Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Msanii Roma Mkatoliki anatumiwa na CHADEMA ktk majukwaa ya burudani kuiponda serikali

    Report Post
    Page 4 of 7 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 135
    1. #1
      Mr Emmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 636
      Rep Power : 599
      Likes Received
      96
      Likes Given
      16

      Default Msanii Roma Mkatoliki anatumiwa na CHADEMA ktk majukwaa ya burudani kuiponda serikali

      Nimekuwa nikifatilia matamasha makubwa ya burudani hapa nchini yanayohucsha wasanii wa Hip Pop nakugundua kuwa msanii Roma Mkatoliki hugeuza jukwaa la burudani kuwa jukwa la siasa kwa kutoa mistari inayoamsha hasira za mashabiki dhidi ya serikali.
      leo nikiwa ktk viwanja vya fukwe za coco beach ktk tamasha la Tigo msanii huyo alihamasisha maelfu ya mashabiki waliojitokeza kuonesha ishara ya vidole viwili na tamasha kugeuka kuwa kama mkutano wa chadema, hakika hali ilinichukiza sana kwani audience yote ililipuka kwa mayowe baada ya kutolewa mistari iliyochochea chuki dhidi ya serikali na vyombo vya dola kama police. Picha za tukio hilo nitazitupia badae.
      Mytake serikali sasa inayowajibu wa kutunga sheria kali ili kuwadhibiti wasanii kama Roma mkatoliki ambao wanageuza majukwaa ya burudani kuwa majukwaa ya siasa kwani hali hiyo inaweza leta uvunjifu wa amani kwani ktk matamasha ya burudani wanahudhuria mashabiki wenye itikadi mbalimbali ya vyama vya siasa.


    2. #61
      Mtu Mzima's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Loliondo
      Posts : 361
      Rep Power : 670
      Likes Received
      71
      Likes Given
      29

      Default Re: Msanii Roma Mkatoliki anatumiwa na CHADEMA ktk majukwaa ya burudani kuiponda serikali

      Quote By Mr Emmy View Post
      Nimekuwa nikifatilia matamasha makubwa ya burudani hapa nchini yanayohucsha wasanii wa Hip Pop nakugundua kuwa msanii Roma Mkatoliki hugeuza jukwaa la burudani kuwa jukwa la siasa kwa kutoa mistari inayoamsha hasira za mashabiki dhidi ya serikali.
      leo nikiwa ktk viwanja vya fukwe za coco beach ktk tamasha la Tigo msanii huyo alihamasisha maelfu ya mashabiki waliojitokeza kuonesha ishara ya vidole viwili na tamasha kugeuka kuwa kama mkutano wa chadema, hakika hali ilinichukiza sana kwani audience yote ililipuka kwa mayowe baada ya kutolewa mistari iliyochochea chuki dhidi ya serikali na vyombo vya dola kama police. Picha za tukio hilo nitazitupia badae.
      Mytake serikali sasa inayowajibu wa kutunga sheria kali ili kuwadhibiti wasanii kama Roma mkatoliki ambao wanageuza majukwaa ya burudani kuwa majukwaa ya siasa kwani hali hiyo inaweza leta uvunjifu wa amani kwani ktk matamasha ya burudani wanahudhuria mashabiki wenye itikadi mbalimbali ya vyama vya siasa.
      Msanii kazi yake ni kujua nini hadhira yake inataka. Kama walilipuka kwa furaha na kuonyesha vidole viwili ina maana wengi walipenda ujumbe.

      Kama wewe na wengine wachache mlichukia haina haja ya kuvunja amani tafuteni burudani nyingine mbadala ambayo itawafurahisha.

      Nina imani TOT inaweza kukonga moyo wako
      Connect the dots...

    3. #62
      ndomyana's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 2,080
      Rep Power : 0
      Likes Received
      211
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Ritz View Post
      Naona baada ya JK kuwachana live Madaktari mmeamua kuja kujiliwaza kwenye hii thread ya Roma Mkatoliki.
      kajichana au kawachana
      FREDOMFIGHTER likes this.

