Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Iran kuleta madaktari 1,000 Tanzania

    Report Post
    Page 4 of 13 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 241
    1. #1
      SAMRICH1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th July 2011
      Posts : 1,235
      Rep Power : 0
      Likes Received
      205
      Likes Given
      128

      Default Iran kuleta madaktari 1,000 Tanzania

      source press tv
      serikali ya iran imejitolea madaktari 1000 kuja nchini tanzania na hawatalipwa chochote hadi hapo mgomo utakapopata suluhisho na iran imesema yenyewe imepiga hatua sana kwenye sekta ya afya na haiwezi kuona serikali rafiki yake inaangamia
      Mahmood, blackwizard and wakuziba like this.

    2. Study Abroad

    3. #61
      Azimio Jipya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Location : Universal Space Station
      Posts : 3,281
      Rep Power : 5414
      Likes Received
      1006
      Likes Given
      1731

      Default re: Iran kuleta madaktari 1,000 Tanzania

      Quote By The Listener
      they are coming to pay in return for the 'tanker's re flagging saga'
      You said it ... and this is totally shameful!!! ... We have compromised our Independence!!
      Never Get Angry; Never Make Threat; Reason With People;
      "Napenda the logic of the words because in some ways it says about individual-not to use emotions-when scrutinizing something, whether it involves you or not" ...-by AshaDiii @ Jamiiforums 26th July 2011.


    4. #62
      paparaz's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd June 2012
      Posts : 32
      Rep Power : 357
      Likes Received
      1
      Likes Given
      2

      Default re: Iran kuleta madaktari 1,000 Tanzania

      Mh, but nahisi ni rumor coz hao madaktari wa-iran wakija kufanya kazi huku bila malipo wala posho yeyote, ipo siku watalipiza kisasi. Ni bora tu wasije.

    5. #63
      sweke34's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2010
      Posts : 2,493
      Rep Power : 1254
      Likes Received
      734
      Likes Given
      1240

      Default

      Quote By TZ biashara
      Some times hukaa nikaangalia maoni humu na kuangalia mawazo na akili za watu humu lakini nnachokiona ni ujinga mwingi na watu kujifanya kujua sana au kujiona kuwa na uchungu zaidi.Wengine wanaongea kiubaguzi zaidi na kudharau wengine.Ulalahoi wetu unatufanya kuropoka maneno mengine hayako katika ustaarabu.Nauhakika mtu mwenye elimu nzuri huwezi kuona anakoment maneno ya ajabu.Na ukitaka kujua mtu asie na elimu ni rahisi sana kwasababu hata historia au geographia haijui ila kwa kuja na confidence zaidi za mitaani.

      By the way Iran au wairan sio waarabu na lugha yao tofauti na wala haifanani na kiarabu.Na kama ni kweli kwa sababu sisi walala hoi tunapenda kuzusha maneno,basi waje na vifaa ili wasaidie kuboresha hospitali zetu zilivo overcrowded na vingine vingi labda inaweza ikawa ni moja ya utatuzi wamambo ya afya.Lakini serikali tunaiomba tena tafadhali wamalize masuala haya na madocta wetu kwa haraka na wawarudishe kazini waje wasaidiane na hao wageni kuja kuboresha zaidi ili wananchi wafaidike.Kwani madocta wa Iran ni mahodari sana hata USA wapo wengi wanawatumia.Ni kutokujua tu au ushabiki zaidi kwasababu tumezoea kuona wazungu tu ndio wanasaidia Africa, maisha yanabadilika ndugu zangu kwani hata huko ulaya mbona wanao foreigners wengi wanaofanya kazi mahospitalini kwani mnadhani hawana akili?Wairan ni watu waliosoma sana na isitoshe wanafanya resarch za madawa hasa za Cancer ili ije isaidie dunia na kutokomeza magonjwa haya.Na kama kweli wanaharibu wanaume mbona makanisa ndio yanajulikana ulimwenguni kwa uchafu huu?Acheni mazungumzo baada ya habari.
      umeanza vizuri lakini mwisho umeharibu kwa kushindwa kuficha chuki yako kwa kanisa...utamaduni wa kuharibu wanawake/wanaume kinyume na maumbile unajulikana unafanyika sana wapi na akina nani hapa tz...ukitaka kujua zaidi uliza mkunga yeyote kwenye hospitali zetu atakueleza ni wa akina mama/dada wa dini gani ndiyo wanaongoza kwa kuzaa kwa shidashida baada ya kufanyiwa sana hako ka mchezo ka nyuma...
      Mafie PM likes this.

