Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Iddi Simba kuhamia CHADEMA

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 44
    1. #1
      wimbi la mbele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2011
      Posts : 646
      Rep Power : 2877
      Likes Received
      235
      Likes Given
      61

      Default Iddi Simba kuhamia CHADEMA

      Baada ya kuwaudhi watu ndani ya CCM na wao kumuandalia mpango kabambe wa kumfilisi baada ya ile skendo ya UDA kuna tetesi zimeenea hapa mjini kuwa IDDI SIMBA yuko mbioni kuhamia CHADEMA

      narudia hizi ni tetesi lakini kama mtu Iddi Simba leo akihamia CHADEMA naamini kuwa yale mashamba yooote yaliyopo ngara aliyowauzia wamarekani yatarudi mikononi mwa wa Tanzania.

      M4C for life!

    2. Miaka 50

    3. #2
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,141
      Rep Power : 14292
      Likes Received
      4022
      Likes Given
      3287

      Default Re: Iddi Simba kuhamia CHADEMA

      Kwa hiyo....
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '





    4. #3
      Don Draper's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 138
      Rep Power : 379
      Likes Received
      62
      Likes Given
      25

      Default Re: Iddi Simba kuhamia CHADEMA


    5. PPM
      #4
      PPM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 403
      Rep Power : 474
      Likes Received
      65
      Likes Given
      38

      Default Re: Iddi Simba kuhamia CHADEMA

      Quote By HANS ROGER DIBAGULA
      Baada ya kuwaudhi watu ndani ya CCM na wao kumuandalia mpango kabambe wa kumfilisi baada ya ile skendo ya UDA kuna tetesi zimeenea hapa mjini kuwa IDDI SIMBA yuko mbioni kuhamia CHADEMA

      narudia hizi ni tetesi lakini kama mtu Iddi Simba leo akihamia CHADEMA naamini kuwa yale mashamba yooote yaliyopo ngara aliyowauzia wamarekani yatarudi mikononi mwa wa Tanganyika.

      M4C for life!
      abaki uko uko ameshapoteza mvuto huyo

    6. #5
      KirilOriginal's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th February 2012
      Posts : 662
      Rep Power : 587
      Likes Received
      185
      Likes Given
      101

      Default Re: Iddi Simba kuhamia CHADEMA

      Milele haitakaa itokee, milele tafuta habari nyingine.
      mchaichai likes this.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Apolonary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : SAN DIEGO COMMUNITY
      Posts : 1,472
      Rep Power : 685
      Likes Received
      257
      Likes Given
      30

      Default Re: Iddi Simba kuhamia CHADEMA

      nikafikir ni mutu mwenye ushawish ndani ya jamii kumbe hata ccm wamemchoka! Aende tlp

    9. #7
      MwanaFalsafa1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 5,451
      Rep Power : 9880
      Likes Received
      615
      Likes Given
      448

      Default Re: Iddi Simba kuhamia CHADEMA

      Iddi Simba is a political has been. He is of no use to any political party. He has missed his opportunity to be an elder statesmen.

    10. #8
      Vin Diesel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2011
      Posts : 5,866
      Rep Power : 19947
      Likes Received
      2792
      Likes Given
      1615

      Default Re: Iddi Simba kuhamia CHADEMA

      galasa.....

    11. #9
      Blayi wa Mpwapwa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 106
      Rep Power : 392
      Likes Received
      41
      Likes Given
      0

      Default Re: Iddi Simba kuhamia CHADEMA

      .IDD SIMBA CHADEMA HAWEZI KUKUBALIWA KAMWEEEEEEEEEE



      Nakataa, nakataa, nakataa japokuwa mimi ni kidampa tu CDM, lakini ninaamini kabisa Idd Simba akiomba kuhamia CDM atakataliwa kama vile mtu anayeumwa kichaa cha mbwa anavyoyakataa maji.

      Ikumbukwe kwamba CCM imezalaurika mbele ya jamii kwa mtindo huo huo wa kukiuka maadili yake iliyojiwekea kwamba uadilifu ni moja ya vigezo vya watu kukubalika kukiongoza. Baada ya waasisi wa chama hicho kutangulia kwenye haki, basi wahuni wakakivamia chama chetu tunachokipenda matokeo yake sisi wakulima , wafanya kazi, wavuvi na wakwea minazi tukawa siyo kitu mbele ya chama cha CCM.

      Baada ya matajiri kukivamia chama hicho ndipo kimepoteza mvuto kabisa na sasa kinakufa pole pole, wakati ule watu kama hao walikuwa hawakubaliki kamwe, sasa Idd Simba aende CHADEMA akafanye nini?

