Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Watanzania tuamke

    Report Post
    Results 1 to 4 of 4
    1. #1
      melimeli maganga pau's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd June 2012
      Posts : 118
      Rep Power : 375
      Likes Received
      28
      Likes Given
      1

      Default Watanzania tuamke

      Sisi watanzania tumefanywa kama hatuna uelewa lakini kuna baadhi ya watu ambao hawana uchungu wa nchi hii hususa yule mbunge wa nzega aliyesimama bungeni na kusema MTU YOYOTE MWENYE UCHUNGU NA NCHI HII AENDE HOSPITALI AKAZAE hayo ni maneno ya kejeli kwa watanzania
      JeanPrierre likes this.


    2. #2
      Straddler's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2009
      Posts : 647
      Rep Power : 9123
      Likes Received
      139
      Likes Given
      164

      Default Re: Watanzania tuamke

      Hata miye nimemsikia huyo Mbunge..... Lakini tutafanya nini?
      .....Tunaogopa kupelekwa Mabepwande!!!
      In my country we go to prison first, then become President - Nelson Mandela.

    3. #3
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,455
      Rep Power : 19240
      Likes Received
      4170
      Likes Given
      3361

      Default Re: Watanzania tuamke

      Quote By Straddler
      Hata miye nimemsikia huyo Mbunge..... Lakini tutafanya nini?
      .....Tunaogopa kupelekwa Mabepwande!!!
      Usiogope maana usipo pelekwa wewe atapeleka mtoto wako,mkeo au ndugu yako....Huyo mbunge dawa yake 2015 binafsi nitamwezesha kadri ya uwezo wangu mbunge wa upinzani atakae onekana kuwa na nguvu kumuondoa huyo gamba...
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X





    4. #4
      blue arrow's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 236
      Rep Power : 411
      Likes Received
      10
      Likes Given
      3

      Default Re: Watanzania tuamke

      Huyu mbunge haitambui kama yeye ni mjamzito na kwamba anatakiwa ajifungue 2015 ? siku hiyo atajua kama mwenye uchungu ni chadema au yeye

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...