Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

    Report Post
    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast
    Results 61 to 80 of 84
    1. #1
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 982
      Likes Received
      708
      Likes Given
      400

      Default PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari


      Kundi la wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya juu nchini, wakiwa na mabango jana katika hospitali ya taifa, Muhimbili, Dar es Salaam, kushinikiza madaktari waache mgomo.
      Kiongozi wa wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya juu Abubakari Assenga (kushoto), akiwa na Katibu wa Jumuia ya Madaktari Tanzania, Edwin Chitange, baada ya maandamano ya wanaharakati hao kufika Muhimbili kushinikiza madaktari kusitisha mgomo
      Kiongozi wa wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya Juu, Abubakar Assenga akizungumza na waandishi wa habari baada ya maandamano yao kufika Muhimbili kushinikiza madaktari kuacha mgomo.
      Mwanamke aliyekuwa akisubiri kuona mgonjwa wake, Katika hospitali ya Muhimbuli, Dar es Salaam, Helen Thomas, akisoma bango lililoachwa na wanaharakati hao wa vyuo vya elimu ya juu.
      Wanaharakati wa vyuo vya elimu ya juu, wakihanikiza baada ya kufika Muhimbili kutaka madaktari waache mgomo

      MY TAKE; Hivi Wanaharakati wa MAgamba Vyuo vikuu ni hao tu?

    2. Study Abroad

    3. #61
      Dingswayo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : Tanzania/Europe
      Posts : 2,614
      Rep Power : 5714
      Likes Received
      1039
      Likes Given
      2441

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Quote By chama
      Huwezi kuboresha mfumo wa afya unaohudumia watanzania mil. 45 kwa usiku mmoja hii ni work in progress serikali imeshasema nini inaendelea kukifanya; madaktari wenyewe wanahusika kuuhumu mfumo wanaouhudumia ; miongoni mwao ndio wadai wakubwa wa rushwa kabla hawajakuhudumia uzalendo huu leo wameutoa wapi? kama wanataka kuwa wanasiasa na wawe wasitutie mchanga wa macho kwa kujifanya wanawatetea watanzania

      Chama
      Gongo la Mboto DSM
      Chama, sikuzaliwa jana wala juzi. Nimezaliwa kabla hata Tanganyika haijapata uhuru, kwa hiyo nina uwezo wa kuona maendeleo ya nchi yanakwenda vipi. Kitu nilichokiona ni huduma kwa jamii kupungua mwaka hadi mwaka na watu wachache sana kutajirika kupita kiasi, ukijumuisha viongozi wa nchi. Hii ina maana kwamba rasilimali za mchi hazituiki ipasavyo. Zingekuwa zinatumiwa ipasavyo, uboreshaji wa huduma ungetendeka siku hadi siku. Unachokisema wewe ni maneno ya propoganda wanazoelezwa watu ambao hawajui ni kitu gani kinaendelea. kwa bahati mbaya sana kwenu, idadi ya watu kama hao inazidi kupungua.
      Semper fi!

    4. #62
      KAFWIMBI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 57
      Rep Power : 370
      Likes Received
      10
      Likes Given
      4

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Abubakar Assenga ni mwanachuo wa chuo kikuu kipi?

    5. #63
      Kakubilo Kasota's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th March 2012
      Posts : 166
      Rep Power : 395
      Likes Received
      53
      Likes Given
      21

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Naomba kuweka record sahihi hapa, hawa sio wana harakati wa vyuo vikuu, hawa ni wafuasi wa ccm, huyo kiongozi anasoma Mlimani na ni kada wa chama, hawa wametumwa wala sio mawazo yao, hofu yao hapo ni kuona kama chama chao kinazidi kupoteza mvuto kwa wananchi kwa haya yanayofanyika.

    6. #64
      Makala Jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2011
      Posts : 1,547
      Rep Power : 700
      Likes Received
      317
      Likes Given
      0

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Mtoto wa mpuuzi kama hatojiunga na watoto wasikivu basi tegemea upuuzi tu. Wapo wengi tu wanafunzi-mizoga wanaoishadadia serikali ya ccm huku vyuo vikuu.Hawa hawawezi kukemea lolote baya kama vile ufisadi,rushwa,matumizi mabaya ya ofisi za umma n.k hao ni vilaza wanaotegemea promotion ya ukuu wa wilaya,ukatibu taarifa n.k Ni vijana ambao ukiwauliza kuhusu tatizo la ajira wanasema ni kazi ya Mungu bila kuainisha vile serikali ya ccm imeua viwanda na vingine kuuza bila ridhaa yetu. HAKIKA NAAMINI:ni rahisi kwa kijana yeyote aliyehitimu kidato cha nne kuelezea uhalisia wa mambo nchini,kuliko mwanachuo msujudia ccm.

