Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mheshimiwa rais waeleze ukweli hawa madaktari, ni kweli wana skills za kutosha?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 33
    1. #1
      Nakei's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th November 2010
      Posts : 43
      Rep Power : 440
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Mheshimiwa rais waeleze ukweli hawa madaktari, ni kweli wana skills za kutosha?

      Muheshimiwa Rais ni kwanini unasita kuwaeleza ukweli madaktari. Madaktari wa Tanzania hawana skills za kulipwa huo mshahara wanaohitaji, tulitegemea wangemtibu Ulimboka hapa hapa nchini ili kuonyesha mfano hata kwa wanasiasa kwamba wanauwezo wa kutibu badala ya kutumia ma milioni kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Ninavyoamini mimi ni kwamba unapokuwa na taaluma fulani na kama unaipenda unaweza kujiendeleza wewe mwenyewe na kuwa competent. Madaktari wamejaa kiburi na wanataka kuonyesha kwamba fani yao ni ya muhimu kuliko fani zingine. serikali inautaratibu wake katika masuala ya ajira. Badala ya kuandamana kuhusu pesa tunataka waandamane kuhusu vifaa wanavyohitaji ili tusiwapeleke watanzania nje ya nchi kwa ajili ya matibabu. Tupo tayari kutoa michango kwa ajili ya vifaa vya matibabu tunaomba waviweke wazi. Kwa kweli tumechoka na hizi gharama za kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Mbona mnajipigia debe wenyewe, vipi kuhusu manesi?
      Maundumula and Bufa like this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      kjesp's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th September 2011
      Posts : 11
      Rep Power : 390
      Likes Received
      0
      Likes Given
      2

      Default Re: muheshimiwa rais waeleze ukweli hawa madaktari, ni kweli wana skills za kutosha?

      hujui unachoongea wewe, nyamaza kabisa

    4. #3
      kanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 724
      Rep Power : 567
      Likes Received
      288
      Likes Given
      409

      Default Re: muheshimiwa rais waeleze ukweli hawa madaktari, ni kweli wana skills za kutosha?

      Nakei unapelekewa moto kwenye ubongo.Madaktari walisema mojawapo ya madai ni ukpsefu wa vifaa tiba na siyo skills kama wewe unavyojaribu kuwaza kwa kutumia masaburi.Na ndi maana Dr. ULI amepelekwa nje kutokana na ukosefu wa kifaa cha kuchunguza sumu kwenye damu.upo hapo? au unajikomba kwa ****** tu.no firwaga lolo.

    5. #4
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,799
      Rep Power : 1525
      Likes Received
      796
      Likes Given
      450

      Default Re: muheshimiwa rais waeleze ukweli hawa madaktari, ni kweli wana skills za kutosha?

      Utawezaje kuona hizo skills pasipo na vifaa/madawa?? Hiki ndicho wanachodai hasa, na tunaodhurika ni sisi washabiki wa upuuzi huu. Utawezaje kumpa rubani bajaji halafu utegemee ataweza kuipaisha??
      Mshindo likes this.
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    6. #5
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 2,995
      Rep Power : 8376
      Likes Received
      829
      Likes Given
      691

      Default Re: muheshimiwa rais waeleze ukweli hawa madaktari, ni kweli wana skills za kutosha?

      Quote By Nakei
      Muheshimiwa Rais ni kwanini unasita kuwaeleza ukweli madaktari. Madaktari wa Tanzania hawana skills za kulipwa huo mshahara wanaohitaji, tulitegemea wangemtibu Ulimboka hapa hapa nchini ili kuonyesha mfano hata kwa wanasiasa kwamba wanauwezo wa kutibu badala ya kutumia ma milioni kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Ninavyoamini mimi ni kwamba unapokuwa na taaluma fulani na kama unaipenda unaweza kujiendeleza wewe mwenyewe na kuwa competent. Madaktari wamejaa kiburi na wanataka kuonyesha kwamba fani yao ni ya muhimu kuliko fani zingine. serikali inautaratibu wake katika masuala ya ajira. Badala ya kuandamana kuhusu pesa tunataka waandamane kuhusu vifaa wanavyohitaji ili tusiwapeleke watanzania nje ya nchi kwa ajili ya matibabu. Tupo tayari kutoa michango kwa ajili ya vifaa vya matibabu tunaomba waviweke wazi. Kwa kweli tumechoka na hizi gharama za kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Mbona mnajipigia debe wenyewe, vipi kuhusu manesi?
      Acha kukurupuka, umejichanganya hata hueleweki