    4. #63
      Madela Wa- Madilu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2007
      Location : NORTH WEST USA
      Posts : 2,526
      Rep Power : 2446
      Likes Received
      280
      Likes Given
      289

      Default Re: Msanii Roma Mkatoliki anatumiwa na CHADEMA ktk majukwaa ya burudani kuiponda serikali

      Ujumbe Mzito sana kwenu UWT na Polisi.

      Dont even think about arresting this guy, leave alone hurting even his hair.


      The days of using MabwePande game reserve as your Free zone of Touchier, Mutilate and kill innocent Tanzania who oppose the CCM injustice rule are over.

      IMEZUIWA JUU NA CHINI
      From now onward we lay down a strictly Civilian Law;
      It is against the law at any Time for a motorised Vehicle to enter inside MabwePande forest . MabwePande forest is only accesible through walking. Any body, irrespective of his position in the society,who breaks this law will severely test the Mob Justice immediately.


      Boundires Coordinates By Google Map;
      [[[[[[[[[[[[South TIP -6.737236,39.076796 Noth Tip-6.678674,39.073892 East Tip -6.704333,39.097395 West Tip -6.686602,39.066324 ]]]]]]]]]]]]


      IMEZUIWA JUU NA CHINI
      Last edited by Madela Wa- Madilu; 2nd July 2012 at 08:49.
      MYPEOPLE PERISH FOR LACK OF KNOWLEDGE. HOSEA 4:6

    5. #64
      Bantugbro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2009
      Posts : 2,435
      Rep Power : 1013
      Likes Received
      493
      Likes Given
      1525

      Default Re: Msanii Roma Mkatoliki anatumiwa na CHADEMA ktk majukwaa ya burudani kuiponda serikali

      Huyu kijana Roma Mkatoliki ninhatari aisee....
      Just because presidents screws around, it doesn't make a president for screwing around..

    6. #65
      Bushloiaz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 386
      Rep Power : 515
      Likes Received
      135
      Likes Given
      51

      Default

      Quote By Free World View Post
      Unategemea nini kutoka kwa MKATOLIKI?
      Huwa mnajidhalilisha kweli na huu udini wenu.Nani amekwambia ROMA ni mkatoliki?kwa taarifa yako yule jamaa anaitwa Rashid ROMA ni vifupi vya majina yake na ndugu zake kila anayeipinga ccm ni mkatoliki acheni upumbavu
      FREDOMFIGHTER likes this.


    7. #66
      SAMRICH1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2011
      Posts : 1,283
      Rep Power : 656
      Likes Received
      213
      Likes Given
      133

      Default Re: Msanii Roma Mkatoliki anatumiwa na CHADEMA ktk majukwaa ya burudani kuiponda serikali

      kumbe ulimsikia eh!badilika sasa

    8. #67
      SAMRICH1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2011
      Posts : 1,283
      Rep Power : 656
      Likes Received
      213
      Likes Given
      133

      Default Re: Msanii Roma Mkatoliki anatumiwa na CHADEMA ktk majukwaa ya burudani kuiponda serikali

      ROMA=Rymes Of Magic Atraction
      Tekelinalokujia likes this.

    9. #68
      samilakadunda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2011
      Posts : 844
      Rep Power : 556
      Likes Received
      108
      Likes Given
      16

      Default

      NAMKUBALI SANA HUYU DOGO,hatuhitaji kusikia nyimbo za ngono,hali watu walala na kufa njaa. Big up ROMMA

    10. #69
      Q600's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 1st July 2012
      Posts : 6
      Rep Power : 352
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Msanii Roma Mkatoliki anatumiwa na CHADEMA ktk majukwaa ya burudani kuiponda serikali

      Milembe ufai,ni India tu panafaa kwa ilo tatizo lako la kchwa!! Roma anaelimisha watu,asila mnawasha nyinyi Ccmagamba! Tena ndo mmezidisha baada ya unyama mlio mfanyia Dr.uli.
      Tekelinalokujia likes this.