    6. #64
      GHANI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th February 2011
      Posts : 432
      Rep Power : 504
      Likes Received
      20
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Elli
      Maskini vijana wetu wa kiume si watamalizwa kweli?
      kivip yakhe

    7. #65
      Ciril's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 879
      Likes Received
      243
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By Dauphine
      Kuna tetesi kuwa nchi ya Iran imejitolea kuleta madaktari 1000 kukabiliana na mgomo wa daktari nchini. Madaktari hao hawatalipwa posho wala mishahara mpaka madaktari wa tz watakapositisha mgomo. Kama kuna mtu ana habari zaidi atujuze
      Kama ni kweli,hii Iran itatuletea shida na ikumbukwe tamko la USA kwa raisi wa Tanzania.Me yangu macho.
      Mafie PM likes this.

    8. FemaTV & Radio

    9. #66
      August's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2007
      Posts : 2,744
      Rep Power : 1161
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2511

      Default re: Iran kuleta madaktari 1,000 Tanzania

      Quote By TZ biashara
      Some times hukaa nikaangalia maoni humu na kuangalia mawazo na akili za watu humu lakini nnachokiona ni ujinga mwingi na watu kujifanya kujua sana au kujiona kuwa na uchungu zaidi.Wengine wanaongea kiubaguzi zaidi na kudharau wengine.Ulalahoi wetu unatufanya kuropoka maneno mengine hayako katika ustaarabu.Nauhakika mtu mwenye elimu nzuri huwezi kuona anakoment maneno ya ajabu.Na ukitaka kujua mtu asie na elimu ni rahisi sana kwasababu hata historia au geographia haijui ila kwa kuja na confidence zaidi za mitaani.

      By the way Iran au wairan sio waarabu na lugha yao tofauti na wala haifanani na kiarabu.Na kama ni kweli kwa sababu sisi walala hoi tunapenda kuzusha maneno,basi waje na vifaa ili wasaidie kuboresha hospitali zetu zilivo overcrowded na vingine vingi labda inaweza ikawa ni moja ya utatuzi wamambo ya afya.Lakini serikali tunaiomba tena tafadhali wamalize masuala haya na madocta wetu kwa haraka na wawarudishe kazini waje wasaidiane na hao wageni kuja kuboresha zaidi ili wananchi wafaidike.Kwani madocta wa Iran ni mahodari sana hata USA wapo wengi wanawatumia.Ni kutokujua tu au ushabiki zaidi kwasababu tumezoea kuona wazungu tu ndio wanasaidia Africa, maisha yanabadilika ndugu zangu kwani hata huko ulaya mbona wanao foreigners wengi wanaofanya kazi mahospitalini kwani mnadhani hawana akili?Wairan ni watu waliosoma sana na isitoshe wanafanya resarch za madawa hasa za Cancer ili ije isaidie dunia na kutokomeza magonjwa haya.Na kama kweli wanaharibu wanaume mbona makanisa ndio yanajulikana ulimwenguni kwa uchafu huu?Acheni mazungumzo baada ya habari.
      nchi hizo unazo sema hazipokei dr kwa kuwa wewe ulisomea u dr, lazima ufanye mitihani yao iliwakuone kweli unaweza, jingine ni suala la lugha, sisi tunatumia kiswahili sasa sijui hao waajemi watazungumza kiajemi au kiingereza.
      na hizo research unazo sema mbona sijawahi sikia dawa ya malaria toka huko au ya tb kwa kuanzia ? au hiyo ya cancer. na kama kufanya research ni uonyesha mtu alivyo endelea unatakiwa kujua hata bongo tunafanya research nyingi tu ziwe za ukimwi , cancer mpaka kwenye eneo la kilimo

    10. #67
      yaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2011
      Posts : 674
      Rep Power : 533
      Likes Received
      210
      Likes Given
      67

      Default re: Iran kuleta madaktari 1,000 Tanzania

      Quote By Godwinnko
      the iran government will want something in return,believe me..!

      Mkuu, I presume you're right.

      There was a thread posted in JF a few days ago alleging that Iranian super tankers are flying Tanzania flag to avoid recognition.
      So, may be this is in return to the flag favour, though I still can't believe that TZ government could commit such a diplomatic blunder.

    11. #68
      tpmazembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2012
      Posts : 351
      Rep Power : 442
      Likes Received
      44
      Likes Given
      57

      Default re: Iran kuleta madaktari 1,000 Tanzania

      Tunakoelekea wanataka kuindesha hii nchi kiislam, hii ndio mbinu ya jk.

