Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

    Report Post
    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 84
    1. #1
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 983
      Likes Received
      708
      Likes Given
      400

      Default PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari


      Kundi la wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya juu nchini, wakiwa na mabango jana katika hospitali ya taifa, Muhimbili, Dar es Salaam, kushinikiza madaktari waache mgomo.
      Kiongozi wa wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya juu Abubakari Assenga (kushoto), akiwa na Katibu wa Jumuia ya Madaktari Tanzania, Edwin Chitange, baada ya maandamano ya wanaharakati hao kufika Muhimbili kushinikiza madaktari kusitisha mgomo
      Kiongozi wa wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya Juu, Abubakar Assenga akizungumza na waandishi wa habari baada ya maandamano yao kufika Muhimbili kushinikiza madaktari kuacha mgomo.
      Mwanamke aliyekuwa akisubiri kuona mgonjwa wake, Katika hospitali ya Muhimbuli, Dar es Salaam, Helen Thomas, akisoma bango lililoachwa na wanaharakati hao wa vyuo vya elimu ya juu.
      Wanaharakati wa vyuo vya elimu ya juu, wakihanikiza baada ya kufika Muhimbili kutaka madaktari waache mgomo

      MY TAKE; Hivi Wanaharakati wa MAgamba Vyuo vikuu ni hao tu?

    2. Miaka 50

    3. FJM
      #21
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,179
      Rep Power : 2569
      Likes Received
      5331
      Likes Given
      4587

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Hao wanaharakati wa CCM wanajua kwamba madaktari na raia wengine wanaishi kwa hofu kubwa? Inakuwaje mtu achukuliwe toka katikati ya jiji, afanyiwe unyama wa hali ya juu halafu siku 5 zimepita hakuna hata mtu mmoja amekamatwa?

    4. #22
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Quote By Dingswayo
      Tanzania ni nchi ambayo haikosi vituko! Mtu huwezi kukaa tu na kuwa bored! Nasema hiki ni kituko kingine kama cha komedi maana mwenye akili ataona moja kwa moja kuwa hao (vijana?) wametoka upande gani.

      Nasema hivi kwa sababu nimesoma mabango ambayo wameyashika, sijaona bango hata moja linalohimiza serikali nayo kutimiza wajibu wake wa kuboresha afya nchini! Hilo bango huyo mama alilolishikilia linaonyesha tu kuwa hoja kubwa ya madaktari ni kutaka nyongeza ya mishahara.

      Jambo kubwa, na ambalo linawagusa wote la kuboresha huduma za afya, wao haliwahusu. Ndio maana nasema vioja haviishi Tanzania...ze Komedi wapo wengi!
      Asenga AbubakarAbout


      Subscribe
      Work and Education


      Employers


      College
      • VETA
        Dar es Salaam, Tanzania

        • 1998-2000
          TO GETHER WE CAN




      • Mwalimu Nyerere Memorial Academy
        Class of 2008 · STUDYING B.DEGREE IN POLITICS AND MANAGEMENT OF SOCIOL DEVELOPMENT · DIPLOMA IN ECONOMIC DEVELOPMENT · Dar es Salaam, Tanzania



      • MNMA
        Dar Es Salam, Dar Es Salaam, Tanzania




      High School


      Living


      MorogoroHometown



      History by Year


      Lyimo, Nyunyu, Dingswayo and 2 others like this.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    5. #23
      Tuandamane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2008
      Location : Every where
      Posts : 1,260
      Rep Power : 829
      Likes Received
      40
      Likes Given
      250

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Quote By Kilembwe
      Ulianza vizuri lakini sasa hapo UISLAM umeingiaje?
      mkuu naomba nifafanue ili tuelewane hapo, mimi ni mwislam, lkn huyu jamaa kila mtu anajua akibanwa anakimbilia kinga ya udini na maranyingi ni indirect

    6. #24
      Dingswayo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : Tanzania/Europe
      Posts : 2,646
      Rep Power : 5722
      Likes Received
      1091
      Likes Given
      2531

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Quote By Kilembwe
      Ulianza vizuri lakini sasa hapo UISLAM umeingiaje?
      Nakuunga mkono Mkuu. Hoja yeyote ile, hata kama ni sahihi, lakini ikichanganywa na udini, ubaguzi au udhalilishaji wa aina yeyote ile, unaifanya hoja hiyo kuwa DAIFU. Unayeandika hivyo unakuwa hapo hapo unapinga hoja yako. Tafakari!
      Lyceum likes this.
      Semper fi!

    7. #25
      LOVI MEMBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2012
      Posts : 514
      Rep Power : 465
      Likes Received
      79
      Likes Given
      5

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Quote By muhosni
      Hakuna mwanafunzi wa chuo kikuu hapo
      Hao vijana uoni wao ni duni . wanakurupuka kudandia ndege kwa mbele ikiwa kwenye mwendo. sidhani kama wanajua mambo kwa upeo wa kutosha. wamejengwa na udini zaidi. ndo hawaoni Ridhiwani kumiliki mambo bila vielelezo au justification siyo issue. na watakuambia mnamuonea wivu tu hata kama kaiba benki kuu

    8. RukaaJuu Final

    9. #26
      Zipuwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Posts : 2,200
      Rep Power : 870
      Likes Received
      307
      Likes Given
      123

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Huyo Abu UVCCM sasa kwanini na CCM isiende kuwaunga mkono?
      Hao wote njaa tu zinawasumbua tu kwani siamini kama ni wanachuo chuo gani hapo wakawa na mawazo mgando kama huo?
      Watanzania msitumiwe na wanasiasa uchwara kwa kujididimiza wenyewe
      Maisha yetu ni mafupi lazima tuyatete kwa namna yeyote ile!

