Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 75
    1. #1
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,918
      Rep Power : 3207
      Likes Received
      1014
      Likes Given
      149

      Default Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Wakurugenzi wa hospitali binafsi wamegoma kubeba mzigo wa serikali wa kuchukua wagonjwa kutoka hospitali za Public zilizoathiriwa na mgomo.

      Serikali yapata jibu la kejeli... "Kama mnaweza kuwalipia wagonjwa private kwanini fedha hizo msitumie kuwalipa madaktari?"
      kiraia, Active, Sally and 20 others like this.
      "Three may keep a secret if two of them are dead"

    2. Miaka 50

    3. #21
      Loomu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th September 2011
      Posts : 70
      Rep Power : 403
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Naombea hii iwe kweli na kama private ni wazalendo wa kweli aoutomatically lazima wamejibu hivyo. Unajua huyu jamaa baada ya kuitwa dhaifu mara kibao chinichini mpaka waziwazi akafikiri kutokuwa dhaifu ni kutishia wanyonge na kuwapiga (kama alivyofanya kwa Dk Uli) akili ya kuku.

    4. #22
      mvunjamiwa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 182
      Rep Power : 396
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Quote By meningitis
      Wakurugenzi wa hospitali binafsi wamegoma kubeba mzigo wa serikali wa kuchukua wagonjwa kutoka hospitali za Public zilizoathiriwa na mgomo.

      Serikali yapata jibu la kejeli... "Kama mnaweza kuwalipia wagonjwa private kwanini fedha hizo msitumie kuwalipa madaktari?"
      Umeipata kutoka wapi hii habari? Walifanya mkutano au waliandikiana barua? Substantiate plz!

    5. #23
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,121
      Rep Power : 5480
      Likes Received
      3526
      Likes Given
      1950

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Quote By meningitis
      Wakurugenzi wa hospitali binafsi wamegoma kubeba mzigo wa serikali wa kuchukua wagonjwa kutoka hospitali za Public zilizoathiriwa na mgomo.

      Serikali yapata jibu la kejeli... "Kama mnaweza kuwalipia wagonjwa private kwanini fedha hizo msitumie kuwalipa madaktari?"
      Baba Mwanaasha dhaifu sana hata wa fikra! Bravo Drs

      Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
      CCM is enemy of GOD

    6. #24
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,918
      Rep Power : 3207
      Likes Received
      1014
      Likes Given
      149

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Quote By majebere
      Habari za kuunda hizi, private wanataka hela tu wao, siasa wamewaachia hao wa muhimbili.
      wanaotibu private ni kina ulimboka mliowang'oa kucha!!sasa pelekeni kina msangi wakatibu.
      cacico and Determine like this.
      "Three may keep a secret if two of them are dead"

    7. #25
      mambomengi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th May 2009
      Posts : 451
      Rep Power : 601
      Likes Received
      97
      Likes Given
      13

      Default

      Quote By georgeallen
      Hiyo habari ya kweli mkuu? Yaani private hospitals zikatae kufanya biashara?????. Labda hizo hospitali hazipo TZ ninayoifahamu!!.
      madaktari wa clinic binafsi ndio haohao wa serikalini, unategemea nini?
      Nivea likes this.

    8. RukaaJuu Final

    9. #26
      taffu69's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2007
      Posts : 1,204
      Rep Power : 866
      Likes Received
      230
      Likes Given
      153

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Jeuri, dharau, unafiki na uroho wa viongozi wa Tanzania ndiyo itakayoliangamiza Taifa letu. Haiingii akilini watu wanadai kuboreshwa kwa mazingira ya utoaji wa huduma muhimu kama afya na elimu; wanatokea viongozi wachache tena kwa kiburi na jeuri wanasema hakuna fedha ama liwalo na liwe lakini wanakuwa na jeuri ya kusema wanaodai waondoke kwani wana fedha za kutosha kuagiza madaktari wa nje ama kuingia ubia na hospitali binafsi. Hivi kwa uelewa wao finyu wanafikiri hospitali binafsi wanapata wapi madaktari kwa ajili ya shughuli zao.

      Nafikiri imefika wakati Watanzania tuoneshe umoja wa hali ya juu kwani kiburi cha hawa viongozi ni matokeo ya kugawanyika kwetu na uhuru walioachiwa katika kukomba rasilimali za Taifa letu. Leo hii tunaambiwa kuwa kuna viongozi wanamiliki mabilioni na matrilioni ya shilingi kwenye akaunti za nje lakini watanzania wanakufa kwa kukosa madawa ama huduma nyingine za msingi kama elimu na maji.