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 2,995
      Rep Power : 8376
      Likes Received
      829
      Likes Given
      691

      Default Re: muheshimiwa rais waeleze ukweli hawa madaktari, ni kweli wana skills za kutosha?

      Quote By kanga
      Nakei unapelekewa moto kwenye ubongo.Madaktari walisema mojawapo ya madai ni ukpsefu wa vifaa tiba na siyo skills kama wewe unavyojaribu kuwaza kwa kutumia masaburi.Na ndi maana Dr. ULI amepelekwa nje kutokana na ukosefu wa kifaa cha kuchunguza sumu kwenye damu.upo hapo? au unajikomba kwa ****** tu.no firwaga lolo.
      Huyo jamaa nimemshangaa sana yani hata hajui kwa nini Dr.Uli kapelekwa nje, hajui madai ya madaktari.Bure kabisa

    9. #7
      jigoku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 1,399
      Rep Power : 992
      Likes Received
      350
      Likes Given
      536

      Default Re: muheshimiwa rais waeleze ukweli hawa madaktari, ni kweli wana skills za kutosha?

      Hili hili li Nakei limetoka wapi tena?mbona halieleweki linataka kusema nini?linasema hawana skills,linasema Uli kapelekwa nje,mara wanasiasa,mara kuchanga,du,kazi kweli kweli,

      Naona ni li HOPELESS MOVING FIGURE.

    10. #8
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,123
      Rep Power : 2416
      Likes Received
      935
      Likes Given
      377

      Default Re: muheshimiwa rais waeleze ukweli hawa madaktari, ni kweli wana skills za kutosha?

      Hawezi kujua ukweli kama hata umaskini wetu haujui unatokana na nini.

    11. #9
      Mukalabamu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd October 2008
      Posts : 49
      Rep Power : 625
      Likes Received
      13
      Likes Given
      1

      Default Re: muheshimiwa rais waeleze ukweli hawa madaktari, ni kweli wana skills za kutosha?

      Quote By Nakei
      Muheshimiwa Rais ni kwanini unasita kuwaeleza ukweli madaktari. Madaktari wa Tanzania hawana skills za kulipwa huo mshahara wanaohitaji, tulitegemea wangemtibu Ulimboka hapa hapa nchini ili kuonyesha mfano hata kwa wanasiasa kwamba wanauwezo wa kutibu badala ya kutumia ma milioni kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Ninavyoamini mimi ni kwamba unapokuwa na taaluma fulani na kama unaipenda unaweza kujiendeleza wewe mwenyewe na kuwa competent. Madaktari wamejaa kiburi na wanataka kuonyesha kwamba fani yao ni ya muhimu kuliko fani zingine. serikali inautaratibu wake katika masuala ya ajira. Badala ya kuandamana kuhusu pesa tunataka waandamane kuhusu vifaa wanavyohitaji ili tusiwapeleke watanzania nje ya nchi kwa ajili ya matibabu. Tupo tayari kutoa michango kwa ajili ya vifaa vya matibabu tunaomba waviweke wazi. Kwa kweli tumechoka na hizi gharama za kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Mbona mnajipigia debe wenyewe, vipi kuhusu manesi?
      sasa wangemtibuje kama vitendea kazi na vipimo vya msingi hakuna?si ndo maana wanagoma ili hayo yawepo waweze kufanya kazi kwa ufanisi,ni lini mtaacha kutumia viungo vingine kufikiria badala ya ubongo?Uboreshaji wa huduma ya afya unaenda na maslai ya manesi pia