    11. #70
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,554
      Rep Power : 5114
      Likes Received
      2603
      Likes Given
      2288

      Default Re: Msanii Roma Mkatoliki anatumiwa na CHADEMA ktk majukwaa ya burudani kuiponda serikali

      Muziki wa hip hop una historia hiyo. Hata Marekani wanamuziki wa hip hop huponda sana polisi na system. Hakuna haja ya kumzuia, ndio raha ya muziki. Hakuna muziki usio na ujumbe. Let washabiki waamue kama ni poa au si poa...
      Topical likes this.
      "To greed, all nature is insufficient"

    12. #71
      Topical's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 1235
      Likes Received
      853
      Likes Given
      707

      Default Re: Msanii Roma Mkatoliki anatumiwa na CHADEMA ktk majukwaa ya burudani kuiponda serikali

      Wacha watu wafurahia maisha wewe..

      Ukifika wakati wa uchaguzi ROMA mwenyewe anajua chama makini..
      "Mbowe for Presidency 2015""

    13. #72
      WAHEED SUDAY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2011
      Posts : 2,880
      Rep Power : 2982
      Likes Received
      484
      Likes Given
      320

      Default Re: Msanii Roma Mkatoliki anatumiwa na CHADEMA ktk majukwaa ya burudani kuiponda serikali

      Quote By Mr Emmy View Post
      Nimekuwa nikifatilia matamasha makubwa ya burudani hapa nchini yanayohucsha wasanii wa Hip Pop nakugundua kuwa msanii Roma Mkatoliki hugeuza jukwaa la burudani kuwa jukwa la siasa kwa kutoa mistari inayoamsha hasira za mashabiki dhidi ya serikali.
      leo nikiwa ktk viwanja vya fukwe za coco beach ktk tamasha la Tigo msanii huyo alihamasisha maelfu ya mashabiki waliojitokeza kuonesha ishara ya vidole viwili na tamasha kugeuka kuwa kama mkutano wa chadema, hakika hali ilinichukiza sana kwani audience yote ililipuka kwa mayowe baada ya kutolewa mistari iliyochochea chuki dhidi ya serikali na vyombo vya dola kama police. Picha za tukio hilo nitazitupia badae.
      Mytake serikali sasa inayowajibu wa kutunga sheria kali ili kuwadhibiti wasanii kama Roma mkatoliki ambao wanageuza majukwaa ya burudani kuwa majukwaa ya siasa kwani hali hiyo inaweza leta uvunjifu wa amani kwani ktk matamasha ya burudani wanahudhuria mashabiki wenye itikadi mbalimbali ya vyama vya siasa.
      Si ajabu hata wewe ulinyooshavidole viwili juu
      Just a charcoal, don't expect anything white

    14. #73
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,426
      Rep Power : 16506
      Likes Received
      4327
      Likes Given
      5510

      Default Re: Msanii Roma Mkatoliki anatumiwa na CHADEMA ktk majukwaa ya burudani kuiponda serikali

      Huyu msanii namwingiza kwenye moja ya my favorites.Mistari imesimama.
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    15. #74
      Tekelinalokujia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Location : Planet Earth
      Posts : 344
      Rep Power : 513
      Likes Received
      31
      Likes Given
      166

      Default Re: Msanii Roma Mkatoliki anatumiwa na CHADEMA ktk majukwaa ya burudani kuiponda serikali

      Quote By Mr Emmy View Post
      Nimekuwa nikifatilia matamasha makubwa ya burudani hapa nchini yanayohucsha wasanii wa Hip Pop nakugundua kuwa msanii Roma Mkatoliki hugeuza jukwaa la burudani kuwa jukwa la siasa kwa kutoa mistari inayoamsha hasira za mashabiki dhidi ya serikali.
      leo nikiwa ktk viwanja vya fukwe za coco beach ktk tamasha la Tigo msanii huyo alihamasisha maelfu ya mashabiki waliojitokeza kuonesha ishara ya vidole viwili na tamasha kugeuka kuwa kama mkutano wa chadema, hakika hali ilinichukiza sana kwani audience yote ililipuka kwa mayowe baada ya kutolewa mistari iliyochochea chuki dhidi ya serikali na vyombo vya dola kama police. Picha za tukio hilo nitazitupia badae.
      Mytake serikali sasa inayowajibu wa kutunga sheria kali ili kuwadhibiti wasanii kama Roma mkatoliki ambao wanageuza majukwaa ya burudani kuwa majukwaa ya siasa kwani hali hiyo inaweza leta uvunjifu wa amani kwani ktk matamasha ya burudani wanahudhuria mashabiki wenye itikadi mbalimbali ya vyama vya siasa.


