Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Taarifa kwa wananchi na wafanyakazi wote wa hospitali ya taifa muhimbili

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 33
    1. #1
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 987
      Likes Received
      709
      Likes Given
      400

      Default Taarifa kwa wananchi na wafanyakazi wote wa hospitali ya taifa muhimbili



      Bodi ya Wadhamini ya Hospitali ya Taifa Muhimbili ilikutana tarehe 28 Juni 2012 kujadili na kutathmini hali ya utendaji na utoaji wa huduma hivi sasa katika Hospitali. Imebainika kwamba utoaji huduma umeathirika kutokana na mgomo wa baadhi ya madaktari unaondelea kwa takriban wiki moja sasa tangu ulipoanza Jumamosi ya tarehe 23 Juni 2012.

      Baada ya tathmini hiyo, Bodi ya Wadhamini imeagiza yafuatayoi) Madaktari waliopo kazini waendelee na kazi kama kawaida;(ii) Madaktari waliogoma warejee kazini kutii amri ya Mahakama Kuu Kitengo cha kazi, kwa mujibu wa Kifungu Na. 76 (1) na (2) cha Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini ya mwaka 2004.(iii) Madaktari waliopo likizo warejee kazini mara moja. Utaratibu wa kufidia likizo na nauli zao umeandaliwa. (iv) Uongozi wa Hospitali uwachukulie hatua za kinidhamu wafanyakazi wote watakaoendelea kutokuhudhuria kazini na kufanya kazi bila sababu za msingi kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na taratibu za kazi;(v) Uongozi wa Hospitali ufute mara moja ‘rotations’ za Madaktari waliopo kwenye mafunzo kwa vitendo (interns); na(vi) Uongozi wa Hospitali uwapange (re-deploy) Madaktari na Madaktari Bingwa waliopo kwenye maeneo yaliyoathirika wakati huu wa mgomo

      Aidha, Bodi ya Wadhamini inawashukuru sana madaktari na wafanyakazi wote ambao wameendelea kuwahudumia wagonjwa wetu na wananchi kwa ujumla. Vilevile, Bodi ya Wadhamini inawasihi madaktari na wafanyakazi wote wawe na subira na waheshimu sheria, kanuni na taratibu zilizopo pamoja na maadili ya taaluma zao.

      _________________Dkt. Gabriel UpundaKAIMU MWENYEKITIBODI YA WADHAMINI


      Kiganyi, JF.
      Mwanzo - ---------------
      Maundumula and gango2 like this.


    2. #2
      Futota's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th December 2010
      Posts : 466
      Rep Power : 525
      Likes Received
      66
      Likes Given
      31

      Default Re: Taarifa kwa wananchi na wafanyakazi wote wa hospitali ya taifa muhimbili

      Hapo sasa kazi kwa madaktari, "ukisimama mchale, ukikimbia mchale"

    3. #3
      Bakulutu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th November 2011
      Location : Mass Planet
      Posts : 654
      Rep Power : 511
      Likes Received
      145
      Likes Given
      76

      Default Re: Taarifa kwa wananchi na wafanyakazi wote wa hospitali ya taifa muhimbili

      ngoma ya watoto haikeshi...ila ya kiutuuzima mpaka kokoriko!!!

    4. #4
      Iselamagazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Boma ng'ombe, Hai
      Posts : 870
      Rep Power : 4734
      Likes Received
      273
      Likes Given
      313

      Default Re: Taarifa kwa wananchi na wafanyakazi wote wa hospitali ya taifa muhimbili

      Quote By Kiganyi View Post


      Bodi ya Wadhamini ya Hospitali ya Taifa Muhimbili ilikutana tarehe 28 Juni 2012 kujadili na kutathmini hali ya utendaji na utoaji wa huduma hivi sasa katika Hospitali. Imebainika kwamba utoaji huduma umeathirika kutokana na mgomo wa baadhi ya madaktari unaondelea kwa takriban wiki moja sasa tangu ulipoanza Jumamosi ya tarehe 23 Juni 2012.