    12. #10
      Cape city's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th October 2011
      Location : CAPE TOWN
      Posts : 96
      Rep Power : 404
      Likes Received
      23
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Nakei
      Muheshimiwa Rais ni kwanini unasita kuwaeleza ukweli madaktari. Madaktari wa Tanzania hawana skills za kulipwa huo mshahara wanaohitaji, tulitegemea wangemtibu Ulimboka hapa hapa nchini ili kuonyesha mfano hata kwa wanasiasa kwamba wanauwezo wa kutibu badala ya kutumia ma milioni kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Ninavyoamini mimi ni kwamba unapokuwa na taaluma fulani na kama unaipenda unaweza kujiendeleza wewe mwenyewe na kuwa competent. Madaktari wamejaa kiburi na wanataka kuonyesha kwamba fani yao ni ya muhimu kuliko fani zingine. serikali inautaratibu wake katika masuala ya ajira. Badala ya kuandamana kuhusu pesa tunataka waandamane kuhusu vifaa wanavyohitaji ili tusiwapeleke watanzania nje ya nchi kwa ajili ya matibabu. Tupo tayari kutoa michango kwa ajili ya vifaa vya matibabu tunaomba waviweke wazi. Kwa kweli tumechoka na hizi gharama za kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Mbona mnajipigia debe wenyewe, vipi kuhusu manesi?
      shame on u! Hujui hata unachokiongea!! Hivi unaifaham dialysis? Wapi unaweza kuifanya kwa uhakika hapo Tz?

    13. #11
      BornTown's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2008
      Location : ???
      Posts : 1,482
      Rep Power : 863
      Likes Received
      283
      Likes Given
      104

      Default Re: Mheshimiwa rais waeleze ukweli hawa madaktari, ni kweli wana skills za kutosha?

      Quote By Nakei
      Muheshimiwa Rais ni kwanini unasita kuwaeleza ukweli madaktari. Madaktari wa Tanzania hawana skills za kulipwa huo mshahara wanaohitaji, tulitegemea wangemtibu Ulimboka hapa hapa nchini ili kuonyesha mfano hata kwa wanasiasa kwamba wanauwezo wa kutibu badala ya kutumia ma milioni kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Ninavyoamini mimi ni kwamba unapokuwa na taaluma fulani na kama unaipenda unaweza kujiendeleza wewe mwenyewe na kuwa competent. Madaktari wamejaa kiburi na wanataka kuonyesha kwamba fani yao ni ya muhimu kuliko fani zingine. serikali inautaratibu wake katika masuala ya ajira. Badala ya kuandamana kuhusu pesa tunataka waandamane kuhusu vifaa wanavyohitaji ili tusiwapeleke watanzania nje ya nchi kwa ajili ya matibabu. Tupo tayari kutoa michango kwa ajili ya vifaa vya matibabu tunaomba waviweke wazi. Kwa kweli tumechoka na hizi gharama za kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Mbona mnajipigia debe wenyewe, vipi kuhusu manesi?

      Tatizo la AKILI NDOGO KUONGOZA AKILI KUBWA ndio hii lako!!! Unaushabiki wakijinga kama hujui tatizo la madaktari hadi sasa wanadai nini basi wewe unamatatizo
      "DONT BE A WOMAN THAT NEEDS A MAN BE A WOMAN A MAN NEEDS!!!!"

    14. #12
      Nakei's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th November 2010
      Posts : 43
      Rep Power : 440
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Mheshimiwa rais waeleze ukweli hawa madaktari, ni kweli wana skills za kutosha?

      Watanzania tusiwe biased kwa kila kitu na kufuata mkumbo. Embu tujadili kwa kina ni kwanini tunapeleka watanzania nje kutibiwa, hivyo vifaa waeleze wazi ni zipi na tujue gharama zake, tunaweza kununua hata kidogo kidogo.

    15. #13
      Nivea's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,680
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3140
      Likes Given
      4053

      Default Re: Mheshimiwa rais waeleze ukweli hawa madaktari, ni kweli wana skills za kutosha?