    12. #69
      adolay's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2011
      Posts : 1,635
      Rep Power : 771
      Likes Received
      490
      Likes Given
      498

      Default re: Iran kuleta madaktari 1,000 Tanzania

      Who will take the charge and responssibility of 1. Interviewing and certifying their competency.

      2. Who will do induction for at least tanzanian culture and work area.

      3. If the strike will go on, for how long the free doctors will be available

      4. What are the motives behind this Iranian support.

      Poor presidaa is draging the nation towards internation grave of sanctions

    13. #70
      Gracious's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2011
      Location : Republic of Tanganyika
      Posts : 642
      Rep Power : 596
      Likes Received
      303
      Likes Given
      405

      Default re: Iran kuleta madaktari 1,000 Tanzania

      Hii ni mbaya sana, Tanzania inaitegemea zaidi west kuliko Iran ambayo yenyewe ina maadui wengi na uchumi wao sio wa kusababisha sisi tu-trade off na west.

      Currently kuna mgogoro wa ki diplomasia kati ya Tanzania na Marekani juu ya Oil Tankers za Iran zilizosajiliwa Zanzibar.Kitendo cha kupokea madaktari hao toka Iran,katika international politics kita tuma signal mbaya kwa marekani.

      Njia pekee ni serikali kukaa mezani na madaktari,serikali iwe serious.Kuleta madaktari toka nje sio suluhisho kwa sababu tatizo la msingi katika sekta yetu ya afya ni mazingira duni ambayo hata hao wa iran watakumbana nayo (ndio maana tunatibu watu wetu india kwa sababu mazingira yetu na vifaa ni duni).Serikali ingechukua juhudi za makusudi kupandisha bajeti ya afya kufikia asilimia 15% kama wanavyopendekeza madaktari.

      Serikali inatakiwa iwe tayari kusikiliza watu wake.Wakati mwingine kujishusha.Huu ubabe wa serikali utatufikisha mbali na pabaya zaidi.

      Athari za kuwa leta wa Iran ni kubwa sana ora hata ingekuwa nchi nyingine.
      "Peace under Poverty-This Scenario is only found in Tanzania,the friend of Tripolitania"

    14. #71
      OMEGA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2011
      Posts : 392
      Rep Power : 475
      Likes Received
      111
      Likes Given
      51

      Default re: Iran kuleta madaktari 1,000 Tanzania

      Si ndio kwa akina Rostam Aziz,hapo kuna harufu ya kitu fulani....

    15. #72
      WA-UKENYENGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : Inside a Smart Grid
      Posts : 2,411
      Rep Power : 5037
      Likes Received
      780
      Likes Given
      1781

      Default re: Iran kuleta madaktari 1,000 Tanzania

      Quote By TZ biashara
      Some times hukaa nikaangalia maoni humu na kuangalia mawazo na akili za watu humu lakini nnachokiona ni ujinga mwingi na watu kujifanya kujua sana au kujiona kuwa na uchungu zaidi.Wengine wanaongea kiubaguzi zaidi na kudharau wengine.Ulalahoi wetu unatufanya kuropoka maneno mengine hayako katika ustaarabu.Nauhakika mtu mwenye elimu nzuri huwezi kuona anakoment maneno ya ajabu.Na ukitaka kujua mtu asie na elimu ni rahisi sana kwasababu hata historia au geographia haijui ila kwa kuja na confidence zaidi za mitaani.

      By the way Iran au wairan sio waarabu na lugha yao tofauti na wala haifanani na kiarabu.Na kama ni kweli kwa sababu sisi walala hoi tunapenda kuzusha maneno,basi waje na vifaa ili wasaidie kuboresha hospitali zetu zilivo overcrowded na vingine vingi labda inaweza ikawa ni moja ya utatuzi wamambo ya afya.Lakini serikali tunaiomba tena tafadhali wamalize masuala haya na madocta wetu kwa haraka na wawarudishe kazini waje wasaidiane na hao wageni kuja kuboresha zaidi ili wananchi wafaidike.Kwani madocta wa Iran ni mahodari sana hata USA wapo wengi wanawatumia.Ni kutokujua tu au ushabiki zaidi kwasababu tumezoea kuona wazungu tu ndio wanasaidia Africa, maisha yanabadilika ndugu zangu kwani hata huko ulaya mbona wanao foreigners wengi wanaofanya kazi mahospitalini kwani mnadhani hawana akili?Wairan ni watu waliosoma sana na isitoshe wanafanya resarch za madawa hasa za Cancer ili ije isaidie dunia na kutokomeza magonjwa haya.Na kama kweli wanaharibu wanaume mbona makanisa ndio yanajulikana ulimwenguni kwa uchafu huu?Acheni mazungumzo baada ya habari.
      Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe kwa kupendana, kukaa meza moja na kuacha porojo na kushabikia watu wa mataifa mengine. Ukiona nchi imeendelea au ukiona watu wamesoma na kuelimika ni kwa sababu viongozi wao waliamua kukaa pamoja na watu wanaowaongoza wakajadiliana na kupeana mikakati ya namna ya kutatua matatizo yao. Hili la kushabikia nchi au watu kuja (awe mzungu, mwarabu au muasia) kufanya kazi halina ubishi ni kwa sababu ya interests za viongozi wetu na si kwa maslahi ya nchi.
      "The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".

