Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hii ni Dharau kwa Fani ya Udaktari!

    Report Post
    Page 3 of 9 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 167
    1. #1
      mcfm40's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 127
      Rep Power : 458
      Likes Received
      59
      Likes Given
      1

      Default Hii ni Dharau kwa Fani ya Udaktari!

      Jamani mimi ni mwalimu nafundisha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kama Assistant Lecturer.

      Kusema kweli hii nchi haijui thamani ya madaktari na professionals wengine kwa ujumla.

      Hivi kweli unaweza kulinganisha miaka mitano ya kusomea udaktari na miaka mitatu ya digrii nyingine hizi!?

      Nimeshangaa eti daktari anayeanza kazi analipwa laki 9. Huu ni mshahara mdogo kuliko wa Tutorial Assistant aliyesomea digrii yake kwa miaka mitatu tu tena digirii laini (nimesoma mimi Arts) usinitolee mimacho! Ni laini tu huwezi kulinganisha na nondo za udaktari!

      Kusema ukweli interns wanapaswa kulipwa minimum 2mil. Yaani daktari alipwe sawa na kada nyingine? You are kidding!

      Kazi ya udaktari ni habari nyingine jamani tusidanganyane. Kikwete anachofanya ni kujaribu kugombanisha madaktari na wananchi! Unajua watu wa kawaida hawajui nondo za udaktari zilivyo ngumu na ilivyo ngumu kufaulu! Watu mliokimbia chemistry, physics, biology mnajua habari yake, sio mchezo!

      Hivi inakuwaje serikali imeanza tabia ya kupuuzia kada nyeti kama udaktari? Kiwete anazungumza kwa kubeza tu, anafikiri ni rahisi kama alivyodesa na uchumi wake pale ya Mlimani!? Madaktari pambaneni mtambulikane kama kada maalumu na muwe na commission yenu maalumu ya mishahara.

      Ni kichekesho kwamba mganga wa kienyeji na wenzake wa darasa la saba pale bungeni anakula milioni 7, professionals wanadhihakiwa. What are our priorities?

      Kwa mtindo huu tutaweza kuzuia madaktari wetu kutimkia nje kwenye greener pastures? Na nin nani atapenda hiyo kazi ya udaktari ya kuteseka kusoma mavitu magumu halafu hata hudhaminiwi kwa nini nisichukue kozi laini laini si mshahara ni huo huo?

      Serikali inapaswa kujitathmini upya na kujua vipaumbele vyake. Kazi ya Udakatari haithaminiwi Tanzania! Hatutafika namana hii! Hii ni kazi inayohusisha uhai wa watu lazima tuinvest vya kutosha hapa bial visingizio vyovyote. Kwa hiyo mkishawalazimisha kurudi kazini kwa manunguniko ndiyo watatibia watu kwa juhudi?

      Serikali mnaweka maisha ya wananchi hatarini! Let us be serious. Sidhani kama kuna dakatri analazimisha milioni 3.5; lengo ni kiwango kifikie walau mahali reasonable! Hii inawezekana kabisa, na si kweli kwamba lazima mshahara wa madaktari ukibadilika na kada nyingine zote ubadilike!

      Kama nilivyosema kazi ya udaktari habari nyingine kabisaa! Kuanzia kusomea hadi kazi yenyewe yataka moyo sio sawa na kufundisha darasani!
      Kichuguu, Hofstede, Riwa and 12 others like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #41
      kindafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Posts : 255
      Rep Power : 488
      Likes Received
      83
      Likes Given
      62

      Default Re: JK Akana serikali kutaka kumuua Dr. Ulimboka

      Quote By M'Jr
      Asema yeye hakumtuma mtu kufanya hivyo
      Sawa, ila je, yeye aliwatuma kufanyaje?

    4. #42
      Ng`wanakidiku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2009
      Posts : 1,126
      Rep Power : 739
      Likes Received
      216
      Likes Given
      395

      Default Re: Hii ni Dharau kwa Fani ya Udaktari!