      Quote By Nakei
      Muheshimiwa Rais ni kwanini unasita kuwaeleza ukweli madaktari. Madaktari wa Tanzania hawana skills za kulipwa huo mshahara wanaohitaji, tulitegemea wangemtibu Ulimboka hapa hapa nchini ili kuonyesha mfano hata kwa wanasiasa kwamba wanauwezo wa kutibu badala ya kutumia ma milioni kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Ninavyoamini mimi ni kwamba unapokuwa na taaluma fulani na kama unaipenda unaweza kujiendeleza wewe mwenyewe na kuwa competent. Madaktari wamejaa kiburi na wanataka kuonyesha kwamba fani yao ni ya muhimu kuliko fani zingine. serikali inautaratibu wake katika masuala ya ajira. Badala ya kuandamana kuhusu pesa tunataka waandamane kuhusu vifaa wanavyohitaji ili tusiwapeleke watanzania nje ya nchi kwa ajili ya matibabu. Tupo tayari kutoa michango kwa ajili ya vifaa vya matibabu tunaomba waviweke wazi. Kwa kweli tumechoka na hizi gharama za kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Mbona mnajipigia debe wenyewe, vipi kuhusu manesi?
      NINASHAKA NAAKILI YAKO HAMNA VIFAA MKUU NA NDIO SABABU WANAGOMA ,NAKUOMBA UFANYE HII HOME WORK KWANINI WATZ JAPO WANA HOSPITALI YA MSAADA YA MOYO HAWAFANYI UPASUAJI PALE NA JE SIWALIWAPELEKA MADACTARI KUSOMEA WAKO WAPI UKWELI NI HUU SASA WALE MADOCTA WALIPORUDI SKILLS ZIPO KICHWANI HAMNA VIFAA BAADHI YAO WALICHUKULIWA NJE YA NCHI NA WENGINE WANAFANYA AS PROFFESSIONAL SIO SPECIALIST WA M OYO,NDUGU USITETE ,PIA HAININGII AKILINI KWAMBA UNASUPPORT ET RAIS AWAAMBIE UKWELI ETI Madaktari wa Tanzania hawana skills za kulipwa huo mshahara wanaohitaji, SIKUBALIANI NA WEWE ,MFANO HAPA TZ ZIPO HSP ZA WAHINDI,WACHINA NA MATAIFA MENGINE KIBAO MBONA HAWAENDI KUTIBIWA HUKO ? HIYO MENTALITY IMEJENGEKA TU .WAPO MADACTARI WANAWEZA SANA ,NA WANAELIMU MSULI SANA NA NDIO SABABU NCHI ZA NJE WANAWAPENDA NAKUWAAJIRI MAMA YANGU MKUBWA NI DOCTA URUSI NA AMESOMA HAPAHAPA TZ NA SASA HIVI AMEPEWA URAIA KABISA ,JE UNAENDELEA KUSEMA HAWANA SKILLS .JINSI WAO WALIVYOJIPATIA U (SIR NA DR NA PROFF) KWAKUIBA IBA MAVYUO UCHWARA NJE NA WAKAFANIKIWA KWA MGONGO NYINYIEM BASI WAKAJIONA WAKO SAWA NA MADACTARI WANADHANI NA WENZAO WAMEIBA ?

    16. #14
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,050
      Rep Power : 0
      Likes Received
      516
      Likes Given
      259

      Default Re: Mheshimiwa rais waeleze ukweli hawa madaktari, ni kweli wana skills za kutosha?

      Quote By Nakei
      Muheshimiwa Rais ni kwanini unasita kuwaeleza ukweli madaktari. Madaktari wa Tanzania hawana skills za kulipwa huo mshahara wanaohitaji, tulitegemea wangemtibu Ulimboka hapa hapa nchini ili kuonyesha mfano hata kwa wanasiasa kwamba wanauwezo wa kutibu badala ya kutumia ma milioni kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Ninavyoamini mimi ni kwamba unapokuwa na taaluma fulani na kama unaipenda unaweza kujiendeleza wewe mwenyewe na kuwa competent. Madaktari wamejaa kiburi na wanataka kuonyesha kwamba fani yao ni ya muhimu kuliko fani zingine. serikali inautaratibu wake katika masuala ya ajira. Badala ya kuandamana kuhusu pesa tunataka waandamane kuhusu vifaa wanavyohitaji ili tusiwapeleke watanzania nje ya nchi kwa ajili ya matibabu. Tupo tayari kutoa michango kwa ajili ya vifaa vya matibabu tunaomba waviweke wazi. Kwa kweli tumechoka na hizi gharama za kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Mbona mnajipigia debe wenyewe, vipi kuhusu manesi?
      Hebu mwaga midata hapa!! Mshahara unowafaa madaktari kwa skills zao "fake" ni shillingi ngapi mkuu ? Halafu ulinganishe na mishahara ya wenye "skills" (e.g madereva) kule TRA au ma-first class economists wa BOT.

