Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 36 of 36
    1. #1
      WOWOWO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2011
      Posts : 562
      Rep Power : 596
      Likes Received
      348
      Likes Given
      266

      Default Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Wanaharakati wa kisiasa ambao wametoswa katika vyama vyao wako katika hatua za mwisho kuanzisha chama cha kisiasa kitakachoitwa Chama cha Ukombozi wa Umma kwa lengo la kuendeleza harakati hizo.

      Wanaharakati wanaotajwa kuanzisha chama hicho ni pamoja na Mbunge wa Kigoma Kusini David Kafulila ambaye amefukuzwa uanachama NCCR- Mageuzi, Hashim Rungwe ambaye aliwahi kuwa mgombea urais kupitia NCCR Mageuzi kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 na Hamad Tao aliyetimuliwa TLP.

      Chama hicho kinachoongozwa na Mwenyekiti wa muda Mwalesi Mayunga kinatarajia kupata usajili wa muda kesho Jumanne Julai 3,2012

      Akizungumza na Sema Usikike Tao alithibitisha uwepo wa chama hicho lakini hakutaka kuingia kwa undani.

      Source: Gazeti la Sema Usikike la leo Julai 2,2012

      My Take:
      Huu utitiri wa vyama vya siasa utatufikisha wapi? Kafulila na Rungwe wanaweza kupima ubavu wa ushindani uliopo? Nahisi yunaongeza utitiri wa vyama vya mfukoni kama alivyosema Mh.Tendwa

    2. Miaka 50

    3. #21
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3257
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      CHama Cha Ukombozi wa uMma
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    4. #22
      Ngongoseke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Posts : 1,081
      Rep Power : 589
      Likes Received
      254
      Likes Given
      237

      Default

      Quote By Kibanga Ampiga MKoloni
      wangeruhusu mgombea binafsi tu, vyama vingi vitakufa.
      Sana mzee nakuunga mkono'hata mimi naunga mkono mgombea binafsi'hivi vyama vimekuwa ni chanzo cha kutugawa sana watz kutoka na vyama hv kuwa vya kidini'vya kikabila na vya kikanda'bora mgombea binafsi tu

    5. #23
      Ngongoseke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Posts : 1,081
      Rep Power : 589
      Likes Received
      254
      Likes Given
      237

      Default

      [QUOTE=Molemo;4161643]Vije hata mia moja lakini watanzania wameshaamua chama chao ni CDM[/QU

      Sio wote sema wewe na wenzako'kama wa tz wamechagua chadema mbona CCM ndio wako ikulu?

    6. #24
      Mchaka Mchaka's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th July 2010
      Location : Ashmore and Cartier Islands
      Posts : 3,660
      Rep Power : 1206
      Likes Received
      915
      Likes Given
      457

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Quote By njiwa


      samahani.... si watanzania wote! ingekuwa watanzania wote CDM wangelikuwa madarakani sasa hivi na nchi ingelishakuwa vitani kwa sera zao za udini.. ukabila na ukanda
      asnte baba, umehara ipasavyo! liwalo na liwe!!
      Miili ya waliokufa katika ajali ya Meli ya Spice Islander ipimwe DNA ili kutambua Ndugu zao - Dk. Jakaya .M. Kikwete,, September 2011.

    7. #25
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,882
      Rep Power : 30218
      Likes Received
      4706
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By njiwa


      samahani.... si watanzania wote! ingekuwa watanzania wote CDM wangelikuwa madarakani sasa hivi na nchi ingelishakuwa vitani kwa sera zao za udini.. ukabila na ukanda
      Pole samaki,mtatapatapa sana na muziki wa CDM

    8. RukaaJuu Final

    9. #26
      afwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Posts : 694
      Rep Power : 572
      Likes Received
      80
      Likes Given
      116

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Kama ni kweli basi Kafulila anazidi kupotea. Ilikuwa sahihi kujiunga na chama kingine ambacho kipo imara chenye misingi na falsafa inayoendana na msimamo wake kisiasa.

    10. #27
      KIJOME's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 7th June 2012
      Posts : 1,324
      Rep Power : 0
      Likes Received
      244
      Likes Given
      220

      Default

      Quote By njiwa


      samahani.... si watanzania wote! ingekuwa watanzania wote CDM wangelikuwa madarakani sasa hivi na nchi ingelishakuwa vitani kwa sera zao za udini.. ukabila na ukanda
      shetani wa mguu mmoja,wenye upuuzi huu ni nyie magamba mkiongozwa na dhaifu!!!!