      Quote By ITEGAMATWI
      Umeajiriwa serikalini na serikali kuu au umeajiriwa na Taasisi ya serikali?Kaulize daktari aliyekatika Govt agencies kama NIMR analipwa shilingi ngapi.Hebu muwe mnaumiza kichwa kabla hamjapost comments zenu humu.
      Siyo kuumiza kichwa. Nafahamu agencies wanalipwa tofauti. Ila it does not make sense kufanya comparison. Waachiwe ma Dr wao na serikali, sisi wananchi tuwaombe Dr warudi kazini na si kuwatukana kwa kuwadharau, tunawavunja moyo!
      Mimi siyo mwana siasa!

    5. #43
      mambomengi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th May 2009
      Posts : 449
      Rep Power : 599
      Likes Received
      97
      Likes Given
      13

      Default

      mcfm40

      Suala la muhimu ni kurekebisha mishahara na posho za wafanyakazi. Kwa mfano hakuna tija kwa mtu kusafiri na kulipwa dola karibu 600 kwa usiku mmoja wakati analala kwenye hoteliniliolipiwa na wizara ya mambo ya nje na Kula bure.

      Kwa ufupi Toa posho zote zijumuishe kwenye mshahara na zikate kodi, baada ya hapo mishahara yote itakuwa mikubwa wakati huohuo serikali itaongeza mapato na kutakuwa na usawa wa malipo kwa wafanyakazi wa kada zote.

    6. #44
      JATELO1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2011
      Posts : 1,014
      Rep Power : 899
      Likes Received
      81
      Likes Given
      39

      Default Re: Hii ni Dharau kwa Fani ya Udaktari!

      Quote By Ng`wanakidiku
      Na kazini nina nyumba, usafiri, maji, umeme. Na bado ninamuda mwingi tu wa kuwa iddle (si kama Dr akianza kazi hatoki mpaka usiku). Wakati mwingine Dr anafanya kazi hata weekend, mimi sifanyi.
      Ahsante sana kwa Tusi, si ajabu ndivyo unavyotukana hata wazazi wako na wanafunzi wako au mkeo pale wanapotofautiana na wewe kwenye hoja.

      Hongera zako kama wewe unafundisha chuo ambacho unapata vyote hivyo kama ulivyovitaja. Hali ni tofauti kwa UDSM na vyuo vingine vya serikali (UDSM ambayo ndiyo ilikuwa sehemu anakofanya kazi mleta hoja). Labda wewe uko chuo binafsi. Kwa UDSM, angalia structure hiyo hapo chini na hii ni doc ya serikali kwa Academic Staff wote wa vyuo vya serikali. Kuhusu nyumba, usafiri, maji na umeme unajitegemea. Hii ni kwa wote kuanzia Tutorial Assisstant mpaka Lecturer (PhD Holder ambaye hajawa Senior). Kwa UDSM, ni Senior Lecturere tu ndiyo wenye House Allowance. Kama wewe ni TA, ASS. Lecturer au Lecturer, hakuna nyumba wala maji wala umeme wala usafiri. Na kama ikitokea umepata nyumba chuoni, basi 10 percent ya Basic salary yako inakatwa. Pia umeme na maji utajitegemea gharama zake.

      Kuhusu kufanya kazi weekend, nenda UDSM hata weekend kuna tests zinafanyika. Hii si kwasababu wale waalimu wamependa,la hasha,ni kwasababu ya uwingi wa wanafunzi na vyumba vilivyopo havitoshelezi katikati ya wiki.

      Ukiwa na uelewa mzuri utaweza kuona kwamba 3.5 mill. ya Drs inaangukia kwenye level ya Associate Professor (angalia rangi nyekundu kwenye Jedwali hapa chini).