      Wewe kweli makamasi, la kwanza hujui maana ya hip-hop unadhani ni sawa na bongo fleva za wabana sauti, pili alama ya vidole viwili ni alama ya amani inatumiwa duniani kote na wasanii wengi tuu wanaitumia kama ambavyo CDM wameamua kuitumia, CDM hawana haki miliki ya alama ya vidole viwili, hip hop ni mashairi yanayolenga kuzungumzia maisha ya wahusika katika mapambano na maisha yanayowahusu, hivyo basi kama anachoimba Roma Mkatoliki ndicho hicho ulichokisikia manaake ndio maisha yanayozunguka jamii anapoishi na hao waliolipuka kumshangilia na kukubaliana nae pia wanaelewa anazungumzia nini, kweli chupi zimewabana sasa unashauri serekali itunge sheria kubana wasanii, mi nafikiri serekali itunge sheria ya kupeleka watu shule waondokane na mawazo kamasi kama wewe ili kuepusha vurugu kwa kutoelewa kwenu kwa umbumbumbu uliokithiri. HOVYOOOOOO

    16. #75
      Hofstede's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2007
      Posts : 3,604
      Rep Power : 21345
      Likes Received
      981
      Likes Given
      988

      Default Re: Msanii Roma Mkatoliki anatumiwa na CHADEMA ktk majukwaa ya burudani kuiponda serikali

      Quote By Mr Emmy View Post
      Nimekuwa nikifatilia matamasha makubwa ya burudani hapa nchini yanayohucsha wasanii wa Hip Pop nakugundua kuwa msanii Roma Mkatoliki hugeuza jukwaa la burudani kuwa jukwa la siasa kwa kutoa mistari inayoamsha hasira za mashabiki dhidi ya serikali.
      leo nikiwa ktk viwanja vya fukwe za coco beach ktk tamasha la Tigo msanii huyo alihamasisha maelfu ya mashabiki waliojitokeza kuonesha ishara ya vidole viwili na tamasha kugeuka kuwa kama mkutano wa chadema, hakika hali ilinichukiza sana kwani audience yote ililipuka kwa mayowe baada ya kutolewa mistari iliyochochea chuki dhidi ya serikali na vyombo vya dola kama police. Picha za tukio hilo nitazitupia badae.
      Mytake serikali sasa inayowajibu wa kutunga sheria kali ili kuwadhibiti wasanii kama Roma mkatoliki ambao wanageuza majukwaa ya burudani kuwa majukwaa ya siasa kwani hali hiyo inaweza leta uvunjifu wa amani kwani ktk matamasha ya burudani wanahudhuria mashabiki wenye itikadi mbalimbali ya vyama vya siasa.
      Acha ushabiki mkuu, wasanii wengi wamekuwa wakiimba nyimbo kutokana na hali halisi ya maisha. Kwa maana hiyo unatakiwa kujua kuwa fasihi simulizi huwa haiendi mbali na mazingira, kama anayoyaimba yanafanyika Tanzania basi yupo sahihi tatizo la CCM wanapenda kusifiwa tu wakikosolewa inakuwa ni chuki dhidi ya serikali. hebu sikiliza hawa wasanii na nyimbo zao.








    17. #76
      KakaJambazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2009
      Posts : 4,686
      Rep Power : 2820
      Likes Received
      1184
      Likes Given
      959

      Default Re: Msanii Roma Mkatoliki anatumiwa na CHADEMA ktk majukwaa ya burudani kuiponda serikali

      Mpelekani magwepande mkambane kolodala kwa plies awaambie kama anatumiwa na CDM.

    18. #77
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 5,193
      Rep Power : 2419
      Likes Received
      998
      Likes Given
      173

      Default

      Mkuu ushaona jina analotumia lazima awe upande wa chama chenye udini...