    7. #65
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,846
      Rep Power : 5947
      Likes Received
      798
      Likes Given
      227

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Hawana Kazi ya kufanya Maandamano baadala ya kusoma wao wanataka sifa za kijinga.huyo dogo anapenda misifa ya kijinga.Huo muda wa kufanya matembezi ya kijinga wanapata wapi?Ndiye aliyeaanda pia yale maandamano yaliyopokelewa na Nape pale Lumumba.Tupa kule
      Last edited by KOMBAJR; 2nd July 2012 at 17:51.
      Mwakalinga Y. R likes this.
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    8. FemaTV & Radio

    9. #66
      MTENGE's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Posts : 35
      Rep Power : 362
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Kilaza akimshauri kilaza kitu naye akafuata anaonekana kilaza zaidi, waliandamana kwenda kwa wagonjwa au kwa madaktari? Ila nawasifu kwa maana maisha ya chuo tight wamepewa perdiem wafanye hivyo its good, je hiyo ndio njia ya kumaliza tatizo, noi sifuri kawashauri akina ziro

    10. #67
      Mwakalinga Y. R's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd October 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 2,169
      Rep Power : 972
      Likes Received
      924
      Likes Given
      2278

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Quote By Kiganyi

      Kundi la wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya juu nchini, wakiwa na mabango jana katika hospitali ya taifa, Muhimbili, Dar es Salaam, kushinikiza madaktari waache mgomo.
      Kiongozi wa wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya juu Abubakari Assenga (kushoto), akiwa na Katibu wa Jumuia ya Madaktari Tanzania, Edwin Chitange, baada ya maandamano ya wanaharakati hao kufika Muhimbili kushinikiza madaktari kusitisha mgomo
      Kiongozi wa wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya Juu, Abubakar Assenga akizungumza na waandishi wa habari baada ya maandamano yao kufika Muhimbili kushinikiza madaktari kuacha mgomo.
      Mwanamke aliyekuwa akisubiri kuona mgonjwa wake, Katika hospitali ya Muhimbuli, Dar es Salaam, Helen Thomas, akisoma bango lililoachwa na wanaharakati hao wa vyuo vya elimu ya juu.
      Wanaharakati wa vyuo vya elimu ya juu, wakihanikiza baada ya kufika Muhimbili kutaka madaktari waache mgomo

      MY TAKE; Hivi Wanaharakati wa MAgamba Vyuo vikuu ni hao tu?
      ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firahuni
      " You're still my enemy tonight. But even enemies can show respect. " -Priam




    11. #68
      Mwita Maranya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2008
      Location : Ikorongo Game Reserve
      Posts : 7,922
      Rep Power : 11996
      Likes Received
      5247
      Likes Given
      5097

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Quote By Kiganyi
      Kiongozi wa wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya juu Abubakari Assenga (kushoto), akiwa na Katibu wa Jumuia ya Madaktari Tanzania, Edwin Chitange, baada ya maandamano ya wanaharakati hao kufika Muhimbili kushinikiza madaktari kusitisha mgomo
      Huyu dogo Assenga anatafuta kusafisha jina kwa wakubwa wa chama cha magamba ili siku moja wamkumbuke katika ufalme wao.
      Amewaokoteza hao wasela sijui kutoka mitaa gani na kuwaita wanaharakati wa vyuo vya elimu ya juu, ukiwaangalia tu unawaona kwamba hawajui wanachokifanya pengine wanatumikia buku mbili tu.
      ren ngunangwa likes this.
      Honesty is a very expensive GIFT. Do not expect it from cheap people.

    12. #69
      ren ngunangwa's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 2nd July 2012
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      2

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Sijui ni unafiki au uvivu wa kufikiri? Iweje wasomi wa chuo kikuu wapotoshwe na wanasiasa je wakulima wetu kule kijijini siitakuwa balaa!!nikweli wanavyuo hawa hawajui hoja halisi ya mgomo?ama kweli mpo chuo but hamsomi

    13. #70
      dguyana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 426
      Rep Power : 507
      Likes Received
      109
      Likes Given
      66

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Huyo asenga anatafuta kutoka tu hakuna msomi hapo...
      Changudoa mwenye wivu a.k.a Jambazi lenye huruma

    14. #71
      frema 120's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Posts : 1,056
      Rep Power : 1003
      Likes Received
      276
      Likes Given
      62

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      kuna wawili nimewaona wana soma
      datastar training college sasa sijui na chuo hiki ni chuo kikuu
      - hila bado kuna post za maafisa mbalimbali kwenye wilaya mpya na mikoa pia kuteuliwa na kuajiliwa, acheni wasafishe njia wapete
      hila T2015CDM hikishajiliwa tuwangoe woteeeeeeeeee

    15. #72
      frema 120's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Posts : 1,056
      Rep Power : 1003
      Likes Received
      276
      Likes Given
      62