      1. New Salary Structure for Academic staff effective July 2010

      Ngazi ya mshahara
      Kianzio kwenye ngazi
      Nyongeza ya kila mwaka
      Kima cha juu kwenye ngazi
      PUTS 12
      1,080,100
      55,990
      1,248,070
      PUTS 13
      1,348,070
      60,980
      1,531,010
      PUTS 14
      1,701,010
      63,000
      1,890,010
      PUTS 15
      2,060,010
      69,960
      2,269,890
      PUTS 16
      2,439,890
      76,950
      2,670,740
      PUTS 17
      2,840,740
      77,720
      3,073,900
      PUTS 18
      3,243,900
      79,110
      3,481,230
      PUTS 19
      Fixed
      3,651,230
      PUTS 20
      Fixed
      3,821,230
      PUTS 21
      Fixed
      3,991,230

      2. Housing Allowances effective July 2010

      Utaratibumpya wa malipo ya posho ya nyumba:

      Watumishi wenye stahili ya kupatiwa nyumba bila ya kulipa pango ambao hawana nyumba na hawajawahi kuuziwa nyumba na Serikali au Taasisi watalipwa kiwango maalum ili waweze kupanga nyumba.
      Gaijin likes this.

    7. #45
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 3,009
      Rep Power : 8378
      Likes Received
      831
      Likes Given
      694

      Default Re: Hii ni Dharau kwa Fani ya Udaktari!

      Quote By mcfm40
      Ni kichekesho kwamba mganga wa kienyeji na wenzake wa darasa la saba pale bungeni anakula milioni 7, professionals wanadhihakiwa. What are our priorities?
      Mkuu hapo kwenye blue ndo pana utata sana katika nchi yetu na dharau kubwa sana.

      Madaktari kwa hili, hakuna kurudi nyuma pambaneni mpaka mwisho wake.

    8. Miaka 50

    9. #46
      ITEGAMATWI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th January 2012
      Posts : 1,657
      Rep Power : 774
      Likes Received
      418
      Likes Given
      823

      Default Re: Madai ya ma daktari --- usanii wa serikali ya jk na ccm yake

      Quote By Bramo
      Nimenukuu baadhi ya maneno ya JK kwenye hotuba yake.
      Yani anaposema kuwa Muajiri hana uwezo wa kukulipa so yanini Dr Kugoma.
      Hii kauli inamaaana kuwa hata yale madai ya serikali kuwa wanayafanyia kazi madai yote ya Ma daktari ni Ulaghai na Usanii Mtupu, Hii inamaana kuwa Seikali ilikuwa inainawazuga tu Ma Dr ilhali haikuwa na nia ya dhat ya kutekeleza Baadhi ya Madai ya Ma Dr.

      My Take
      Drs Msirudi Nyuma, JK huyu huyu atakuja kuwapigia Magoti
      Wasirudi nyuma kivipi wakati wameshaambiwa hawana haja ya kugoma ni bora kukabidhi mikoba na amewatakia kila la kheri huko waendako.

    10. #47
      BARRY's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st October 2009
      Posts : 154
      Rep Power : 517
      Likes Received
      15
      Likes Given
      4

      Default Re: Hii ni Dharau kwa Fani ya Udaktari!

      Doctors have no guts to quit their jobs, nendeni private au abroad mkapate hela nyingi...serikali miyeyusho tu....mtakuwa kama wabunge wenu matumbo makubwa!

    11. #48
      JATELO1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2011
      Posts : 1,014
      Rep Power : 899
      Likes Received
      81
      Likes Given
      39

      Default Re: Hii ni Dharau kwa Fani ya Udaktari!

      ITEGAMATWI

      Bora wewe umeona hilo. Huyu siyo mwalimu wa UDSM, ni mtu tu baki anakuja kujustify uongo wake hapa.
      ITEGAMATWI likes this.

    12. #49
      Polisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Posts : 1,525
      Rep Power : 735
      Likes Received
      356
      Likes Given
      233

      Default Re: Hii ni Dharau kwa Fani ya Udaktari!

      Aka, mimi ndo maana nilitafakari nikaachana kabisa na somo la biology nikiwa fomu two na kufuta ndoto ya kuwa daktari.

    13. #50
      Mnyampaa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 240
      Rep Power : 470
      Likes Received
      58
      Likes Given
      15

      Default Re: Hii ni Dharau kwa Fani ya Udaktari!