      Rais wa nchi anasafiri kiholela na msafara wa watu zaidi ya hamsini pasipo kufikiri hali ya wananchi wake; rais kama huyo atakuwa na huruma kwa wananchi wake kweli?? Gharama kwa safari moja ya rais ingeweza kuboresha huduma ya zahanati ngapi hapa Tanzania.

      Hata pale wanapougua wao huwahishwa India na kwingineko kwa ajili ya kupata huduma ya daraja la kwa tena kwa gharama ya fedha za walipa kodi, mtanzania mnyonge atapata wapi huduma kama hiyo kama sio kuishia kwenye miti shamba na kwenye vikombe kama ilivyotokea Samunge huko Loliondo.
      kindafu likes this.

    10. #27
      Nyunyu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th March 2009
      Location : Here.
      Posts : 3,349
      Rep Power : 2044
      Likes Received
      465
      Likes Given
      2749

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Mhhh!!! Wewe Chaimaharage wewe!!!
      There is no such a thing as part freedom- Nelson Mandela

      e-mail: [email protected]

    11. #28
      Ngongoseke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Posts : 1,092
      Rep Power : 591
      Likes Received
      256
      Likes Given
      237

      Default

      Quote By majebere
      Habari za kuunda hizi, private wanataka hela tu wao, siasa wamewaachia hao wa muhimbili.
      Kweli mkuu hii habari niyakutoka kwenye mawazo ya mtu haina ukweli kabisa'imekuja hapa kufurahisha watu na ipate comment basi'private hospt zimefunguliwa kwa ajili ya pesa leo wakatae wagonjwa?haingii akilini kbs'

    12. BAK
      #29
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,632
      Rep Power : 44971
      Likes Received
      8385
      Likes Given
      8363

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Quote By FJM
      Si kweli kwamba serikali haina uwezo wa kuboresha mazingira ya utoaji huduma za afya. Shida ni kasumba ya kufanya siasa za kibabe, siasa za ki-mungu mtu. Wangejishusha na kuwa kama binadamu wa kawaida (no one is perfect) na kusiliza kwa dhati maoni ya walio chini yao tungeepuka hii kadhia.
      Mkuu FJM soma hapa:

      Mbatia ambaye pia ni mbunge mteule alisema kuwa tangu Julai mwaka jana mpaka Februari mwaka huu Serikali imepoteza zaidi ya Sh1.04 trilioni za misamaha ya kodi, fedha ambazo zingeweza kuongezwa katika fungu la fedha za maendeleo ambazo ni kidogo katika bajeti ya mwaka wa fedha wa 2012/2013.

      Mbatia: Sera ya misamaha ya kodi itizamwe upya
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    13. #30
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,121
      Rep Power : 5480
      Likes Received
      3526
      Likes Given
      1950

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Quote By georgeallen
      Hiyo habari ya kweli mkuu? Yaani private hospitals zikatae kufanya biashara?????. Labda hizo hospitali hazipo TZ ninayoifahamu!!.
      Kiazi sana wewe! Hakuna kufanya kjazi kwa mkopo, serikali imeshindwa lipa Drs wake itaweza lipa huduma za private? Hebu vaa chupi wewe

      Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
      CCM is enemy of GOD

    14. #31
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,918
      Rep Power : 3207
      Likes Received
      1014
      Likes Given
      149

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Quote By mvunjamiwa
      Umeipata kutoka wapi hii habari? Walifanya mkutano au waliandikiana barua? Substantiate plz!
      hospitali X .....Kama selikali Inaweza kulipia wagonjwa huku private kwanini wasitumie pesa hizo kulipa Madaktari? :
      hospitali Y ......andiken contract vinginevyo NO, hospitali hizi zinajiendesha kibiashara.
      hospitali Z........haijatoa jibu


      "Three may keep a secret if two of them are dead"

    15. #32
      makongoromusa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Posts : 15
      Rep Power : 371
      Likes Received
      1
      Likes Given
      12

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Quote By meningitis
      Wakurugenzi wa hospitali binafsi wamegoma kubeba mzigo wa serikali wa kuchukua wagonjwa kutoka hospitali za Public zilizoathiriwa na mgomo.

