Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwanini hospitali za wilayani hazina Migomo?

    Report Post
    Results 1 to 16 of 16
    1. #1
      William Mshumbusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Posts : 323
      Rep Power : 509
      Likes Received
      184
      Likes Given
      0

      Default Kwanini hospitali za wilayani hazina Migomo?

      Mawilayani hawa ndio wagawana mafungu yote ya afya. Tenda za kuzoa taka, kusimamia chanjo, kuuza dawa za selikalini na karibu wote wanamaduka ya madawa na watoa vibari vya maduka batili. Pia ndio watoamimba laki kila mimba.

      Wilaya zina madaktari kati ya watano hadi kumi wakiifanyia ubadhilifu bajeti ya afya ya wilaya na dili zao.

      1200000 ambayo ni sawa na tsh 800000hivi cash zinawatosha. Ila wale wa muhimbili, bugando, kcmc, na wamikoani ambao hawazipati hizo dili wafikishieni mil 2.5 kushika damu, maini na figo za watu si mchezo.
      Kupima haja na maiti tena kwa msomi na kuangalia maiti.

      Acha tu wagome

    2. Miaka 50

    3. #2
      TOWNSEND's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Location : kwa ngulelo
      Posts : 1,111
      Rep Power : 629
      Likes Received
      196
      Likes Given
      31

      Default Re: Kwanini hospitali za wilayani hazina Migomo

      wanao goma ni madoctor wilayani hakuna madoctor ni wauguzi tu
      For tommorow belonging to those people who prepared fo it

    4. #3
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,799
      Rep Power : 1525
      Likes Received
      796
      Likes Given
      450

      Default Re: Kwanini hospitali za wilayani hazina Migomo

      Quote By William Mshumbusi
      Mawilayani hawa ndio wagawana mafungu yote ya afya. Tenda za kuzoa taka, kusimamia chanjo, kuuza dawa za selikalini na karibu wote wanamaduka ya madawa na watoa vibari vya maduka batili. Pia ndio watoamimba laki kila mimba.

      Wilaya zina madaktari kati ya watano hadi kumi wakiifanyia ubadhilifu bajeti ya afya ya wilaya na dili zao.

      1200000 ambayo ni sawa na tsh 800000hivi cash zinawatosha. Ila wale wa muhimbili, bugando, kcmc, na wamikoani ambao hawazipati hizo dili wafikishieni mil 2.5 kushika damu, maini na figo za watu si mchezo.
      Kupima haja na maiti tena kwa msomi na kuangalia maiti.

      Acha tu wagome


      Pomoja na uchambuzi wako wote huo, ujue huko hakuna madaktari (MD). Ukija mgomo wa wauguzi wa rank zote ndiyo utahakikisha haya ninayokwambia.
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    5. #4
      Kibanga Ampiga Mkoloni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2007
      Location : Here! here!
      Posts : 4,763
      Rep Power : 1627
      Likes Received
      1185
      Likes Given
      1701

      Default Re: Kwanini hospitali za wilayani hazina Migomo

      Na hakiwepo DR wilayani moja kw amoja nakuwa ndiye Mganga mkuu wa Hospital
      For the Holy Quran says in Sura 42, verse 41: 'All those who fight when oppressed incur no guilt, but Allah shall punish the oppressor, Come the day.

    6. #5
      Msendekwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2012
      Posts : 392
      Rep Power : 441
      Likes Received
      140
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Kibanga Ampiga MKoloni
      Na hakiwepo DR wilayani moja kw amoja nakuwa ndiye Mganga mkuu wa Hospital
      Wilayani unakuta wamejaa ma AMO(Assistant Medical Officer), sampuli za kina Aisha Kigoda au Antony Mbasa.
      Hawa ndo vingunge kule, wameridhika na CCD, wanangojea mafao yao ya kustaafu.
      Unakuta kuna MD wawili, mmoja DMO, mwingne MO I/C.
      Wote ni watawala, hawawezi goma.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Msendekwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2012
      Posts : 392
      Rep Power : 441
      Likes Received
      140
      Likes Given
      4

      Default Re: Kwanini hospitali za wilayani hazina Migomo

      Pia wana vihela vya semina kibao, maana pesa za Basket fund ndo zinamwagwa huko, kifupi hawategemei mishahara, wanaishi kwa semina na madili mengne.

