Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 36
    1. #1
      WOWOWO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2011
      Posts : 561
      Rep Power : 595
      Likes Received
      348
      Likes Given
      266

      Default Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Wanaharakati wa kisiasa ambao wametoswa katika vyama vyao wako katika hatua za mwisho kuanzisha chama cha kisiasa kitakachoitwa Chama cha Ukombozi wa Umma kwa lengo la kuendeleza harakati hizo.

      Wanaharakati wanaotajwa kuanzisha chama hicho ni pamoja na Mbunge wa Kigoma Kusini David Kafulila ambaye amefukuzwa uanachama NCCR- Mageuzi, Hashim Rungwe ambaye aliwahi kuwa mgombea urais kupitia NCCR Mageuzi kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 na Hamad Tao aliyetimuliwa TLP.

      Chama hicho kinachoongozwa na Mwenyekiti wa muda Mwalesi Mayunga kinatarajia kupata usajili wa muda kesho Jumanne Julai 3,2012

      Akizungumza na Sema Usikike Tao alithibitisha uwepo wa chama hicho lakini hakutaka kuingia kwa undani.

      Source: Gazeti la Sema Usikike la leo Julai 2,2012

      My Take:
      Huu utitiri wa vyama vya siasa utatufikisha wapi? Kafulila na Rungwe wanaweza kupima ubavu wa ushindani uliopo? Nahisi yunaongeza utitiri wa vyama vya mfukoni kama alivyosema Mh.Tendwa

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,394
      Rep Power : 10868
      Likes Received
      3773
      Likes Given
      426

      Default re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Vije hata mia moja lakini watanzania wameshaamua chama chao ni CDM
      Mtumishi Wetu likes this.

    4. #3
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,531
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      wanapoteza tu mda hao na wanataka tu ruzuku
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    5. #4
      Kima Mchanga's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Location : Dynamic
      Posts : 4,479
      Rep Power : 11220
      Likes Received
      599
      Likes Given
      446

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Hee!Chama kingine hicho kitaishia kusambaratika kwani wahusika wamethibitisha tayari kuwa ni wapenda madaraka!Fikiria Kafulila kwa mfano,kila anapo kwenda anaishia kufukuzwa!!!
      Do what you feel in your heart to be right-for yot will be criticized anyway.You will be damned if you do,and damned if you don't

    6. #5
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 4,941
      Rep Power : 2365
      Likes Received
      950
      Likes Given
      171

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Quote By Molemo
      Vije hata mia moja lakini watanzania wameshaamua chama chao ni CDM
      samahani.... si watanzania wote! ingekuwa watanzania wote CDM wangelikuwa madarakani sasa hivi na nchi ingelishakuwa vitani kwa sera zao za udini.. ukabila na ukanda
      Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
      My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯


    7. Miaka 50

    8. #6
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,435
      Rep Power : 19775
      Likes Received
      4279
      Likes Given
      906

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Hakuna lolote

    9. #7
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,837
      Rep Power : 3543
      Likes Received
      536
      Likes Given
      5136

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Quote By njiwa


      samahani.... si watanzania wote! ingekuwa watanzania wote CDM wangelikuwa madarakani sasa hivi na nchi ingelishakuwa vitani kwa sera zao za udini.. ukabila na ukanda
      Kama sio wizi wa kura wa CCM unadhani CDM isingelikuwa madarakani hivi sasa??? CCM wanaiba kila kitu fedha kura, dhahabu zetu, uranium, EPA, RADAR, RICHIMOND, sasa Uswiz imewaumbua USD$ 300= billion mmezificha hoko!!! Mkisemwa mmnataka kuuwa watu Dr ,Mwakyembe, Dr Ulimboka, sasa mkuu anataka kufukuza madaktari woote nchi nzima eti wasidai haki zao wagonjwa waendelee kufa!!!! Sera za CCM zimefika ukingoni si mjihudhulu kama alivyosema Tundu Lisu juzi kwenye bunge????


    10. #8
      Kibanga Ampiga Mkoloni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2007
      Location : Here! here!
      Posts : 4,730
      Rep Power : 1621
      Likes Received
      1177
      Likes Given
      1700

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      wangeruhusu mgombea binafsi tu, vyama vingi vitakufa.
      muchetz likes this.
      For the Holy Quran says in Sura 42, verse 41: 'All those who fight when oppressed incur no guilt, but Allah shall punish the oppressor, Come the day.

    11. #9
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 4,941
      Rep Power : 2365
      Likes Received
      950
      Likes Given
      171

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Quote By Mtumishi Wetu
      Kama sio wizi wa kura wa CCM unadhani CDM isingelikuwa madarakani hivi sasa???
      Leteni ushahidi kwamba mliibiwa kura zenu! ... kujaa watu kwenye mikutano sio kwamba wote ni wapiga kura.. wengine wauza maji.. pipi.. wengine wanakuja kushangaa pumba zinazoongolewa mkutanoni...

