Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mgomo wa walimu: Watoto wa wakubwa wanasoma private? Hakiwashtui

    Report Post
    Results 1 to 8 of 8
    1. #1
      Profesa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : Anywhere in Africa
      Posts : 556
      Rep Power : 763
      Likes Received
      237
      Likes Given
      365

      Default Mgomo wa walimu: Watoto wa wakubwa wanasoma private? Hakiwashtui

      Bado mnataka kura 2015?

      Kama wewe ni kingozi wa kweli wa nchi hii, mwenye mapenzi mema na taifa hili, waondoeni watoto wenu kwenye hayo mashule ya private ya ki-st... na muwarudishe kwenye mashule ya serikali ikiwemo primary na sekondari (kwa sekondari, ni hasa wale waliofaulu). Walimu hebu ibukeni na data za wanafunzi ambao hawakuripoti shuleni hata kama walichaguliwa na wakapelekwa Feza... na kwengineko? Na watoto wangapi wa wakubwa wako kwenye mashule binafsi ya msingi na nasary? Maana hili ndilo linalofanya wasijali kabisa maendeleo ya elimu ya wengi wetu. Hawana njaa hao, hawana shida ya nyumba wala usafiri, watoto wao wanaenda shule na magari na wote wako hapa Dar es Salaam, huko nangulukulu watakuja ziarani tu na kama hawajapewa posho ya kutembelea hawaji!

      Walimu na madaktari msikate tamaa, mpaka kieleweke, ninachotaka hawa viongozi mpaka wajifunze kuwa uongoziz ni dhamana sio ufalme kwamba unataka uabudiwe, wawe na utu wakati wa kushughulikia malalamiko ya wananchi wake. Tumewapa dhamana hawa viongozi, kama kitu hakiwezekani wasitoe maneno ya udhalilishaji na ubabaishaji kwa kusingizia upinzani au eti maadui wa chama, wakati ni wazi kabisa ndani ya serikali mambo hayaendi sawa! Kama kuna ugumu, toeni maaelezo na ushahidi wa mambo, kwanini serikali haiwezi kuongeza mafao ya walimu au kuyashughulikia, sio kusema tu hamna fedha, sio jibu linalojitisholeza.

      Kama serikali inataka ichaguliwe tena, kwa kizazi hiki waliko kazini kwenye maofisi mengi ya serikali na binafsi, huwezi kutumia ubabe hata kidogo, kuna idadi kubwa ya vijana ambao wameelimishwa na media na thinking yao is so different, haifanani na yakina Mheshimiwa Wasira na wenzanke. Heshima ina maaana tofauti, si unyenyekevu tena (kwakuwa kipindi kilichopita ukiwa na cheo hata kama unafanya upuuzi hakuna anaeibuka na kukusoa tu, lazima atumie unyenyekevu wa hali ya juu), ila ni heshima na utu, na kuthamini maoni na mawazo ya kila mmoja. Mnalielewa hili? Na tena, kutumia hoja chanya kujibu maoni hasi na pingamizi ya mambo. Amkeni madaktari na walimu walioko kazini idadi yao kubwa ni kizazi kpya hawajapita JKT, wala hawakusoma katiba ya CCM kama somo kama wengi wenu mlioko madarakani. Hawafikiri na kuamua kama nyinyi!

      Hawa ndiyo, wapiga kura 2015! CCM mlioshika hatamu please change and adopt new trends, ongeeni na walimu kwa busara na uvumilivu, msituingize shimoni. Ongeeni na walimu na wekeni mambo yenu wazi na mipango na muwe na hoja ili wawaelewe, msitarajie heshima kwa kuwa wababe nakutarajia kuabduiwa hawatafanya hivyo hawa ni kizazi kingine. Na hakuna cha ajabu, Tanzania ina changamoto kama nchi nyingine Afrika, so treat all of the Doctors and Teachers as human being and important, na ni sehemu ya watu ambao nyinyi ni viongozi wao.

