Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Sipati picha iwapo Waalimu nao watagoma; hivi Serikali itaagiza Waalimu toka nchi gani?

    Report Post
    Results 1 to 16 of 16
    1. #1
      Wanitakiani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2008
      Posts : 636
      Rep Power : 703
      Likes Received
      129
      Likes Given
      21

      Default Sipati picha iwapo Waalimu nao watagoma; hivi Serikali itaagiza Waalimu toka nchi gani?

      Serikali ina mpango wa kuagiza Madaktari kutoka nje ya nchi kuziba pengo lililoachwa na Madaktari waliogoma. Tumesikia pia Waalimu nao iwapo hawatatimiziwa madai yao watagoma ktk wiki mbili zijazo,jambo ambalo linawezekana kutokana na ukweli kuwa madai yao hayapishani sana na yale ya Madaktari. Pamoja na raslimali tulizo nazo Tz tunaambiwa nchi hii haina pesa na ni maskini!

      Nina maswali yananitatiza katika njia bora za kutatua matatizo yetu, naomba Wanajamvi mnisaidie maswali yafuatayo:

      1. Kuna mikakati gani ya kuhakiki ili kujua Madaktari wanaokuja toka nje ni qualified? Nachojua mimi ukiombwa upunguze manpower yako utatoa wale usiowataka,hutatoa jembe unalolitegemea na badala yake utatoa jembe dhaifu, legelege,lisilo na tija;
      2. Ni gharama kiasi gani itatumika kuwaagiza, kuwalipa Madaktari hao wa kigeni? Je, watalipwa mishahara kama waliyokuwa wakilipwa Madaktari waliogoma au watalipwa kama Experts (TX?
      3. Madaktari hao wageni wakija watakuja na dawa? watakuja na vifaa? Wataondoa kero ya wagonjwa kulala chini au watatu watatu vitandani? Watapunguzaje vifo vingi vya akina mama na watoto walio chini ya miaka 5? Wataboresha miundombinu ya hospitali zetu?
      4. Ikitokea Waalimu nao wakagoma, Serikali itaagiza Waalimu wangaoi na kutoka nchi gani? je, watatosheleza mahitaji hasa ya shule za watoto wetu akina Kayumba?
      5. Iwapo Waalimu watatoa nje Serikali ina mikakati gani ktk somo la Kiswahili na lile la Civic Education? Au masomo hayo yatafutwa kwenye mitaala ya Elimu?
      6. Kwa Maswali yote hapo juu Serikali imetenga kiasi gani kutumia manpower ya kutoka nje kwenye sekta hizo hadi hapo itakaposomesha waaalimu na madaktari wa kutosha sijuwi miaka mingapi ijayo? Je, ikitokea Watumishi wa Serikali ktk sekta nyingine nao wakagoma (hatuombi hayo)serikali imejizatiti vipi?


      Kwakweli sipati picha! Naogopa!
      Laughing Faces Do Not Mean That There Is Absence of Sorrow! But it Means That They have The Ability to Deal With It!


    2. #2
      Return Of Undertaker's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2012
      Posts : 692
      Rep Power : 552
      Likes Received
      483
      Likes Given
      0

      Default Re: Sipati picha iwapo Waalimu nao watagoma; hivi Serikali itaagiza Waalimu toka nchi gani?

      Watafanya voda faster

    3. #3
      CHEMPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Location : A TOWN
      Posts : 369
      Rep Power : 1936
      Likes Received
      58
      Likes Given
      19

      Default Re: Sipati picha iwapo Waalimu nao watagoma; hivi Serikali itaagiza Waalimu toka nchi gani?

      Palestina

    4. #4
      Wanitakiani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2008
      Posts : 636
      Rep Power : 703
      Likes Received
      129
      Likes Given
      21

      Default Re: Sipati picha iwapo Waalimu nao watagoma; hivi Serikali itaagiza Waalimu toka nchi gani?

      Quote By Return Of Undertaker
      Watafanya voda faster
      Kwa mtindo huo ndio maana tupo hapa tulipo! Vodafaster itafyatua madaktari vodafaster, Waalimu vodafaster, mainjinia vodafaster....ndio maana sipati picha!
      Laughing Faces Do Not Mean That There Is Absence of Sorrow! But it Means That They have The Ability to Deal With It!

    5. #5
      Kamakabuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2007
      Posts : 1,086
      Rep Power : 807
      Likes Received
      146
      Likes Given
      265

      Default Re: Sipati picha iwapo Waalimu nao watagoma; hivi Serikali itaagiza Waalimu toka nchi gani?

      walimu walishagoma siku nyingi; kinachotokea sasa hivi ni usanii tu. Ebu angalia idadi ya wanaoingia kidato cha kwanza bila kujua kusoma na kuandika. Walimu mgomo wao ni silent na madhara yake yataonekana taratibu kadri muda unavyosonga mbele.
      Dingswayo likes this.


