Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Madaktari wakataa msaada wa Serikali kugharamia matibabu ya Dr Ulimboka

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 49
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,427
      Rep Power : 10875
      Likes Received
      3803
      Likes Given
      426

      Default Madaktari wakataa msaada wa Serikali kugharamia matibabu ya Dr Ulimboka

      Jumuiya ya madaktari Tanzania imekataa msaada wa serikali kwa ajili ya kugharamia matibabu ya Dr Ulimboka Stephen.
      Msemaji wa wizara ya Afya Nsachris Mwamwaja jana alisema serikali ilikuwa tayari kugharamia matibabu ya kiongozi huyo wa madaktari lakini msaada wao ulikataliwa.Alisema walizuiwa na madaktari ambao waliitaka serikali ikae mbali kabisa na matibabu ya Dr Ulimboka.Alisema kitendo hicho kiliihuzunisha sana serikali.
      Ndani ya saa 24 watanzania kwa mshikamano na umoja wa hali ya juu wamechanga zaidi ya shilingi milioni 63 kiasi ambacho kilihitajika kumpeleka Dr Ulimboka nje ya nchi kujaribu kuokoa maisha yake.

      Source:Mwananchi Jumapili.
      temubeatrice and BHULULU like this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Bhbm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2009
      Posts : 650
      Rep Power : 616
      Likes Received
      151
      Likes Given
      0

      Default Re: Madaktari wakataa msaada wa Serikali kugharamia matibabu ya Dr Ulimboka

      Safi sana. Liwalo na liwe.

    4. #3
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Bhbm
      Safi sana. Liwalo na liwe.
      mh,bhbm lugha uanyoitumia si nzuri,nakuheshim sana' mr Liwalo

    5. #4
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,055
      Rep Power : 810
      Likes Received
      182
      Likes Given
      11

      Default Re: Madaktari wakataa msaada wa Serikali kugharamia matibabu ya Dr Ulimboka

      Msuli bado unatunishwa, na sijui mwisho wa siku ni nani ataibuka bingwa kati ya mahasimu wakubwa serikali na madokta. Ila naona wachezaji wengi wa timu ya serikali wanaonyeshwa kadi za njano kwa kuwafanyia rafu mbaya wachezaji wa timu ya madokta. Na naona Ikulu imepewa kadi nyekundu baada ya kusadikika kufanya faulo mbaya dhidi ya mchezaji mmoja wa timu pinzani.
      God shows his love to us in that while we were yet sinners Christ died for us.
      dfreym likes this.

    6. #5
      Rogie's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Location : Darul Islamia
      Posts : 1,917
      Rep Power : 1146
      Likes Received
      485
      Likes Given
      334

      Default Re: Madaktari wakataa msaada wa Serikali kugharamia matibabu ya Dr Ulimboka

      Ahsante sana...wanajivika ngozi ya punda.
      "You have your people,and I have mine"
      [email protected]

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 3,864
      Rep Power : 7034
      Likes Received
      2031
      Likes Given
      1558

      Default Re: Madaktari wakataa msaada wa Serikali kugharamia matibabu ya Dr Ulimboka

      Ndani ya saa 24 milioni 63 zimepatikana? Aibu kwa serikali, sijui inajisikiaje katika hili?
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala

    9. #7
      Bhbm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2009
      Posts : 650
      Rep Power : 616
      Likes Received
      151
      Likes Given
      0

      Default

      [QUOTE=Bajabiri;4155621]mh,bhbm lugha uanyoitumia si nzuri,nakuheshim sana' mr Liwalo[/QUO


      Hahahahaha we hunijui mimi, huwa sikawii kulia, tamwaga chozi sasa hivi lol

    10. #8
      Power G's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Msoga Kijijini
      Posts : 2,411
      Rep Power : 993
      Likes Received
      775
      Likes Given
      261

      Default Re: Madaktari wakataa msaada wa Serikali kugharamia matibabu ya Dr Ulimboka

      Quote By Bajabiri
      mh,bhbm lugha uanyoitumia si nzuri,nakuheshim sana' mr Liwalo
      Mkuu Bajabiri hujambo?
      TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA

    11. #9
      kapotolo's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th September 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 2,407
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1282
      Likes Given
      392

      Default Re: Madaktari wakataa msaada wa Serikali kugharamia matibabu ya Dr Ulimboka

      Nani atapokea sanda ya muuaji
      Kiongozi shupavu hawezi kutumia mabavu kuongoza, ni kiongozi dhaifu tu ndio atatumia mabavu kuficha udhaifu wake - Jenerali Ulimwengu

    12. #10
      dfreym's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2010
      Posts : 279
      Rep Power : 593
      Likes Received
      49
      Likes Given
      164

      Default Re: Madaktari wakataa msaada wa Serikali kugharamia matibabu ya Dr Ulimboka

      hamda shida, liwalo na linaendelea kuwa.........
      If money doesn’t grow on trees then why banks have branches?