      Baada ya tathmini hiyo, Bodi ya Wadhamini imeagiza yafuatayoi) Madaktari waliopo kazini waendelee na kazi kama kawaida;(ii) Madaktari waliogoma warejee kazini kutii amri ya Mahakama Kuu Kitengo cha kazi, kwa mujibu wa Kifungu Na. 76 (1) na (2) cha Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini ya mwaka 2004.(iii) Madaktari waliopo likizo warejee kazini mara moja. Utaratibu wa kufidia likizo na nauli zao umeandaliwa. (iv) Uongozi wa Hospitali uwachukulie hatua za kinidhamu wafanyakazi wote watakaoendelea kutokuhudhuria kazini na kufanya kazi bila sababu za msingi kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na taratibu za kazi;(v) Uongozi wa Hospitali ufute mara moja ‘rotations’ za Madaktari waliopo kwenye mafunzo kwa vitendo (interns); na(vi) Uongozi wa Hospitali uwapange (re-deploy) Madaktari na Madaktari Bingwa waliopo kwenye maeneo yaliyoathirika wakati huu wa mgomo

      Aidha, Bodi ya Wadhamini inawashukuru sana madaktari na wafanyakazi wote ambao wameendelea kuwahudumia wagonjwa wetu na wananchi kwa ujumla. Vilevile, Bodi ya Wadhamini inawasihi madaktari na wafanyakazi wote wawe na subira na waheshimu sheria, kanuni na taratibu zilizopo pamoja na maadili ya taaluma zao.

      _________________Dkt. Gabriel UpundaKAIMU MWENYEKITIBODI YA WADHAMINI


      Kiganyi, JF.
      Mwanzo - ---------------
      Sasa naona hii serikali yetu ya chama cha Sisiem inatumia nguvu kuhusu hili sakata la madaktari. Kweli tutafika namna hii?

      patience96 likes this.
      Do unto others as you would have them do unto you.

    5. #5
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,358
      Rep Power : 1848
      Likes Received
      1412
      Likes Given
      0

      Default Re: Taarifa kwa wananchi na wafanyakazi wote wa hospitali ya taifa muhimbili

      na hao toka iran wanaenda hosp. Gani?
      namshitu kazeni likes this.


    6. #6
      rocket ranger's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Taarifa kwa wananchi na wafanyakazi wote wa hospitali ya taifa muhimbili


    7. FJM is offline
      FJM
      #7
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,213
      Rep Power : 2580
      Likes Received
      5344
      Likes Given
      4607

      Default Re: Taarifa kwa wananchi na wafanyakazi wote wa hospitali ya taifa muhimbili

      Sasa naanza kupata picha kwa nini hii nchi iko kama kichwa cha mwendawazimu. Badala ya kutatua tatizo, serikali ya CCM inatumia maujanjaunja kufunika kombe. Huu ni mtindo wa kizamani. Hizi body, mara waajiri walikuwa wapi wakati huduma za afya zinaanza kudorora? Ningekuwa na uwezo ningeifutilia mbali hii bodi maana imekuwa kipofu kwa muda mrefu wakati mambo yanaanza kuaharibika.

      Na hata kama madaktari watarudi wote kazini haitabadilisha ukweli kwamba hospitali hazina vitendea kazi wala dawa. Wagonjwa wanalala chini, hakuna dawa, hakuna x-ray sasa hawa watu wa boda boda wanaogongwa kila siku watatibiwa vipi? kwa ramli?

      Kwa nini hatuko realistic, au serikali inadhani kukubali (hata kama ni nusu) ya madai ya madaktari itaonekana dhaifu?

    8. #8
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,914
      Rep Power : 1702
      Likes Received
      1367
      Likes Given
      284

      Default Re: Taarifa kwa wananchi na wafanyakazi wote wa hospitali ya taifa muhimbili

      kukurukakara za kumfikisha Punda mtoni!swali ni kwamba ,je maji yatanyweka?
      namshitu kazeni likes this.

    9. #9
      Ulukolokwitanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,774
      Rep Power : 5974
      Likes Received
      1504
      Likes Given
      283

      Default Re: Taarifa kwa wananchi na wafanyakazi wote wa hospitali ya taifa muhimbili

      Hadi 2015 tutakutana na mambo mengi sana watanzania, tutajuuuuuta kuchagua kiongozi kwa kuangalia tabasamu na sio uwezo wa kuongoza. Combination ya JK na Pinda ni janga la kidunia, sijui nani huwa anamshauri mwenzie?? Eti hizo ndio cream za Taifa tumezipa nafasi za juu kabisa kutuongoza, what a Joke.