    10. #27
      Nyunyu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th March 2009
      Location : Here.
      Posts : 3,349
      Rep Power : 2044
      Likes Received
      465
      Likes Given
      2749

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Matola asante kwa CV ya mwanaharakati!!!

      We shouldn't bother even to discuss a thing about him!!! @#&*%$#@##.....@*&%
      There is no such a thing as part freedom- Nelson Mandela

      e-mail: [email protected]

    11. #28
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,701
      Rep Power : 1916
      Likes Received
      1596
      Likes Given
      678

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Hizi buku buku za nape zitawaumiza sana

    12. #29
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3257
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Picha ya Asenga Abubakar kwenye fbook
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    13. #30
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,701
      Rep Power : 1916
      Likes Received
      1596
      Likes Given
      678

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Quote By Mchaka Mchakani
      Naona baraghashia mbili tatu hapo!!
      Mkuu Hebu ulizia Kama pilau lilikuwepo kwasababu baraghashia kwa mlo huo ni Noma hata maandamano yafanyikie Somalia wanazama

    14. #31
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Quote By Precise pangolin
      Hizi buku buku za nape zitawaumiza sana
      Na hili ongezeko la bei ya bia, tegemea vijana zaidi wenye akili matege kama hawa kuendelea kuuza utu wao kwa ajili ya kununuliwa bia tu.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    15. #32
      mpenda's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st July 2010
      Posts : 172
      Rep Power : 483
      Likes Received
      5
      Likes Given
      100

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Huyu kijana Asenga ni wakala wa CCM, na anatafuta umaarufu kwa njia yeyote ile (mchumia tumbo) ananiboaga sana nikimuona kwenye vipindi vya 'malumbano ya hoja' ya ITV naacha kusikiliza kipindi

    16. #33
      50thebe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 586
      Rep Power : 533
      Likes Received
      165
      Likes Given
      865

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      ndio kusema CCM inaanguka kirahisi hivi! lol

    17. #34
      Kingengame's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Posts : 21
      Rep Power : 360
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Bravo: Hongera vijana: Sasa mnahitajika kuandamana tena kumuunga mkono mheshimiwa Raisi kwa hotuba yake ya mwisho wa mwezi ambayo kwa sehemu kubwa imezungumzia mgomo wa madaktari na kwaadabisha.

      Halafu nyie wanaharakati uchwara wa upinzani msindhani kuw vyuo vikuu ni mali yenu. Watu wa itikadi mbalimbali hususan CCM wamejaa sana vyuoni. Tofauti yao na yenu ni ustaarabu na uwezo wa kupima issues na sio kama nyie mnavyoburuzwa katika mambo msiyoyaelewa hata kama yanadhalilisha historia na utaifa wenu.

    18. #35
      andrews's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 1,683
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      76

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      kumbe ni wafunzi wa chuo ccm lumumba hapo sawa kabisa mmemsahau nape nnauye, zomba, riz na william malecela

    19. #36
      Kingengame's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Posts : 21
      Rep Power : 360
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Ukiona umeishiwa maneno muhimu, basi wapongeze vijana waliondamana kupinga mauaji kupitia mgomo wa madaktari. Yeyusha mawazo yako yaliyoganda.

    20. #37
      Kibanga Ampiga Mkoloni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2007
      Location : Here! here!
      Posts : 4,800
      Rep Power : 1636
      Likes Received
      1195
      Likes Given
      1702

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Quote By muhosni
      Hakuna mwanafunzi wa chuo kikuu hapo


      Yani ata asiye wajua mateja najua hawa ni mateja
      Kiganyi likes this.
      For the Holy Quran says in Sura 42, verse 41: 'All those who fight when oppressed incur no guilt, but Allah shall punish the oppressor, Come the day.

    21. #38
      Gwakisa Mwandule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Posts : 421
      Rep Power : 433
      Likes Received
      150
      Likes Given
      1

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Quote By Ndoa
      Mbona wanafanana na uamsho!
      Kumbe hawa ndo wasomi wa CCM?!Kweli nchi hii inaongozwa na Nyani mikia hawa sio wanafunzi ni jumuiya ya uamsho ni kikundi cha waislamu wasiovaa hata nguo za ndani!Tena wachafu au ni wanafunzi wa madrasa?Elimu gani wanafundishwa na ni nani huyo anayewafundisha Boko haramu hawa!Emu waandamane kuelekea mabwe pande usiku!

    22. #39
      Mercyless's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 450
      Rep Power : 450
      Likes Received
      90
      Likes Given
      583

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Angalia sura zao hao wanaoitwa wanaharakati. Mimi nadhani hapa kuna usanii uliofanywa na hawa magamba kwani hawaoneshi hata kwa sura kama ni wasomi na wanaharakati, wengine ni mababu na mabibi kabisa. Au ndio ile ya kugawa posho na kugharamia usafiri kama kawaida?

    23. #40
      DOUGLAS SALLU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2009
      Posts : 3,598
      Rep Power : 1286
      Likes Received
      315
      Likes Given
      907

      Default Re: PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

      Hao ni vibaka tu na ndiyo wangestahili kung'olewa kucha na meno.
      NI UTAAHIRA MKUBWA SANA KUIUNGA MKONO CCM

    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...