Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CCM wapigana vibaya Kawe na mkutano kuvunjika

    Report Post
    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast
    Results 61 to 80 of 88
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3962
      Likes Given
      426

      Default CCM wapigana vibaya Kawe na mkutano kuvunjika

      Mkutano wa uchaguzi wa vijana CCM kata ya Kawe umevunjika baada ya vijana kupigana vibaya na kurushiana viti huku wakilaani uongozi wa juu kwa kutaka kuua chama.

      Ilikuwa ni aibu kuu kwa chama tawala ambapo vijana hao wametabiri chama chao kitazikwa muda si mrefu.

      Sababu kubwa ya kupigana ni uongozi wa juu wa CCM kukata majina ya walioomba nafasi ya Mwenyekiti na kuleta jina la mtu ambaye hakuomba.

      Inadaiwa hiyo yote ni kutokana na makundi yanayotafuna chama hicho pamoja na Rushwa ya ngono iliyokithiri ndani ya chama hicho wilaya ya Kinondoni.


      Source: Habari ITV
      ByaseL likes this.


    2. #61
      Jumakidogo's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 16th July 2009
      Location : DOM & DAR
      Posts : 1,868
      Rep Power : 1181
      Likes Received
      390
      Likes Given
      42

      Default

      Quote By TUMBIRI View Post
      Safi sana! Wapi rafiki yangu Rejao??
      Nilimuona jinsi alivyokuwa anaonyesha ustadi wa kukwepa viti.

    3. #62
      Makala Jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2011
      Posts : 1,968
      Rep Power : 894
      Likes Received
      406
      Likes Given
      0

      Default Re: CCM wapigana vibaya Kawe na mkutano kuvunjika

      Wezi wanapoibiana wao kwa wao ndo matokeo yake!

    4. #63
      ansynshoba's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th December 2009
      Posts : 60
      Rep Power : 494
      Likes Received
      16
      Likes Given
      85

      Default Re: CCM wapigana vibaya Kawe na mkutano kuvunjika

      dalili ya mvua mawingu

    5. #64
      WAHEED SUDAY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2011
      Posts : 2,880
      Rep Power : 2982
      Likes Received
      484
      Likes Given
      320

      Default Re: CCM wapigana vibaya Kawe na mkutano kuvunjika

      Teh teh teh teh teh teeeeh! walikuwa wanavalishana uzalendo hao, vipi Nape alikuwepo?
      Just a charcoal, don't expect anything white

    6. #65
      Henry Philip's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th July 2008
      Posts : 114
      Rep Power : 578
      Likes Received
      31
      Likes Given
      26

      Default Re: CCM wapigana vibaya Kawe na mkutano kuvunjika

      Quote By uswe View Post

      nilikuwepo polisi, hii taarifa ni kweli, kuna watu wawili wamejeruhiwa vibaya sana, wamemwagiwa mafuta ya moto, yaani mmoja unashindwa hata kumuangalia


      waacheni wafu wazike wafu wao.sisi tukaze mwendo kuelekea kwenye ukombozi wa kweli.m4c-soma namba ya kiatu


    7. #66
      Tusker Bariiiidi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd July 2007
      Location : Sinza Dar es Salaam.
      Posts : 3,292
      Rep Power : 1270
      Likes Received
      388
      Likes Given
      54

      Default Re: CCM wapigana vibaya Kawe na mkutano kuvunjika

      Kuna Kakijana Ka-puppet kanaitwa JAMES MWAKIBINGA jana kalikuwa kanatoa MA-POVU.

    8. #67
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3962
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Tusker Bariiiidi View Post
      Kuna Kakijana Ka-puppet kanaitwa JAMES MWAKIBINGA jana kalikuwa kanatoa MA-POVU.
      Akikuwa anarusha kareti vibaya sana.Ilikuwa ni kama sinema huwezi kuamini kama kuna chama cha siasa chenye wanachama wahuni namna hii.

    9. #68
      TUMBIRI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 1,876
      Rep Power : 3641
      Likes Received
      1151
      Likes Given
      288

      Default Re: CCM wapigana vibaya Kawe na mkutano kuvunjika

      Quote By Jumakidogo View Post
      Nilimuona jinsi alivyokuwa anaonyesha ustadi wa kukwepa viti.