    6. #6
      Wanitakiani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2008
      Posts : 636
      Rep Power : 703
      Likes Received
      129
      Likes Given
      21

      Default

      Quote By Kamakabuzi
      walimu walishagoma siku nyingi; kinachotokea sasa hivi ni usanii tu. Ebu angalia idadi ya wanaoingia kidato cha kwanza bila kujua kusoma na kuandika. Walimu mgomo wao ni silent na madhara yake yataonekana taratibu kadri muda unavyosonga mbele.
      U r right! Pata picha wakiuhalalisha mgomo huo, amini nakuambia hakuna Mwl wa kutoka nje ya nchi atastahimili mazingira wanayofundishia waalimu Wa Tz. Hapo ndipo panaponitisha zaidi. Naona anguko kuu!

    7. #7
      +255's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Posts : 1,177
      Rep Power : 612
      Likes Received
      237
      Likes Given
      0

      Default Re: Sipati picha iwapo Waalimu nao watagoma; hivi Serikali itaagiza Waalimu toka nchi gani?

      Watu wa kufundisha wapo wengi sana mitaani...Kuna graduates kibao hawana kazi..

    8. #8
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,542
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      29

      Default

      Walimu sio issue, hata mi wakiniambia nikafundishe naweza fanya ila udaktari ni ngumu

    9. #9
      DoPe's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th June 2012
      Posts : 25
      Rep Power : 356
      Likes Received
      0
      Likes Given
      11

      Default Re: Sipati picha iwapo Waalimu nao watagoma; hivi Serikali itaagiza Waalimu toka nchi gani?

      hapo sasa

    10. mob
      #10
      mob's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th December 2009
      Posts : 636
      Rep Power : 612
      Likes Received
      108
      Likes Given
      41

      Default Re: Sipati picha iwapo Waalimu nao watagoma; hivi Serikali itaagiza Waalimu toka nchi gani?

      wanaogoma wanfuataga huu usemi there is nothing to loose .Jiulize ni kwa nini kwenye vyuo si rahis walimu kugoma ila ni rahisi kwa college nyingine kugoma.au angalia watu walio na familia wengi si rahisi kugoma ila wengine ni rahis sana kugoma

    11. #11
      Wanitakiani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2008
      Posts : 636
      Rep Power : 703
      Likes Received
      129
      Likes Given
      21

      Default Re: Sipati picha iwapo Waalimu nao watagoma; hivi Serikali itaagiza Waalimu toka nchi gani?

      Quote By +255
      Watu wa kufundisha wapo wengi sana mitaani...Kuna graduates kibao hawana kazi..
      Hata hao graduates wakiingia bila kuboresha mfumo mzima wa elimu na maslahiya waalimu nao wataingia mitini tu. Fikiria mwl. anayepelekwa Tandahimba, Nkasi na kwingineko, ambako hakuna nyumba za waalimu, hakuna huduma thabiti za kijamii nani atakaa? Shule hazina maabara, maktaba na nyingine watoto wanasomea kwenye vibanda kama si chini ya miti. Mwl anaweza kukata miezo 3-6 bila mshahara, hao graduates wataweza?
      Laughing Faces Do Not Mean That There Is Absence of Sorrow! But it Means That They have The Ability to Deal With It!

    12. #12
      Ennie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2011
      Location : DAR ES SALAAAM
      Posts : 1,598
      Rep Power : 822
      Likes Received
      500
      Likes Given
      539

      Default

      Quote By +255
      Watu wa kufundisha wapo wengi sana mitaani...Kuna graduates kibao hawana kazi..
      Ndivyo tunavyoamini kuwa ualimu anafanya yeyote. Graduates tuko wengi na tuna knowledge tatizo ni skills za ku impart hiyo knowledge kwa mtoto ndio shida. Tuwaheshimu tu.

    13. #13
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,775
      Rep Power : 19847
      Likes Received
      4407
      Likes Given
      1697

      Default Re: Sipati picha iwapo Waalimu nao watagoma; hivi Serikali itaagiza Waalimu toka nchi gani?

      Walimu ni wengi,alaf waoga sana hawawezi kugoma!

      Mke wa dhaifu ata fundisha

    14. #14
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,997
      Rep Power : 5981
      Likes Received
      821
      Likes Given
      233

      Default Re: Sipati picha iwapo Waalimu nao watagoma; hivi Serikali itaagiza Waalimu toka nchi gani?

      China aka voda fasta......
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    15. #15
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,680
      Rep Power : 2119
      Likes Received
      1152
      Likes Given
      1601

      Default Re: Sipati picha iwapo Waalimu nao watagoma; hivi Serikali itaagiza Waalimu toka nchi gani?

      You can count on my word wakuu, "walimu wetu wa hapa bongo hawawezi kugoma hata siku moja" sijawahi ona tasnia ambayo watu wake ni waoga na wasio na umoja kama waalimu. Siwapondi ila ndo ukweli, wakitishwa au kupewa chai kidogo tu wanafyata. Na hakuna wafanyakazi wa serikali yetu hapa wenye matatizo katika kazi zao kama waalimu!!!!
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    16. #16
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,847
      Rep Power : 23485
      Likes Received
      1522
      Likes Given
      638

      Default

      Quote By +255
      Watu wa kufundisha wapo wengi sana mitaani...Kuna graduates kibao hawana kazi..


      Wewe +255 hauna tofauti hata kidogo na Rejao....................ngoja tuone kama mtapewa na China.

      Acha utumwa!

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...