    17. #15
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 11,883
      Rep Power : 24131
      Likes Received
      4612
      Likes Given
      2624

      Default Re: Mheshimiwa rais waeleze ukweli hawa madaktari, ni kweli wana skills za kutosha?

      Quote By Nakei
      Muheshimiwa Rais ni kwanini unasita kuwaeleza ukweli madaktari. Madaktari wa Tanzania hawana skills za kulipwa huo mshahara wanaohitaji, tulitegemea wangemtibu Ulimboka hapa hapa nchini ili kuonyesha mfano hata kwa wanasiasa kwamba wanauwezo wa kutibu badala ya kutumia ma milioni kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Ninavyoamini mimi ni kwamba unapokuwa na taaluma fulani na kama unaipenda unaweza kujiendeleza wewe mwenyewe na kuwa competent. Madaktari wamejaa kiburi na wanataka kuonyesha kwamba fani yao ni ya muhimu kuliko fani zingine. serikali inautaratibu wake katika masuala ya ajira. Badala ya kuandamana kuhusu pesa tunataka waandamane kuhusu vifaa wanavyohitaji ili tusiwapeleke watanzania nje ya nchi kwa ajili ya matibabu. Tupo tayari kutoa michango kwa ajili ya vifaa vya matibabu tunaomba waviweke wazi. Kwa kweli tumechoka na hizi gharama za kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Mbona mnajipigia debe wenyewe, vipi kuhusu manesi?
      A brain that even dunderhead will need

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    18. #16
      Nivea's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,680
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3140
      Likes Given
      4053

      Default Re: muheshimiwa rais waeleze ukweli hawa madaktari, ni kweli wana skills za kutosha?

      kweli tz kiboko hospitali za serikali hukuti PANADOL wanakuagizia pakununua,yani zile bima za afya ni za bure yani hata dawa za magonjwa yakawaida tu haman hata mseto hamna kuliko wawape raia utazikuta madukani na wanazitangaza na zinduka wacheni bana hata dawa za watoto za under 5 hupati mi situmiagi hizo hspt kabisa hata bima ya afya haisaidii maana chenye gharama ni dawa sio consultation sasa unapata consultation dawa hupati kwa bima then yanini sasa jamni

    19. #17
      Nivea's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,680
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3140
      Likes Given
      4053

      Default Re: Mheshimiwa rais waeleze ukweli hawa madaktari, ni kweli wana skills za kutosha?

      Quote By Nakei
      Watanzania tusiwe biased kwa kila kitu na kufuata mkumbo. Embu tujadili kwa kina ni kwanini tunapeleka watanzania nje kutibiwa, hivyo vifaa waeleze wazi ni zipi na tujue gharama zake, tunaweza kununua hata kidogo kidogo.
      Nakei nashindwa pia kuelewa unawazungumzia Watanzania wapi?VIONGOZI AU KAJAMBAUZEMBE SIE?watanzania wanajifia bwana wabunge ndio wanatibiwa nje ya nchi bana,ona kama sio msaada mbalimbali nakujulikana je ulimboka kama mtanzania wakawaida angepata wapi $40,000 kweli jiulize.vuta fikra zako watu wahali ya chini wanaoishi nyumba zamakuti siangesubiri kifo tu Nakei .

    20. #18
      Nivea's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,680
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3140
      Likes Given
      4053

      Default Re: Mheshimiwa rais waeleze ukweli hawa madaktari, ni kweli wana skills za kutosha?