      Watu wafuatao kwa tabia zao hawafai kabisa kuwa viongozi wa chama chochote iwe CCM, CHADEMA CUF n,kna wakiwa viongozi wa vyama kati ya hivyo nilivyovitaja basi chama hicho kitakufa polepole kama mtu afae kwa corbon monoxide poisoning.

      I. IDD SIMBA
      II. ROSTAM AZIZ
      III. ADEN RAGE
      IV. ANDREW CHENGE
      V. KARAMAGI


      Na wengine ongezea. ( muliokaribu na Nape Nnawie mwonyesheni asome haya.)

    12. #10
      Don Draper's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 138
      Rep Power : 379
      Likes Received
      62
      Likes Given
      25

      Default Re: Iddi Simba kuhamia CHADEMA

      ana kampuni yake hii hapa:

      About Us | Serengeti Advisers

      hana njaa kama mnavyotaka kumsingizia

    13. #11
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,267
      Rep Power : 3568
      Likes Received
      3074
      Likes Given
      464

      Default Re: Iddi Simba kuhamia CHADEMA

      Quote By HANS ROGER DIBAGULA
      Baada ya kuwaudhi watu ndani ya CCM na wao kumuandalia mpango kabambe wa kumfilisi baada ya ile skendo ya UDA kuna tetesi zimeenea hapa mjini kuwa IDDI SIMBA yuko mbioni kuhamia CHADEMA

      narudia hizi ni tetesi lakini kama mtu Iddi Simba leo akihamia CHADEMA naamini kuwa yale mashamba yooote yaliyopo ngara aliyowauzia wamarekani yatarudi mikononi mwa wa Tanganyika.

      M4C for life!



      Mtoto wa Kiume pekee wa IDD SIMBA ameoa kwa BOB MAKANI yule Daktari bingwa wa

      Sickle Cell kwahiyo itakuwa kama waliongea vile Lakini IDD SIMBA Mmmm Ni

      Mtoto wa SAIGON, Mikono yake imepita sehemu nyingi kweli ana Mali ndio lakini

      Kazidodosa kivyake vyake; lakini alikuwa MALI anazo tangu hajaingia kwenye

      siasa za CCM haulinganishi na kina Malecela, Mramba, Riz1, Yona, Mkapa, n.k

    14. #12
      Sema Chilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2012
      Posts : 309
      Rep Power : 423
      Likes Received
      21
      Likes Given
      20

      Default Re: Iddi Simba kuhamia CHADEMA

      Tetesi zingine ni mfu kabisa

    15. #13
      Duduwasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 2,620
      Rep Power : 6249
      Likes Received
      523
      Likes Given
      418

      Default Re: Iddi Simba kuhamia CHADEMA

      Ana mikono Michafu

    16. #14
      JamboJema's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 14th June 2011
      Location : Mwanza
      Posts : 755
      Rep Power : 553
      Likes Received
      82
      Likes Given
      216

      Default Re: Iddi Simba kuhamia CHADEMA

      Mzinzi akiacha uzinzi, akaomba kuokoka, kanisa litamkataa???!!!

    17. #15
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,516
      Rep Power : 19792
      Likes Received
      4314
      Likes Given
      1294

      Default

      Quote By JamboJema
      Mzinzi akiacha uzinzi, akaomba kuokoka, kanisa litamkataa???!!!
      huwezi kuacha utoto hata ukipewa ushauri wa kuacha?

      Kama hupo makini hebu twambie kanisa kwenye hii mada liko wapi?

    18. #16
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,516
      Rep Power : 19792
      Likes Received
      4314
      Likes Given
      1294

      Default Re: Iddi Simba kuhamia CHADEMA

      Kwakweli mtoa mada leo umeangaika sana kuichafua cdm.

      Yan pamoja na kuja na nyuzi lukuki umeambulia patupu!

      Nakushauri tena ujipange upya.

    19. #17
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,647
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Iddi Simba kuhamia CHADEMA

      Idd Simba...that is not an asset but a liability. Aendelee kukaa alipokaa.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    20. #18
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,533
      Rep Power : 1263
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default Re: Iddi Simba kuhamia CHADEMA

      huyo mla rushwa ataiharibu cdm
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    21. #19
      paty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : never never land
      Posts : 1,025
      Rep Power : 975
      Likes Received
      270
      Likes Given
      62

      Default Re: Iddi Simba kuhamia CHADEMA

      hapana haiseee, yaani nii kheri EL kuliko huyu IS , ahamie CHAUSTA, seat zimejaa M4C
      Kigogo likes this.
      CHADEMA mwendo mdundo - T 2015 CDM

    22. #20
      Duduwasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 2,620
      Rep Power : 6249
      Likes Received
      523
      Likes Given
      418

      Default Re: Iddi Simba kuhamia CHADEMA

      Hivi alishapata Uraia huyu? Mrundi

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...