    19. #78
      Bujibuji's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 14,415
      Rep Power : 0
      Likes Received
      7413
      Likes Given
      5746

      Default Re: Msanii Roma Mkatoliki anatumiwa na CHADEMA ktk majukwaa ya burudani kuiponda serikali

      CCM mtatafuta mlango wa kutokea mwaka huu, kila mnapoenda mnakutana na maumivu tu kutoka kwa CHADEMA
      Quote By Mr Emmy View Post
      Nimekuwa nikifatilia matamasha makubwa ya burudani hapa nchini yanayohucsha wasanii wa Hip Pop nakugundua kuwa msanii Roma Mkatoliki hugeuza jukwaa la burudani kuwa jukwa la siasa kwa kutoa mistari inayoamsha hasira za mashabiki dhidi ya serikali.
      leo nikiwa ktk viwanja vya fukwe za coco beach ktk tamasha la Tigo msanii huyo alihamasisha maelfu ya mashabiki waliojitokeza kuonesha ishara ya vidole viwili na tamasha kugeuka kuwa kama mkutano wa chadema, hakika hali ilinichukiza sana kwani audience yote ililipuka kwa mayowe baada ya kutolewa mistari iliyochochea chuki dhidi ya serikali na vyombo vya dola kama police. Picha za tukio hilo nitazitupia badae.
      Mytake serikali sasa inayowajibu wa kutunga sheria kali ili kuwadhibiti wasanii kama Roma mkatoliki ambao wanageuza majukwaa ya burudani kuwa majukwaa ya siasa kwani hali hiyo inaweza leta uvunjifu wa amani kwani ktk matamasha ya burudani wanahudhuria mashabiki wenye itikadi mbalimbali ya vyama vya siasa.

    20. #79
      democratic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 1,604
      Rep Power : 823
      Likes Received
      278
      Likes Given
      53

      Default Re: Msanii Roma Mkatoliki anatumiwa na CHADEMA ktk majukwaa ya burudani kuiponda serikali

      Quote By Free World View Post
      Unategemea nini kutoka kwa MKATOLIKI?
      kama nisivyotegemea chochote kutoka kwa redio iman
      Kama damu inakusisimka unapoona haki ya mtu ikipokwa na uko tayari kuitetea kwa gharama yeyote, basi hakika wewe ni Comrade wangu-Che Guevara.


    21. #80
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 1,031
      Rep Power : 596
      Likes Received
      164
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Mr Emmy View Post
      Nimekuwa nikifatilia matamasha makubwa ya burudani hapa nchini yanayohucsha wasanii wa Hip Pop nakugundua kuwa msanii Roma Mkatoliki hugeuza jukwaa la burudani kuwa jukwa la siasa kwa kutoa mistari inayoamsha hasira za mashabiki dhidi ya serikali.
      leo nikiwa ktk viwanja vya fukwe za coco beach ktk tamasha la Tigo msanii huyo alihamasisha maelfu ya mashabiki waliojitokeza kuonesha ishara ya vidole viwili na tamasha kugeuka kuwa kama mkutano wa chadema, hakika hali ilinichukiza sana kwani audience yote ililipuka kwa mayowe baada ya kutolewa mistari iliyochochea chuki dhidi ya serikali na vyombo vya dola kama police. Picha za tukio hilo nitazitupia badae.
      Mytake serikali sasa inayowajibu wa kutunga sheria kali ili kuwadhibiti wasanii kama Roma mkatoliki ambao wanageuza majukwaa ya burudani kuwa majukwaa ya siasa kwani hali hiyo inaweza leta uvunjifu wa amani kwani ktk matamasha ya burudani wanahudhuria mashabiki wenye itikadi mbalimbali ya vyama vya siasa.
      pole sana kwa kuadhirika na bongo flavour kwani nyie mnachojua ni mapenzi na majungu, jaribu kufuatilia chanzo cha hip hop ndio utajua, roma amefuata miiko ya hip hop ambayo ni kutafuta haki kwa njia ya mziki, ni kama serikali yako inavyoua raia kwa kuficha ukweli

    Page 4 of 7 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...