Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imeshindwa kazi; yatumika kumhujumu Rais Kikwete

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 71
    1. #1
      Mr Emmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 635
      Rep Power : 599
      Likes Received
      79
      Likes Given
      16

      Default Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imeshindwa kazi; yatumika kumhujumu Rais Kikwete

      Kwa niaba ya Chama changu makini CCM naomba kuwataka radhi Wananchi wote wa Jamhuri ya Muungano mliokesha usku kucha kusubiri hotuba ya Mpendwa Rais wetu Mh Jakaya bila mafanikio hivyo naomba mtusamehe kwa uzembe uliofanywa na kurugenzi ya mawasiliano Ikulu kwa kutokutoa Tangazo la Mh Kuhairisha kuhutubia Taifa siku ya tararehe 30/06/2012.

      Kwa sisi wananchi na wapenzi makini wa Chama cha mapinduzi tunaona kuna uzembe wa hali ya juu uliofanywa na wasaidizi wa Rais na kurugenzi ya mawasiliano Ikulu kutokana na sakata hili ambalo hadi kufikia sasa bado wahajatoa kauli kwa vyombo vya habari ya kuhairishwa kwa hotuba ya Rais.

      Kutokana na Rais kushindwa kuhutubia Taifa hapo jana baada ya Taarifa kuwa zimetolewa na Vyombo vya habari Wananchi wapo katika taharuki kubwa kwani hawajui kitu kinachoendelea na kitu kilichompata Rais Wetu hadi kufikia kushindwa kuhutubia Taifa.

      Kwasasa Tunaitaka Kurugenzi ya Mawasilino Ikulu kuwajibika kwa kuupotosha Umma juu ya jambo hili nyeti kwa Taifa na aidha tunawataka kutoa tamko kwa vyombo vya habari na kuwaomba radhi wananchi wote waliokesha ucku kucha kusubiri hotuba ya Mpendwa wao Rais na kupelekea wengine kushindwa kwenda kwenye Ibada siku leo.
      Uhuru wa kweli wa Taifa utaletwa na Mapinduzi ya kweli ya Fikra ndani ya Wanachama na wapenzi wa CCM!@


    2. #2
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Mr emmy View Post
      Kwa sisi wananchi na wapenzi makini wa Chama cha mapinduzi tunaona kuna uzembe wa hali ya juu uliofanywa na wasaidizi wa Rais na kurugenzi ya mawasiliano Ikulu kutokana na sakata hili ambalo hadi kufikia sasa bado wahajatoa kauli kwa vyombo vya habari ya kuhairishwa kwa hotuba ya Rais.
      naichukia hii statement
      Mwakalinga Y. R likes this.

    3. #3
      dmayola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th October 2011
      Posts : 325
      Rep Power : 452
      Likes Received
      47
      Likes Given
      1

      Default re: Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imeshindwa kazi; yatumika kumhujumu Rais Kikwete

      Haikuwa hotuba nahisi ilikua ni kuwakilisha beti za mipasho ya taarabu karatasi ya beti imepotea ataimba nini. Wamechemka hana jipya la kuwaambia wananchi laana iko juu yake na yeye yuko juu ya laana. Na laana hii haitomwacha kamwe mpaka ifikapo 2015 atakua amechakaa pasipo mfano.

    4. #4
      Babkey's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th December 2010
      Posts : 2,043
      Rep Power : 928
      Likes Received
      406
      Likes Given
      167

      Default re: Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imeshindwa kazi; yatumika kumhujumu Rais Kikwete

      ...mwenzao hakuwa na cha kusema, wao wamekariri tu kuwa mwisho wa mwezi anahutubia...
      ...Mbwa wa Mfalme ni Mfalme wa Mbwa Wenzake...

    5. #5
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,741
      Rep Power : 10184
      Likes Received
      5679
      Likes Given
      12666

      Default re: Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imeshindwa kazi; yatumika kumhujumu Rais Kikwete

      mwizi wa kura huyo..wananchi hawakumchagua


    6. #6
      dmayola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th October 2011
      Posts : 325
      Rep Power : 452
      Likes Received
      47
      Likes Given
      1

      Default re: Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imeshindwa kazi; yatumika kumhujumu Rais Kikwete

      Kwisha habari yenu nyinyiemu hamna jipya sasa hv.