    16. #73
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,592
      Rep Power : 1122
      Likes Received
      1376
      Likes Given
      1525

      Default re: Iran kuleta madaktari 1,000 Tanzania

      iran is not a tropical coutry

      huo ni msala

    17. #74
      mojoki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 904
      Rep Power : 615
      Likes Received
      128
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Pombekali
      Hatuna Serikali,full STOP,ni GENGE la watu wasiojua maana ya dhamana waliyopewa! Shame on em!
      kama genge la madokta waliopo kwenye mgomo wasiojua thamani ya uhai

    18. #75
      marejesho's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : MULA
      Posts : 3,364
      Rep Power : 13046
      Likes Received
      1553
      Likes Given
      1137

      Default

      Quote By The Listener
      they are coming to pay in return for the 'tanker's re flagging saga'
      Kumbe!!!

    19. #76
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,967
      Rep Power : 1642
      Likes Received
      1129
      Likes Given
      408

      Default re: Iran kuleta madaktari 1,000 Tanzania

      ipo siku marekani itaishambulia kijeshi tanzania.
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    20. #77
      Macos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2008
      Posts : 777
      Rep Power : 717
      Likes Received
      167
      Likes Given
      13

      Default re: Iran kuleta madaktari 1,000 Tanzania

      Black Bat

      kuna watu wajinga jinga wajinga tu hata ukimwambia wewe mjinga basi anacheka tu...sasa iran na waraab wapi na wapi
      ujinga tu
      inajulikana wazi chadema sasa ni chama cha wachaga na wakristo kutoka na post za humu ndani na zina voshabikiwa
      sasa azma yenu ya kuingia ikulu sujui itafikiwa vipi kama mna chuki na kila chenye chembe ya uislam ?
      naona hio itakua ndoto issiyo wezekana hata kwa miaka mia moja.
      basi tuwaombe vatican waje na madaktari wao waje kusaidia kuokoa maisha ya watanzania..hofu yangu hao kutoka vatican kwa kulawiti ndio wameshika nafasi ya mwanzo na kwa utamu wengine wamehalalisha ushoga....utamu wa kuharibu na kuwalawiti vijana wa kiume..haya

      wacheni chuki za dini na kejeli mna kazi kubwa ya kufikia lengo lenu

    21. #78
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,123
      Rep Power : 2416
      Likes Received
      935
      Likes Given
      377

      Default

      Quote By Dauphine
      Kuna tetesi kuwa nchi ya Iran imejitolea kuleta madaktari 1000 kukabiliana na mgomo wa daktari nchini. Madaktari hao hawatalipwa posho wala mishahara mpaka madaktari wa tz watakapositisha mgomo. Kama kuna mtu ana habari zaidi atujuze
      nadhani itakuwa uwongo kwakufikiria tu, pia hata kama wakija ndo vifaa vya kufanyia vipimo vitatengamaa? Au wao wamefungwa ya kupimia watu?

    22. #79
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,967
      Rep Power : 1642
      Likes Received
      1129
      Likes Given
      408

      Default re: Iran kuleta madaktari 1,000 Tanzania

      Quote By adolay

      4. What are the motives behind this Iranian support.
      Tanzania Uranium
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    23. #80
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,123
      Rep Power : 2416
      Likes Received
      935
      Likes Given
      377

      Default

      Quote By Godwinnko
      the iran government will want something in return,believe me..!
      You refer nipe nikupe siyo na kwa dunia ya sasa hakuna wakukusaidia bila kutaka malipo

    24. Miaka 50
    Page 4 of 13 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...