      Haaa! Kumbe na yeye alikuwa ni miongoni mwa Wagombea waliokuwa wempandikizwa!
      Hadha Min Fadhil Rhabi - Hizi ni Rehema za Mwenyezi Mungu

    10. #69
      Mtoboasiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th August 2009
      Location : Am at Large!
      Posts : 3,696
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1182
      Likes Given
      786

      Default

      Quote By TUMBIRI View Post
      Safi sana! Wapi rafiki yangu Rejao??
      Umuone wapi?

    11. #70
      Kima Mchanga's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Location : Dynamic
      Posts : 4,630
      Rep Power : 11256
      Likes Received
      648
      Likes Given
      551

      Default Re: CCM wapigana vibaya Kawe na mkutano kuvunjika

      Quote By Mshuza2 View Post
      Source of information please!
      Umeona uvivu kusoma hata mistari miwili tu???
      Some people are alive only because it is illegal to kill them

    12. #71
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,695
      Rep Power : 1280
      Likes Received
      1322
      Likes Given
      1711

      Default Re: CCM wapigana vibaya Kawe na mkutano kuvunjika

      Quote By Kigogo View Post
      chama hicho kimejaa wezi na wahuni..wanahonga mpaka sehemu zao za uzazi ili wapewe madaraka...ni watu wa hovyo sana hawa
      C mada kesi hii

    13. #72
      Rasib's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 322
      Rep Power : 425
      Likes Received
      32
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By People View Post
      Inavyoonesha hufuatilii taarifa za habari.
      soma maelezo wewe! Unata source ipi sasa, au kutoka police

    14. #73
      Rasib's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 322
      Rep Power : 425
      Likes Received
      32
      Likes Given
      8

      Default Re: CCM wapigana vibaya Kawe na mkutano kuvunjika

      Hivi nyie mnadhani magamba hayapati moto nin?...nawambien mpaka ifike 2015 2tasikia mengi xana

    15. #74
      Hebron Caleb's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th June 2012
      Posts : 175
      Rep Power : 389
      Likes Received
      44
      Likes Given
      3

      Default Re: CCM wapigana vibaya Kawe na mkutano kuvunjika

      It is not over until is over.

    16. #75
      Kichwa Ngumu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : In the Computer
      Posts : 1,309
      Rep Power : 698
      Likes Received
      189
      Likes Given
      253

      Default Re: CCM wapigana vibaya Kawe na mkutano kuvunjika

      Moshi unapoonekana moto utawaka
      Chezea nguvu ya umma wewe; utaumia

    17. #76
      Talklicious's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 50
      Rep Power : 374
      Likes Received
      6
      Likes Given
      12

      Default Re: CCM wapigana vibaya Kawe na mkutano kuvunjika

      Quote By ruttashobolwa View Post
      Hivi kawe ni wilaya? Watakuwa walikasilishwa na hotuba ya jk
      Soma vizuri thread

    18. #77
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3962
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Sangarara View Post
      C mada kesi hii
      Hakika ni uhuni mkuu

    19. #78
      KIJOME's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Posts : 1,513
      Rep Power : 656
      Likes Received
      279
      Likes Given
      256

      Default Re: CCM wapigana vibaya Kawe na mkutano kuvunjika

      Laana kubwa wanahongana mpaka nyeti?kweli gamba limekuwa sugu,pesa si kitu tena kwao!!!

    20. #79
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 16,664
      Rep Power : 31609
      Likes Received
      8449
      Likes Given
      8811

      Default Re: CCM wapigana vibaya Kawe na mkutano kuvunjika

      Quote By Angel Msoffe View Post
      kuna kijana alinyanyua flower ves kubwa anataka kuwabonda nayo wenzie, hii ni zaid ya hatari
      wauane tu, angalau wapungue...
      kinachoonekana kwenye ngazi ndogo kama za kata, ni taswira ya kile kinafanyika katika ngazi za juu.
      "Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU"



    21. #80
      Dingswayo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : Tanzania/Europe
      Posts : 2,741
      Rep Power : 14820
      Likes Received
      1226
      Likes Given
      2755

      Default Video: Uchaguzi UVCCM Kawe

      Uchaguzi wa UVCCM Kawe

      Semper fi!

    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...