    9. #7
      MKWECHE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th April 2011
      Location : IGANGIDUNGU-IRINGA
      Posts : 300
      Rep Power : 491
      Likes Received
      52
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwanini hospitali za wilayani hazina Migomo

      Quote By William Mshumbusi
      Mawilayani hawa ndio wagawana mafungu yote ya afya. Tenda za kuzoa taka, kusimamia chanjo, kuuza dawa za selikalini na karibu wote wanamaduka ya madawa na watoa vibari vya maduka batili. Pia ndio watoamimba laki kila mimba.

      Wilaya zina madaktari kati ya watano hadi kumi wakiifanyia ubadhilifu bajeti ya afya ya wilaya na dili zao.

      1200000 ambayo ni sawa na tsh 800000hivi cash zinawatosha. Ila wale wa muhimbili, bugando, kcmc, na wamikoani ambao hawazipati hizo dili wafikishieni mil 2.5 kushika damu, maini na figo za watu si mchezo.
      Kupima haja na maiti tena kwa msomi na kuangalia maiti.

      Acha tu wagome
      Wewe ni KIPOFU KABISA!Madaktari wa wilaya WanaAKILI na Wanajua walichotumwa na watanzania!Wamevaa Uzalendo wana Utu!Waliogoma hawana Utu bali ni wanyama!
      Aliekuambua madaktari ndio wenye kazi za kutoa tenda mawilayani ni nani!Mkweche nipo kwenye gamu la afya kitambo!Madaktari wa Mjini wana Maduka ya dawa,Cliniki na sehemu kibao za kufanya part time!na wakiwa hospitali za serikali wanazuga na wengine wanakueleza mkutene kule kwa Tatizo lako!
      Madaktari wa wilayani hawana kipato cha pembeni kama wale wa MJINI

    10. #8
      Gwaje's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 213
      Rep Power : 475
      Likes Received
      34
      Likes Given
      389

      Default Re: Kwanini hospitali za wilayani hazina Migomo

      Jana nilikuwa naongea na DMO wilaya moja wapo ya mkoa wa Tabora yeye akasema kwanza MD yuko pekeyake na kapewa uongozi anavikao, na mafungu anayo nafasi ya kuiba na kuchakachua awezavyo. lakini pia yeye sasa ni mtawala hafanyi kazi nyingi za utabibu hivyo hata pesa za vikao tu zinamtosha kuishi. Japo yeye alisema huku wako watu masikini sana hivyo anawaonea huruma Lakini kiukweli tunahitaji viongozi ambao hawafichi nakuhadaa umma eti wao wako safi ila wengine ndio tatizo
      Quote By MKWECHE
      Wewe ni KIPOFU KABISA!Madaktari wa wilaya WanaAKILI na Wanajua walichotumwa na watanzania!Wamevaa Uzalendo wana Utu!Waliogoma hawana Utu bali ni wanyama!
      Aliekuambua madaktari ndio wenye kazi za kutoa tenda mawilayani ni nani!Mkweche nipo kwenye gamu la afya kitambo!Madaktari wa Mjini wana Maduka ya dawa,Cliniki na sehemu kibao za kufanya part time!na wakiwa hospitali za serikali wanazuga na wengine wanakueleza mkutene kule kwa Tatizo lako!
      Madaktari wa wilayani hawana kipato cha pembeni kama wale wa MJINI

    11. #9
      Josephine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Posts : 695
      Rep Power : 730
      Likes Received
      753
      Likes Given
      134

      Default

      Quote By William Mshumbusi
      Mawilayani hawa ndio wagawana mafungu yote ya afya. Tenda za kuzoa taka, kusimamia chanjo, kuuza dawa za selikalini na karibu wote wanamaduka ya madawa na watoa vibari vya maduka batili. Pia ndio watoamimba laki kila mimba.

      Wilaya zina madaktari kati ya watano hadi kumi wakiifanyia ubadhilifu bajeti ya afya ya wilaya na dili zao.

      1200000 ambayo ni sawa na tsh 800000hivi cash zinawatosha. Ila wale wa muhimbili, bugando, kcmc, na wamikoani ambao hawazipati hizo dili wafikishieni mil 2.5 kushika damu, maini na figo za watu si mchezo.
      Kupima haja na maiti tena kwa msomi na kuangalia maiti.

      Acha tu wagome
      Unazungumzia hospitali zipi? wilaya ngapi zina hospitali?
      Wilaya nyingi hata Dispensary hawana.

      Taarifa za migomo vijijini hawazijui labda makao ya mikoa tu.