    7. #7
      Kima Mchanga's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Location : Dynamic
      Posts : 4,629
      Rep Power : 11255
      Likes Received
      647
      Likes Given
      551

      Default re: Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imeshindwa kazi; yatumika kumhujumu Rais Kikwete

      Kwa nini msiseme wazi tu kuwa mheshimiwa alipagawa na onyo kali{biti?} KUTOKA WASHINGTON?
      Some people are alive only because it is illegal to kill them

    8. #8
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,874
      Rep Power : 1545
      Likes Received
      820
      Likes Given
      459

      Default re: Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imeshindwa kazi; yatumika kumhujumu Rais Kikwete

      Ni upepo tu utapita. LIWALO NA LIWE.......!
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    9. #9
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,515
      Rep Power : 24927
      Likes Received
      2230
      Likes Given
      1827

      Default re: Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imeshindwa kazi; yatumika kumhujumu Rais Kikwete

      Mr emmy pamoja na kuona uzembe kama huo bado unaendelea kukufagilia chama chako ni chama makini? Kama mpaka kurugenzi ya habari Ikulu inamhujumu rais kuna amani kweli hapo Ikulu?

      Yetu macho mkuu.

    10. #10
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Mzee wa Rula View Post
      Mr emmy pamoja na kuona uzembe kama huo bado unaendelea kukufagilia chama chako ni chama makini? Kama mpaka kurugenzi ya habari Ikulu inamhujumu rais kuna amani kweli hapo Ikulu?

      Yetu macho mkuu.
      nadhan ni kejeli za mtoa uzi

    11. #11
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,997
      Rep Power : 5982
      Likes Received
      821
      Likes Given
      233

      Default

      Quote By Mr emmy View Post
      Kwa niaba ya Chama changu makini CCM naomba kuwataka radhi Wananchi wote wa Jamhuri ya Muungano mliokesha usku kucha kusubiri hotuba ya Mpendwa Rais wetu Mh Jakaya bila mafanikio hivyo naomba mtusamehe kwa uzembe uliofanywa na kurugenzi ya mawasiliano Ikulu kwa kutokutoa Tangazo la Mh Kuhairisha kuhutubia Taifa siku ya tararehe 30/06/2012.

      Kwa sisi wananchi na wapenzi makini wa Chama cha mapinduzi tunaona kuna uzembe wa hali ya juu uliofanywa na wasaidizi wa Rais na kurugenzi ya mawasiliano Ikulu kutokana na sakata hili ambalo hadi kufikia sasa bado wahajatoa kauli kwa vyombo vya habari ya kuhairishwa kwa hotuba ya Rais.

      Kutokana na Rais kushindwa kuhutubia Taifa hapo jana baada ya Taarifa kuwa zimetolewa na Vyombo vya habari Wananchi wapo katika taharuki kubwa kwani hawajui kitu kinachoendelea na kitu kilichompata Rais Wetu hadi kufikia kushindwa kuhutubia Taifa.

      Kwasasa Tunaitaka Kurugenzi ya Mawasilino Ikulu kuwajibika kwa kuupotosha Umma juu ya jambo hili nyeti kwa Taifa na aidha tunawataka kutoa tamko kwa vyombo vya habari na kuwaomba radhi wananchi wote waliokesha ucku kucha kusubiri hotuba ya Mpendwa wao Rais na kupelekea wengine kushindwa kwenda kwenye Ibada siku leo.
      Wekeni kwenye agenda ya kikao chenu cha Nec
      Coz sisi huku uswazi hatuna kumbukumbu sahii kama hiyo kurugenzi imewahi kuwepo nakama ina tija kwa watanzania achilia mbali hiyo hotuba ya raisi

    12. #12
      Pendael laizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 945
      Rep Power : 564
      Likes Received
      90
      Likes Given
      5

      Default re: Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imeshindwa kazi; yatumika kumhujumu Rais Kikwete

      Kweli ccm imekwisha kabisa manake mpaka Dhaifu kashindwa kuhutubia taifa kama anavyofanyaga. HATA ANGEHUTUBIA SIWEZI MSIKILIZA NA WALA SIJAWAI KUMSIKILIZA NIKISKIA TU SAUTI NAHAMA CHANEL KWA SABABU ANATIA HASIRA SANA HUYU DHAIFU.