      Serikali yapata jibu la kejeli... "Kama mnaweza kuwalipia wagonjwa private kwanini fedha hizo msitumie kuwalipa madaktari?"
      Kimsingi,serikali ya rais jakaya kikwete haifai na haiwapendi wananchi wake,kwanini Rais kikwete anakubali kudanganyika?Mimi namshauri akae chini na atafakali kwamba kwani nchi hii anaiongoza yeye mwenyewe?

    16. #33
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,800
      Rep Power : 1527
      Likes Received
      796
      Likes Given
      451

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Quote By majebere
      Habari za kuunda hizi, private wanataka hela tu wao, siasa wamewaachia hao wa muhimbili.
      Lakini inakubidi utambue ya kuwa, hao waliopo private ndiyo walewale wa serikalini. Wengi katika muda wao binafsi huwa wanapractiz huko private. Na walio private jumla ndiyo kina Dr.Ulimboka. Sasa wameamua kubana kotekote.
      Last edited by Lyimo; 2nd July 2012 at 14:39.
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    17. jcb
      #34
      jcb's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th July 2010
      Posts : 211
      Rep Power : 497
      Likes Received
      26
      Likes Given
      82

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Quote By majebere
      Habari za kuunda hizi, private wanataka hela tu wao, siasa wamewaachia hao wa muhimbili.
      Kwani wagojwa wanaopelekwa na serikali wanabeba cash? Au ni mambo ya tiba malipo baadae! jambo ambalo malipo huchukua muda sana kulipwa ambapo mwisho wa siku huduma katika hospitali za binafsi zitashuka kutokana nakuelemewa na mzigo wa madeni ambayo hayalipwi.
      Sidhani kama watalikubali hilo. Kuikopesha serikali ni shughuli pevu kwenye malipo

    18. oba
      #35
      oba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : nchi ya kusadikika
      Posts : 273
      Rep Power : 488
      Likes Received
      51
      Likes Given
      88

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Quote By majebere
      Habari za kuunda hizi, private wanataka hela tu wao, siasa wamewaachia hao wa muhimbili.
      Nani asiyejua kuwa ukitaka shirika lako lifilisike unaingia mkataba na serikali? serikali inaongoza kwa kudaiwa katika almost mashirika yote; Shirika la nyumba, Tanesco, Dawasa, n.k. Private hospital wanalijua hilo ndo maana hawawezi kuingia mkataba na serikali kwasababu wanajua watakuwa wanatumiwa tu na hawatapata pesa kama unavyofikiri.
      "If you don't stand for something you will fall down for anything"- usiposhiriki kuikomboa nchi yako utatawaliwa na mashetani!

    19. #36
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,056
      Rep Power : 14521
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5006

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      wakome!
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    20. #37
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,056
      Rep Power : 14521
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5006

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Quote By meningitis
      hospitali X .....Kama selikali Inaweza kulipia wagonjwa huku private kwanini wasitumie pesa hizo kulipa Madaktari? :
      hospitali Y ......andiken contract vinginevyo NO, hospitali hizi zinajiendesha kibiashara.
      hospitali Z........haijatoa jibu

      jk angekaa nao magogoni halafu later on awapeleke apollo huko wanakotibiwa wao! pathetic kwa kweli
      Nivea likes this.
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    21. #38
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,498
      Rep Power : 19788
      Likes Received
      4313
      Likes Given
      1263

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Safi, kwa nini wabebe mzigo wa serikali?
      Kwani wastaafu hawatoshi?

    22. #39
      swrc's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2012
      Posts : 442
      Rep Power : 549
      Likes Received
      35
      Likes Given
      18

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Sidhani kama madaktari walisimamia 3.5Ml kama mshahara wa kuanzia. Walikuwa wanahitaji kufikia muafaka lakini pia ni pamoja na vifaa muhimu vya hospitali ili kuongeza ufanisi wa huduma yenyewe.

    23. #40
      Fisadi Mtoto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2008
      Posts : 607
      Rep Power : 702
      Likes Received
      60
      Likes Given
      0

      Default Re: Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

      Sasa hii kali kwa kuwa dada yangu kapokelewa regency bila tatizo hio wamegoma kuwapokea imetoka wapi.....mtakufa na roho mbaya zenu na kuwaunga mkono hao vibaraka wa ibilisi wanaojiita madaktari kumbe wanasaidia kuuwa watu
      Manyi likes this.

    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...