      Wewe ni lecturer UDSM? Chuo chetu kimeisha. Mungu saidia nchi hii...

    14. #51
      mcfm40's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 127
      Rep Power : 458
      Likes Received
      59
      Likes Given
      1

      Default Re: Hii ni Dharau kwa Fani ya Udaktari!

      Vipi TELO mbona unatokwa povu sana? Si bure!

    15. #52
      kuzou's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 202
      Rep Power : 423
      Likes Received
      55
      Likes Given
      0

      Default Re: Hii ni Dharau kwa Fani ya Udaktari!

      hizo kozi laini mnazotaka kusoma si ndo maana mmejaa mitaani hakuna kazi,lawyers kibao mtaani,nitafutieni dr ambae hana kazi,soma miaka 5 kwa shida upate uhakika wa ajira au 3 years kilaini usote mtaani,na ingekua fani nyingine wangeshafukuzwa.bado wanathaminiwa

    16. #53
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 589
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Hii ni Dharau kwa Fani ya Udaktari!

      Quote By mcfm40
      Jamani mimi ni mwalimu nafundisha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kama Assistant Lecturer.

      Kusema kweli hii nchi haijui dhamani ya madaktari na maprofeno wengine kwa ujumla. Hivi kweli unaweza kulinganisha miaka mitano ya kusomea udaktari na miaka mitatu ya digrii nyingine hizi! Nimeshangaa eti daktari anayeanza kazi analipwa laki 9. Huu ni mshahara mdogo kuliko wa tutorial assistant aliyesomea digrii yake kwa miaka mitatu tu tena digirii laini ( nimesoma mimi arts) usinitolee mimacho! ni laini tu huwezi kulinganisha na nondo za udaktari! Kusema ukweli interns wanapaswa kulipwa minimum 2m. Yaani daktari alipwe sawa na kada nyingine? You are kidding! Kazi ya udaktari ni habari nyingine jamani tusidanganyane. Kikwete anachofanya ni kujaribu kugombanisha madaktari na wananchi! Unajua watu wa kawaida hawajui nondo za udaktari zilivyo ngumu na ilivyo ngumu kufaulu! Watu mliokimbia chemistry, physics, biology mnajua habari yake, sio mchezo!
      Ovyo kabisa wewe, labda kama ni mwalimu wa kufundisha mbumbumbu wenzio, kama ungekuwa professional hakika usingeandika huo upumbavu wa ku-criticize taaluma zingine. Umenitia kichefuchefu sana. Huu mgomo unahusika vipi na taaluma zingine, unaona wengine wote waliosoma taaluma zingine ni mavi siyo!

      Angalia katika nyekundu hapo ulivyoandika pumba.

    17. #54
      ITEGAMATWI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th January 2012
      Posts : 1,657
      Rep Power : 774
      Likes Received
      418
      Likes Given
      823

      Default Re: Hii ni Dharau kwa Fani ya Udaktari!

      Quote By Ng`wanakidiku
      Siyo kuumiza kichwa. Nafahamu agencies wanalipwa tofauti. Ila it does not make sense kufanya comparison. Waachiwe ma Dr wao na serikali, sisi wananchi tuwaombe Dr warudi kazini na si kuwatukana kwa kuwadharau, tunawavunja moyo!
      Mkuu nakubaliana na wewe lakini ndugu zetu madaktari wamezidi,nimeshtuka sana nilipoona kama madai yao yote yakitimizwa daktari atakuwa analipwa Tsh 7,700,000/= kwa mwezi kwa kuanzia na itaendelea kupanda kila mwaka.Wana madai mengine ya msingi lakini madai yao mengi yamelalia maslahi tu.Kwa kweli kwa upande wangu naona Rais amehitimisha hili suala vizuri sana.
      Last edited by ITEGAMATWI; 1st July 2012 at 22:22.

    18. #55
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 589
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Hii ni Dharau kwa Fani ya Udaktari!