      Lisu ni dhaifu na mropokaji.. tushalizoea vuvuzela lile
      Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
      My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯


    12. #10
      quimby_joey's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Location : Deep Sea (200N/M)
      Posts : 324
      Rep Power : 497
      Likes Received
      52
      Likes Given
      132

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      hii ni mbinu mara nyingi inatumiwa na system kupunguza kura kwa chama pinzani kilicho hatarishi, baada ya uchaguzi huwa havina mashiko tena, na viongozi wake huhamia kwenye shughuli zingine (Fami Dovutwa na wenzake 2010)
      "human beings are born empty slate (tabula rasa): their knowledge comes from experience and perception".


    13. #11
      mchaichai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2011
      Posts : 368
      Rep Power : 454
      Likes Received
      32
      Likes Given
      25

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Quote By njiwa


      samahani.... si watanzania wote! ingekuwa watanzania wote CDM wangelikuwa madarakani sasa hivi na nchi ingelishakuwa vitani kwa sera zao za udini.. ukabila na ukanda
      you must be a woman with no exposure...la sivyo we ni anti...udini na ukabila unaujua wewe! mimi nakusikitikia watu mnao olewa kwa maneno rahisi kwa miaka 50 ya mateso bado mnakuwa migando tu

    14. #12
      WA-UKENYENGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : Inside a Smart Grid
      Posts : 2,409
      Rep Power : 5036
      Likes Received
      780
      Likes Given
      1778

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Hizo zinaitwa Politician Projects!! acha wazianzishe hata mia wataungana wenyewe, subiri mambo yatakapobadilika kupitia katiba mpya.
      "The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".

    15. #13
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,550
      Rep Power : 16758
      Likes Received
      2473
      Likes Given
      1841

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Hivi hakuna sheria ya kuwa na limit ya idadi ya vyama??

    16. #14
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 4,941
      Rep Power : 2365
      Likes Received
      950
      Likes Given
      171

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Quote By mchaichai
      you must be a woman with no exposure...la sivyo we ni anti...udini na ukabila unaujua wewe! mimi nakusikitikia watu mnao olewa kwa maneno rahisi kwa miaka 50 ya mateso bado mnakuwa migando tu
      Wacha assumptions idiot ...
      Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
      My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯


    17. #15
      +255's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Posts : 1,075
      Rep Power : 587
      Likes Received
      205
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Molemo
      Vije hata mia moja lakini watanzania wameshaamua chama chao ni CDM
      Usizungumze kwa niaba ya Watanzania wote, kama mmeamua kuchagua CDM ni wewe na Wakaskazini wenzako sio Watanzania wote wanakitaka..

    18. #16
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,152
      Rep Power : 12555
      Likes Received
      5732
      Likes Given
      742

      Default

      Quote By Molemo
      Vije hata mia moja lakini watanzania wameshaamua chama chao ni CDM
      Acha kujidanganya Watanzia wa wapi?

    19. #17
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,349
      Rep Power : 18614
      Likes Received
      3508
      Likes Given
      1612

      Default

      Quote By njiwa


      samahani.... si watanzania wote! ingekuwa watanzania wote CDM wangelikuwa madarakani sasa hivi na nchi ingelishakuwa vitani kwa sera zao za udini.. ukabila na ukanda
      Mbona watanzania walishaiweka cdm madarakani tiss na nec wakachomoa!? Na hizo sera mbona zinaitafuna nchi wakati cdm hawapo madarakani? Iweje sera kama ni za cdm zitekelezwe ndani ya uongozi wa ccm? Kama ni watu wa cdm ndio wenye sera hizo mbona hawakamatwi na tumeona makanisa yakichomwa moto?
      Tafakari....!

    20. #18
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,388
      Rep Power : 1264
      Likes Received
      1207
      Likes Given
      1253

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      niliipenda kauli ya Tendwa kuwa kuna mpango wa kutunga sheria ya kuvipukutisha vyama visivyo na tija kwa taifa au ushindani..chama hakina mbunge lakini bado kinakula ruzuku tuuu ..

    21. #19
      MwanaFalsafa1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 5,443
      Rep Power : 9877
      Likes Received
      609
      Likes Given
      444

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Utitiri wa vyama vya siasa vimezidi sasa Tanzania. Vyama vimekua kama bendi na wanasiasa wamekua kama wanamziki, ukitoswa unahama bendi au kuanzisha bendi yako.

    22. #20
      WOWOWO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2011
      Posts : 561
      Rep Power : 595
      Likes Received
      348
      Likes Given
      266

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Quote By mtotowamjini
      wanapoteza tu mda hao na wanataka tu ruzuku
      Mkuu bila kuwa na mbunge I mean wawakilishi unaweza kupewa ruzuku?

    23. Study Abroad
    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...