Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 75
    1. #1
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,912
      Rep Power : 3205
      Likes Received
      1010
      Likes Given
      149

      Default Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Wakurugenzi wa hospitali binafsi wamegoma kubeba mzigo wa serikali wa kuchukua wagonjwa kutoka hospitali za Public zilizoathiriwa na mgomo.

      Serikali yapata jibu la kejeli... "Kama mnaweza kuwalipia wagonjwa private kwanini fedha hizo msitumie kuwalipa madaktari?"
      kiraia, Active, Sally and 20 others like this.
      "Three may keep a secret if two of them are dead"

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      palalisote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2010
      Location : WA HAPAHAPA
      Posts : 2,047
      Rep Power : 2035
      Likes Received
      925
      Likes Given
      3819

      Default re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      safi sana

    4. #3
      NAFIKA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd December 2011
      Posts : 84
      Rep Power : 393
      Likes Received
      19
      Likes Given
      25

      Default re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      I was waiting to see the miracles!! Watajinyanyua, kama vipi wazifutie vibali hospitali binafsi ili waoneshe ubabe wao vizuri.

    5. FJM
      #4
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,167
      Rep Power : 2566
      Likes Received
      5317
      Likes Given
      4585

      Default re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Si kweli kwamba serikali haina uwezo wa kuboresha mazingira ya utoaji huduma za afya. Shida ni kasumba ya kufanya siasa za kibabe, siasa za ki-mungu mtu. Wangejishusha na kuwa kama binadamu wa kawaida (no one is perfect) na kusiliza kwa dhati maoni ya walio chini yao tungeepuka hii kadhia.

    6. #5
      Az 89's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2011
      Posts : 844
      Rep Power : 546
      Likes Received
      156
      Likes Given
      32

      Default re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Safi, ila kwa leo lazima ntapigwa ban kwa yeyote yule atakaepinga mgomo wa madaktari
      palalisote, kapotolo, Paw and 5 others like this.
      The mistake shall not be of our children, but ours, that we failed to prepare the good future for them on the presence of CCM... and we were not blind.

    7. Miaka 50

    8. #6
      jigoku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 1,399
      Rep Power : 992
      Likes Received
      350
      Likes Given
      536

      Default re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Mkuu kama taarifa hii ni kweli basi safi sana,lakini swali moja ni nini source ya taarifa hii.
      mizambwa likes this.

    9. #7
      ishi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 13
      Rep Power : 349
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      hapo serikali inajifunza nini? acheni ubabe hausaidii manumiza wananchi

    10. #8
      palalisote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2010
      Location : WA HAPAHAPA
      Posts : 2,047
      Rep Power : 2035
      Likes Received
      925
      Likes Given
      3819

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Quote By jigoku
      Mkuu kama taarifa hii ni kweli basi safi sana,lakini swali moja ni nini source ya taarifa hii.
      usiulize source wewe meza.unajuaje huyo aliyeleta hii taarifa ni mmojawapo ya wakurugenzi wa private hospitals?

    11. #9
      majebere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 2,193
      Rep Power : 0
      Likes Received
      322
      Likes Given
      111

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Habari za kuunda hizi, private wanataka hela tu wao, siasa wamewaachia hao wa muhimbili.

    12. #10
      Jakubumba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2011
      Location : United states
      Posts : 1,145
      Rep Power : 712
      Likes Received
      298
      Likes Given
      123

      Default

      Quote By ishi
      hapo serikali inajifunza nini? acheni ubabe hausaidii manumiza wananchi
      Unaonekana bado umelala usingizi wa pono, ngoja nikuache sitaki ban

    13. #11
      Tangawizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2009
      Posts : 943
      Rep Power : 692
      Likes Received
      188
      Likes Given
      184

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Sasa hivi ndio peak ya uongozi wa awamu ya nne...presha zinapanda na kushuka...magroup ndani ya chama yanahujumiana...siri zinawekwa wazi wazi na hadharani....yaani serikali sasa hivi inatumia nguvu zake zote iweze kuvuka salama 2015 maana mambo siyo mambo. Imechokwa
      Nivea and swrc like this.
      "Carpe Diem...Seize the Day"

    14. #12
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,050
      Rep Power : 0
      Likes Received
      516
      Likes Given
      258

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Hiyo habari ya kweli mkuu? Yaani private hospitals zikatae kufanya biashara?????. Labda hizo hospitali hazipo TZ ninayoifahamu!!.
      MAKAH likes this.

