Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Jamani, Juma Mgaza ndo nani?

    Report Post
    Results 1 to 13 of 13
    1. #1
      Buta's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th April 2012
      Posts : 32
      Rep Power : 368
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default Jamani, Juma Mgaza ndo nani?

      ndugu Wananchi;
      Kwa niaba yangu na kwa niaba ya Serikali natoa
      mkono wa pole kwa Dkt. Steven Ulimboka na
      kumuombea apone haraka ili aungane na familia
      yake na Watanzania wenzake katika ujenzi wa
      taifa. Kwa namna ya pekee namshukuru na
      kumpongeza Bwana Juma Mgaza, kwa moyo
      wake wa huruma na upendo na kwa hatua
      alizochukua za kumsaidia Dkt. Ulimboka.
      Naomba kumaliza kwa kuwasihi madaktari
      kuacha mgomo na kurejea kazini. Watanzania


    2. #2
      Shinto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2010
      Posts : 1,783
      Rep Power : 682
      Likes Received
      75
      Likes Given
      10

      Default Re: Jamani, Juma mgaza ndo nani?

      Muislam aliyemuokota na kumsaidia dr. Ulimboka

    3. #3
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,519
      Rep Power : 37787
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      2342

      Default

      Quote By Free World View Post
      Muislam aliyemuokota na kumsaidia dr. Ulimboka
      Na ASP Mokiri ni nani?

    4. #4
      Lambardi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2008
      Location : KITAANI ZAIDI
      Posts : 4,588
      Rep Power : 1813
      Likes Received
      665
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mungi View Post
      Na ASP Mokiri ni nani?
      Hemed Msangi je?

    5. #5
      Buta's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th April 2012
      Posts : 32
      Rep Power : 368
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Free World View Post
      Muislam aliyemuokota na kumsaidia dr. Ulimboka
      Asante mm Nadhan atakuwa mwislamu aliye okoka.


    6. #6
      anney's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th July 2010
      Posts : 152
      Rep Power : 484
      Likes Received
      40
      Likes Given
      27

      Exclamation Re: Jamani, Juma Mgaza ndo nani?

      Nimemtafuta kwenye mtandao, Juma Mgaza! Kuna Juma Mgaza amabye amehukumiwa na mahakama ya Tanzania kwa ujambazi wa kutumia silaha. Soma hii link

      http://www.saflii.org/tz/cases/TZHC/1995/7.pdf
      Baba_Enock likes this.

    7. #7
      iseesa's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 940
      Rep Power : 0
      Likes Received
      204
      Likes Given
      53

      Default Re: Jamani, Juma Mgaza ndo nani?

      Quote By Skills4Ever View Post
      Hemed Msangi je?
      Siyo Hemedi ni Ahmedi Salim Msangi

    8. #8
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,542
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      29

      Default

      Quote By Free World View Post
      Muislam aliyemuokota na kumsaidia dr. Ulimboka
      Hivi ni lazima mseme ni muislam hamuwezi kusema ni mtanzania.. Too much udini nyie watz
      Jasusi likes this.

    9. #9
      Baba_Enock's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Bunju "B"
      Posts : 5,845
      Rep Power : 1909
      Likes Received
      1173
      Likes Given
      1006

      Default Re: Jamani, Juma Mgaza ndo nani?

      Quote By anney View Post
      Nimemtafuta kwenye mtandao, Juma Mgaza! Kuna Juma Mgaza amabye amehukumiwa na mahakama ya Tanzania kwa ujambazi wa kutumia silaha. Soma hii link

      http://www.saflii.org/tz/cases/TZHC/1995/7.pdf
      Kama siyo majina kufanana, hii link inaweza kuwa na maana pana sana...!
      Ad Majorem Dei Gloriam - "For the greater glory of God"

    10. #10
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Planet Nibiru
      Posts : 11,553
      Rep Power : 42524
      Likes Received
      5076
      Likes Given
      4249

      Default

      Quote By Free World View Post
      Muislam aliyemuokota na kumsaidia dr. Ulimboka
      Kulikuwa na haja ya kumtambulisha kwa dini yake?

    11. #11
      Dumelang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 326
      Rep Power : 462
      Likes Received
      186
      Likes Given
      149

      Default Re: Jamani, Juma mgaza ndo nani?

      Quote By Free World View Post
      Muislam aliyemuokota na kumsaidia dr. Ulimboka

      fikira fupi, mawazo mafupi? hujielewi na hujui kuwa hujielewi ..lakini ni ujinga tu ipo siku utakutoka..yaani kusema ni mwislamu ndo uislam utaonekana safi? au kwa hilo litaonesha wakristo ovyo? vipi kama angekuja mtu hapa akasema (mf: nyerere ndiye aliyeruka UN kuomba uhuru alikuwa ni Mkrito!..ungemhisje huyo mtu? pima akili yako...AFRIKA YOTE NA WATANZANIA NI NDUGU BILA KUJALI UISLAMU AMA UKRISTO
      Never say more than is necessary.

    12. #12
      Dumelang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 326
      Rep Power : 462
      Likes Received
      186
      Likes Given
      149

      Default Re: Jamani, Juma Mgaza ndo nani?

      Quote By Buta View Post
      ndugu Wananchi;
      Kwa niaba yangu na kwa niaba ya Serikali natoa
      mkono wa pole kwa Dkt. Steven Ulimboka na
      kumuombea apone haraka ili aungane na familia
      yake na Watanzania wenzake katika ujenzi wa
      taifa. Kwa namna ya pekee namshukuru na
      kumpongeza Bwana Juma Mgaza, kwa moyo
      wake wa huruma na upendo na kwa hatua
      alizochukua za kumsaidia Dkt. Ulimboka.
      Naomba kumaliza kwa kuwasihi madaktari
      kuacha mgomo na kurejea kazini. Watanzania

      wewe nawe cjakuelewa ni sawa tu na huyo aliyeingiza udini kwenye hii thread yako! kichwa cha habari akiendani na content uliyoandika hapa! pili wewe ni nani utoe mkono wa pole kwa niaba ya serikali...sema uombe radhi kwa niaba ya serikali kama upo huko serikalini na unajua kinachoendelea! mimi hata niuwawe leo siwezi kukubali kuwa Dr Ulimboka akupigwa na Serikali yenyewe, huu mchezo c tofauti na wakumficha Balali kisha wakasema amekufa! juzi juzi Mtu flani alipotaka kutoa siri za kumwona huko marekani kauwawa mbele ya nyumba yake na majambazi..(intelejensia imelala mpaka sasa hakuna taarifa nani mhusika)_Dirty Government nani ataiamini?
      Never say more than is necessary.

    13. #13
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,779
      Rep Power : 19847
      Likes Received
      4407
      Likes Given
      1715

      Default Re: Jamani, Juma Mgaza ndo nani?

      Sasa mtoa mada mbona unajichanganya! Sasa unataka nini

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...