    10. #10
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,542
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      29

      Default Re: Taarifa kwa wananchi na wafanyakazi wote wa hospitali ya taifa muhimbili

      ni aibu mtanzania leo hii kutibiwa na madaktari kutoka india kwani hakuna madaktari hapa africa mpaka wakachukue madaktari huko uarabuni
      namshitu kazeni likes this.
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    11. #11
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,779
      Rep Power : 19847
      Likes Received
      4407
      Likes Given
      1715

      Default Re: Taarifa kwa wananchi na wafanyakazi wote wa hospitali ya taifa muhimbili

      Si mlisema mna waleta toka nje?
      namshitu kazeni likes this.

    12. #12
      Mboja's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th September 2010
      Posts : 133
      Rep Power : 468
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Taarifa kwa wananchi na wafanyakazi wote wa hospitali ya taifa muhimbili

      Viongozi wa Tz walio kuwa wamezoea ramli za kina shehe Yahaya Mh! Vasco kila akiongea utaskia ndugu wananchi, hao wanao jiita Bodi ya wakurugenzi eti tarifa kwanachi ,Kujikomba. Wa Tanzania wenzangu hawa watu tuliwapa madaraka wametubip mara zote hizi kwa nini tuwapigie japo mara moja tu watuachie nchi yetu?

    13. #13
      Zipuwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Posts : 2,206
      Rep Power : 875
      Likes Received
      310
      Likes Given
      123

      Default Re: Taarifa kwa wananchi na wafanyakazi wote wa hospitali ya taifa muhimbili

      Body dhaifu
      namshitu kazeni likes this.
      Maisha yetu ni mafupi lazima tuyatete kwa namna yeyote ile!

    14. #14
      BIG Banned's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Location : Banned
      Posts : 263
      Rep Power : 411
      Likes Received
      63
      Likes Given
      77

      Default Re: Taarifa kwa wananchi na wafanyakazi wote wa hospitali ya taifa muhimbili

      Hapo sasa ndio madaktari watakapo anza kugawanyika. Wakigawanyika tu watakuwa wamesaliti wenzao wenye msimamo na damu ya mwenyekiti wao ulimboka itakuwa imeenda bure. Pamoja na yote madaktari wafanye maamuzi ya pamoja, wasigawanyike hata kama ni kuendelea kutoa huduma.
      namshitu kazeni likes this.
      Vua GAMBA Vaa GWANDA

    15. #15
      Nambombe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 159
      Rep Power : 387
      Likes Received
      12
      Likes Given
      6

      Default Re: Taarifa kwa wananchi na wafanyakazi wote wa hospitali ya taifa muhimbili

      kikwete yupo hoi wazee
      namshitu kazeni likes this.

    16. #16
      Chal's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th October 2010
      Posts : 114
      Rep Power : 463
      Likes Received
      45
      Likes Given
      4

      Default Re: Taarifa kwa wananchi na wafanyakazi wote wa hospitali ya taifa muhimbili

      Quote By Kiganyi View Post


      Bodi ya Wadhamini ya Hospitali ya Taifa Muhimbili ilikutana tarehe 28 Juni 2012 kujadili na kutathmini hali ya utendaji na utoaji wa huduma hivi sasa katika Hospitali. Imebainika kwamba utoaji huduma umeathirika kutokana na mgomo wa baadhi ya madaktari unaondelea kwa takriban wiki moja sasa tangu ulipoanza Jumamosi ya tarehe 23 Juni 2012.