    13. #11
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,524
      Rep Power : 2541
      Likes Received
      2109
      Likes Given
      1840

      Default Re: Madaktari wakataa msaada wa Serikali kugharamia matibabu ya Dr Ulimboka

      Mhe waziri mkuu ooh sorry mh spika nimesahau kumbe mimi ndio pm mwenyewe; ofcourse nimesikitishwa sana na hawa doktaz kukataa contribution ya serikali, binafsi namheshimu sana dokta ulimboka ila aahh mmhh oooohhh hili suala lipo mahakamani
      Daudi Mchambuzi likes this.

    14. #12
      Mmesa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 27
      Rep Power : 365
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Madaktari wakataa msaada wa Serikali kugharamia matibabu ya Dr Ulimboka

      safi kabisa serikali ilifikiri inajenga kumbe imebomoa tena waombe Mungu asife sbb mwisho wao wa kutawala utatamatika. Huku mtaani watu wanahasira kwelikweli. watawala wamegundua hilo ndo maana wanata kuzima moto kwa kumgarimia. SHAME ON GAVERNMENT!!!

    15. #13
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      [QUOTE=Bhbm;4155649]
      Quote By Bajabiri
      mh,bhbm lugha uanyoitumia si nzuri,nakuheshim sana' mr Liwalo[/QUO


      Hahahahaha we hunijui mimi, huwa sikawii kulia, tamwaga chozi sasa hivi lol
      usimwage chozi,that iz not a gud approach mdau

    16. #14
      simplemind's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2009
      Posts : 2,848
      Rep Power : 1155
      Likes Received
      509
      Likes Given
      0

      Default Re: Madaktari wakataa msaada wa Serikali kugharamia matibabu ya Dr Ulimboka

      Ujumbe umefika loud and clear!

    17. #15
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,802
      Rep Power : 954
      Likes Received
      812
      Likes Given
      521

      Default Re: Madaktari wakataa msaada wa Serikali kugharamia matibabu ya Dr Ulimboka

      namuombea apone aweze kuendelea na kazi yake kama kawaida

    18. #16
      tatanyengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2011
      Posts : 931
      Rep Power : 599
      Likes Received
      220
      Likes Given
      186

      Default Re: Madaktari wakataa msaada wa Serikali kugharamia matibabu ya Dr Ulimboka

      Quote By Bajabiri
      mh,bhbm lugha uanyoitumia si nzuri,nakuheshim sana' mr Liwalo
      Hiyo lugha ilitumiwa na waziri mkuu bungeni wiki iliyopita.
      'Our Problems can be solved,our challenges can be met'- Obama

    19. #17
      KakaJambazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2009
      Posts : 4,311
      Rep Power : 2741
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      935

      Default Re: Madaktari wakataa msaada wa Serikali kugharamia matibabu ya Dr Ulimboka

      Yaan mpaka sa ivi, sijaona dalili ya madokta kwenda kunywa juice.

    20. #18
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,374
      Rep Power : 12711
      Likes Received
      2192
      Likes Given
      1820

      Default Re: Madaktari wakataa msaada wa Serikali kugharamia matibabu ya Dr Ulimboka

      Na kama akifa ndipo serikali itapogundua kuwa serikali ni madaraka tu, maana wataakiwa wakae mbali kama wahalifu vile mbele ya raia wema.

      Mungu mponye Dr. Ulimboka ili kuepusha mengi na kuibua maovu ya wengi.

    21. #19
      Chakaza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2007
      Location : everywhere
      Posts : 3,554
      Rep Power : 1476
      Likes Received
      886
      Likes Given
      527

      Default

      Quote By Elli
      Mhe waziri mkuu ooh sorry mh spika nimesahau kumbe mimi ndio pm mwenyewe; ofcourse nimesikitishwa sana na hawa doktaz kukataa contribution ya serikali, binafsi namheshimu sana dokta ulimboka ila aahh mmhh oooohhh hili suala lipo mahakamani
      Mkuu nilimsikia siku ile PM akijichanganya kwa swali la Mbowe kuhusu Ulimboka.Ilibaki kidogo tumsikie akisema "Shikamoo kiongozi wa kambi ya upinzani" Kujichanganya kule kunaonyesha kipigo cha Dr alikielewa mapema kabla hakijatokea ila hakudhani kitakuwa kibaya kwa kiasi kile
      Ndahani likes this.

    22. #20
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default Re: Madaktari wakataa msaada wa Serikali kugharamia matibabu ya Dr Ulimboka

      Hela chafu hiyo

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...