      Default

      kuna wawili nimewaona wana soma
      datastar training college sasa sijui na chuo hiki ni chuo kikuu
      - hila bado kuna post za maafisa mbalimbali kwenye wilaya mpya na mikoa pia kuteuliwa na kuajiliwa, acheni wasafishe njia wapete
      hila T2015CDM hikishajiliwa tuwangoe woteeeeeeeeee

    16. #73
      The tourist's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th May 2011
      Posts : 31
      Rep Power : 411
      Likes Received
      7
      Likes Given
      1

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Maandamano yalianzia kituo cha bus pale muhmbili hadi getini Muhimbili

    17. #74
      mpiganaji jm's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th February 2011
      Posts : 76
      Rep Power : 434
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      mambugila hawa, wanachuo gani hawa wasio na akili hata kidogo kwanza hawafananii na wanachuo wanadanganya umma kwa kuwaokota watu mitaani na kuwaita wana chuo waongo wakubwa..........

    18. #75
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      de'levis alisema kuwa sasa hivi vitaibuka vikundi kibao vya kuonyesha kulaani madaktari...ndo hawa sasa nawaona
      I'm Naturaly Evasive..
      Reply With Quote

    19. #76
      Wachovu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 222
      Rep Power : 1111
      Likes Received
      44
      Likes Given
      0

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Elimu ya JUU ??? Hawa ninao ona ni wanafunzi wa Elimu ya Juu ? Lakini inawezekana kweli kama wanafunzi 5000 wameingia kidato cha kwanza hawajui kusoma na kuandika unategemea nini ? ndio hao Elimu ya JUU sijui kama wanjua hata nchi inakwendaje ? ni mavuvuzela wa Mr Dhaifu

    20. #77
      tubadilike-sasa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 480
      Rep Power : 464
      Likes Received
      98
      Likes Given
      278

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Quote By kiganyi

      kundi la wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya juu nchini, wakiwa na mabango jana katika hospitali ya taifa, muhimbili, dar es salaam, kushinikiza madaktari waache mgomo.
      kiongozi wa wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya juu abubakari assenga (kushoto), akiwa na katibu wa jumuia ya madaktari tanzania, edwin chitange, baada ya maandamano ya wanaharakati hao kufika muhimbili kushinikiza madaktari kusitisha mgomo
      kiongozi wa wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya juu, abubakar assenga akizungumza na waandishi wa habari baada ya maandamano yao kufika muhimbili kushinikiza madaktari kuacha mgomo.
      mwanamke aliyekuwa akisubiri kuona mgonjwa wake, katika hospitali ya muhimbuli, dar es salaam, helen thomas, akisoma bango lililoachwa na wanaharakati hao wa vyuo vya elimu ya juu.
      wanaharakati wa vyuo vya elimu ya juu, wakihanikiza baada ya kufika muhimbili kutaka madaktari waache mgomo

      my take; hivi wanaharakati wa magamba vyuo vikuu ni hao tu?

      hawa si wanaharakati ni wana-ccm wa vyuo vikuu,mbona hawakuvaa sare za ccm? Au wanaogopa kibano maana kuvaa nguo ya kijani siku hizi ina kama ume........ea

    21. #78
      Mboko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Location : Kwemunyu Muheza Tanga
      Posts : 582
      Rep Power : 553
      Likes Received
      104
      Likes Given
      1310

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Kwanza kabisa hawa wamepewa kibali cha kuandamana au vipi?Maake wangekuwa wengine duuh hiyo intelejensia ya ya Mwema ingefanya kazi duuh walitumwa na Magamba na wao pia ni Magamba

    22. #79
      FortJeasus's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th January 2012
      Posts : 459
      Rep Power : 557
      Likes Received
      267
      Likes Given
      253

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Hawamjui adui yao!!
      Eti nao ni watetezi wa serikali wakati yafahamika wazi serikali ina wasemaji,watendaji na watetezi wake rasmi.
      Nani anawasemea matatizo yao?
      Binadamu ambaye haamini chochote na ambaye hasimamii chochote anachokiamini wala kukipigania , huweza kuangushwa kirahisi na kitu chochote kitakachomkabili. - Malcom X.

    23. #80
      Mntungwa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st October 2010
      Posts : 14
      Rep Power : 440
      Likes Received
      0
      Likes Given
      5

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Hivi unapowaangalia hawa wanafanana na wasomi wa elimu ya juu? Hata wa magamba hawafanani hivyo. Hawa ni zaidi ya magamba. Hawa ni watu wenye njaa tu. Wamelambishwa halua sasa wanakimbia barabarani wakicheka ovyo. Mwanaharakati gani anachekea huku Watanzania wakidhalilika kwa kulala chini wakiwa hospitali miaka 50 baada ya uhuru. Ona lingine linaonyesha mapengo tu. Kama wako vyuoni lazima ni wale vilaza waliokopa majina ya kuingilia vyuoni. Coconut headed individuals.

    24. Miaka 50
    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...