    11. #28
      Gwakisa Mwandule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Posts : 421
      Rep Power : 433
      Likes Received
      150
      Likes Given
      1

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Bora vita ya chadema kuliko amani ya Magamba na kama unaogopa vita mbona humtoi mkeo jeshini?Hizo propaganda zenu ndo maana mnatawaliwa mpaka na shehe ponda na liziwani!Magamba nyie na mtaondoka tu mwaka 2015 hata kama ni kwa vita mapaka nyie!
      Quote By njiwa


      samahani.... si watanzania wote! ingekuwa watanzania wote CDM wangelikuwa madarakani sasa hivi na nchi ingelishakuwa vitani kwa sera zao za udini.. ukabila na ukanda


    12. #29
      Power G's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Msoga Kijijini
      Posts : 2,411
      Rep Power : 993
      Likes Received
      775
      Likes Given
      261

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Quote By njiwa
      Leteni ushahidi kwamba mliibiwa kura zenu! ... kujaa watu kwenye mikutano sio kwamba wote ni wapiga kura.. wengine wauza maji.. pipi.. wengine wanakuja kushangaa pumba zinazoongolewa mkutanoni...

      Lisu ni dhaifu na mropokaji.. tushalizoea vuvuzela lile
      Dhaifu kama JK na Vuvuzela kama Nepi
      TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA

    13. #30
      Elizabeth Dominic's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 2,732
      Rep Power : 5462
      Likes Received
      1961
      Likes Given
      2652

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Quote By MAMMAMIA
      CHama Cha Ukombozi wa uMma
      Mi nilikuwa najaribu kifupi chake inanichanganya kidogo CHACHAUU?? au CCUU?
      BE RESPECTED............DEMAND RESPECT

    14. #31
      Mercyless's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 450
      Rep Power : 450
      Likes Received
      90
      Likes Given
      580

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Quote By njiwa
      Leteni ushahidi kwamba mliibiwa kura zenu! ... kujaa watu kwenye mikutano sio kwamba wote ni wapiga kura.. wengine wauza maji.. pipi.. wengine wanakuja kushangaa pumba zinazoongolewa mkutanoni...

      Lisu ni dhaifu na mropokaji.. tushalizoea vuvuzela lile
      Kwa hiyo wahudhuriaji wa mikutano ya CHADEMA tu ndio huwa wanakunywa maji na pipi? Hawaji kuuza maji na pipi ktk mikutano ya ccm kwa kuwa hakuna wateja? Fikiria upya.

    15. #32
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3257
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Quote By Elizabeth Dominic
      Mi nilikuwa najaribu kifupi chake inanichanganya kidogo CHACHAUU?? au CCUU?
      Mwanzo nilijaribu kifupi chake mwisho nikapata CHUU (ya bwanchuchu) - lol, lakini baadaye nikanusa shombo ya magamba ndani yake.
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    16. #33
      Elizabeth Dominic's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 2,732
      Rep Power : 5462
      Likes Received
      1961
      Likes Given
      2652

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Quote By MAMMAMIA
      Mwanzo nilijaribu kifupi chake mwisho nikapata CHUU (ya bwanchuchu) - lol, lakini baadaye nikanusa shombo ya magamba ndani yake.
      LOL..................mdebwedo, mbona shombo? yaalah!
      BE RESPECTED............DEMAND RESPECT

    17. #34
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 4,955
      Rep Power : 2369
      Likes Received
      959
      Likes Given
      172

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      mbona mnamwaga povu mkiambiwa ukweli ...
      Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
      My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯


    18. #35
      Henry Philip's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th July 2008
      Posts : 110
      Rep Power : 574
      Likes Received
      31
      Likes Given
      17

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Quote By ngongoseke
      sana mzee nakuunga mkono'hata mimi naunga mkono mgombea binafsi'hivi vyama vimekuwa ni chanzo cha kutugawa sana watz kutoka na vyama hv kuwa vya kidini'vya kikabila na vya kikanda'bora mgombea binafsi tu

      hivi wadau, naomba mnisaidie, dunia hii kuna nchi inaongozwa na rais ambaye hana chama-yaani mgombea binafsi. Nisaidieni wakuu. Endapo tz itatoa mtu kama huyo naamini tutakuwa tumefikia ktk viwango vya juu sana kwa mtizamo wangu. Nipeni mtizamo jamani nataka tu kujua.

    19. #36
      Henry Philip's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th July 2008
      Posts : 110
      Rep Power : 574
      Likes Received
      31
      Likes Given
      17

      Default Re: Kafulila, Hashim Rungwe waanzisha chama cha Siasa

      Quote By ruttashobolwa
      hakuna lolote
      basi kama hakuna lolote kuna chochote.

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...