      Baada ya tathmini hiyo, Bodi ya Wadhamini imeagiza yafuatayoi) Madaktari waliopo kazini waendelee na kazi kama kawaida;(ii) Madaktari waliogoma warejee kazini kutii amri ya Mahakama Kuu Kitengo cha kazi, kwa mujibu wa Kifungu Na. 76 (1) na (2) cha Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini ya mwaka 2004.(iii) Madaktari waliopo likizo warejee kazini mara moja. Utaratibu wa kufidia likizo na nauli zao umeandaliwa. (iv) Uongozi wa Hospitali uwachukulie hatua za kinidhamu wafanyakazi wote watakaoendelea kutokuhudhuria kazini na kufanya kazi bila sababu za msingi kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na taratibu za kazi;(v) Uongozi wa Hospitali ufute mara moja ‘rotations’ za Madaktari waliopo kwenye mafunzo kwa vitendo (interns); na(vi) Uongozi wa Hospitali uwapange (re-deploy) Madaktari na Madaktari Bingwa waliopo kwenye maeneo yaliyoathirika wakati huu wa mgomo

      Aidha, Bodi ya Wadhamini inawashukuru sana madaktari na wafanyakazi wote ambao wameendelea kuwahudumia wagonjwa wetu na wananchi kwa ujumla. Vilevile, Bodi ya Wadhamini inawasihi madaktari na wafanyakazi wote wawe na subira na waheshimu sheria, kanuni na taratibu zilizopo pamoja na maadili ya taaluma zao.

      _________________Dkt. Gabriel UpundaKAIMU MWENYEKITIBODI YA WADHAMINI


      Kiganyi, JF.
      Mwanzo - ---------------

      hapo kwenye red karibu hosp zote wanawafukuza interns, hapa narejea kauli ya MR President katika hotuba yake "Kwa madaktari interns, wanahatarisha maisha yao kwani hawatapata cheti cha kudumu wakishiriki mgomo usiokuwa halali. Lazima watafakari sana kwa hayo wafanyayo"...

    17. #17
      mansakankanmusa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Posts : 991
      Rep Power : 557
      Likes Received
      190
      Likes Given
      175

      Cool Re: Taarifa kwa wananchi na wafanyakazi wote wa hospitali ya taifa muhimbili

      wakuu mnaochangia kwenye thread, fupisha maoni yako, ama sivyo wasomaji wana skip
      namshitu kazeni likes this.
      I only offer an opinion someone don't f**k with me . It's important to be a good listener, and that means you shut your mouth and let other jf member talk.

    18. #18
      mwarain's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 56
      Rep Power : 382
      Likes Received
      17
      Likes Given
      70

      Default Re: Taarifa kwa wananchi na wafanyakazi wote wa hospitali ya taifa muhimbili

      ili Document iwe valid sahihi ya mtoa document iwepo! Sasa mbona hakuna signature? Hizo ni propaganda tu hakuna bodi iliyokaa wala nini! SOLIDARITY FOREVER Drs!!!
      Hakuna mtu kurudi hiyo J3!
      namshitu kazeni likes this.

    19. #19
      Kibanga Ampiga Mkoloni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2007
      Location : Here! here!
      Posts : 5,103
      Rep Power : 1780
      Likes Received
      1271
      Likes Given
      1710

      Default Re: Taarifa kwa wananchi na wafanyakazi wote wa hospitali ya taifa muhimbili

      Hvi inakuwaje wanachukua hatua wakati kesi ipo mahakamani?
      Si wasubiri uamuzi wa mahakama?
      mizambwa and namshitu kazeni like this.
      For the Holy Quran says in Sura 42, verse 41: 'All those who fight when oppressed incur no guilt, but Allah shall punish the oppressor, Come the day.

    20. #20
      Rogie's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Location : Darul Islamia
      Posts : 1,958
      Rep Power : 1158
      Likes Received
      495
      Likes Given
      340

      Default Re: Taarifa kwa wananchi na wafanyakazi wote wa hospitali ya taifa muhimbili

      Yan hii nchi ya ajabu sana..wakati watanzania hawajapatiwa ufumbuzi wa masuala ya msingi juu ya madaktari kugoma ili kuboresha mazingira ya kazi ...viongozi wenu wanajiandaa kucheza mechi ya wabunge wa Simba na Yanga halafu Rais wenu ndo refa...Tanzania bwana kweli kichwa cha mwendawazimu...

      Inaniuma sana..source mizambwa
      mizambwa and namshitu kazeni like this.
      "One day your eyes will open and your mind will learn,with pain and laughter,you will know what you are."
      [email protected]

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...