      Nchi hii inaendeshwa kikatili sana laiti watu wangeujua ukweli ,kila mmoja angekuwa na sababu ya kuipigania nchi hii.

    12. #10
      Morinyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th August 2011
      Posts : 700
      Rep Power : 702
      Likes Received
      149
      Likes Given
      75

      Default Re: Kwanini hospitali za wilayani hazina Migomo?

      Quote By Josephine
      Unazungumzia hospitali zipi? wilaya ngapi zina hospitali?
      Wilaya nyingi hata Dispensary hawana.

      Taarifa za migomo vijijini hawazijui labda makao ya mikoa tu.

      Nchi hii inaendeshwa kikatili sana laiti watu wangeujua ukweli ,kila mmoja angekuwa na sababu ya kuipigania nchi hii.
      Wilaya gani ambayo haina hata Dispensary.

    13. #11
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,319
      Rep Power : 12954
      Likes Received
      4591
      Likes Given
      2499

      Default Re: Kwanini hospitali za wilayani hazina Migomo?

      Quote By Josephine
      Unazungumzia hospitali zipi? wilaya ngapi zina hospitali?
      Wilaya nyingi hata Dispensary hawana.

      Taarifa za migomo vijijini hawazijui labda makao ya mikoa tu.

      Nchi hii inaendeshwa kikatili sana laiti watu wangeujua ukweli ,kila mmoja angekuwa na sababu ya kuipigania nchi hii.
      Tutajie 20. Au kama nyingi inaanza na mbili, tutajie hizo mbili.

    14. #12
      Josephine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Posts : 695
      Rep Power : 730
      Likes Received
      753
      Likes Given
      134

      Default Re: Kwanini hospitali za wilayani hazina Migomo?

      Wilaya ya Manyoni,inategemea hospitali ya Mission St Gasper,wilaya ya Iramba hususan jimbo la iramba Mashariki wamechangishwa pesa za Dispensary kwa miaka kumi hata msingi hakuna.

      Najua nachokizungumza niko huku na nimeizunguka Tanzania hii.

      Tusiongee nadharia.

    15. #13
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,696
      Rep Power : 904
      Likes Received
      432
      Likes Given
      440

      Default

      Quote By Josephine
      Wilaya ya Manyoni,inategemea hospitali ya Mission St Gasper,wilaya ya Iramba hususan jimbo la iramba Mashariki wamechangishwa pesa za Dispensary kwa miaka kumi hata msingi hakuna.

      Najua nachokizungumza niko huku na nimeizunguka Tanzania hii.

      Tusiongee nadharia.
      Asante kwa kutujuza,kweli ni nyingi bado zinasuasua

    16. #14
      William Mshumbusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Posts : 323
      Rep Power : 509
      Likes Received
      184
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwanini hospitali za wilayani hazina Migomo?

      Au wao ndio wenyewe mabosi. Nasikia ata wilayani madaktari wanajenga nyumba ata kila mwaka kama wakitaka

    17. #15
      KASHOROBANA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Posts : 1,462
      Rep Power : 687
      Likes Received
      233
      Likes Given
      86

      Default Re: Kwanini hospitali za wilayani hazina Migomo?

      Labda wamepigwa mkwala na mkurugenzi wasithubutu kugoma

    18. #16
      mgao wa umeme's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th May 2011
      Posts : 27
      Rep Power : 411
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwanini hospitali za wilayani hazina Migomo?

      Wilayani HAKUNA MDs, 99% ni AMO na CO. mfano mzuri ni hospitali ya wilaya kilosa MD ni wawili; DMO na MD mmoja anayefanya wd ya wazazi. medical officer incharge ni AMO. Ukiwambia swala la mgomo, wanakwambi wao hawawezi kugoma. lakini wao ndo wakwanza kuulizi kila siku update kama mshahara umepandishwa. Hili tatizo ndo inaikumba hospitali za mkoa wa DAR, ukienda AMANA maAMO ni wengi zaidi ya maMD, the same apply to TMK and Mwananyamala. AMO ataenda wapi zaidi ya kufanyakazi hapa Tz, ndo mana lazima wailambe serikali mguu. Kwao kutoa huduma katika mazingira magumu sitatizo, kwani macho hayawezi kuona kituambacho uijui, maMD ni ndo waalimu wa hawa jamaa. Kwenye syllabus hakuna mambo ya kisera so haya mambo tunayodai hawayajui

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...