      ina maana kama wanarudi wakiwa na stress hata kutibu kutasua sua. Jamani hii issue ni kubwa sana. Sijui hata iatakuwaje - MASKINI MADKITARI WETU ................
      Mi nakwambia hizo stress unazoziongea ni wakiwa kwenye makundi tu. Kwani kabla ya hapo walikua hawana stress? mbona walikua wanatibu?
      Better to have a Good Dictatorship than Bad Democracy !!!!

    20. #79
      Ciril's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 2,015
      Rep Power : 893
      Likes Received
      252
      Likes Given
      19

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Masikini hawana haki nchi hii.

    21. BAK is offline
      BAK
      #80
      BAK's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,850
      Rep Power : 45019
      Likes Received
      8694
      Likes Given
      8761

      Default Re: Muhimbili madaktari watimuliwa

      Quote By PPM View Post
      Kwa sasa madaktari wanahitaji umoja than ever. Wakigawanyika tu, imekula kwao
      Ni kweli kabisa Mkuu, inabidi kipindi hiki washikamane sana katika kudai haki zao na pia madai ya kuboresha sekta ya afya nchini.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...