    15. #13
      Daniel poul's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 54
      Rep Power : 361
      Likes Received
      15
      Likes Given
      13

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      hakuna cha klujifunza hapo kwa serikali kama vp iwapoze kimtindo izo nyongeza ila kwa kweli nchi yetu kulipa mishahara mikubwa hiyo wanayoitaka ni kama kumpigia mbuzi gitaa haiwezekani

    16. #14
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,531
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default

      Quote By meningitis
      Wakurugenzi wa hospitali binafsi wamegoma kubeba mzigo wa serikali wa kuchukua wagonjwa kutoka hospitali za Public zilizoathiriwa na mgomo.

      Serikali yapata jibu la kejeli... "Kama mnaweza kuwalipia wagonjwa private kwanini fedha hizo msitumie kuwalipa madaktari?"
      Exactly.

    17. #15
      majebere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 2,193
      Rep Power : 0
      Likes Received
      322
      Likes Given
      111

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Quote By Tangawizi
      Sasa hivi ndio peak ya uongozi wa awamu ya nne...presha zinapanda na kushuka...magroup ndani ya chama yanahujumiana...siri zinawekwa wazi wazi na hadharani....yaani serikali sasa hivi inatumia nguvu zake zote iweze kuvuka salama 2015 maana mambo siyo mambo. Imechokwa
      Sema wewe ndio una omba iwe hivyo. Chadema utawajua tu.

    18. #16
      democratic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 1,601
      Rep Power : 818
      Likes Received
      278
      Likes Given
      51

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      basi ****** kibarua atakuwa anacho
      Kama damu inakusisimka unapoona haki ya mtu ikipokwa na uko tayari kuitetea kwa gharama yeyote, basi hakika wewe ni Comrade wangu-Che Guevara.


    19. #17
      afwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Posts : 653
      Rep Power : 564
      Likes Received
      76
      Likes Given
      112

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Ilikuwa ni propaganda tu. Watanzania wengi wanaishi vijijini. Hospitali za binafsi na za jeshi nyingi zipo mjini. Serikali inawaangalia walioko mijini tu na walioko vijijini wangepata wapi huduma? Mtu mzima anapoongopa mbele ya umma ni jambo la aibu. Angetoa hotuba ile mbele ya waandishi wa habari na aruhusu wamuulize maswali aone.
      Nivea likes this.

    20. #18
      KISIMASA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 38
      Rep Power : 375
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      It is a good move. Kama wanafahamu kwamba mwisho wa siku wataambiwa asantani kwa huduma nzuri ila serikali haina pesa. Kitakachofuata kama huna mtaji mkubwa unaweza kufunga hospitali

    21. #19
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,912
      Rep Power : 3205
      Likes Received
      1010
      Likes Given
      149

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Quote By FJM
      Si kweli kwamba serikali haina uwezo wa kuboresha mazingira ya utoaji huduma za afya. Shida ni kasumba ya kufanya siasa za kibabe, siasa za ki-mungu mtu. Wangejishusha na kuwa kama binadamu wa kawaida (no one is perfect) na kusiliza kwa dhati maoni ya walio chini yao tungeepuka hii kadhia.
      ubabe sio utatuzi.kama alipotoshwa atajiju!!
      Nivea likes this.
      "Three may keep a secret if two of them are dead"

    22. #20
      Chaimaharage's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 108
      Rep Power : 0
      Likes Received
      72
      Likes Given
      0

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Wakurugenzi wa hospital hizo binafsi wakikubali tu wameingia mtego, serikali yenyewe pesa itatoa wapi za kuwalipia wagonjwa wote nchi nzima ukizingatia gharama za hospital hizo ziko juu? watakopwa mwisho wa siku kulipana itakuwa kimbembe. Hata hao madaktari wa kigeni wanadhani watakubali kulipwa madafu wakati wao ni experts(TX)..

      Hebu oneni jinsi mwisho wakufikiri wa magamba ulipofikia mwisho, yaani raisi alikaa na baraza la mawaziri suluhisho wakaona ni kuagiza madaktari kutoka nje na kupeleka wagonjwa hospitali za binafsi? Jambo ambalo hata mtendaji wa kijiji ukimuuliza anaona mgomo unaweza kumalizwa vipi atakupa majibu swafi..Ama kweli sasa hivi nchi hii inahitaji AKILI YA JUU ZAIDI AMBAYO HAIPATIKANI MAGAMBA kuweza kutatua matatizo yake.

    23. Study Abroad
    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...