      Quote By BornTown
      Tatizo la AKILI NDOGO KUONGOZA AKILI KUBWA ndio hii lako!!! Unaushabiki wakijinga kama hujui tatizo la madaktari hadi sasa wanadai nini basi wewe unamatatizo
      BornTown nimependa username yako
      BornTown likes this.

    21. #19
      Tetty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2012
      Posts : 1,132
      Rep Power : 566
      Likes Received
      315
      Likes Given
      204

      Default Re: Mheshimiwa rais waeleze ukweli hawa madaktari, ni kweli wana skills za kutosha?

      Unaweza ukawa unalipwa kidogo sana,lakini unavitendea kazi vinavyorahisisha kazi yako na kukupa matokea bora na mzuri.Kwa kawaida siyo mshahara tu unaofanya mtu aridhike kufanya kazi na afurahie kazi yake bali mazingira chanya au mazuri yanamfanya mtu asahau yote na afanye kazi kwa kiwango cha juu.
      Angalia hata wafanyakazi wa mashirika ya nje pamoja na mishahara yao kuwa mikubwa kuliko ya serikali lakini wanafanya kazi kama punda wadogo na output yao ni kubwa kuliko mshahara wanao pewa sababu mazingira ya kazi ni mazuri.
      Ningeishauri serikali hivi iweke hivyo vitendea kazi vizuri,ibadilishe mazzingira ya hospitali zetu kuwa bora zaidi hata kwa kuanzia wangeanza na zile za rufaa tu,halafu tuone je hawa wataalamu watagoma?
      Tunawalaumu bure madaktari wetu,jamani tuombe ile Kamati Ya afya na ustawi wa jamii watuambie waliona nini?Na ushauri wao ni nini kwa pande zote mbili?Tujiulize kweli madaktari hawa walikazania mishahara tu?Wanasiasa hawa watuambie kilichoko kwenye mtungi ni maji au maziwa?Wawe serious kwa hili tuache siasa.
      Watanzania wenye elimu kama yangu ambao hawana uelewa mkubwa tujitahidi kusoma magazeti,kujua haki zetu za msingi kikatiba,tusiwe watu wa ndio sababu Rais wetu amesema.
      Mtoto wa Rais akiumwa atapelekwa Apollo,leo wa kwangu na wakwako itabidi tumpeleke MNH ili apate vipimo,bahati nzuri vipimo hivyo havipo na baahati mbaya daktari wa kumsaidia yupo,jibu la haraka nitasema daktari anataka HONGO! Sababu hakuna kipimo tunamlaumu huyohuyo daktari.
      I hate Tanzanians who do not want to think further.............

    22. #20
      Majala Kimolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2007
      Posts : 315
      Rep Power : 666
      Likes Received
      26
      Likes Given
      30

      Default Re: Mheshimiwa rais waeleze ukweli hawa madaktari, ni kweli wana skills za kutosha?

      Quote By Nakei
      Muheshimiwa Rais ni kwanini unasita kuwaeleza ukweli madaktari. Madaktari wa Tanzania hawana skills za kulipwa huo mshahara wanaohitaji, tulitegemea wangemtibu Ulimboka hapa hapa nchini ili kuonyesha mfano hata kwa wanasiasa kwamba wanauwezo wa kutibu badala ya kutumia ma milioni kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Ninavyoamini mimi ni kwamba unapokuwa na taaluma fulani na kama unaipenda unaweza kujiendeleza wewe mwenyewe na kuwa competent. Madaktari wamejaa kiburi na wanataka kuonyesha kwamba fani yao ni ya muhimu kuliko fani zingine. serikali inautaratibu wake katika masuala ya ajira. Badala ya kuandamana kuhusu pesa tunataka waandamane kuhusu vifaa wanavyohitaji ili tusiwapeleke watanzania nje ya nchi kwa ajili ya matibabu. Tupo tayari kutoa michango kwa ajili ya vifaa vya matibabu tunaomba waviweke wazi. Kwa kweli tumechoka na hizi gharama za kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Mbona mnajipigia debe wenyewe, vipi kuhusu manesi?
      Dah! Post nyingine bwana! anyway umeongeza idadi ila nasikitika umekurupuka, kajipange upya

    23. Study Abroad
    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...