      Msisababishe watu wakachagua chama ili mradi tu wanataka mabadiliko, kwakuchoshwa na tabia zenu mbaya za kutokukubali kubadilika na kushughulika na kero za wazi za wananchi.
      Last edited by Profesa; 1st July 2012 at 13:20.
      Ndumbayeye likes this.


    2. PPM is offline
      PPM
      #2
      PPM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 406
      Rep Power : 479
      Likes Received
      65
      Likes Given
      38

      Default Re: Mgomo wa walimu: Watoto wa wakubwa wanasoma private? Hakiwashtui

      Walimu ni wachumba tu hao, hawawezi goma

    3. #3
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,468
      Rep Power : 19243
      Likes Received
      4188
      Likes Given
      3368

      Default Re: Mgomo wa walimu: Watoto wa wakubwa wanasoma private? Hakiwashtui

      Walisema kuanzia leo ni mgomo je nao wako kwenye mgomo....
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X





    4. #4
      kadoda11's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : planet earth
      Posts : 1,445
      Rep Power : 717
      Likes Received
      361
      Likes Given
      183

      Default Re: Mgomo wa walimu: Watoto wa wakubwa wanasoma private? Hakiwashtui

      natamani formula ya hii migomo iwe hivi:
      ma-doctor+walimu+wauza mafuta+wasafishaji+wafanyakazi =boooooom!
      "The only true wisdom is in knowing you know nothing"

    5. #5
      AMKA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th July 2011
      Posts : 43
      Rep Power : 410
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Mgomo wa walimu: Watoto wa wakubwa wanasoma private? Hakiwashtui

      Tatizo la walimu wakitishiwa kidogo wanaogopa


    6. #6
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,913
      Rep Power : 980
      Likes Received
      840
      Likes Given
      564

      Default Re: Mgomo wa walimu: Watoto wa wakubwa wanasoma private? Hakiwashtui

      walimu nguvu ya soda,wengi wanaishi kwa mikopo,wanaogopa wakigoma harafu wakafukuzwa taasisi za mikopo zinawakula

    7. #7
      nsami's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th March 2012
      Posts : 18
      Rep Power : 369
      Likes Received
      7
      Likes Given
      13

      Default Re: Mgomo wa walimu: Watoto wa wakubwa wanasoma private? Hakiwashtui

      Quote By Money stunna View Post
      walimu nguvu ya soda,wengi wanaishi kwa mikopo,wanaogopa wakigoma harafu wakafukuzwa taasisi za mikopo zinawakula
      mkuu waalimu walio wengi ss hvi ni product kutoka vyuo vikuu achana na wzee wa enzi za mwalimu tatzo ambalo lipo hawajapata kiongoz kama ulimboka na hii inatokana na viongozi wengi ni walewale akina mgaya etc.tunahitaji vijana washkile tucta na vyma vingne

    8. #8
      Profesa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : Anywhere in Africa
      Posts : 556
      Rep Power : 763
      Likes Received
      237
      Likes Given
      365

      Default Re: Mgomo wa walimu: Watoto wa wakubwa wanasoma private? Hakiwashtui

      Naona mnawachokoza ili muone matunda yao halisi ya kile walichokusudia... Faida ni nini, uma utaamka na kuibana serikali ishghulikie swala hili, ikishindwa, ajenda inabadilika kama kawaida, inakuwa swala lingine kabisa la kisiasa... Aluta Continuum, unless my Leaders change their way and attitude. Mheshimiwa Mwinyi akifunga baraza la maulidi mwaka jana alisema "ukiona mwenzako anayolewa, wewe tima maji kicha chako" akifanya reference kwa hali ilivyokluwa huko kaskazini mwa Afrika katika nchi za kiarabu za Afrika. Sasa basi, badala ya kusubiri mpaka utie maji, CCM just be realistic and start working on the situation.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...