    13. #13
      Mcheza Kwao's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th November 2011
      Posts : 11
      Rep Power : 384
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default

      Ipo haja Kurugenzi kufanya.
      Jana tumelala Saa 6 usiku tukingoja hotuba ya Mr. President.

    14. #14
      Ulukolokwitanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,774
      Rep Power : 5974
      Likes Received
      1504
      Likes Given
      283

      Default re: Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imeshindwa kazi; yatumika kumhujumu Rais Kikwete

      Wewe Miss Emmy utuombe msamaha humu JF maana we kwa kimbelembele chako ndo ulileta uzi humu kuwa Dhaifu atahutubia kumbe hamjawasiliana. Au aliahirisha hotuba kuficha udhaifu kwani hata Pinda aliahirisha tamko kuficha udhaifu. Chama dhaifu huzaa serikali dhaifu na rais dhaifu, maskini Tanzania yenu...

    15. #15
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,358
      Rep Power : 1848
      Likes Received
      1412
      Likes Given
      0

      Default re: Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imeshindwa kazi; yatumika kumhujumu Rais Kikwete

      kwanini ameshindwa kuhutubia?

    16. #16
      Kigogo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,484
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1302
      Likes Given
      318

      Default re: Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imeshindwa kazi; yatumika kumhujumu Rais Kikwete

      haina mantiki na haja ya kuhutubia taifa wakati kashindwa kuongoza...akusanye watoto wake pale anatoglu awahutubie italeta maana zaidi kuliko kuhutubia watanzania

    17. #17
      ndomyana's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 2,080
      Rep Power : 0
      Likes Received
      211
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mcheza Kwao View Post
      Ipo haja Kurugenzi kufanya.
      Jana tumelala Saa 6 usiku tukingoja hotuba ya Mr. President.
      ulikua huna kazi ya kufanya, we unasubiri mipasho usiku kucha

    18. #18
      kelvito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 388
      Rep Power : 525
      Likes Received
      97
      Likes Given
      74

      Default re: Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imeshindwa kazi; yatumika kumhujumu Rais Kikwete

      Ni aibu kwa jk kuahidi vitu ambavyo hawezi kuvifanya jana nimesubiri sana kumsikia dhaifu wangu ataongea nini!

    19. #19
      Njilembera's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2008
      Posts : 796
      Rep Power : 730
      Likes Received
      95
      Likes Given
      164

      Default re: Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imeshindwa kazi; yatumika kumhujumu Rais Kikwete

      Kweli sikuelewa kwa nini! Lakini kwa mara ya kwanza kwa kadri ninavyokumbuka, nilikaa muda mrefu sana nikisubiri Hotuba ya Raisi. Hata ilipofika saa 5.30 usiku nilishauriwa niende kulala lakini bado niliamini pengine ni vyombo vya habari vimechelewa kurusha na ni lazima vingerusha tu. Sijui nilitegemea nini kwenye hotuba ile. Nilipatwa mvuto na hamu ya ajabu, nikasubiri bila kujali usingizi ili mradi nimsikilize Raisi wangu. Lakini Raisi wangu- oh kumbe ni Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imeninyima uhondo nilioutegemea! Basi na wajitokeze waseme SAMAHANI- ni neno moja tu na roho yangu itasafishika.

    20. #20
      kindafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Posts : 267
      Rep Power : 494
      Likes Received
      88
      Likes Given
      62

      Default re: Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imeshindwa kazi; yatumika kumhujumu Rais Kikwete

      Hakujua atoke vipi:
      - Kivuli cha Dr. Slaa bado kinamtisha
      - Msuli wa Dr. Uli umekuwa mgumu mno kwake
      - Dogo Mnyika na kombora lake la "DHAIFU"
      - Mfupa wa Obama umeingia mchanga shauri ya deal za Iran - kwa kuandikiwa "Onyo kali" na Afisa wa level ile ni kiashiria kuwa tayari wamemshusha grade sana.
      Labda mumtungie nyie biti hapa Jamvini yeye akazishushe tu kwa "wazee wa Dsm"! Walao ktk sanaa hiyo sio DHAIFU hata kidogo!

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...