      ITEGAMATWI

      Nadhani ni mhuni wa mitaani huyo.
      ITEGAMATWI likes this.

    19. #56
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 589
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Hii ni Dharau kwa Fani ya Udaktari!

      Ovyo kabisa wewe, labda kama ni mwalimu wa kufundisha mbumbumbu wenzio, kama ungekuwa professional hakika usingeandika huo upumbavu wa ku-criticize taaluma zingine. Umenitia kichefuchefu sana. Huu mgomo unahusika vipi na taaluma zingine, unaona wengine wote waliosoma taaluma zingine ni mavi siyo!

    20. #57
      DEMBA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th May 2012
      Posts : 139
      Rep Power : 381
      Likes Received
      21
      Likes Given
      9

      Default Re: JK Akana serikali kutaka kumuua Dr. Ulimboka

      hata ungekuwa wewe ungekubali??

    21. #58
      Isoliwaya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 60
      Rep Power : 371
      Likes Received
      6
      Likes Given
      2

      Default Re: Kikwete: Madokta wanapendelewa sana

      Quote By determine
      nimechoshwa na kauli eti daktari anapendelewa kwa kulipwa sana
      ........hebu nisaidieni mishahara ya hawa watu kwa level ya degree wanalipwa ngapi
      ........tanapa
      .........tra
      ..........bot
      ........bandari
      .......hazina
      ..........msd
      ..........nhif
      ..........kilimo
      ..........mahakama
      .........ubalozini/mambo ya nje
      ..........etc....etc...
      ni jasiri kaktika nini

    22. #59
      JATELO1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2011
      Posts : 1,014
      Rep Power : 899
      Likes Received
      81
      Likes Given
      39

      Default Re: Hii ni Dharau kwa Fani ya Udaktari!

      Quote By mcfm40
      Vipi telo mbona unatokwa povu sana. Au mwajiriwa wa nape nini. Si bure!
      Mimi napenda ukweli (facts) na siyo upotoshaji. Wewe ulipoleta hoja ya kujustify malipo ya mil.3.5 kwa madaktari wanaoanza kazi ulisema kwamba wewe ni Ass.Lecturer wa UDSM na kusema mengi. Mimi nilichofanya ni kuleta figure na ukweli wenyewe.

      Mimi naomba wasomaji waelewe kwamba mimi sipingi madai ya Drs wetu, lkn najaribu kuona nini justification ya wao kudai 3.5 mil.?, ukiangalia series ya yale madai utagundua kwamba priority haikuwa mazingira ya kazi bali madai binafsi. Madai yao ni ya msingi, lkn nashawishika kuamini kwamba Drs hawakuwa na timu nzuri inayoelewa nini cha kunegotiate na serikali. Wao walikwenda kwenye negotiations kama watu wa kwenda kutoa maelekezo basi. Na hili mimi ndiyo nashawishika kuamini kwamba Drs wetu hawajafanikiwa kwenye madai yao kwasababu hawakuwa na timu iliyojiandaa na kujua nini tofauti kati ya negotiations na madai. Kwenye negotiations lazima uweze kujustify offer zako na si kutoa maelekezo.
      ITEGAMATWI likes this.

    23. #60
      Mbutunanga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th February 2011
      Posts : 182
      Rep Power : 523
      Likes Received
      45
      Likes Given
      65

      Default Re: Hii ni Dharau kwa Fani ya Udaktari!

      Hivi kwa nini serikali ili iondoe hii sintofahamu ya mishahara na watu kuhisi wanaonewa, kwa nini isitoe hadharani ni nani analipwa nini na marupurupu yake. Kwa mfano rais analipwa tsh ngapi na marupurupu yake ni nini, waziri mkuu, mawaziri, wabunge, wakurugenzi, wakuu wa mikoa, TANESCO, TRA, TANAPA, BOT, BANDARIni, madaktari, manesi, maphamasia, WALIMU, wanyama pori, Askari polisi. Yaani iwe wazi na watu wajitambue, hii itapunguza manung'uniko au itaongeza.

    Page 3 of 9 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...